Yaan wa2 mnaambiwa jambo usilolijua ni kama usku wa giza hv unajua nyumba ya mama yake nzuri aswaaa sema kataka haojiwe hapo maan hapo ndipo walipoanzia ila pembeni kuna mjumba mzuri aswaa punguzeni midomo uliza muambiwe cyo kumchamba✍️✍️🙌🙌God protect you brother and you will cover very soon🤲🤲🙏🙏
NAONA WATU MNAMDISI MANURA KWENYE COMMENT KISA LOCATION WALIOTUMIA ANAVYOHOJIWA CHIKAGO NIMEISHI PALE KALIBIA MIEZI 5 NAPAJUA HADI KWAO MOTHER AKE NAMJUA NA BROTHER AKE NAMJUA NA KAMJENGEA NYUMBA MAMAAKE NZURI TUUU ILA WATU MNADISI WATU WENGINE HAWATAKI KUONESHA MAISHA YAO MTANDAONI
Watu hupenda kuficha Historia zao wakipata Mafanikio. Manila amefanya vizuri kuonesha alikoanzia maisha Mafanikio yake kama alivyofanya SADIO MANE. Maisha ya binadamu yanakwenda HATUA KWA HATUA ndio maendeleo.
Mungu akuponye haraka kipa na kipenzi chetu wanalunyasi.pia Mungu azidi kukuinua ufike mbali na ufanikiwe malengo yako.Uwe muhimili Bora ktk familia yako
Usilolijuwa nisawa nausiku was Giza. Aishi amemjengea mama yake nyumbani nzuri Sana, hataki tu kuwaonyesh .Ipo hapo hapo pembeni. Mtu anaumwa tumuombee dua apone.wanachikago ndotunajuwa
Jamani pole sana manula nakufananishaga na ALIKIBA mmefanana hatari
Yaan wa2 mnaambiwa jambo usilolijua ni kama usku wa giza hv unajua nyumba ya mama yake nzuri aswaaa sema kataka haojiwe hapo maan hapo ndipo walipoanzia ila pembeni kuna mjumba mzuri aswaa punguzeni midomo uliza muambiwe cyo kumchamba✍️✍️🙌🙌God protect you brother and you will cover very soon🤲🤲🙏🙏
Sio lazima utuambie
@@nyosimbaki_87 usijiweke kwenye wale nimewaambia haikuwa na haja ya kucomment we mbwa mwenye kichaa cha mimba sawa kuwa na adabu🙌
Kuna watu walihisi hyoo ndyoo nyumba ya mama yake,wakati kuna mjumba hapo pembeni
😂😂
Unaakili sana we mbwa utafika mbali sana kaka😂😂😂😂😂😂
Tunakupenda Sana MUNGU akutunze,, upone haraka kwa ajili yetu Wana Simba tunakupenda Sana ❤️❤️❤️
Aish nimemic uwepo wako jaman kipenz cha wanasimba nakuombea upone mapema .love u guy
😂sure Manila 2memumic sana
Uwe shifaa mapema,nimefurahi unaishi maisha ya "KUTOUGUA KHOFU",inshaAllah uimarike kwa haraka,Aamin !
Pole sana Dogo,,salamu nyingi kwa Ramadhan Kulogwa (Ngadu),Brother CHIBA,Pascal Lebote,Daud Mtumbika Mashaka Ligoho,Juma Dikupila nk..By Mbunda Jr
NAONA WATU MNAMDISI MANURA KWENYE COMMENT KISA LOCATION WALIOTUMIA ANAVYOHOJIWA CHIKAGO NIMEISHI PALE KALIBIA MIEZI 5 NAPAJUA HADI KWAO MOTHER AKE NAMJUA NA BROTHER AKE NAMJUA NA KAMJENGEA NYUMBA MAMAAKE NZURI TUUU ILA WATU MNADISI WATU WENGINE HAWATAKI KUONESHA MAISHA YAO MTANDAONI
Pole sana ndugu mungu atajaria2 utarejea kwenye majukumu yako
Tunakupenda San mnanula utapona Mungu atakusaidia ❤❤
Hongera sana umeamua kuugulia nyumbani dah Mungu aendelee kukutunza na kukuongoza
Kwanz pole sana kipa wetu Aish manula Mungu akujaz upone tumekumiss sana simba sports club❤❤❤
Pol san kipa wetu Bora manuka I miss you manula
Manual wanasimba tunakutegemea na kukulove saaaaaana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Inshaalah mungu akufanyie wepesi upone haraka
Huyu kijana mwenyezi mungu ampe nafasi ya kurejea yaani afya irejee hali yake ya zamani
pole sana kipa wetu wa timu ya taiga mm ni shabiki wa africa da young pole pole broo utapona hakuna marefu yasio na ncha utapona
Pole Sana manila Mungu akufanyie shifaaa
Pole sana kipa wetu wa simba mungu atakupa afueni ishallah
Pole sana kipenzi cha wanasimba naamini utaeudi kwenye hali yako kamazamani tu
Pole sana kaka mungu atakupa shifaah inshaallaah utapona
Mungu azidi kukuponya shujaa wetu
Mungu akurehem
Me naitwa magreth nipo geita pole sana kipa wetu nakupd San mungu yupo utapona
Watu hupenda kuficha Historia zao wakipata Mafanikio. Manila amefanya vizuri kuonesha alikoanzia maisha Mafanikio yake kama alivyofanya SADIO MANE. Maisha ya binadamu yanakwenda HATUA KWA HATUA ndio maendeleo.
Pole mungu akuponye kwa jina la yese
Hii sehemu ni nzuri sana chicago kilombero natafuta nauli wadhii
pole sana ugue kupona
Tunakupenda san wana simba mungu akupe wepesi upone
Pole sanaa
Mungu akuponye haraka kipa na kipenzi chetu wanalunyasi.pia Mungu azidi kukuinua ufike mbali na ufanikiwe malengo yako.Uwe muhimili Bora ktk familia yako
Nimependa sana jinsi hiyo mwanangu Aishi. Wengine wameathirika na mambo ya kuiga.
Amina pona halaka mwamba wety tunakuhitaji sana shetani ameshindwa
Pole sana aisha manula 😢😩❤
Pole Sana Kaka yetu Maura. Mungu atakusaindia
God bless you. Aish
Mungu akubariki
Polesana mungu akulinde
Pole San mungu atakujalia utapona
Pole sana, Allah akuafu
Yeeee....
mungu ataleta neema na uwepes utapona tuu bro na utarejea kikosini
Poleee sana mwambaa
Pole
Mungu akusaidie utoke Tanzania one
Pole sana kaka manur mungu yumwema utapona❤❤❤❤❤
Kweli hayo ndio maisha halisi naminapenda sana milikulia maisha hayo usijali mengine niulimbukeni tuu
Pole sana kaka mungu atakuponya
Pole❤❤
Pole San TANZANIA ONE
Pole sana kaka utapona
Uyu anafanana na ali kiba kwa mbari
Kweli kabisa Hadi sauti
Ata mi naona akitabasam ni alkiba kabsaa!!
Aisha au aishi😮😮mi hata simjui nd kwanza leo pole sana kaka aishi
Aishi Acha usenge
@@baimarrajahbuayan6237 😃😃😃😃😃
Pole sana manula mungu atakuponya inshaallah
Mungu no mwema utakaa vizuri
Mungu akuponye halaka aisha manura
Pole san kpenz Chang manula
❤❤
Polesana mwamba❤
Pole sana mwamba
Pale sana manura mungu akujalie upone haraka urudi uwanjani
Aish polesana
Pore sana mwamba mungu akuponye kwani simba tunakutegemea
Kijan imetawala kilombero yetu ❤❤❤
Mungu akupe wepes upon
Inshallah Mungu atakua Shufaa itakuwa vzr
Golikipa wa muda wote Aishi salum manula Allah akupe nafuu mapema kaka
Pole Sana ndugu mung mkubwa utapona
Pol kaka ang Mungu yuko pamoja na ww bd tunakupenda wanasimba
Pole mwaya utapona.mimi mwana yanga lla namkubali sana manula
Umepanbana sana
Kwan wew na kiba ni ndugu
Upone mwamba Allah akupeshifaa
Ata kama ndo nyumba yao kwan kuna tatizo gani mbona wanafurahia tu maisha
Pole Sana mwamba ❤
Tumekumic sana manula
Upo vizuli Sana kusema ukweli wako uliko toka wachache ambao wanasema ukweli kuwa ulikosa Hadi viatu vya kuvaaaa bigap Sanaa mwambaaaaa
Hapo ndiyo alipotokea kwenye nyumba hiyo basi alivyofanikiwa manula alimjengea mama yake nyumba nzuri ya kuishi 🤣🤣🤣
Utakua sawa air manula
Getweel soon brother
Usilolijuwa nisawa nausiku was Giza. Aishi amemjengea mama yake nyumbani nzuri Sana, hataki tu kuwaonyesh .Ipo hapo hapo pembeni. Mtu anaumwa tumuombee dua apone.wanachikago ndotunajuwa
Tumekumiss sana manuala mtegemee MUNGU kila kitu
Mungu akuponye mtoto wang wana simba tunakupenda
Nivisuri kama wachezaji watakuw wNatemberewa kama hiv
Wapili🎉
😢
Mimi yanga, ila nakupenda pole sana
Maisha ni safari,safi ugua pole na Mungu,amujalie upone mapema .
Mwenyeez Mungu akupe shufaha Aishi Manula tunazidi kukuombea upone haraka
Nimefurah sana jemedari wetu kuona unaimarika mungu azidi kukupa wepesi urudi kwenye majukumu yako, missing u Aish
@@upendomgombozi1239 Amin 🤲🤲
Manula is a great guy, ana akili nyingi sana.
Daaaaaaa mbk nimemis home aise ❤
Home sweet home nimepamic pia mi home nyandeo😂
Mm mpka nmesisimkwa
Pole Sana manila mungu atakuponya
Mungu apigane kwa ajili yako kipa wetu na kipenzi chetu Wana Simba!
sisi Yanga tunaombea apone Kwa ajili ya timu ya taifa hakuna pengo la pale
Shujaa kweli ewe bwana
Pole San kak
Mim niyanga ila natamani upone haraka urejee kwenye mazoezi tunakuhitaji kwenye timu ya taifà kaka.
Saafi
Kwe lii jenga heeee
Pole sna mtu wangu wa nguvu
Pole sana mwamba soon utarejea katika ukali ule ule
POLE SANA MANULA MUNGU AKUPONYE HARAKA
Mkamba-Kilombero
WATU BWANA HIVI KWA AKILI YAKO HII NDIO NYUMBA ALIYOMJENGEA MAMA YAKE
Nyumbanii kabisaaa daaah nimefurahii vibaya
Mjeen wazazi wenu