Allah amrehem baba yake amjaalie jannatul fidous pamoja na wazazi wngu amin yaarab. Yaa Allah nijaalie nipate mtoto wakiume mwenye kheri na mm na mwenye hekma busara upendo mwenye kufata misingi ilio bora .yaa Allah Alhamdullah kwa kunijaalia kupata watoto wakike pia nawaombea watoto wng uwajaalie waww watoto wema wenye hekma busara upendlo na wenye kufata nyendo za Mtume wetu Muhammad s.w .Yaa Rabbi wajaalie na watoto wawenzangu Amin yaarab
Mashallah mwenyez Mungu akulinde Na kukutia nguv shekhe wetu nuruduni kishk,,, yaaan Mimi nalia tyu hapa mwenyez Mungu amizidishie huyo mtoto Elim ya akhera Na baba yake anufaike huko aliko na kijana wake.
Tuliotoa machoz kwasbb ya Huyo yatima km sheikh nurdin kishk tujuane. Allah amrehem baba yake kijana anaonekana kuwa uchu na dini niwatoto wangapi wanapenda wawe km wasanii Allah tupe mwishon mwema sote waislaam nawasameh wote waliotutangulia ktk Iman allahummaa aaamin.
Amiin ya rabb yes so true ya3ni mim nautu uzima wangu huu I cry like a baby when remembering my baba dua zetu nyingi kwa wazazi wetu walio tangulia Allah awarehemu atukutanishe nao peponi in shaa ALLAH na awahifadhi wazazi wote walio hai
Jaman nimejikuta nalia tuu Allah akuhifadhi sheikh kishki nakupenda sana namuomba mungu asinichukue kabla sinakutana na wew sheikh niseme nin nakupendea kwa ajili ya Allah
Mashaallah,tabarakAllah,Allah ajalie babake Jannatul Firdaus.Nasi pia Allah atupe istiqamah katika dini na atuhifadhie watoto wetu kwa msingi wa dini yaa Allah.
Shekh, kishk nakupenda kwa ajili ya ALLAH, lau kama ALLAH alihalalosha kumsujudia kiumbe mwenzanko mimi mimi ningemsujudi kiyumbe bora Muhammad S.A.W kisha, kwa zama hizi ningemsujudia kwa mapenzi niliyo naye.
Pole sana ❤❤ kwa hili machozi hata mimi yalinitoka kwa mtoto yoyote alie filiwa na na mzazi na ukingalia mapenze yale baba alio kuwa anampatia kwa sasa anayakosa ina umiza sana pole na 😭😭😭Allah wasamehe sana wa baba wote walio fariki japo hata mimi sina wazazi wote wawili 😢🤲😭
ALLAh nijalie huwezo nami niwe miongon mwa wa watu wenye kuwasaidia watoto yatima hinauma sana kuondokewa na wazaz wako hangari mdogo inshaallah mungu hatupe mwisho mwema
Wallahi nimejikuta natoa machozi tu . Ila tujitahidi kuwapa wenetu malezi mema Kijana anaonekana ni kijana alopewa malezi mema kabisa Allah amuongoze ktk njia sahihi na amjaalie baba yake kua ktk watu wa peponi amin .
Wallah nimejikuta nalia ulikua huuu naiangalia clip hiiii nimejawa na huruma na kuzidisha mapenzi kwa sheikh wangu sheikh NURUDDIIN KISHK . NI ATHARI KUBWA SHEIKH ULIONAYO. KILA unapokwenda malaika wa Allah hawa wanakupenda na kutamani wawe kama ww mashallah taqbiir. Tuna mengine ya kujifunza kutoka kwako mashallah. Mtoto huyo ameniliza. Mimi ni doctor pia ni mwanasaikolojia zipo znz wallah nimeona kitu kutika mioyo ya wawili hao. Mioyo yenu inafanana sheikh mchukue kijana huyo umleee.
Allah Akbar Allah akukuze uwe mtto mwema wallah nimetoka n machozi kusema bbko alfrk allah amsahe dhambi zake alipo inaonekana alikukuza malezi y din nakumpenda shehe kishk MashaAllah......
nikimuangalia shekhe Nurudiin kishki namuona kabisa, Doctoor saalim Qahtwani, naamini wakiwa pamoja waislam weng sana watanufaika na imaan zao inshaaAllah.
Kuwapenda mayatima shekhe ni wajibu wetu,lakini nkmbk bibi fatma(a.s)alipokua yatima baadhi ya waislamu walimfata imam ali(a.s) ampe baiya abubakr na katika kumfata kwake ali(a.s) nyumbani kwake walimjeruhi bibi fatma na kumsabibishia apoteze kichanga kilichokua tumboni.na wakati huo mtoto wa Mtume Muhhamad (s.a.w.w) alikua mjamzito Bibi Fatma.tuwajali mayatima inshallah
Kwa kweli kabisa Shekh wangu Kishiki n kipenzi cha watu mwenyezi mungu akujalie umri Ili uzidi kutupa dawa ja watu kubalika kwani Kwa anavo towa mawaidha yake ugusa nyonyo kweli
Pole sana dogo Allah akupe nguvu na utasimama imara in shaa Allah, Mm baba yangu amefariki naweza kujitegemea ila maisha bila wazazi jamani yanuma sana Allah awarehememu wazazi wetu aamin
unanikumbusha mbali sana baba alifariki nikiwa nipo mdogo sana hata nipo Dara 3 najuwa niliopitia hadi kufika leo na ww in shaa allah utakuwa utatimiza ndoto zako
Hii ni ladha ya imaani hakika yakiini thabiti juu ya mola wetu ladha yake ni Tamuu sana moyoni ewe mola wetu tunakuomba uzitakase nafsi zetu ziwe zenye kuionja ladha ya imanii
ALLAH AKBAR akuna kitu km ima 😭SUBHANA ALLAH ALLAH awasamehe duguzetu walio tangulia mbele za haki awape pepo ya fridaus na ss atupe mwisho MWEMA THUMMA AMIN 🤲🏼
Allah amrehem baba yake amjaalie jannatul fidous pamoja na wazazi wngu amin yaarab. Yaa Allah nijaalie nipate mtoto wakiume mwenye kheri na mm na mwenye hekma busara upendo mwenye kufata misingi ilio bora .yaa Allah Alhamdullah kwa kunijaalia kupata watoto wakike pia nawaombea watoto wng uwajaalie waww watoto wema wenye hekma busara upendlo na wenye kufata nyendo za Mtume wetu Muhammad s.w .Yaa Rabbi wajaalie na watoto wawenzangu Amin yaarab
AMEEN YAA RABB.
@@fabssaleh7273 ameen yaarab shuqran sana
Amin
@@user-vm1vu4hu5j amin yaarab
Ameen
Mtenda mema husnxa kuyaona mema hapa hapa dunian,Shekh Kishki mungu atakulipa zaid inshaalah
Amin
Sheikh kishki allah akuhifadhi na akubariki
Allah awarehemu ndg zetu waliotangulia akhera
Mashallah mwenyez Mungu akulinde Na kukutia nguv shekhe wetu nuruduni kishk,,, yaaan Mimi nalia tyu hapa mwenyez Mungu amizidishie huyo mtoto Elim ya akhera Na baba yake anufaike huko aliko na kijana wake.
Shehee we2 Allah kufanyiy wepes na 2jalie mwishomwem wa isilam wot kwaujumulaa alahum amin
Tuliotoa machoz kwasbb ya Huyo yatima km sheikh nurdin kishk tujuane.
Allah amrehem baba yake kijana anaonekana kuwa uchu na dini niwatoto wangapi wanapenda wawe km wasanii Allah tupe mwishon mwema sote waislaam nawasameh wote waliotutangulia ktk Iman allahummaa aaamin.
Amin from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Ameen❤
Allah atuongozee vizazi vyetu nasi tuwe na mwisho mwema Yarrabi sheikh kishk Allah akupe umri taweel
😢mashallah tabaraka llah Allah atujaalie umri tuley watoto wetu 😢😢ya Allah warahem waislam wote ya Allah 😢😢😢
Allaah ampe maisha marefu shekhe wetu
How s life without dad Allah awa hifadhi wazazi wetu InshaAllah.
Amiin ya rabb yes so true ya3ni mim nautu uzima wangu huu I cry like a baby when remembering my baba dua zetu nyingi kwa wazazi wetu walio tangulia Allah awarehemu atukutanishe nao peponi in shaa ALLAH na awahifadhi wazazi wote walio hai
Mashaallah Mashaallah Mashaallah mwanangu ❤nakupend bure Mtoto Luqman Allah akufanyie wepes na baraka katk maisha yako pamoj na weñzko
Wallah inaliza Allah amhifadhi shekh wetu ameen
Me pia nampenda sana shekh kishki na Allah ampe maisha marefu tuendelee kujifunza zaidi kupitia yeye
Allahu akbar ❤ Pole sana Lookman kwa kumpoteza babako Allah amjaalie jannah. sheikh Kishki tunakupenda kwa ajili ya Allah ❤❤❤
Allah awahifadhi wote, amuongoze na amrehemu baba yake. Amiin
Allah awajaalie Pepo ya fidaus wazee wetu walitangulia mbele ya haqq na waislamu wote kwa ujumla...
ALLAHUMMA AMIIIN
ALLAHUMMA AMEEN WA JAZAKALLAHU KHAIRAN.
Allahummah ameen
Aameen Yaa Rabbi Al alamin
Aamiin Yaa Rabbal Alamiin
Jaman nimejikuta nalia tuu Allah akuhifadhi sheikh kishki nakupenda sana namuomba mungu asinichukue kabla sinakutana na wew sheikh niseme nin nakupendea kwa ajili ya Allah
Mwenyezi mungu amjalie Mtoto wetu na amuongoze na kila jema in shaallah
Mashallah Allah akuhifadh shekhe wetu
😭😭😭namuomba Allah anipe utajiri ili niwasaidie mayatima wanaitaji faraja sana
Amiin
Aamin
Anza sasa hiv kwa kidgo ulichonacho Allah atakusaidia Zaid na Zaid inshallah ❤
Amiin
Nimelia wallah 😢 Allah atukutanishe sisi wote waislamu pamoja siku ya kusimama hisabu
Wallah mchozi umentoka,may Allah mjaalie huyu mtoto Elimu ya juu kabisa na umjaalie zaidi na zaidi sheikh kishki
Masha Allah shekh kishk nakupenda sana Kwa ajil ya Allah, Allah akuhifadhi Insha Allah
Mashallah Allah akuzidishie. Yaaraab luqman umenitoa machozi sana maisha bila baba 😭😭😭Allah atakukuza yaaraab. Uwendelee kua mtoto mwema yaaraab
Ameen
Amiin
Amin
Allahuma Aameen Yaarb Alaameen🤲
amen
Subhanallah wallah machizi yetu Allah ayajaalie iwe neema Kwa vizazi vyetu sijaweza kuvumilia
Alhamdulillah shekhe namuomba ALLAH atupe umli mrefu wenye manufaa kwetu na kwawaja wake Insha Allah
Mashaallah,tabarakAllah,Allah ajalie babake Jannatul Firdaus.Nasi pia Allah atupe istiqamah katika dini na atuhifadhie watoto wetu kwa msingi wa dini yaa Allah.
Shekh, kishk nakupenda kwa ajili ya ALLAH, lau kama ALLAH alihalalosha kumsujudia kiumbe mwenzanko mimi mimi ningemsujudi kiyumbe bora Muhammad S.A.W kisha, kwa zama hizi ningemsujudia kwa mapenzi niliyo naye.
😂😂❤
Astaghfirullah
MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah Allah amuhifadhi kijana ytu Allah amrahamu mzazi wke
Mashallah mwenyezi Mungu subhana wata Allah akujalie
Allah ampe maisha marefu sheikh wetu sheikh kishki apendwa na kila mtu maaa shaa Allah
Allah amuongozi. Huyu mtoto na watoto wetu na awape pepo wrote waliotangulia mbele zahakki
SubhaanaAllahu...
hii video ukitazama ladhima utokwe na machozi...
Mimi nimelia jmn
Pole sana ❤❤ kwa hili machozi hata mimi yalinitoka kwa mtoto yoyote alie filiwa na na mzazi na ukingalia mapenze yale baba alio kuwa anampatia kwa sasa anayakosa ina umiza sana pole na 😭😭😭Allah wasamehe sana wa baba wote walio fariki japo hata mimi sina wazazi wote wawili 😢🤲😭
AMEEN YAA RABB WA JAZAKALLAHU KHAIRAN.
Amiin Allahuma yarab 🤲
Mashallah mtoto kauli yake nzuri matamshi pia nayaona atafika mbali biiznllah🙏🙏🤲🤲
ALLAh nijalie huwezo nami niwe miongon mwa wa watu wenye kuwasaidia watoto yatima hinauma sana kuondokewa na wazaz wako hangari mdogo inshaallah mungu hatupe mwisho mwema
Wallahi nimejikuta natoa machozi tu .
Ila tujitahidi kuwapa wenetu malezi mema Kijana anaonekana ni kijana alopewa malezi mema kabisa Allah amuongoze ktk njia sahihi na amjaalie baba yake kua ktk watu wa peponi amin .
Aamin
Ameen
Allah azidi kumuongoza kijana huyu,Allah pia amrehemu baba yake,ajaalie kaburi lake liwe viwanja ktk viwanja vya peponi, Aamin
Allah amjalie huyu Mtoto Nuru kubwa ktk maisha haya ya duniya piya ampe maisha mazuri kesho Akhera
Wallah nimejikuta nalia ulikua huuu naiangalia clip hiiii nimejawa na huruma na kuzidisha mapenzi kwa sheikh wangu sheikh NURUDDIIN KISHK .
NI ATHARI KUBWA SHEIKH ULIONAYO.
KILA unapokwenda malaika wa Allah hawa wanakupenda na kutamani wawe kama ww mashallah taqbiir.
Tuna mengine ya kujifunza kutoka kwako mashallah.
Mtoto huyo ameniliza.
Mimi ni doctor pia ni mwanasaikolojia zipo znz wallah nimeona kitu kutika mioyo ya wawili hao.
Mioyo yenu inafanana sheikh mchukue kijana huyo umleee.
Allah akbar from Moçambique 🇲🇿🇲🇿 allah akupe umri mrufu wenye Baraka na manufa
Amiin
Pole sana, kwakwel hata mimi machozi yamenitoka
Mashaallah Allah atuongoe sisi na wazazi wetu na atupe mwisho mwema
Sheikh kishk ni mtu mwenye huruma sana mashallah Allah akupe Umri sheikh wetu .. umenitoa machozi😢
Mashaallah Allah akupe fatwanjema xanah sheikh wetu amin
Subhanallah
Mbon na mm nalia jaman😢😢 shekh kishki twakuoenda kwa ajili ya Allah, Allah akulinde popote uendapo
suhanallah allah atupe subra na uvumiliv ktk kila hatua tunayopitia.amiin
Allah Akbar Allah akukuze uwe mtto mwema wallah nimetoka n machozi kusema bbko alfrk allah amsahe dhambi zake alipo inaonekana alikukuza malezi y din nakumpenda shehe kishk MashaAllah......
Madam wangu ananiuliza unalia nini nashindwa kumjibu hakika machozi yanenitoka wallah
Allah Akuhifadhi Sheikh Nurudeeni Kishki Waallah Nakupenda Sana Kwaajir Ya Allah Allahumma Baareeki 🤲
Allah akutuhifadhiye cheh wetu Burundi tunakupenda Sana 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️
❤❤❤❤❤❤❤huu mtoto kaniliza kweli emungu walaze wazazi wetu mahali pema na uwape kauli khabiti uko walipo tangulia
Allah awalipe kheri inshallah❤❤❤❤
😭😭😭😭 mtoto ana akili kubwa sana, Allah axidi kumuongoza inshaallah kheri
Mashaallah hakika alichokisema mtoto huyu ni kweli Allah awahifadhi mashekhe zetu wenye kupenda haki
Mw.Mungu awatangulie mayatima wote na awape faraja siku zote za maisha yao insha Allah
MashaAllah... Allah akueke insha Allah
MashaAllaah tabarakaAllaahu wa Alhamdulillaah
Allaah azidi kumuhifadhi mtoto huyu kwa Neema zake
Binafsi nimelia na kusononeka kabla ya shekh
Mashallah mwanang
MashaaAllah tabarakallah
Allah amlinde sheikh wetu sheikh huwa ana mawaidha mazuri sana
Namuomba sana Allah anipeuwezo kuwasaidia mayatima wanahitaji msaada wetu.
Yarabi tujaliye mwisho mwema amiin amiin
Allah akujaalie mwisho mwwma sheikh wetu
ALLAH AKUHIFADHI AKUPE MAISHA MAREFU ALLAHUMMA Amin
Subhana Allah huyu mtt kaniliza sana
Allah amjalie mtoto huyu na mapenzi yake kwa shekhe nurudin afate nyenendo ya shehe
Naipenda sana sheikh nurudini kishki kwaajili ya Allah
Assalamualaikum tafadhali jaman nahtaj niwasliane na shekhe kishk😢😢😢 ninashda nae tafadhali Mno🙏🙏🙏moyo WANGU unawaka moto utakaa saw endapo nitampata Inshallah 🙏🙏🙏
Yaa Allah bless this boy
Ma shaa Allaah sheikh kishk Allaah Akuhifadhi biidhini llaah
ALLAH awarehem wote waliongalia mbele ya haki😭😭😭🤲🤲🤲
Allah amuhifadhi sheikh
Allah akulinde shekhe wetu😢
Ma-ash-ALLAH
Masha Allah Allah amrehem baba yake ana takuwazuri mashaallah😢
Yaa Allah mjalie LUQMAN awe mlinganiaji kama anavyo tamani
Allah azidi kumuongoza mtt Ruqman awe miongoni mwa waja wema
nikimuangalia shekhe Nurudiin kishki namuona kabisa, Doctoor saalim Qahtwani, naamini wakiwa pamoja waislam weng sana watanufaika na imaan zao inshaaAllah.
Kuwapenda mayatima shekhe ni wajibu wetu,lakini nkmbk bibi fatma(a.s)alipokua yatima baadhi ya waislamu walimfata imam ali(a.s) ampe baiya abubakr na katika kumfata kwake ali(a.s) nyumbani kwake walimjeruhi bibi fatma na kumsabibishia apoteze kichanga kilichokua tumboni.na wakati huo mtoto wa Mtume Muhhamad (s.a.w.w) alikua mjamzito Bibi Fatma.tuwajali mayatima inshallah
Allah Ampe baba ya lukman daraja ya juu sana peponi kumlea mtoto wake kwa maadili ya dini😢😢😢😢
Huyu ndio baba mashallah Allah amrehemu...
dogo hakupenda wasani wala wacheza mipira masha ALLAH ALLAH amuongoze
Nimejikuta nalia tuu machozi yamenitoka tuu baba ni kiungo cha pili kwetu innallilaah wainnah llilah rajnih 😭😭😭baba yangu😭😭💔💔
Allah amsamehe makosa ya mzazi wko alietangulia mbele ya haki 🤲
Jazaka Allah khayran
Kwa kweli kabisa Shekh wangu Kishiki n kipenzi cha watu mwenyezi mungu akujalie umri Ili uzidi kutupa dawa ja watu kubalika kwani Kwa anavo towa mawaidha yake ugusa nyonyo kweli
ALLAHU AKBAR
Allah amrehem in shaa Allah..😢😢😢
Alietoa machozi kama Mimi a like apa ❤❤❤❤❤❤❤
Mashaalkah mashaallah tabaraq Rahmani
SubhanaLLAH 😢
Pole sana dogo Allah akupe nguvu na utasimama imara in shaa Allah,
Mm baba yangu amefariki naweza kujitegemea ila maisha bila wazazi jamani yanuma sana Allah awarehememu wazazi wetu aamin
subhanallah, wallah machozi sikuwez kuyavumilia yamenitok .allah atup khtm njm .amiin
unanikumbusha mbali sana baba alifariki nikiwa nipo mdogo sana hata nipo Dara 3 najuwa niliopitia hadi kufika leo na ww in shaa allah utakuwa utatimiza ndoto zako
Hii ni ladha ya imaani hakika yakiini thabiti juu ya mola wetu ladha yake ni Tamuu sana moyoni ewe mola wetu tunakuomba uzitakase nafsi zetu ziwe zenye kuionja ladha ya imanii
Allahuakbar Aĺlah Awabariki wote na Kijana Allah Amsimamie kwenye Dini
ALLAH AKBAR akuna kitu km ima 😭SUBHANA ALLAH
ALLAH awasamehe duguzetu walio tangulia mbele za haki awape pepo ya fridaus na ss atupe mwisho MWEMA THUMMA AMIN 🤲🏼
MA'SHA'ALLAH