Duh,! PETER MSIGWA AFICHUA MATESO ANAYOPATA TUNDU LISSU/ mbowe yeye anaruka na ndege tu

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 198

  • @charleselijah-vq3hq
    @charleselijah-vq3hq Місяць тому +1

    Safi sana Mweheshimiwa Msigwa

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 Місяць тому +6

    Wewe usijifananishe na akina heche wewe kwani na wewe unajilinganisha na akina lema nyooooooooo

    • @samwelandrew3852
      @samwelandrew3852 Місяць тому

      Imekuuma san tulia apo msigwa aseme ukwel tatizo chadema inampasuko mkubwa san kwa ndani alaf viongoz wa juu hawapo really

  • @AlphonceAlphonco-sw7hh
    @AlphonceAlphonco-sw7hh Місяць тому +5

    Kama kweli Chadema ni Sakos basi mbowe kiboko anaitesa siasa ccm.nguvu yote ya nini

  • @peterilimwa5754
    @peterilimwa5754 Місяць тому +2

    msigwa yuko sahihi chadema ingekuwa na nguvu Sana Kama wangekuwa wanafanya mabadiliko ndan ya chama

  • @boniveturendimbo8880
    @boniveturendimbo8880 Місяць тому +4

    Mambo mawili ya kuogopa Duniani, Muogope Mungu, jambo la pili Teknologia. Tuwe makini sana.

    • @Kwazulu1
      @Kwazulu1 Місяць тому

      Muchungaji Msigwa usinyee kambi. Ina maana ukiondoka CCM nao utawasema vibaya. Njaaaa tu ndo inakuumiza. Be professional Msigwa zungumuza sera.

  • @aloycemchuo7687
    @aloycemchuo7687 Місяць тому +4

    NJAA 😂

  • @johnmlangi6890
    @johnmlangi6890 Місяць тому +8

    Msigwa. Nakushangaa sana, Njaa yako Imekufanya udharaulike kwa kujichafua. Where are you going to put your face?

  • @wartv730
    @wartv730 Місяць тому +2

    😂😂😂 njaa , tuijenge nchi tukiwa na njaa

  • @yailoelieza7904
    @yailoelieza7904 Місяць тому +2

    Huyu Jamaa Ana njaa sana

  • @HappyKitindi
    @HappyKitindi Місяць тому +3

    Bongo ukihama chama eti njaa inakuuma, kuna mtu haumwi njaa hahahahaahahaaa, we have to respect others decision. Hata mnara wa babeli ulianguka sembuse chadema? 😂😂😂😂😂😂😂

    • @willykomba8376
      @willykomba8376 Місяць тому

      Hamna lolote zaidi ya njaa,Ingekuwa Ulaya sawa😢😢

  • @SijaliJimson
    @SijaliJimson Місяць тому +2

    Uko sawa sana baba

  • @charlesrweyemamu8352
    @charlesrweyemamu8352 Місяць тому +1

    Bila Chadema Msigwa ungejulikana wapi. Chadema imekujenga hata ukaonekana, kuwa na shukrani walau kidogo

  • @HappyKitindi
    @HappyKitindi Місяць тому +3

    Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, sema yote Msigwa hakuna kumuogopa mtu hata wakuite katili ama njaa hizo ni soga tu. Wacha waendelee kukunja ngumi

    • @samwelandrew3852
      @samwelandrew3852 Місяць тому

      Happy chadema ni wanafki hawapo really hasa kwa viongoz wa kubwa kabisa juu kuna mpasuko pale namuamin tundulissu tu

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 Місяць тому +2

    Umelamba asali bwege

  • @HulumaKisakali
    @HulumaKisakali Місяць тому +3

    Kola umeweka wapi mungu anakuona utatolea hesabu

  • @MussaEzekiel-jn8hj
    @MussaEzekiel-jn8hj Місяць тому +3

    Wewe ni mjinga

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai7496 Місяць тому +3

    Hana jipya msigwa

  • @AvitChaz
    @AvitChaz Місяць тому +3

    Kwaiyo msigwa na wewe una maana ata ubunge aukufai

  • @jumabidery5051
    @jumabidery5051 23 дні тому

    Adui wa muafrica nimuafrica mwenyewe

  • @issayalaizer9816
    @issayalaizer9816 Місяць тому +1

    Kati ya watu wasio stahili kusikilizwa wee unaongoza hufai hata kwa chumvi miaka yote uko chadema je hayo unayoyesa ulikuwa huyaoni leo ndo umefunguliwa macho baada ya kuhama? Haya ni sengwe tu na Tamaa ya madaraka

    • @samwelandrew3852
      @samwelandrew3852 Місяць тому

      Wew hujui kitu hajasema chadema mbaya amesema uongoz wa chadema ulivyo haufai unafki pale labda tundu antipas lissu

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 Місяць тому +2

    Zaman nilikuwaga na kiherehere na siasa nilipokuja kujuwa siasa ni mchezo mchafu nikamuwa kufanya maisha mengine

  • @longinokamuntu8645
    @longinokamuntu8645 Місяць тому

    Mchungaji unatumia nguvu kubwa kushawishi watu lkn hatukuelewi

  • @rammykandra2354
    @rammykandra2354 Місяць тому +1

    Siku ccm wakikutema ndio utajua maana unauza utu wako kwa ajili ya njaa

  • @KhamisBoss
    @KhamisBoss Місяць тому +1

    Dah kwer njaa noma shida iko kwa ss wananchi wenyew

  • @mzeekidevu9688
    @mzeekidevu9688 Місяць тому +1

    Njaa mbaya

  • @EliasOwilly
    @EliasOwilly Місяць тому

    Ovyooooooo,,hata mjinga kabisa anajua tatizo njaaaaaaaaa

  • @user-sj1rf8ij7f
    @user-sj1rf8ij7f Місяць тому

    Chadema ni chama kizuri ndio maana unahangaika kukichafua mda wote.. sidhani kma unaweza ukakizungumzia CHAUMA AU TLP😂

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 19 днів тому

    Yaani msigwa wewe ukajenge nchi wewe. Nchi ipi wewe utajenga? Ulisema ccm hawezi kuleta maendeleo. Afadhali ungestaafu siasa. Njaa Yako hiyo itakupeleka motoni. Kumbe kutoka uchungaji kwenda kwenye siasa ni mpango wa Mungu maana hiyo njaa ingekukuta kanisani ungechinja kondoo wa Mungu kanisani.

  • @kasimukayanda2701
    @kasimukayanda2701 Місяць тому

    Upo sahihi mchungaji

  • @daudimlamka1239
    @daudimlamka1239 29 днів тому

    Ulimpinga sana JPM ingawa ulijua kabisa kuwa JPM anafanya kazi kizarendo kabisa, Leo hii tunataka umsafishe JPM yaani utubu wananchi tukuelewe

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv Місяць тому +5

    Umekosa Kanda utahangaika sana

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc Місяць тому +3

    Msigwa umefilisika, wenzio tunaendelea we bweka tu nyoo!!

  • @user-el6mm4lh4m
    @user-el6mm4lh4m Місяць тому

    😅😅😅😅
    Kwriiii kbsa

  • @MaryMwamwezi-xm3iz
    @MaryMwamwezi-xm3iz Місяць тому

    Safi sana msigwa .umenifurahisha.

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l Місяць тому +3

    Kwahiyo matatizo ya barabara ni jukumu la serikali au chadema

    • @user-td3xz9ej7r
      @user-td3xz9ej7r Місяць тому

      Ya kutoka wapi kwenda wapi

    • @user-rn9og1rk3l
      @user-rn9og1rk3l Місяць тому

      @@user-td3xz9ej7r barabara zote zinatekelezwa kwa kodi zetu siyo serikali na hao serikali wanalipwa kodi zetu

  • @sosomokobiasharamgaya3020
    @sosomokobiasharamgaya3020 Місяць тому

    Ashakuwa chawa wa Ccm daaaah

  • @lothanathanael2286
    @lothanathanael2286 21 день тому

    MSIGWA KAPOTE ZA MWELEKEO KIIMANI NA KISIASA. NI MCHUNGAJI KWELI?

  • @EzekiaMhagama-vo6hz
    @EzekiaMhagama-vo6hz Місяць тому +1

    Huna lolote kalipe den😊

  • @willykomba8376
    @willykomba8376 Місяць тому

    Ovyoooooooooo TUMBO bana😂

  • @user-dz9cn1gw2j
    @user-dz9cn1gw2j Місяць тому

    Sitakuja kuamini tena mwanasiasa yeyote hadi nakufa

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc Місяць тому +1

    Hivi waxiri utamuona leo, wee msigwa tufanye uchaguzi kwanza tuone wabunge tutakaowapata.

  • @YOHANAMADATI
    @YOHANAMADATI Місяць тому

    Ummm

  • @user-qi6ql1lp9k
    @user-qi6ql1lp9k Місяць тому

    Wewe njaaaaaaa

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb Місяць тому

    Msigwa tubu mbowe amendenda mema yeye ni baba watu yeye hajawa Rais yeye ndiye baba wa chama laana lmekukalia

  • @AlphonceAlphonco-sw7hh
    @AlphonceAlphonco-sw7hh Місяць тому +1

    njaas

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 Місяць тому

    Njaa kali asee,,,,siamini ndiyo yule aliyekuwa anaiponda ccm,,,Mimi ni ccm damu ila Nyerere alishaonya watu wa aina hii,,,,,njaaa njaaa njaaa.

  • @isaacalex6327
    @isaacalex6327 Місяць тому

    Masikini siasa shida

  • @godylyimo7471
    @godylyimo7471 Місяць тому +1

    Mnyalu

  • @cosmassanga8851
    @cosmassanga8851 Місяць тому

    unalalamika nini? kama cdm ni dhaifu tumieni mwanya huo kujiimarisha.

  • @PendoMakundi-xv6nh
    @PendoMakundi-xv6nh Місяць тому

    Yaaanii unafki ni mbayaaaaaa

  • @johnjeremia7489
    @johnjeremia7489 Місяць тому

    Kumbe doctor w slaa ni mtumishi

  • @davidlengidong
    @davidlengidong Місяць тому

    Njaaaaaaa😂😂😂

  • @josephboru5703
    @josephboru5703 Місяць тому

    Hahaha kunjangumi

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 Місяць тому

    Huyu msigwa nikibaka, mjinga

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 Місяць тому

    Hawa ndo wanaofanya siasa iwe uwongo ... Too bad anajiita mchungaj,sasa mnaipeleka siasa kene dini.eeh MUNGU niepushie uzee kama huu 🙏🏼

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 Місяць тому +1

    lipa deni la watu

  • @umturianiwabhoesese657
    @umturianiwabhoesese657 Місяць тому

    Sema baba

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Місяць тому

    Mungu hatakujibu

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Місяць тому

    Wewe sema tamaa za madaraka tu basi

  • @jumaomari3842
    @jumaomari3842 Місяць тому

    Chadema wanaitesa CCM.kwalipi Awa.wanao jiita wapinzani Hawa ni mtaji wa ccm.ccm hwaja sumbuliwa na chama chochote labda kafu Tena znz hapa bara hakuna chama.chochote kinacho weza kusumbua.ccm ccm inaumza kichwa zanzibari tu

  • @user-bn4br7qm7r
    @user-bn4br7qm7r Місяць тому

    Chizi huyu

  • @mutalemwabugeza1489
    @mutalemwabugeza1489 Місяць тому

    Huo mradi wa sacoss, Msigwa, si umekufanya uwe Mbunge CDM kwa term 2?
    Hakika Mch unawakilisha jamii ya wasio na shukrani. Maana nawe umenufaika katika sacoss ya Nkurunzinza, na leo unamtupia mbeleko na kejeli

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Місяць тому

    Huyu n njaaa inamsumbua

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 Місяць тому

    Shetani nae aliasi anguko lililomkuta ni laana kubwa huyu anajiita mch analaana kubwa sana bora angejiongeza akakaa kimya watoto wetu wana shida makodi na madeni utitili unahoja gani ww umebeba laaana kubwa una

  • @mahanjisanga3077
    @mahanjisanga3077 Місяць тому

    Msingwa Huna sera wewe .chadema ni chama .kwanza wewe ni fara

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Місяць тому

    Tatizo la chadema ni mbowe kuwa king'ang'anizi ktk ngazi ya mwenyekiti,,,haiwezekani KUKAA ktk nafasi kubwa kama Ile MIAKA yote huku anajinadi eti yeye ni muumini wa haki na demokrasia hapana ,hii sio sawa,Kwa mantiki hiyo Hata tundulisu naamini angekuwa ccm angekuwa mbali sana ktk kuisaidia NCHI ya Tanzania

  • @EliasOwilly
    @EliasOwilly Місяць тому

    Njaa mbaya sanaaaaa, ww si uliosema ccm hatfikishi popote, mbingu hautaina ,mchungaji mtawanya kondoo

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Місяць тому

    Atukuamini

  • @bilid4128
    @bilid4128 Місяць тому

    😂😂😂😂 haki ya Mama tunachukuwa hii Nchi

  • @user-jb8bo2qw6r
    @user-jb8bo2qw6r Місяць тому +2

    Je,chadema wamefanya nini ilhali ccm ndio iliyo madarakani?Kwanini huwaelezi watu wako maovu ya ccm?Badala yake unabweka tu ukiilau Chadema kwa lipi?

  • @mandashanguma
    @mandashanguma Місяць тому

    Hunaa seraaa

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq Місяць тому

    Hata nyie pia njaa msigekuwa na njaa mgekaa manyumbani zenu bila kumuona msingwa ana njaa jiulize kila binadamu ni njaa inayomfanya atoke hata matajiri wakina bakheresa walali usiku kucha anahagaika na nn kama sio njaa sema baba mm huwa nasema kila siku ccm mpk kiama Tanzania

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 Місяць тому

    Huyu wame mnanii

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g Місяць тому

    Malaya malaya

  • @batromeokolora622
    @batromeokolora622 Місяць тому

    Mimi simuamini mtu anayejiita mwana siasa

  • @geey7893
    @geey7893 Місяць тому

    Huyu sio shoga?

  • @jumabidery5051
    @jumabidery5051 23 дні тому

    Umelamba asali

  • @clemencekaogo8826
    @clemencekaogo8826 Місяць тому

    Hapo unainadi chadema sasa

  • @jumakibompile8091
    @jumakibompile8091 Місяць тому

    Msaliti

  • @saxo-mm4me
    @saxo-mm4me Місяць тому

    Chadema tumieni vijana kuitoa ccm madarakani

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 Місяць тому

    Lissu ndo sera ya ccm au ndo kusababisha maisha magumu mbona simuelewi hivi ccm tumemchukuwa kwa lengo lipi, hebu mjibu polepole alichosema ndicho? Anachafuka chama na mwenyekiti wetu, mtoeni haraka😮

  • @aronimanirakiza5655
    @aronimanirakiza5655 15 днів тому

    Mushes. Felix. Umechoka. Haunarorote. Mouse. Mushes. Hafai

  • @TemboKaijage-kg2mm
    @TemboKaijage-kg2mm Місяць тому

    Kwani wew ni mchungaji au ni muhuni ata aueleweki

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Місяць тому

    Msingwa acha unafiki fanya siasa acha majungu kwani uliko hamia chama hakina mwenyekiti?

  • @ellyrenalda5883
    @ellyrenalda5883 Місяць тому +2

    Msigwa bora ungekaa kimya tu, umekua kituko.

  • @PsdiTanzania-h1y
    @PsdiTanzania-h1y Місяць тому

    Nilikuwa namheshimu sana msigwa ila kuanzia Leo namdharau...anashindwa kujua kwamba wenzake wanamchora...kwa sababu ameasahau kwamba anayekuambia ya wenzake Leo kesho atawaambia wenzake ya kwako...msigwa meza maneno....ishia hapo....ishia hapo msigwa...wenzako wanakuchora......hubiri Sera acha kuhubiri povu lako.....msigwa ishia hapo.....

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c Місяць тому

    Wasaliti wapo toka kipindi cha manabii

  • @STAY_FOCUS10
    @STAY_FOCUS10 Місяць тому

    Kwakweli Hawa wanasiasa ndo wanatufelisha na Tanzania inabaki kuwa km ilivyo miaka yote sababu ya siasa za ubinafsi,na kujijali wenyewe...Huyu jamaa namshangaa sana na simalizi ye mwenye amepewa mamilioni hapo ndo maana anabwawaja tuu..tumuombe mungu tu TZ ipate wanasiasa wa ukweli

  • @feysalramadhan8541
    @feysalramadhan8541 Місяць тому

    We mnafk2 msaka tonge hauna uzalendo wa nchi bali unataka yako twende...

  • @donatusdaniel3722
    @donatusdaniel3722 Місяць тому

    Mchungaji...Msigwa acha unafiki.
    Yote haya unaengea kwa sababu ulishindwa Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa. Nadhani hata CCM usipopata ubunge utaondoka.
    Acha unafiki ww ni mtumishi wa Mungu.

  • @charlesmbise2344
    @charlesmbise2344 Місяць тому

    Wewe msigwa achana na majungu leta sera mpya kuijenga ccm

  • @user-pd7cu2pg7y
    @user-pd7cu2pg7y Місяць тому

    Hiyo njaa yako ndiyo inakufanya uongee

  • @SelemaniFihoma
    @SelemaniFihoma Місяць тому

    Hunaga swaga sela zako zilizile ubadiliki toka afe mzee butinini huna zambo broo unapenda kuaminisha watu nilisemaga nyie mashaidi mashaidi wabunge wenzio sio wanainchi weka akiba ya maneno hichi nikipindi cha uchaguzi watakutumia wakuache

  • @clemencekaogo8826
    @clemencekaogo8826 Місяць тому

    Njaa mbaya sana ila hata wewe huaminiki

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Місяць тому

    Mchngaji kashiba

  • @isackkivuyo1980
    @isackkivuyo1980 Місяць тому

    Hahahaaaa komaa kamanda

  • @maigedaud8754
    @maigedaud8754 Місяць тому

    jaman hivi kweli ni busara kumsema mwanamke ukiachana nae.?😮

  • @ZawadyKaoneka
    @ZawadyKaoneka Місяць тому +1

    Msigwa umeferi kwenda ccm 😂 mungu anaitaka nchi yake😂 ccm zero

  • @NeemaKomba-ks4so
    @NeemaKomba-ks4so Місяць тому

    Aseme atawafanyia nini Wanachama wenzie aache kuiponda chadema ndiyo imemfanya anaongea hapo

  • @user-bs7cw1oi6z
    @user-bs7cw1oi6z Місяць тому

    Heee msigwa kamaliza mwenzake amuhurumie mbowe ataugua kisukari