Kwa mafunzo hayo mwishowe ni kutumbukia kwenye uhuni, Ewe mzazi msomeshe mtoto wako maadili mema Ukihis haya ndio maadili mema endelea kumpa nguvu ayajuwe vyema Na ukihis haya si maadili ya saw bas haraka mtoe kwenye Giza hili na umpeleke kwenye Nuru njema
Ungekoment iv t ningekuona wa maaaan ..na ningejuaaa. Asa una nia ya kuelekezaa ..lkn kumbe hujitambuii huwez kuita kazi za watu ujinga ukatzamwa tuuu ....mjinga ww n familiaa yakooo
Na nlichokiona hujui ata unatak nn naona unahangaika tu ...mara pana wanaume .mara wangevshwa ahungi na baibui wasingepwndezaaaa...ueleweke VP ww. Mwenyeo hujijui ata icho unachokifundshaaa ..tuliaaa bibi wee kila mmoja kajaza apa ..au tuseme mwenzetu ww ushabashiriwa pepo et???
Yaan ww je kungediwa mziki ungesemaje mbona unaongea pumba iyo nasheed ndo maan watu wakaweka wanawake akiza kuwa mkubwa hasomi ila ao wadogo wanaume wamekuaje au ndo uchawi
Mashaallah wapendwa
MASHAALLAH shehe ally ap umeweza umeweza Tena umeweza na Tenaaaaaa❤. Da sabra apa
Mashallah wapendwa wng ❤❤
Mtume wetu ameshushiwa Aya inayosema.ewe mtume wa mungu waambiewakezako wajisitiri wavae shungi bugibugi wasioneshe mapambo yao
Mashalllah wenye donge lazma wataharibu kusema maneno hayafai ila umejitahidi ustadh alliy mung azidi kukuza chuo chak inshallah
Kaz mzuri
Mashaallah ❤️ Allah awazdishie kipaji chenu inshallah
Mashallah tabarakallah 🙏 jazakumullahu khairi inshallah 🤲🤲🤲💞💕💕❤❤
Mashaallah nasheed pyambee htryyyyy❤
❤❤❤
mashallah😍😍😍😍😍😍
Manshaalla 🤲
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Kwa mafunzo hayo mwishowe ni kutumbukia kwenye uhuni,
Ewe mzazi msomeshe mtoto wako maadili mema
Ukihis haya ndio maadili mema endelea kumpa nguvu ayajuwe vyema
Na ukihis haya si maadili ya saw bas haraka mtoe kwenye Giza hili na umpeleke kwenye Nuru njema
Nmekutafuta san kweny channel ya zuchu na yammi cjaona koment zako 😅😅vp au unachagua pakufundiahaaa 😅😅 alafu unajipa uungu ww hya umejuajee kam watkuua wahunii 😅😅inaonesha unajua ata cku zjaZoooo 😅😅hongeraaa
Mimi sijapenda watoto mnawafundisha nini kesho mtamjibu nini allah
Ungekoment iv t ningekuona wa maaaan ..na ningejuaaa. Asa una nia ya kuelekezaa ..lkn kumbe hujitambuii huwez kuita kazi za watu ujinga ukatzamwa tuuu ....mjinga ww n familiaa yakooo
Upende usipende ww kama nani kwa n et tuliza komwe ilo
Endelea na kaz kaka usijibu utatoka kwenye uungwana usiwatukane we nyut tuu sio kila anaeona anaelewa
Narudiaaa tena MSAFII ULIMWENGU HUU HAYUPOO ukiona imekukwaza hujaipenda tafuta ARO ya kusafshia choo kunywa ...utulizeee kihereee😅😅😅
Wafundisheni watoto dini yao wamtambue allah na maadili mema sio ujinga huo
Ukiwa fundisha wa kwako inatosha.......mjinga mwwnyeooo malaya we ..ungekua unjitmbua asaucngesema n ujinga mana hajakamatiwa mtu apo fala weee
Na uo unaosema ujinga ndo ulofunzwa au walifunzwa wazee wako ukazaliwaaa ww
Kwan ndoa c dini ???? Et ukhty mashungiii
Mtume wetu ameshushiwa Aya inayosema.ewe mtume wa mungu wambiewakezako wajisitiri wavae shungi bugibugi wasioneshe mapambo yao
Ungekoment hivi tu ningekuona wa maaana SANA...kumbe hujielewii. Mjinga mwenyeooooooo
Na nlichokiona hujui ata unatak nn naona unahangaika tu ...mara pana wanaume .mara wangevshwa ahungi na baibui wasingepwndezaaaa...ueleweke VP ww. Mwenyeo hujijui ata icho unachokifundshaaa ..tuliaaa bibi wee kila mmoja kajaza apa ..au tuseme mwenzetu ww ushabashiriwa pepo et???
Wachawi utawajua t
Utaskia MTUME SAW kasema ..saw kasema je alosema yte ww uko sawa .... ?????
Mapambo watoto Haifai
Ndo washavaa mwezangu. Kama limekuuma tafuta acid ujipake.
Watto wanatk kutunzwa umeahkiliaa mapambo 😂😂mzma kwel ww au ndo uo uchawi wenyewe unakusumbua😜
Watoto wanapewa mambo ambayo hawajafikia😢
Mmbo gn
Mmb gani
Wapo kwa kufikisha ujumbe kwa waliofikiaaaa ..
Nandomana leo tunafanya yaletuliokatazwa na tunaacha tuliyo amriswa kwani wangevishwa mashungi wasinge pendeza
Huu muda ulokoment ungetafuta mshahafu ukasoma ungekua mbali San ....uku unfnya nn kama c uheke
Yaan ww je kungediwa mziki ungesemaje mbona unaongea pumba iyo nasheed ndo maan watu wakaweka wanawake akiza kuwa mkubwa hasomi ila ao wadogo wanaume wamekuaje au ndo uchawi
@@RechoSahil..usikute pana bwan wake apo lbda kaona wivuuu😅😅 mana ata mm cmuelewii
Acheni ujinga mnawavisha watoto nguo zauchi halafu na haowanawake watazamaji pia wapi uchi halafu na mijanadume inaangalia
Acha ukhanisii ww ....choyo tu ndo washavaa kashtak bas ... Kuna uloona chupi yake apo khanis kwel ww
@@hassanhaji1036PUNGUZA BASI UKALI WA MAENO, MBONA KUTOA COMMENT NI HURU KWA KILA MTU
Uchu unaujua www acha upunzi
UKILIONA JITU LIMEKOMENT VBYA UJUE CHOYO KINAMKEREKETAAA ...TUACHE KUJIPA MAJUKUMU YA MUNGU...KILA ALIENA LAKE AOMBE RABI SALAMA MSAFI HASWA HATUKOOOO🔨🔨🔨
Sio vyema kuwafanyia ivo watoto mnawafundish nini
Ww unahis wanafundshwa nn...mbona waja mmekalia KUTOKA kasoro tu...hya tunasubr wakwako aje atutoleee mawaidha.
Wew umeon wafundishwa nn😏
Hahaahhh ukute mtu choyo tu ..wakt wtto wake ndo ashaddu ..
Ni kwelivsio mambo ya choyo. Ni makosa
@@ammoahmed2561 na u tube kwenye dini haimo ..unafnya nn uku
❤❤❤
❤❤❤❤