Hiyo sio Qur'an boss maneno hayo no hadith ya MTUME. Alisema Rasulullah " Khairul qalamu ma kal'laa wadal' laa" Ubora wa maneno yawe machache na yenye kuleta manufaa"
Sasa zailisa mdogoangu huyo anae ongea miristo amejisiri wewe muisilam upo uchi husikii vibaya muogope mungu basi hata kidogo kila vazi lina sehem zake kaka haji hebu kua na kauli kidogo sehemu kama hizi
Safi sana mwamba dr tulia ackson Mwenye zi mungu akuzidishie akujalie usome quran zaidi aminaa
Gregorian calender haihusiani na mungu kbsa ..... tusimshirikishe mwenyezi mungu ktk maeneo tuliyotekwa na wanadam webzetu .
Upo vizuri Dadaetu
Kaka haji ww naamin dini unaijua fanya Allah anavyo taka tuwe
Kiukweli mmmm
Hiyo sio Qur'an boss maneno hayo no hadith ya MTUME. Alisema Rasulullah " Khairul qalamu ma kal'laa wadal' laa" Ubora wa maneno yawe machache na yenye kuleta manufaa"
Kweliii kbs sio Kur.an
Taqbir yann sasa dada yetu .
😊😊😊😊
Nikukumbushe manara
umri wako uliotumia nimwingi
kuliko ulio baki kua makini
itumie vizur chans iliyo baki
ukizembea umekwenda naMAJI
Subhanallah ukisema ukweli watakuja juu lkn hiyo ni batwil
Sasa zailisa mdogoangu huyo anae ongea miristo amejisiri wewe muisilam upo uchi husikii vibaya muogope mungu basi hata kidogo kila vazi lina sehem zake kaka haji hebu kua na kauli kidogo sehemu kama hizi
Kutwa mawigi jiulize janaba anaogaje mtihani kweli
kwakweli jamani
@@khamisswalehe ila kusema ukwel yeye mwenyw anaonekana aneshikwa na aibu duh hana hata uhuruu inalilillah.....
ameshindwa hata kufunga shungi😯?
Wanawake wenzie hapo wamemzunguka wamevaa shungi Aibu lazima anajikaza tu@@fatmahemedi3252
Umependez mh tulia
Cjui nn kimemsibu huyu kaka yng Haji hebu ishi ukijua Kila mja ataulizwa juu ya kila alichokichunga dada yetu nywele zipo wazi
Sasa haji kavaa vizuri mke wake kaweka manywele wazi wakati mkristo mnoo dada tulia amevaa ushungi mzuri kabisaa balikiwa dada
Uyo muheshimiwa spika amepeendeza kuliko zai
🥰🥰🥰
Hata iweje , kwasasa Hajji Manara ni mtanda ungwe wa kawaida,,,Msemaji wa Yanga ni Ally Kamwe na kule Simba ni Ahmed Ally
WANAFIKI WAKUBWA SASA HAO QURUAN IKO WAPI?KWANI UONGO HAMJUWI NI UONGO?
Mi sijui quran lkn sijasikia alichosoma
Kasema kiarabu sio Qur an
@@RashidKasidi hiyo ni quraan . Quraan ndio inaquote huo mstari . Lugha ni kiarabu lkn mstari wa quraan kitabu kisicho na shaka ndani yake . 😄😄😄
@@loner_wolf aya gani kasoma?
Kur an alio isoma hapo niipi
Wana utani na Mungu
Sasa mmebda katika ibada ya kiislam vichwa wazi
huyo twiga kifua Kiko wazi na ushungi wa kizushi unazalilisha wanawake wa kiislamu na uislamu
Hio sio kuraan ni maneno tu y kiarabu
Mwenyezimungu achezewi kwa ajili sifa za kijinga
zai Lisa apo ataa hujapen Kila vazi Lina sehemu yake nenda na wakati.