MWANASHERIA wa YANGA AFAFANUA UKWELI RAIS HERSI KUNG'OLEWA YANGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 272

  • @patrickfulano5282
    @patrickfulano5282 Місяць тому +4

    Big up My brother Hon. Patrick Advocate of the Champions

  • @abedihussenikhalfan4007
    @abedihussenikhalfan4007 Місяць тому +9

    Huyuuu mzeeee ananjaaaa sanaaa fanya kazi mzeeee uza ata kahawaaa

  • @martinlema4192
    @martinlema4192 Місяць тому +9

    Nimegundua hata mimi nawezakuwa hakiku jamani... mnikumbuke!

  • @muunganopetermtemi1535
    @muunganopetermtemi1535 Місяць тому +3

    Jamani yanga ilikuwa yabakili sasa imekuwa yanga imara watu wanaanza chocho chocho lengo kuturudisha nyuma,jamani tusikubari hali hiyo iendelee,

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Місяць тому +3

    Haki itendeke na yanga yetu iendelee kuwa salama.Mungu na azidi kuibariki yanga.

  • @amanimwalimu1293
    @amanimwalimu1293 Місяць тому +1

    Wazee noma sana

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Місяць тому +9

    Juz mlicheka ya mangungu leo kwenu ama kweli mwenzio akinyolewa zako tia maji leo kwenu chekeni xaxa

  • @johnmmbwanga5251
    @johnmmbwanga5251 Місяць тому +11

    Huyoooo mzee mchawii

  • @AbdallahMgaya
    @AbdallahMgaya Місяць тому +2

    Kila la kher Inshallah😢

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 Місяць тому +2

    Asante mwanasheria umefafanua vizuri

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 Місяць тому +5

    Kiukweli hawa watu sio wa kuwaacha salama lakini swali langu kwa viongozi kwanini timuyetu inakumbwa na mambo ya kisheria ya mala kwamala? Mnge tafakari hili kama panapwaya tafuteni watu sahihi inatuumiza sisi wanayanga

    • @peterphilipo5103
      @peterphilipo5103 Місяць тому +1

      Afuu kweli😂😂😂😂

    • @rajabukitego1662
      @rajabukitego1662 Місяць тому

      Kutishana,,Kama,kawaida

    • @rajabukitego1662
      @rajabukitego1662 Місяць тому

      Mwanasheria,hao,wazee,wanachama,na,ukienda,kitoto,atakushinda,na,kazi,yako,si,uchunguzi

    • @ipyanamwaisekwa8209
      @ipyanamwaisekwa8209 Місяць тому

      Hao wazee walimletea noma Marehem Manji, na kuna tukio manji aliwafokea waka nyamaza. Mie nnafikiri wanahisi kuna watu wanafaidika sana na mafanikio team inapofika kwenye pick wanasahau kuendesha team ni mziki mnene.

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 Місяць тому

    Kitaalamu imekaaje hii. Kesi ilishaamriwa na mpaka imefika kukazia hukumu ndio muombe kuingezewa muda. Lakini pili what if mahakama ikatupilia mbali ombi lenu. Lakini swali la kiakili ni kweli watu wanawezaje kuendesha kesi mahaka kuu taarifa zisiwafikie kipindi chote mpaka kumalizika kwake hasa ukizingatia ukubwa wa timu na upana wa mashabiki waliokuwepo katika kila kada? Nina wasiwasi na hili.

  • @benOfficial36
    @benOfficial36 Місяць тому +1

    Nyie siasa ni mbaya sana,
    Hawa wazee ukweli wametumwa na SIMBA na sio kitu cha ajabu 😂😂

  • @ZainulKiondo
    @ZainulKiondo 19 днів тому

    sio waliojiita wanachama wa Yanga hebu nyoosha kiswahili

  • @benedictodaniel1842
    @benedictodaniel1842 Місяць тому +1

    Niwachawi hao mungu kuweka kifo alikuwa sawa,

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 Місяць тому

    Rita nao wanasema hii katiba ya 2020 iliyowaweka viongozi kwenye madaraka ni batiri kwa maana haijasajiliwa je hii nayo Rita niwahuni pia?

  • @mkudemkoba1489
    @mkudemkoba1489 Місяць тому

    Wasizan kuongoza timu ni sawa na kuongoza familia. Safi mwanasheri kwa ufafanuz wako

  • @ErickRichard-kh7tj
    @ErickRichard-kh7tj Місяць тому

    Hakuna aliyebushi sahihi.
    Inavyoonesha walisaini kweli
    Lkn mmewatafuta mmewapa ela wakane sahihi zao
    Tena mnawakana wanayanga wenzenu
    Tena mnajificha kwenye kivuli cha kusema ety makombe na vyote ni batili
    Kiongozi kamili huwajibika ili kutoa funzo
    Mkiongea mbele za umma ni muhimu kuzingatia aina ya watu mnaowafikishia ujumbe sio wote ni akili kisoda

  • @MussaMathias-d1w
    @MussaMathias-d1w Місяць тому +3

    Hao wazee hawawezi kuiongoza yang ni njaa tu inawasumbuua

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh Місяць тому +7

    Wapolowapolo wahuniii!

  • @geofreymwinuka-zu3fw
    @geofreymwinuka-zu3fw Місяць тому +2

    Mdaa wotee huu kesi inaendeleaa mlikuaa wapi kama wanasheriaa hadi hukumu inatokaa ya upandee 1

    • @barakamachard1944
      @barakamachard1944 Місяць тому

      Walikua hawajui kitu

    • @user-gy3wo2ez4d
      @user-gy3wo2ez4d Місяць тому

      Eti sain zimegushiwa ina maana mnataka kuwafanya mahakama kuu ni wajinga sana 😂😂😂 au hawana ueled na kaz yao

  • @KitumbiAbraham
    @KitumbiAbraham Місяць тому +1

    Mbona unatumia nguvu nyingi kujieleza. Maneno yako yanaoneasha Kuna shida ndani ya Yanga.

  • @mamboleoomary2723
    @mamboleoomary2723 Місяць тому +5

    Yanga bhana eti Kila kitu wanakanusha wanasheria gan wanasubiri hadi kesi itolewe uamuzi ndio wanaamka usingizin,wanasheria wa utopolo sijui kama wana vyeti halali

    • @DStarTz-if2ko
      @DStarTz-if2ko Місяць тому

      Hawana akili inamana wanatuaminisha mahakama haijui vitu fek

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Місяць тому +3

    Kama yanga sporting club haikuwa na wito wala taarifa yoyote kuhusu kesi hadi ikatolewa hukumu labda kuna yanga nyingine ilopelekwa mahakamani..

    • @user-gy3wo2ez4d
      @user-gy3wo2ez4d Місяць тому

      Uyo mwanasheria muongo sana ... yaan kaongea utumbo mtupu nna wasiwasi na elimu yake

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Місяць тому

      @@user-gy3wo2ez4d tatizo ni viongozi wa yanga kumdharau mzee magoma na team yake..mwanasheria anasubiri agizo la viongozi. Magoma alikaa na hukumu yake tangu mwaka jana akisubiri yanga wavurunde kwenye ligi,yeye achochee kuni..akaona kwa usajili huu, ni sawa na kusubiri meli Airport kwa yanga kupata matokeo mabaya.. akapata usaidizi wa simba ili kuitoa yanga kwenye mstari..ubaya ubwela. Mzee kayatimba

  • @Daniel_89_89
    @Daniel_89_89 Місяць тому +3

    Why press, kapambaneni mahakamani kwa hoja na nyie mahakama itoe hukumu

  • @masoudmpenda9058
    @masoudmpenda9058 Місяць тому +3

    Ss tunataka maendelee ya yanga hao wazeee njaaaa ila muwasameee yanga ilivyo moto hata kama waliingia kwa mtutu wa bunduki kwetu ........ ❤❤

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Місяць тому +6

    Hao wazee hatuwataki kuongiza timu. Tunaupenda uongozi wetu wa sasa wa ENG Herse Saidi

  • @samwelmasunga8293
    @samwelmasunga8293 Місяць тому +4

    Kaka magoma ana uwezo apeleke guu lake clubuni

  • @user-mi3jn7rq3k
    @user-mi3jn7rq3k Місяць тому

    Jopo hili ndiyo lilimshindwa Bm3 Wanasheria uchwara hawa

  • @abdillahimohd8614
    @abdillahimohd8614 Місяць тому

    Kweli kizuri hakidumu
    Kweli njaa mbaya

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu Місяць тому

    Jaman aje mikoan uyo ndo atajua Kaingia Cha jeshi

  • @MkuuuJafari
    @MkuuuJafari Місяць тому

    Anawatetea mabosi zake nawe ni batili😂wazee hawakujuwi😂
    (Principle )

  • @JescaMartha
    @JescaMartha Місяць тому

    Mzeeeee fanya kazi bwana

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu Місяць тому

    Yaaan ata alivyo kaaa tu kama katuni

  • @DulaMudi
    @DulaMudi Місяць тому +1

    uyu akimu inabidi apimwe akiri

  • @user-gy3wo2ez4d
    @user-gy3wo2ez4d Місяць тому

    Mwanasheria umepuyanga sana yan umejaribu kupindisha ukweli lakin hayo mambo ni ya kisheria sio ya kishabiki na mahakama kuu imeamua kisheria , maelezo yak hayaoani pili unaelezea uko unakwama kwama ni waz unajarib kuongea kuwalizisha wanayanga that is too bad lete hoja lete fact lete evidence

  • @Saidi-x4h
    @Saidi-x4h Місяць тому

    Mi nawatakia kila la heri chama langu

  • @britishsaid1700
    @britishsaid1700 Місяць тому +4

    Ali komwe kibarua kimeota nyasi

  • @dietrichoswald34
    @dietrichoswald34 Місяць тому

    Ukubwa wa taasisi ya yanga uendane na uwezo wa wanasheria wake kukabiliana na maswala ya kisheria, iwe kitaifa au kimataifa. Kujirudia rudia kwa matatizo yanayohusu mikataba na kesi za ndani na kimataifa ni kiashiria tosha kuwa tunahitaji kujiongeza capacity, exposure na experience ya ku handle legal matters za klabu kubwa tena kisasa. Kitengo kiongezewe nyenzo na competent supporting staff.

  • @VictorChangula
    @VictorChangula Місяць тому

    Daa kidogo roh imetulia maana duu

  • @FloraMunis-nt7lf
    @FloraMunis-nt7lf Місяць тому

    Jamani wafatilieni hao watu wanataka kututoa kwenye mudi yetu tena wnatakiwa watuache kbis

  • @kazinaimwishehe-ec3xu
    @kazinaimwishehe-ec3xu Місяць тому

    Acha ujanjaujanja watu tunajua kinachojiri

  • @ManenoMwakyoma
    @ManenoMwakyoma Місяць тому

    Watoke TU yanga ni yawatu wengi sio ya kikundi

  • @ibrahimkasim922
    @ibrahimkasim922 Місяць тому +1

    Huyu mwanasheria anayeongea hapo ana njaa Kali anatetea kibarua chake wakat ameshindwa kutetea kisutu

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Місяць тому

    Yani izi timu zetu zinapenda kiki, jambo linatengenezwa tu ili kufuraisha watu

  • @SHIJADAVIS
    @SHIJADAVIS Місяць тому

    Hapa kuna walakini, hata kitengo cha sheria cha sheria kujitathimini maana Yanga sc kuna kesi nyingi klabu imeshndwa kwenye kesi za wachezaji. Hapo kuna kitu.

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Місяць тому +1

    Akakae ndani huyu Mzee mchawi huyo sio bure

  • @chescomolla5557
    @chescomolla5557 Місяць тому +1

    Uongozi wa yanga uko kiboya sana inakuaje jambo limeanza 2020 hadi leo hawalijui ngoja wangolewe na midude isiyojua hata kusoma na kuandika ndio itajua

  • @MalakiaMwantage-y5c
    @MalakiaMwantage-y5c Місяць тому

    Mbona timu iliyumba hamkugombania hivo viti

  • @adelnabukuku7144
    @adelnabukuku7144 Місяць тому +1

    Wasione vyaelea vimeundwa jamani tamaaa itawauwa kiukweri yaani time imekaa vizuri wanaanza kuleta chokochoko

  • @AmirAbdul-v5f
    @AmirAbdul-v5f Місяць тому

    Mhhhhhhhh mpaka nimeshanga Kwan kuna panapovuja wambie wazee hao hawatofika mbinguni make ni wa hovyooooooooooo injinia jipange kuiongoza yanga miaka 100

  • @allidehunter3223
    @allidehunter3223 Місяць тому

    Team magoma - tukutane kwenye like apaaa. 👇

  • @user-gy3wo2ez4d
    @user-gy3wo2ez4d Місяць тому

    Ww mwanasheria usifanye mahakama kuu yetu haina akili wala ueledi ina maana watu wagushi sain wagush uanachama alafu mahakama isijue 😂😂😂😂

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 Місяць тому +8

    Wananchi tumfunge mtu tuweke mbali ubinadamu. Kufoji sahihi ya mtu tuikomalie maana wajinga wapo wengi ili tuwakomeshe

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 Місяць тому

      Unaushaidi na hilo ?

    • @shaameshaame2837
      @shaameshaame2837 Місяць тому

      @@abdallahmzee4335 ukweli ukidhihiri uongo utajitenga mama Fatma karume yupo hai kama wamemsingizia atakuja na sahihi yake

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu Місяць тому

    Yaaan kama wakijitokeza hazaran du Bora tuwapige mawe

  • @batistamkwele2061
    @batistamkwele2061 Місяць тому

    Wanamchango gani katika yanga hao wazee wala mihogo

  • @salmyhussein6255
    @salmyhussein6255 Місяць тому

    Kama timu ni yao wapeni, mushakula pesa sana ni mda wao sasa

  • @amiroamiroboa8724
    @amiroamiroboa8724 Місяць тому

    Wazembe sana Yanga yaani Kesi inafikia hatuwa hiyo nyiye Viongozi Hamuelewi nini kinaendelea 😦😦😦 Club itauzwa na Hamuna Habari 😀😀😀Hata mukishinda kesi hii lakini Munafaa Kujiuzulu na Kuwaomba Radhi Wanachama na Wapenzi wa Yanga..

  • @user-kv8sq6qz7g
    @user-kv8sq6qz7g Місяць тому

    Matapeli walizani wataingusha Yanga hahahaha Yanga iko pale pale

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Місяць тому +1

    Mzee huyu sio mzima kabisa

  • @hakimundabila7940
    @hakimundabila7940 Місяць тому +4

    Hayo unaonaje ukayapesleka mahakani badala ya kwenye vyombo vya habari

  • @user-gy3wo2ez4d
    @user-gy3wo2ez4d Місяць тому

    Ili swala sio swala la propaganda ni swala la kisheria..... note this points wanayanga

  • @vom84
    @vom84 Місяць тому

    Mwanasheria anatishia watu,

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 Місяць тому

    Wafungulieni kesi ya jinai hao matapeli hao namuwafukuze kabisa uwanachama hatuwataki fukuza hao wasitualibie timuyetu wehu hao

  • @YustardNkongoki
    @YustardNkongoki Місяць тому

    Wafukuzwe na tena wachukuliwe hatua kali ya kisheria wanataka kuvurugia furaha zetu

  • @ntulloboy2916
    @ntulloboy2916 Місяць тому

    Unaongea maajabu mzee asikilizwe anahoja za msingi acheni dhalau

  • @RamadhanMohamed-g5r
    @RamadhanMohamed-g5r Місяць тому

    Njaa mbaya mzee

  • @RevoVkiiza
    @RevoVkiiza Місяць тому +1

    Injiner hersi piga kazi mwamba usitishiwe nyau

  • @adudeswalehe8724
    @adudeswalehe8724 Місяць тому +1

    Unasema sio wanachama wa yanga halafu mnachunguza muwapeleke mkutano mkuu wa club ??? 😂😂😂 sema KIMEUMANA

    • @Machozihussen-er8cp
      @Machozihussen-er8cp Місяць тому

      Mpira wa Bongo ni siasa na upuuzi mtupu uchunguzi gani ufanyike kuhusu uanachama wao? Wakati ukiingiza jina tu kwenye system itaonyesha kwamba huyu si mwanachama au huyu ni mwanachama halali mwenye kadi ooxxy hivyo y mnawafanya wadau wa soka hawajitambui hata kidogo? Issue ya kughushi sahihi huenda nikakuelewa kidogo, baadhi ya viongozi wa soka Bongo janjajanja nyingi sana na hiyo AFCON ambayo tutakuwa wenyeji kama hatutobadilika tutatolewa mapema sana, klabu tunazotegemea sana kutoa wachezaji wenye uwezo wa kupambana kwenye international football ni simba, yanga na nyinginezo, mara Leo uwekazaji wa batili, mangungu na try again hawafai, kesho Hersi na jopo lake la uongozi wapo kibatili yaani! Stupid kabisa!!!

  • @EkaeliNassari
    @EkaeliNassari Місяць тому

    Hao watu wanaoibua uvunjivu wa amani Kama wakidhibiti bc Sheria ifuate mkondo wake wanakuwa Kama watu waliotumwa

  • @tanzaniahabarleotv1424
    @tanzaniahabarleotv1424 Місяць тому

    Nyumba ya jilan imeangukaa huko 🤣🤣😁 uwiii

  • @veraisaria
    @veraisaria Місяць тому

    Ikiwa kweli walifoji sahihi aisee jela inawaita😂😂😂

  • @BennyJumah-hd8yf
    @BennyJumah-hd8yf Місяць тому

    Hawa WAZEE wametumwa sio???

  • @ChrisKanjara
    @ChrisKanjara Місяць тому

    Vp kuhix ingnear kuximamixhwa kaz????

  • @NyabasindiRutayagi-q3i
    @NyabasindiRutayagi-q3i Місяць тому

    Ee mungu tusaidie haya yapite

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 Місяць тому

    Mambo huanza polepole, brabraa nying

  • @kharashbabar7393
    @kharashbabar7393 Місяць тому

    Mmh nyie wanasheria niwaongo kinoma....munauwezo wakugeuza ukweli kuwauongo nauongo kua ukweli....mm sinaimani nahawa watu....

  • @ericrukamba6802
    @ericrukamba6802 Місяць тому

    Wapumbafu hao, wametumwa kufanya uhuni ,katika Kilabu ya Yanga? Wafutwe kwanza uwanachama alafu wachukuliwe hatua kali,wahaini nafikili wametumwa na wahuni

  • @user-vp6ol3kq6g
    @user-vp6ol3kq6g Місяць тому

    Kwa hiyo yanga inakatiba mbili nyosheni maelezo

  • @SurprisedAstronomicalMod-lp7eh
    @SurprisedAstronomicalMod-lp7eh Місяць тому

    Huyu mzee magoma anadhani timu inaendeshwa kwa bei ya kofia ama?yani hawezi hat kumlisha msheri kwa siku halafu anaitak timu,huyu mchawi tutamponda mawe

  • @bjayvocal1890
    @bjayvocal1890 Місяць тому

    Ndo ivo watu wanaunda mbinu ili wale vizuriii

  • @jumamkwelengala4599
    @jumamkwelengala4599 Місяць тому

    Hilo zee ambalo halina akili lifikishwe mahakamani

  • @MasudiBogo
    @MasudiBogo Місяць тому

    Mimi nahisi wazee wapo sahihi tuache ushabiki jamani

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Місяць тому +3

    Mimi ni mkenya lakini NI Yanga damu! Hao wazee wasiwatishe,mkitaka tuwaletee GenZ huko wa deal nao!!

  • @msamiseleman4255
    @msamiseleman4255 Місяць тому

    sisimashabikiwayanga atumtakiuyuraisiwayanga aondoke😢😢😢

  • @herbertluoga2904
    @herbertluoga2904 Місяць тому

    Huo ni mpango wa Simba,siyo wazee wa yanga.mamluki hai

  • @bakarimakame4694
    @bakarimakame4694 Місяць тому

    Emwenyezimungu NAOmba hai wazee wafiembali

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje Місяць тому

    Hivi ile kesi ya mkuu wa wilaya na changudoa imeishaje jamani , kesi ya mwijaku na kipanya imeishaje jamani, kesi ya mkuu wa mkoa imeishaje jamani

  • @MombokaMomboka
    @MombokaMomboka Місяць тому

    Wapeni timuyao

  • @MataulaMikusi
    @MataulaMikusi Місяць тому

    Wataiweza Tim au wanatafuta migogolo,2

  • @danielandrew9892
    @danielandrew9892 Місяць тому

    Ndio kwanza mechi bado mbichi utopwinyo mmekosa wanasheria

    • @bakarirajabu3783
      @bakarirajabu3783 Місяць тому

      Hatutoki relini kamwe nyie fanyeni yenu hao wa zee ni wachawi wametumwa na makolo njaa nyingi

  • @David-mq6cs
    @David-mq6cs Місяць тому

    Kama hawakuwa na nguvu ya kisheria, wameshindaje kesi? Mbona unatuchanganya?

  • @NyorokaNyenge
    @NyorokaNyenge Місяць тому

    Mimi ni wa simba lakin wazo langu naomba haki itendeke.hawa wazee wanyooshwe ili iwe fundisho kwa wengine.

  • @HamisiBwela-t3e
    @HamisiBwela-t3e Місяць тому

    Habar hiiyo mwambe are kalimantan shamba

  • @FaridahKisalu
    @FaridahKisalu Місяць тому

    Wazee noma na nusu eti Tiwakabiz timu; hadi Chama na Azizi k? Dube, Pacome hata mdaka mishale?
    Weee unataka kuwauza kkkk
    Wazee nyie no shikamo from kwangu lakin mume trend

  • @user-ty5uo3pp9f
    @user-ty5uo3pp9f Місяць тому +1

    Tupeni location wanapoishi tuachieni sisi kazi

  • @HanifaBruno-lv1qf
    @HanifaBruno-lv1qf Місяць тому

    Hao wametumwa waharibu amani ya time yetu washenzi Wakulla mbona engenea yup oragt

  • @batistamkwele2061
    @batistamkwele2061 Місяць тому

    Hizi njaaa zitatuua hahahahahahahahaha

  • @BatistaNgwiso
    @BatistaNgwiso Місяць тому

    Mimi nilijua tu kwenye msafara wa mamba na kenge wamo huyozee hafai kwa lolote

  • @DaudiJulius
    @DaudiJulius Місяць тому

    Mijitu mingine kuma kweli sasa hawaoni injinia amefanya yanga leo hii timu tishia Africa