Bongo ukihama chama eti njaa inakuuma, kuna mtu haumwi njaa hahahahaahahaaa, we have to respect others decision. Hata mnara wa babeli ulianguka sembuse chadema? 😂😂😂😂😂😂😂
Kati ya watu wasio stahili kusikilizwa wee unaongoza hufai hata kwa chumvi miaka yote uko chadema je hayo unayoyesa ulikuwa huyaoni leo ndo umefunguliwa macho baada ya kuhama? Haya ni sengwe tu na Tamaa ya madaraka
Yaani msigwa wewe ukajenge nchi wewe. Nchi ipi wewe utajenga? Ulisema ccm hawezi kuleta maendeleo. Afadhali ungestaafu siasa. Njaa Yako hiyo itakupeleka motoni. Kumbe kutoka uchungaji kwenda kwenye siasa ni mpango wa Mungu maana hiyo njaa ingekukuta kanisani ungechinja kondoo wa Mungu kanisani.
Chadema wanaitesa CCM.kwalipi Awa.wanao jiita wapinzani Hawa ni mtaji wa ccm.ccm hwaja sumbuliwa na chama chochote labda kafu Tena znz hapa bara hakuna chama.chochote kinacho weza kusumbua.ccm ccm inaumza kichwa zanzibari tu
Huo mradi wa sacoss, Msigwa, si umekufanya uwe Mbunge CDM kwa term 2? Hakika Mch unawakilisha jamii ya wasio na shukrani. Maana nawe umenufaika katika sacoss ya Nkurunzinza, na leo unamtupia mbeleko na kejeli
Shetani nae aliasi anguko lililomkuta ni laana kubwa huyu anajiita mch analaana kubwa sana bora angejiongeza akakaa kimya watoto wetu wana shida makodi na madeni utitili unahoja gani ww umebeba laaana kubwa una
Tatizo la chadema ni mbowe kuwa king'ang'anizi ktk ngazi ya mwenyekiti,,,haiwezekani KUKAA ktk nafasi kubwa kama Ile MIAKA yote huku anajinadi eti yeye ni muumini wa haki na demokrasia hapana ,hii sio sawa,Kwa mantiki hiyo Hata tundulisu naamini angekuwa ccm angekuwa mbali sana ktk kuisaidia NCHI ya Tanzania
Hata nyie pia njaa msigekuwa na njaa mgekaa manyumbani zenu bila kumuona msingwa ana njaa jiulize kila binadamu ni njaa inayomfanya atoke hata matajiri wakina bakheresa walali usiku kucha anahagaika na nn kama sio njaa sema baba mm huwa nasema kila siku ccm mpk kiama Tanzania
Lissu ndo sera ya ccm au ndo kusababisha maisha magumu mbona simuelewi hivi ccm tumemchukuwa kwa lengo lipi, hebu mjibu polepole alichosema ndicho? Anachafuka chama na mwenyekiti wetu, mtoeni haraka😮
Nilikuwa namheshimu sana msigwa ila kuanzia Leo namdharau...anashindwa kujua kwamba wenzake wanamchora...kwa sababu ameasahau kwamba anayekuambia ya wenzake Leo kesho atawaambia wenzake ya kwako...msigwa meza maneno....ishia hapo....ishia hapo msigwa...wenzako wanakuchora......hubiri Sera acha kuhubiri povu lako.....msigwa ishia hapo.....
Kwakweli Hawa wanasiasa ndo wanatufelisha na Tanzania inabaki kuwa km ilivyo miaka yote sababu ya siasa za ubinafsi,na kujijali wenyewe...Huyu jamaa namshangaa sana na simalizi ye mwenye amepewa mamilioni hapo ndo maana anabwawaja tuu..tumuombe mungu tu TZ ipate wanasiasa wa ukweli
Mchungaji...Msigwa acha unafiki. Yote haya unaengea kwa sababu ulishindwa Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa. Nadhani hata CCM usipopata ubunge utaondoka. Acha unafiki ww ni mtumishi wa Mungu.
Safi sana Mweheshimiwa Msigwa
Wewe usijifananishe na akina heche wewe kwani na wewe unajilinganisha na akina lema nyooooooooo
Imekuuma san tulia apo msigwa aseme ukwel tatizo chadema inampasuko mkubwa san kwa ndani alaf viongoz wa juu hawapo really
Kama kweli Chadema ni Sakos basi mbowe kiboko anaitesa siasa ccm.nguvu yote ya nini
msigwa yuko sahihi chadema ingekuwa na nguvu Sana Kama wangekuwa wanafanya mabadiliko ndan ya chama
Mabadiliko gani haswaa
Mambo mawili ya kuogopa Duniani, Muogope Mungu, jambo la pili Teknologia. Tuwe makini sana.
Muchungaji Msigwa usinyee kambi. Ina maana ukiondoka CCM nao utawasema vibaya. Njaaaa tu ndo inakuumiza. Be professional Msigwa zungumuza sera.
NJAA 😂
Msigwa. Nakushangaa sana, Njaa yako Imekufanya udharaulike kwa kujichafua. Where are you going to put your face?
Mwache aseme kwel
😂😂😂 njaa , tuijenge nchi tukiwa na njaa
Yah kabisa
Huyu Jamaa Ana njaa sana
Bongo ukihama chama eti njaa inakuuma, kuna mtu haumwi njaa hahahahaahahaaa, we have to respect others decision. Hata mnara wa babeli ulianguka sembuse chadema? 😂😂😂😂😂😂😂
Hamna lolote zaidi ya njaa,Ingekuwa Ulaya sawa😢😢
Uko sawa sana baba
Bila Chadema Msigwa ungejulikana wapi. Chadema imekujenga hata ukaonekana, kuwa na shukrani walau kidogo
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, sema yote Msigwa hakuna kumuogopa mtu hata wakuite katili ama njaa hizo ni soga tu. Wacha waendelee kukunja ngumi
Happy chadema ni wanafki hawapo really hasa kwa viongoz wa kubwa kabisa juu kuna mpasuko pale namuamin tundulissu tu
Umelamba asali bwege
Kola umeweka wapi mungu anakuona utatolea hesabu
Wewe ni mjinga
Hana jipya msigwa
Kwaiyo msigwa na wewe una maana ata ubunge aukufai
Adui wa muafrica nimuafrica mwenyewe
Kati ya watu wasio stahili kusikilizwa wee unaongoza hufai hata kwa chumvi miaka yote uko chadema je hayo unayoyesa ulikuwa huyaoni leo ndo umefunguliwa macho baada ya kuhama? Haya ni sengwe tu na Tamaa ya madaraka
Wew hujui kitu hajasema chadema mbaya amesema uongoz wa chadema ulivyo haufai unafki pale labda tundu antipas lissu
Zaman nilikuwaga na kiherehere na siasa nilipokuja kujuwa siasa ni mchezo mchafu nikamuwa kufanya maisha mengine
Usimwamini mtu
Kwa mtazamo wako
Mchungaji unatumia nguvu kubwa kushawishi watu lkn hatukuelewi
Siku ccm wakikutema ndio utajua maana unauza utu wako kwa ajili ya njaa
Dah kwer njaa noma shida iko kwa ss wananchi wenyew
Njaa mbaya
Ovyooooooo,,hata mjinga kabisa anajua tatizo njaaaaaaaaa
Chadema ni chama kizuri ndio maana unahangaika kukichafua mda wote.. sidhani kma unaweza ukakizungumzia CHAUMA AU TLP😂
Yaani msigwa wewe ukajenge nchi wewe. Nchi ipi wewe utajenga? Ulisema ccm hawezi kuleta maendeleo. Afadhali ungestaafu siasa. Njaa Yako hiyo itakupeleka motoni. Kumbe kutoka uchungaji kwenda kwenye siasa ni mpango wa Mungu maana hiyo njaa ingekukuta kanisani ungechinja kondoo wa Mungu kanisani.
Upo sahihi mchungaji
Ulimpinga sana JPM ingawa ulijua kabisa kuwa JPM anafanya kazi kizarendo kabisa, Leo hii tunataka umsafishe JPM yaani utubu wananchi tukuelewe
Umekosa Kanda utahangaika sana
Msigwa umefilisika, wenzio tunaendelea we bweka tu nyoo!!
😅😅😅😅
Kwriiii kbsa
Safi sana msigwa .umenifurahisha.
Kwahiyo matatizo ya barabara ni jukumu la serikali au chadema
Ya kutoka wapi kwenda wapi
@@user-td3xz9ej7r barabara zote zinatekelezwa kwa kodi zetu siyo serikali na hao serikali wanalipwa kodi zetu
Ashakuwa chawa wa Ccm daaaah
MSIGWA KAPOTE ZA MWELEKEO KIIMANI NA KISIASA. NI MCHUNGAJI KWELI?
Huna lolote kalipe den😊
Ovyoooooooooo TUMBO bana😂
Sitakuja kuamini tena mwanasiasa yeyote hadi nakufa
Hivi waxiri utamuona leo, wee msigwa tufanye uchaguzi kwanza tuone wabunge tutakaowapata.
Ummm
Wewe njaaaaaaa
Msigwa tubu mbowe amendenda mema yeye ni baba watu yeye hajawa Rais yeye ndiye baba wa chama laana lmekukalia
njaas
Njaa kali asee,,,,siamini ndiyo yule aliyekuwa anaiponda ccm,,,Mimi ni ccm damu ila Nyerere alishaonya watu wa aina hii,,,,,njaaa njaaa njaaa.
Masikini siasa shida
Mnyalu
unalalamika nini? kama cdm ni dhaifu tumieni mwanya huo kujiimarisha.
Yaaanii unafki ni mbayaaaaaa
Kumbe doctor w slaa ni mtumishi
Njaaaaaaa😂😂😂
Hahaha kunjangumi
Huyu msigwa nikibaka, mjinga
Hawa ndo wanaofanya siasa iwe uwongo ... Too bad anajiita mchungaj,sasa mnaipeleka siasa kene dini.eeh MUNGU niepushie uzee kama huu 🙏🏼
lipa deni la watu
Sema baba
Mungu hatakujibu
Wewe sema tamaa za madaraka tu basi
Chadema wanaitesa CCM.kwalipi Awa.wanao jiita wapinzani Hawa ni mtaji wa ccm.ccm hwaja sumbuliwa na chama chochote labda kafu Tena znz hapa bara hakuna chama.chochote kinacho weza kusumbua.ccm ccm inaumza kichwa zanzibari tu
Chizi huyu
Huo mradi wa sacoss, Msigwa, si umekufanya uwe Mbunge CDM kwa term 2?
Hakika Mch unawakilisha jamii ya wasio na shukrani. Maana nawe umenufaika katika sacoss ya Nkurunzinza, na leo unamtupia mbeleko na kejeli
Huyu n njaaa inamsumbua
Shetani nae aliasi anguko lililomkuta ni laana kubwa huyu anajiita mch analaana kubwa sana bora angejiongeza akakaa kimya watoto wetu wana shida makodi na madeni utitili unahoja gani ww umebeba laaana kubwa una
Msingwa Huna sera wewe .chadema ni chama .kwanza wewe ni fara
Tatizo la chadema ni mbowe kuwa king'ang'anizi ktk ngazi ya mwenyekiti,,,haiwezekani KUKAA ktk nafasi kubwa kama Ile MIAKA yote huku anajinadi eti yeye ni muumini wa haki na demokrasia hapana ,hii sio sawa,Kwa mantiki hiyo Hata tundulisu naamini angekuwa ccm angekuwa mbali sana ktk kuisaidia NCHI ya Tanzania
Njaa mbaya sanaaaaa, ww si uliosema ccm hatfikishi popote, mbingu hautaina ,mchungaji mtawanya kondoo
Atukuamini
😂😂😂😂 haki ya Mama tunachukuwa hii Nchi
Je,chadema wamefanya nini ilhali ccm ndio iliyo madarakani?Kwanini huwaelezi watu wako maovu ya ccm?Badala yake unabweka tu ukiilau Chadema kwa lipi?
Huyu JAMAA aweza Kua mchawi
Hunaa seraaa
Hata nyie pia njaa msigekuwa na njaa mgekaa manyumbani zenu bila kumuona msingwa ana njaa jiulize kila binadamu ni njaa inayomfanya atoke hata matajiri wakina bakheresa walali usiku kucha anahagaika na nn kama sio njaa sema baba mm huwa nasema kila siku ccm mpk kiama Tanzania
Huyu wame mnanii
Malaya malaya
Mimi simuamini mtu anayejiita mwana siasa
Huyu sio shoga?
Umelamba asali
Hapo unainadi chadema sasa
Msaliti
Chadema tumieni vijana kuitoa ccm madarakani
Lissu ndo sera ya ccm au ndo kusababisha maisha magumu mbona simuelewi hivi ccm tumemchukuwa kwa lengo lipi, hebu mjibu polepole alichosema ndicho? Anachafuka chama na mwenyekiti wetu, mtoeni haraka😮
Mushes. Felix. Umechoka. Haunarorote. Mouse. Mushes. Hafai
Kwani wew ni mchungaji au ni muhuni ata aueleweki
Msingwa acha unafiki fanya siasa acha majungu kwani uliko hamia chama hakina mwenyekiti?
Msigwa bora ungekaa kimya tu, umekua kituko.
Misigwa kwahiyo katiba basi.
Nilikuwa namheshimu sana msigwa ila kuanzia Leo namdharau...anashindwa kujua kwamba wenzake wanamchora...kwa sababu ameasahau kwamba anayekuambia ya wenzake Leo kesho atawaambia wenzake ya kwako...msigwa meza maneno....ishia hapo....ishia hapo msigwa...wenzako wanakuchora......hubiri Sera acha kuhubiri povu lako.....msigwa ishia hapo.....
Wasaliti wapo toka kipindi cha manabii
Kwakweli Hawa wanasiasa ndo wanatufelisha na Tanzania inabaki kuwa km ilivyo miaka yote sababu ya siasa za ubinafsi,na kujijali wenyewe...Huyu jamaa namshangaa sana na simalizi ye mwenye amepewa mamilioni hapo ndo maana anabwawaja tuu..tumuombe mungu tu TZ ipate wanasiasa wa ukweli
We mnafk2 msaka tonge hauna uzalendo wa nchi bali unataka yako twende...
Mchungaji...Msigwa acha unafiki.
Yote haya unaengea kwa sababu ulishindwa Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa. Nadhani hata CCM usipopata ubunge utaondoka.
Acha unafiki ww ni mtumishi wa Mungu.
Wewe msigwa achana na majungu leta sera mpya kuijenga ccm
Hiyo njaa yako ndiyo inakufanya uongee
Hunaga swaga sela zako zilizile ubadiliki toka afe mzee butinini huna zambo broo unapenda kuaminisha watu nilisemaga nyie mashaidi mashaidi wabunge wenzio sio wanainchi weka akiba ya maneno hichi nikipindi cha uchaguzi watakutumia wakuache
Njaa mbaya sana ila hata wewe huaminiki
Mchngaji kashiba
Hahahaaaa komaa kamanda
jaman hivi kweli ni busara kumsema mwanamke ukiachana nae.?😮
Msigwa umeferi kwenda ccm 😂 mungu anaitaka nchi yake😂 ccm zero
Aseme atawafanyia nini Wanachama wenzie aache kuiponda chadema ndiyo imemfanya anaongea hapo
Heee msigwa kamaliza mwenzake amuhurumie mbowe ataugua kisukari