SAID MJOMBA AKATALIWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 21

  • @FakiSalum-u2h
    @FakiSalum-u2h 9 місяців тому

    Said mjomba safi sana nakubali kaz

  • @mwalimothman1680
    @mwalimothman1680 4 місяці тому

    Mashaallah said mjomba ujumbe umefika

  • @obdkawawa9479
    @obdkawawa9479 Рік тому

    Mashallah kazi mzuri

  • @profesamakame5179
    @profesamakame5179 Рік тому

    majutoooo mjukuuuu hy ndio inayowakuta wanawake wengi wa sasa

  • @AsyaKombo-qi6yn
    @AsyaKombo-qi6yn 8 місяців тому

    Said mjomba tunakupenda sana

  • @profesamakame5179
    @profesamakame5179 Рік тому

    kshaahadaliwaaa huyoooo

  • @JokhaSalimKhalifa-ly4xv
    @JokhaSalimKhalifa-ly4xv Рік тому

    Safi kaz Ina mafunz makubw San San mashaallah ❤️😊😊😊 big up

  • @IrfanVuai
    @IrfanVuai 3 місяці тому

    Kwel wanawake nimeshaamini dunian mpka ksho akhera wanawake wanatamaa

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 Рік тому

    Umemuomba talaka mumeo bila sababu sasa wataka kurudi pole ulitakakupima maji kwa mkono saidi mjomba hongera zako

  • @Kokhaako
    @Kokhaako Рік тому

    Hongera said mjomba pararukapo hushoni asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
    Na huyo kama alimkataa sulhu iliyotolewa ni kaka yake alimkataa na kumdhalilisha Sasa kashapigwa ni gombe chogo nende atakako maana sasa kashakuwa naakili.Kamwendeye tena Rovi akukatili.

  • @IrfanVuai
    @IrfanVuai 3 місяці тому

    Mwanamke akidai talaka uspend kutoa km akikwambia nitakuwekea sumu apo ndo haki ya kutoa talaka

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Рік тому

    Jamani wana wake mualimu wetu ni kipofu tunapenda kudanganywa haya sasa yakukute

  • @abuutoll-wr8cb
    @abuutoll-wr8cb Рік тому

    Uhakika ❤❤❤❤❤

  • @HalimaAme-yu9ft
    @HalimaAme-yu9ft Рік тому

    HONGERA said Mjomb na hekm yako

  • @hamadnassor2037
    @hamadnassor2037 Рік тому

    👌😂😂😂ok

  • @AlwanKombo-hd3dt
    @AlwanKombo-hd3dt Рік тому +1

    Ujumbe umefika

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Рік тому

    Akida hii imeenda said wa dodo

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 Рік тому

    😊😊😊😊❤❤❤❤

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 Рік тому

    Huo ni ujinga wa kufukiria kambla ya kutenda ulikuwa na mawazo tasa ukadhanibkuachika ndio suluhu umekosa mwana na maji ya moto pole sana dada kaa kwa kituo sasa

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Рік тому

    Akida hii imeenda said wa dodo