Mtoto wa Bilionea Mukesh wa India anamiliki saa ghali Duniani, awashangaza Mark Zuckerberg na Mkewe
Вставка
- Опубліковано 22 жов 2024
- Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.co...
Mashalah.. inshallah namimi mungu atanijalia Kila la heri
Na ikawe kweli kwa uwezo wa alah
Mungu akujalie tamanio la moyo wako
@@evansogutu4167 amini🙏
Amin🙏
Wenye Dunia yao, wengine apeche alolo bola liende tu, ee Mungu tuangalie nasisi.
😂😂😂😂😂 hiii comment you made my day
Muhimu afya nzr ndugiangu unaweza ukamiliki kila kitu lkn afya huwezi kumiliki hta uwe na bilioni kias gn.
Apeche aloo😅
Tumshukuru Allah kwa kutujaalia afya njema
😅😅😅😅
Asante kifo
Ukibarikiwa tumia ukikosa jutia life is beautiful and short
Wengine wakakojoe walale 😅😅😅
Mmmh tunAsindiza watu wanaish🙆🏻♀️
Mshukuru Mwenyezi Mungu kwa kukupa pumzi
hi
Noma
Wengine ht saa ya elfu 5 hatuna
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mkono upo single😂😂😂😂
😂😂😂😂@@themessengerinternationalt3341
alafu wao wako simple hata saa hawajavaa
Saa tu unajenga uwanja wa mkapa
Uyo aliekubali kuolewa na uyo kibonge anampenda kweli au ni hela tu hizi😂
Wewe angekuambia anakutaka ubonge wake ungeuona??? Yaan ukimuangalia utakuwa unaona ela tu🤣🤣🤣
Wameanza mahusiano tangu zamani 2015....huyo kaka hakuwa mnene kipindi hiko so ni upendo tu
Saa zote izo kwa Tz u talk about billions
Aje kariakooo😂😂😂
co kariakoo2 tz hawez kuja na akij haji na iyo saa kwan ye hajui kama tz ndo nchi yenye wezi shindikanaa
Noma sana Mimi yangu ni 5000 pesa za Kenya
Afanye sasa mazoezi jmn😂😂😂
ukiwa na pesa mingi na huna kwa kupereka fanya kitu loho inapenda binadamu wenyewe hawa thaminiki hawa
Kwa hiyo ss tufanyaje 😂
Huy kaka hana mvuto wowte sema pesa inaongea
sindio sasa pesaa tu unaingia kwenye laini
Tajiri wa pesa maskin wa afya choose wise
Lakini atakufa
Hata wewe utakufa😂😂
Nilikuwa nimevaa kisaa kangu ka elfu tano imebidi nikatupe kwenye kabati tu🤣🤣🤣
Diomond na zuchu wanazo😂😂😂😂 hawachelewi kutuonesha mchina na kujisifia
Bila kumtaja Mondi hamuuzi!??😂😂
Nahis Mark Zuckerberg ndo billionea simple zaid dunian
Saa ya diamond ina thamani ya chupi ya mukesh😂😂
tukapumzishe mafuvu yetu tu
expensive watch same time as mine 😂
Huyu ni wakukata huo mkono wake😂
ivi wabongo mnakuaje lakinj mbona mnzawazaga tu vibaya kwa watu wengine