JE UNAJUA UMUHIMU WA VITAMIN KWA KUKU🐓? UKOSEFU wa VITAMIN kwa Kuku au Upungufu wa VITAMIN hujionyesha kwa namna tofauti katika miili ya kuku, na kila dalili huashiri upungufu wa vitamin. 📌 UMUHIMU WA VITAMINI. - Husaidia katika ukuaji wa kuku. - Humfanya kuku muda wote kuwa amechangamka. - Husaidia kuku kuwa mwenye afya. - Huwezesha kuku kuwa mtagaji Mzuri. 📌 UKOSEFU WA VITAMIN 'A' KWA KUKU Ukosefu wa vtamin 'A' hujitokeza baada ya kuku kukosa vyakula vyenye vitamin 'A' kwa muda mrefu Kuku wadogo huathirika zaidi kwa kwa ukosefu wa vitamun 'A' pia hata kuku wakubwa. 📌 DALILI ZA UKOSEFU WA VITAMIN 'A' KWA KUKU -Macho huvimba na kutoa uchafu mzito kama sabuni ya mche iliyolowana maji -Hudhoofika na hatimaye kufa na kuku ufa kwasababu uwa ni kipofu na hawezi kuona chakula kwahyo kuku ufa kwa njaa 📌 TIBA NA KINGA -Kinga ugonjwa huu kwa kuwapa kuku majani mabichi au mchicha au chainizi wakati wa kiangazi au kwa kuku wanaofungiwa ndani na hawawezi kula majani -Wape kuku vitamini za kuku za dukani kama TOPVITA kwasababu Topvita ina muunganiko wa vitamin ya A, D, E, B/ COMPLEX - C -Kwa kuku alie athirika na ugonjwa huu msafishe na maji ya vuguvugu yenye chumvi kiasi hakikisha uchafu wote unatoka kisha mpe vitamin ya dukani kama FARMVITA, LAY VITA, TOPVITA au STRESS VITA Fanya zoezi hilo kwa siku 5. 📌 VITAMINI B Manyoya huonekana kusambaratika, panga za kuku kuonekana zikiwa zimepauka, na kwa kuku watagaji hupunguza uwezo wao wa kutotoa mayai. 📌JINSI YA KUKABILIANA. Wapatie kuku wako Dawa za multivitamin kama TOPVITA A,D,E,B,/COMPLEX -C 📌 VITAMIN E Hizi ni dalili za ukosefu wa vitamin E kwa kuku, - shingo huanguka chini na kupinda. - Vifaranga huanguka kifudi fudi. - Utagaji wa kuku hushuka kwa kiasi kikubwa. 📌 VITAMIN D Ukosefu wa vitamin D hupelekea tatizo la mifupa kuwa laini, na hali hii hupelekea mifupa kupinda pia magoti huvimba na hata midomo kuwa laini. Na hata ukuaji wa kuku huwa wa hafifu. Hii hutokana madini aina ya madini ya calcium na fosifolusi kutojengeka kwenye mifupa. Kwa kuku watagaji hali hii hupeleka kwa kuku watagaji kutaga mayai yenye ganda laini. 📌JINSI YA KUKABILIANA. Vitamini hupatikana katika majani mabichi ya mimea, mfano majani ya lusina, mpapai, mchicha na mikunde Kazi ya vitamini ni kulinda mwili dhidi ya magonjwa, ila unaweza kutumia madini ya selenium kuongezea kwenye chakula cha kuku au unaweza kutumia STRESS VITA , FARMVITA au TOPVITA A, D, E,B,/COMPLEX -C
Lipia 30,000 kwenye Lipa namba ya Voda 5454130 Jina ; Moshi Agrovet Ukishalipia nitumie meseji ya muamala uliofanya kwenye namba hii 0659632332 Majina yako na mahali ulipo utatumiwa bidhaa yako
Hakikisha mkaa umewaka kabla ya kuuweka bandani, pia kwasasa Kuna namna nyingine kama bulb na gas heater ambazo unaweza kutumia kuwapa vifaranga wako joto ua-cam.com/video/JPkO6pXrecc/v-deo.html
Hapo unaingiza watu mkenge,hujasema garama ya kujenga Banda,chanjo tatu za kuku,pia Kuna umri ukifika kuku wanatakiwa majani. Na pia hujasema garama halisi na faida atakayopata mfugaji.
Uko vizuri brothers
Asante endelea kufuatilia mafunzo kwenye channel yetu
Nafikiri kwa gharama za awali za uwekezaji zinaweza kuwa zaidi ya hizo. Katika maelezo yako sijasikia gharama za chanjo pamoja na dawa zingine.
Angalia hii video kuhusu Bajeti ya sasso 200 ua-cam.com/video/vIb0podazgw/v-deo.html
Samahani kaka hivi vitamini ni muhimu sana
JE UNAJUA UMUHIMU WA VITAMIN KWA KUKU🐓?
UKOSEFU wa VITAMIN kwa Kuku au Upungufu wa VITAMIN hujionyesha kwa namna tofauti katika miili ya kuku, na kila dalili huashiri upungufu wa vitamin.
📌 UMUHIMU WA VITAMINI.
- Husaidia katika ukuaji wa kuku.
- Humfanya kuku muda wote kuwa amechangamka.
- Husaidia kuku kuwa mwenye afya.
- Huwezesha kuku kuwa mtagaji Mzuri.
📌 UKOSEFU WA VITAMIN 'A' KWA KUKU
Ukosefu wa vtamin 'A' hujitokeza baada ya kuku kukosa vyakula vyenye vitamin 'A' kwa muda mrefu Kuku wadogo huathirika zaidi kwa kwa ukosefu wa vitamun 'A' pia hata kuku wakubwa.
📌 DALILI ZA UKOSEFU WA VITAMIN 'A' KWA KUKU
-Macho huvimba na kutoa uchafu mzito kama sabuni ya mche iliyolowana maji
-Hudhoofika na hatimaye kufa na kuku ufa kwasababu uwa ni kipofu na hawezi kuona chakula kwahyo kuku ufa kwa njaa
📌 TIBA NA KINGA
-Kinga ugonjwa huu kwa kuwapa kuku majani mabichi au mchicha au chainizi wakati wa kiangazi au kwa kuku wanaofungiwa ndani na hawawezi kula majani
-Wape kuku vitamini za kuku za dukani kama TOPVITA kwasababu Topvita ina muunganiko wa vitamin ya A, D, E, B/ COMPLEX - C
-Kwa kuku alie athirika na ugonjwa huu msafishe na maji ya vuguvugu yenye chumvi kiasi hakikisha uchafu wote unatoka kisha mpe vitamin ya dukani kama FARMVITA, LAY VITA, TOPVITA au STRESS VITA Fanya zoezi hilo kwa siku 5.
📌 VITAMINI B
Manyoya huonekana kusambaratika, panga za kuku kuonekana zikiwa zimepauka, na kwa kuku watagaji hupunguza uwezo wao wa kutotoa mayai.
📌JINSI YA KUKABILIANA.
Wapatie kuku wako Dawa za multivitamin kama TOPVITA A,D,E,B,/COMPLEX -C
📌 VITAMIN E
Hizi ni dalili za ukosefu wa vitamin E kwa kuku,
- shingo huanguka chini na kupinda.
- Vifaranga huanguka kifudi fudi.
- Utagaji wa kuku hushuka kwa kiasi kikubwa.
📌 VITAMIN D
Ukosefu wa vitamin D hupelekea tatizo la mifupa kuwa laini, na hali hii hupelekea mifupa kupinda pia magoti huvimba na hata midomo kuwa laini. Na hata ukuaji wa kuku huwa wa hafifu. Hii hutokana madini aina ya madini ya calcium na fosifolusi kutojengeka kwenye mifupa.
Kwa kuku watagaji hali hii hupeleka kwa kuku watagaji kutaga mayai yenye ganda laini.
📌JINSI YA KUKABILIANA.
Vitamini hupatikana katika majani mabichi ya mimea, mfano majani ya lusina, mpapai, mchicha na mikunde
Kazi ya vitamini ni kulinda mwili dhidi ya magonjwa, ila unaweza kutumia madini ya selenium kuongezea kwenye chakula cha kuku au unaweza kutumia STRESS VITA , FARMVITA au TOPVITA A, D, E,B,/COMPLEX -C
Mtu anadai chanjo na dawa wakati anajua kuku ndani ya miezi miwili au 3 kuku wanakuwa wameuzwa kwa ajili ya kuliwa nyama
Habari, je mtu akiihitaji eneo la kufuga la kukodi anapata???
Hapana hatuna mabanda ya kukodisha
Samahani Mimi niswali
Naitaji themomiter
Lipia 30,000 kwenye Lipa namba ya Voda 5454130
Jina ; Moshi Agrovet
Ukishalipia nitumie meseji ya muamala uliofanya kwenye namba hii 0659632332
Majina yako na mahali ulipo utatumiwa bidhaa yako
Tafadhali nipatie namba ya simu yenu niweze kuwasiliana nanyi
Tupigie 0659632332 Kati ya Saa 2 asubuhi na Saa 10 jioni
nashkuru sana kwa elimu
ila naskia mkaa unawazuru kuku au ni maneno tu ya watu
Hakikisha mkaa umewaka kabla ya kuuweka bandani, pia kwasasa Kuna namna nyingine kama bulb na gas heater ambazo unaweza kutumia kuwapa vifaranga wako joto
ua-cam.com/video/JPkO6pXrecc/v-deo.html
Hapo unaingiza watu mkenge,hujasema garama ya kujenga Banda,chanjo tatu za kuku,pia Kuna umri ukifika kuku wanatakiwa majani. Na pia hujasema garama halisi na faida atakayopata mfugaji.
Karibu utuelezee gharama ya kujenga banda la kuku chotara wa nyama 400🙏
Unauza sh ngapi kwa kuku mmoja
Inategemea na Soko husika, hapa Dodoma mjini ni wastani wa 9000-10000 kwa chotara wa miezi miwili
Kwa miez mitatu wastani ukiuz 15000
Naomba namba kaka ili uweze kunishauri zaidi
0659632332
Nipigie kati ya saa 3 asubuhi mpaka saa 12 jioni
Naomba namba zako
0659632332
Sijasikia mtalam akitaja garama za chanjo nadawa
Mungu akubariki
kaka vipi nikichanganya chakula mwenyewe kwa fomula nyingine bila kuweka hiyo grower pellet matokeo yakoje ?
Kama formula ziko vizuri itafanya poa tu
Kaka Je kuku wa mayai 500 bajeti yake ikoje
ua-cam.com/video/2Iixx2-6nnk/v-deo.html
unawasimamia vp wafugaji
Kupanga kuhusu mradi husika, kumfundisha, kumkagua kama anafanya aliyofundishwa etc
Kukagua unaenda sites kama yupo mbali Inakuwaje
No ya wtsup kaka
0659632332
Wafanyabiashara wa Tz wanatangaza biashara mtandaoni bila kuweka mawasiriano am very sorry
Asante kwa maoni yako, Mungu akubariki 🙏🏽