Wasomi wa Tanzania hawasaidii kuijenga Tanzania. Wameziba masikio kama Raisi alivyoxiba masikio na mdomo kuchagua kuwa chura. Viongozi ambao tunawategemea wana kigugumizi sababu kiongozi mkuu kawa mfano wa kutokuwajibika na katangaza hadharani hajali. Sasa, kwa nini watanzania mumpe ridhaa ya kuwaongoza wakati amekiri hatawasikilza na hatatoa kauli uoyote mnapomtegemea awe mdemaji na mtetezi wenu angefanya hivyo. Ni sawa na nchi haina uongozi. Hatari inayokuja kila mtu anajifanyia yake. Na hii ni hatari kubwa nchini. Hatuna kiongozi. Shukrani sana baba Askofu kwa jitihada za kuitetea nchi na watu wake.
Kuonyesha kuchukizwa, Kukataa,Kukemea na Kuzuia MAOVU sio dhambi wala kutukana lakini watawala wakiambiwa neno mojawapo katika haya,wanakuja juu na kutafsiri kuwa WANATUKANA,na wao wanafika mbali na kuwatukana na kuwadhalilisha waziwazi wanaowapinga,na kuyakataza maovu yao! Maovu yakitokea machoni pa Kiongozi yeyote wa dini akanyamazia,atatoa hesabu yake kwa Mungu kwa kukwepa jukumu lake! Wafalme wa dunia wasio na maarifa watendapo uovu,wataangamia pamoja na taifa lote kama hayatapingwa na wanaosimamia imani zinazosimamia haki na hukumu ya Mungu! Viongozi wa dini wakiwa kama mafarisayo wa dunia wasiyoamini kwamba Mungu aliye juu ya wote yupo!
Wajumbe na wasaidizi wa Rais hawawasilishi taarifa za kweli, badala yake wamezoea kusema uongo na kuyabatiza ni maneno ya wanasiasa tu kwa maana kwamba serikali ina vita na wanasiasa ambao ni sehemu ya wananchi. Uongo unafawasilishwa kwake kwa nguvu kubwa mpaka anaamini na kuwashutumu,ama anakaa kimya siku zinakwenda tu.
Tatizo ni Ubabe wa Viongozi wa CCM ni Miungu Watu hawataki Ukweli usemwe wanatisha watu, wanateka na kuua Watu, Viongozi wakubwa hawaheshimu Katiba ya Nchi pamoja na ubovu wa Katiba yetu
Viongozi wa dini wa nchi hii ni zaidi ya 90% hawapatani na sifa za wale watumishi Yesu alio wasema katika kitabu Cha mathayo 5:10-12, /math.10;17,pia aliwaambia ninyi ni chumvi ya Dunia,Pia NURU ya ulimwengu, hivyo wangelikuwepo angalau 10% tusingelikuwa hivi hapa Tanzania ilipo Leo,na mapungufu yanayo idharirisha nchi hii ambayo haya Hitaji mkopo toka nje kuyakemea na kuwachukulia hatua watendao uovu, sasa Wana achwa, ,Tuombee nchi kwa maombi ya Toba kabisa.ili dhambi hizi zinazo lanisha nchi yetu, iliyokuwa ina heshimika kwa Amani na kuthamini Utu wa kila mtu,na ukarimu,
Machukizo ya viongozi wa serkali,yanakataliwaje? Wananchi wanatendewa kinyume na Katiba, sheria na kanuni au utamaduni wa jamii yetu,wananchi waeleze maneno yapi? Hisia za wananchi ziwasilishwe kwa jamii kwa maneno gani?
MWANAMAPINDUZI Utawala ukiamua kushughulika na Swala la kuboresha kilimo kama wanavyouziana magari ya kifahari na kununua mapya kila mwaka,vijana wakajua shambani kuna maisha tusingeona kundi kubwa la maching gays mijini lakini hawaoni sababu ya kufanya hivyo wanajua kuongeza kodi tu!
Mimi ni muislam na ninaamini sana kwenye haki askofu mwanamapinduzi nakukubali sana kwenye kutetea haki mwenyewe mungu akulinde
Wasomi wa Tanzania hawasaidii kuijenga Tanzania. Wameziba masikio kama Raisi alivyoxiba masikio na mdomo kuchagua kuwa chura. Viongozi ambao tunawategemea wana kigugumizi sababu kiongozi mkuu kawa mfano wa kutokuwajibika na katangaza hadharani hajali. Sasa, kwa nini watanzania mumpe ridhaa ya kuwaongoza wakati amekiri hatawasikilza na hatatoa kauli uoyote mnapomtegemea awe mdemaji na mtetezi wenu angefanya hivyo. Ni sawa na nchi haina uongozi. Hatari inayokuja kila mtu anajifanyia yake. Na hii ni hatari kubwa nchini. Hatuna kiongozi. Shukrani sana baba Askofu kwa jitihada za kuitetea nchi na watu wake.
Go go men of God
UMENENA VEMA ASKOFU ❤
Asante sana Baba Askofu Machumu
Wasomi wote sawa na viongozi wa dini VIBOKO NA KUFUNGWA wanaua nchi yetu
Wewe tuna viongozi wachumia tumbo. Viongozi wanaapa wanapo kuwa madarakani.wakisha apa wanasahau wanaanza kuteka kuuwa.
Kuonyesha kuchukizwa, Kukataa,Kukemea na Kuzuia MAOVU sio dhambi wala kutukana lakini watawala wakiambiwa neno mojawapo katika haya,wanakuja juu na kutafsiri kuwa WANATUKANA,na wao wanafika mbali na kuwatukana na kuwadhalilisha waziwazi wanaowapinga,na kuyakataza maovu yao! Maovu yakitokea machoni pa Kiongozi yeyote wa dini akanyamazia,atatoa hesabu yake kwa Mungu kwa kukwepa jukumu lake! Wafalme wa dunia wasio na maarifa watendapo uovu,wataangamia pamoja na taifa lote kama hayatapingwa na wanaosimamia imani zinazosimamia haki na hukumu ya Mungu! Viongozi wa dini wakiwa kama mafarisayo wa dunia wasiyoamini kwamba Mungu aliye juu ya wote yupo!
Uko sawa Askofu
Samahani Hii vIdeo imeekuwa na Mwangwi mkubwa....kuna kipande tumeshindwa kukipata vizuri
Msigwa amejizalilisha sana kwenda kuvaa maguo ya kijani
Mm muisilamu ila mchungaji unaongea ukweli kama huna d 2 huwezi kumuelewa mchungaji
Wajumbe na wasaidizi wa Rais hawawasilishi taarifa za kweli, badala yake wamezoea kusema uongo na kuyabatiza ni maneno ya wanasiasa tu kwa maana kwamba serikali ina vita na wanasiasa ambao ni sehemu ya wananchi. Uongo unafawasilishwa kwake kwa nguvu kubwa mpaka anaamini na kuwashutumu,ama anakaa kimya siku zinakwenda tu.
Recording yenu haiko sawa. Ondoa mwangwi wa youtube audio ya video yako
Tatizo ni Ubabe wa Viongozi wa CCM ni Miungu Watu hawataki Ukweli usemwe wanatisha watu, wanateka na kuua Watu, Viongozi wakubwa hawaheshimu Katiba ya Nchi pamoja na ubovu wa Katiba yetu
Nikipata nafasi Viongozi wa dini wanatakiwa kuchapwa viboko na kufungwa maisha
Hatuna viongozi wa dini tuna matatizo matupu
Non-Tanesco electricity supply source will be advantageous to the consumers.
8:29
Viongozi wa dini mna hongwa Mbowe ali kyla mulionu 15 boss wako yuko bungeni.
😮😢
Viongozi wa dini wa nchi hii ni zaidi ya 90% hawapatani na sifa za wale watumishi Yesu alio wasema katika kitabu Cha mathayo 5:10-12, /math.10;17,pia aliwaambia ninyi ni chumvi ya Dunia,Pia NURU ya ulimwengu, hivyo wangelikuwepo angalau 10% tusingelikuwa hivi hapa Tanzania ilipo Leo,na mapungufu yanayo idharirisha nchi hii ambayo haya Hitaji mkopo toka nje kuyakemea na kuwachukulia hatua watendao uovu, sasa Wana achwa, ,Tuombee nchi kwa maombi ya Toba kabisa.ili dhambi hizi zinazo lanisha nchi yetu, iliyokuwa ina heshimika kwa Amani na kuthamini Utu wa kila mtu,na ukarimu,
Machukizo ya viongozi wa serkali,yanakataliwaje? Wananchi wanatendewa kinyume na Katiba, sheria na kanuni au utamaduni wa jamii yetu,wananchi waeleze maneno yapi? Hisia za wananchi ziwasilishwe kwa jamii kwa maneno gani?
Uyo mshikaji msingwa tumuweke kwenye kundi gani sjjui
Huyo aliyefira....walikubaliana au alimlazimisha huyo binti??? Manake isijekuwa walikubaliana alafu dada anatafuta Kiki!
Ccm wameshupaza shingo
Hiyo nikweli tupu,ndivyo ilivyo ktk nchi yetu tukisema tunaambiwa tunatukana unafatiliwa na kukamatwa ,kwahiyo harakama wanaharibu nchi tunyamaze tu,hivyo tunahasira moyoni hatuna pakusemea.
Viongozi wetu wa dini hapa ni wali tu
MWANAMAPINDUZI Utawala ukiamua kushughulika na Swala la kuboresha kilimo kama wanavyouziana magari ya kifahari na kununua mapya kila mwaka,vijana wakajua shambani kuna maisha tusingeona kundi kubwa la maching gays mijini lakini hawaoni sababu ya kufanya hivyo wanajua kuongeza kodi tu!
Mchungaji wanamondoo unemachianani. Wanahama KANISA huku
Wewe ni kijana wa hovyo, wazazi wako wamepata hasara, Askofu anazungumzia maisha yako na ya watoto wako mbuzi we
Wewe mchungaji feki unaongea mpaka mdomo wako UNANUKA KAMA CHOO UKIMALIZA KUBWAKA UKAPIGE MSWAKI
@@maspro6294 uchunguze vizuri wakwako hata ukipiga mswaki niuozo chunga Domo lako
Uchunguze vizuri awkwako hata ukipiga mswaki niuozo . Chunga Domo lako muozo