📂 Kwa wanaoshindwa kufanya applications, karibu tuhudumie kwa bei rahisi kabisa! ✅ Tumeamua kuwaelekeza bure ili mtu akishindwa atatuchangia gharama ya bando la kumsaidia application yake tu. ⭕ GUSA LINK HII KUWASILIANA NASI MOJA KWA MOJA WHATSAPP ➠wa.me/message/KPBYLKDN6LF5B1 ⭕TAFADHALI FUATA MUUNDO WA MESEJI ULIOWEKEWA ILI KUHUDUMIWA KWA URAHISI ✍️KARIBU SANA
Habar Nimejisajiri lakin mwisho kwenye majina 3 ya profile yangu kumeongezeka neno “NULL “ hili lina maanisha maombi yangu yame be Rejected au lina mana gani? Naomba kueleweshwa plz.
Habari, inawezekana kipengele unachokisemea ni kwenye other names, kama umejaza majina matatu pekeee bila ya kuwa na nickname au other names hiyo inawezekana kuwa ndio sababu! Ujumbe wa application rejection unaeleweka moja kwa moja ila sio kama hivyo kuandikiwa null sehemu ya majina!
Kwenye kucreate account inakataa, ukishamaliza kujaza taarifa ukaclick ile sehem ya create account inakuletea sehem nyingine ya kusign in wakati hata acc haijakubali kutengenezeka
Baada ya account kutengenezeka ndipo inakupeleka kwenye sehemu ya kusign in, vinginevyo uwe umepata error yoyote wakati unacreate account, kwan ukisign in kwa kutumia credentials ulizojaza wakati unatengeneza account unapata ujumbe gani?
Salama ndugu, Unaweza ukaatach ila kuna probability ndogo sana ya kuzingatiwa kwa sababu wataona haujakidhi vigezo vyote kwenye mfumo, na pia ukiweka transcript kwenye sehem ya cheti italeta shida baadaye kwenye kubadilisha kuweka cheti chenyewe, hadi wao wakubadilishie!
Habari! Hapo kwenye huo ujumbe kama kuna button ya kusubmit vyeti upya viapload tena! (HIVYO VILIVYOHAKIKIWA!) Pia jitahidi vyeti vyako vilivyohakikiwa viwe coloured na mihuri ionekane vizuri! Karibu kama kuna maswali zaidi!
Sorry me kuna details nilisahau kujaza nika submit cv na ikawa verfied already ...vip naeza nika edit ni submit cv tena?...na pia vyeti nilieka ambavyo havina muhuri nmebadilisha now nimeeka vyenye muhuri inakuaje apo kuna shida yoyote kwn?
Bila Samahani!! Kama account iko verified maana yake tayari ina "minimum requirements for registration" na pia kama umebadilisha vyeti haina shida yoyote!
habari, mimi nimekamilisha kila kitu lakini nikienda kwenye "submit CV" inaniletea "agree terms" nikiagree inakuja tiki then haiji chochote. Je hapo inakua tayari au kuna confirmation yoyote ya kuonesha umefanikiwa ku submit?
Kwenye procurement nadhani kuna related field kama hiyo procurement haipo moja kwa moja sahv! Jaribu kuangalia related fields na program yako e.g logistics maybe!!
Maana copy ya cheti ndo huwa inapigwa muhuri lakini cheti original hakipigwi, sasa je nita attach pdf file ya copy ya cheti au pdf file ya scanned original certificate?
Sijakuelewa apo mwisho kwenye kuregister unasemea katika kipengele gani?! Kama unamaanisha kusubmit, angalia kama kuna baadhi ya taarifa ambazo ni za lazima haujajaza, Au pia kama kuna taarifa za optional umejaza ila hujakamilisha, mfano kama umejaza umehudhuria mafunzo fulani kisha ukawa haujaweka cheti cha hayo mafunzo inaweza ikaleta shida hiyo pia! Labda kama swali ni tofauti na hayo, Tafadhali tujuze!
Na ninapojisajili nilazima kukamilisha 100%???? Maana mimi sina experience yoyote ya kazi na sijapita JKT na hivivyote vilionekana kama ni Optional Ila inaonekana bado nina 80%nifanyeje na nikisubmitt sio ujumbe oote
Haina ualazima wa kufika 100%, hizo option details unaweza ukaacha na haina Tatizo katika kukamilisha zoezi la usajili! Kuhusu kuona ujumbe baada ya kusubmit, hiyo ni changamoto ya kimfumo ila tayar kama umeshakamilisha na ukabofya button ya kusubmit inakuwa tayar!
Hizo zinatumika ukifika kituoni manually, ila kama unafanyia online ni mbadala wa hizo form! Unless otherwise upate maelekezo kutoka TaESA kuwa unatakiwa kujaza hiyo form, na hiyo itafanyika baada ya wewe kujisajili online na kuhudhuria training (maybe)
Habari Mimi shida yangu ipo katika sehemu ya kujaza taarifa za chuo na kozi niliosoma, inaonekana chuo kipo ila kozi haipo so nashindwa kusave nafanyaje apo?
Salama ndugu! Pole kwa changamoto, kuna baadhi ya course huwa zinawekwa katika field moja inayohusiana nayo! kwa mfano unaweza ukakuta course kadhaa zimewekwa kwenye broad field ya 'social science' au mfano mwingine wa field inayohusiana na course husika Je, umeangalia katika related fields?; Kama hutojali pia unaweza ukashare ni course ipi inayotolewa vyuo vipi ili tuweze kuangalia na sisi!
Sijaelewa unaongelea mfumo upi ndugu! Maana naona umecomment video tofauti tofuati ila swali ni moja! Angalia video ya "Namna ya kujisajili kwenye mfumo wa ajira portal " tumeonesha namna ya kuweka size ya picha iwe 150×120 px
Pole kwa changamoto, hapo kunaweza kuwa na shida mbili, 01. Cha kwanza ni kukosea email (ambayo sio rahisi kwa kuwa unaijua na unaitumia) 02. Kwenye kuandika email yako inawezekana keyboard yako inaleta suggestion ya email yako ukiwa unaandika na kisha unaiclick... Hapo utapata error ya invalid email kwa kuwa kunakuwa na space inaongezeka baada ya (.com) yaani kunakuwa na abcd@gmail.com(nafasi) Kwahiyo kama utatumia suggestion hakikisha unafuta hiyo space mwishoni, au iandike email yako yote mwenyewe!
Sorry morning Mm nimefika hadi apo kuactivate account na kujaza taarifa za mwanzo na account tyr ipo Sasa nikitaka kuendelea mbele inasema Nida already Exist naomba unisaidie please 🥹
@@utumishiportal kwenye academic qualification nilisubmit cv then waka reject application nakunitel niweke index no yngu au regisration no yangu i mean avn no au nactevet no
@@hafidhelias5883 kwenye mfumo kuna sehemu ambayo imeandikwa registration number wakati wa kujisajili na pia taarifa za kidato cha nne na cha sita kama zipo! Kote umejaza?
Iuna muda huwa inasumbua ila ukishamaliza application moja kwa moja mfumo wao unakurecognize kwahiyo watakutumia email kukujulisha next step au kama kuna shida mahali!
Recommendation letter inapatikana kutoka kwa watu wenye authority flani kwako kwa mfano lecture, supervisor wa SEHEM ulikowahi kufanya kazi, mentor wako wa chuoni nakadhalika!
Angalia, vyeti vinatakiwa kwanza viwe kwenye format ya pdf, na pia viwe na size ndogo isisyozidi 512kbs, kwahiyo kama cheti kina ukubwa zaidi ya 512kbs jaribu kuki-compress kwanza kisha upload!
Pole kwa changamoto! Kuna muda huwa mfumo unashindwa kurudisha feedback kuwa tayar umeshasubmit! Ila kama umeshajaza details zote vizuri ukabofya hiyo sehem ya kusubmit inatosha, itakaa sawa mfumo ukiwa settled ! Pia unaweza ukarudia baada ya muda kuconfirm!
Ndug hapo mwishon napafa shida niki submit cv inaleta hilo Note: Afu kuna vipengele viwili sasa inagima kusubumiti naomb niwekee namba ako niwez kutatua hii changamoto
Kusubmit naona kwa siku hizi za karibuni imekuwa shida kidogo, ila kuna muda inakubali! Kuhusu hivyo vipengele, sijaelewa ni vipi vimegoma! Kwa mawasiliano tumia email kwenye website yetu kwenye CONTACT US page! Jaza form kisha tuma, au kwenye about ya channel hii kuna sehem ya EMAIL US!
📂 Kwa wanaoshindwa kufanya applications, karibu tuhudumie kwa bei rahisi kabisa!
✅ Tumeamua kuwaelekeza bure ili mtu akishindwa atatuchangia gharama ya bando la kumsaidia application yake tu.
⭕ GUSA LINK HII KUWASILIANA NASI MOJA KWA MOJA WHATSAPP
➠wa.me/message/KPBYLKDN6LF5B1
⭕TAFADHALI FUATA MUUNDO WA MESEJI ULIOWEKEWA ILI KUHUDUMIWA KWA URAHISI
✍️KARIBU SANA
Jamani mimi nimesha activate , sasa ku chose account job seeker hamna, kuna Applicants/Expert, Artist na Employer tu.
Sasa hivi wamebadilisha kidogo mfumo, sehem yenye applicants/expert ndio inayobeba nafasi ya job seekers
Habar
Nimejisajiri lakin mwisho kwenye majina 3 ya profile yangu kumeongezeka neno “NULL “ hili lina maanisha maombi yangu yame be Rejected au lina mana gani?
Naomba kueleweshwa plz.
Habari, inawezekana kipengele unachokisemea ni kwenye other names, kama umejaza majina matatu pekeee bila ya kuwa na nickname au other names hiyo inawezekana kuwa ndio sababu!
Ujumbe wa application rejection unaeleweka moja kwa moja ila sio kama hivyo kuandikiwa null sehemu ya majina!
Kwenye kucreate account inakataa, ukishamaliza kujaza taarifa ukaclick ile sehem ya create account inakuletea sehem nyingine ya kusign in wakati hata acc haijakubali kutengenezeka
Baada ya account kutengenezeka ndipo inakupeleka kwenye sehemu ya kusign in, vinginevyo uwe umepata error yoyote wakati unacreate account, kwan ukisign in kwa kutumia credentials ulizojaza wakati unatengeneza account unapata ujumbe gani?
Mkuu habari. Je siwezi kuattach provision results(Transcript) pekee kwasasahivi huku nikiwa nasubiria cheti changu baada ya kutunukiwa Degree Rasmin?
Salama ndugu,
Unaweza ukaatach ila kuna probability ndogo sana ya kuzingatiwa kwa sababu wataona haujakidhi vigezo vyote kwenye mfumo, na pia ukiweka transcript kwenye sehem ya cheti italeta shida baadaye kwenye kubadilisha kuweka cheti chenyewe, hadi wao wakubadilishie!
samahani
mimi Tatizo langu wametuna cv comments kuwa natakiwa "confirm my certificate" na vyote nilisha verify
Habari!
Hapo kwenye huo ujumbe kama kuna button ya kusubmit vyeti upya viapload tena! (HIVYO VILIVYOHAKIKIWA!) Pia jitahidi vyeti vyako vilivyohakikiwa viwe coloured na mihuri ionekane vizuri!
Karibu kama kuna maswali zaidi!
Nikicreate account inaniambia ana error has occurred
Huenda ni erro ya kimfumi tu! Ukiona hivyo jaribu tena mara kadhaa, itakubali hopefully
Jaman mboma nikitaka kucreate account ile sehemu ya ku click create acc after writing password, email na phone no inagoma 😢
Sorry me kuna details nilisahau kujaza nika submit cv na ikawa verfied already ...vip naeza nika edit ni submit cv tena?...na pia vyeti nilieka ambavyo havina muhuri nmebadilisha now nimeeka vyenye muhuri inakuaje apo kuna shida yoyote kwn?
Bila Samahani!!
Kama account iko verified maana yake tayari ina "minimum requirements for registration" na pia kama umebadilisha vyeti haina shida yoyote!
habari, mimi nimekamilisha kila kitu lakini nikienda kwenye "submit CV" inaniletea "agree terms" nikiagree inakuja tiki then haiji chochote. Je hapo inakua tayari au kuna confirmation yoyote ya kuonesha umefanikiwa ku submit?
Kama umeshamaliza mpaka mwisho ukaweka na agreement tick, hapo umemaliza! Subiria email kutoka TaESA for further training and offers!
Habari.Samahani hapo kwenye Academic Qualification kuna kipengele cha Program Category je mtu aliyesomea Procurement anaweka ipi? Shukrani
Kwenye procurement nadhani kuna related field kama hiyo procurement haipo moja kwa moja sahv! Jaribu kuangalia related fields na program yako e.g logistics maybe!!
Ukisha fanikiwa ku ki-creat account Sasa kwenye ku-log in mbn inagoma msaada plz
Ukicreate account yako, kabla ya kulogin unatakiwa kuactivate account yako! Namna ya kuactivate tumeonesha hapo kwenye video!
@@utumishiportal nimefanya hivo ila inagoma Mkuu
Pole sana @@jumasalumu3534! inagoma inaandikaje ndugu!
@@utumishiportal yani nmeactivate ikanipeleka sehem ya ku-log in Sasa issue ipo hapo
Sawa kwahiyo ukilogin unapata ujumbe gani?! Activate your account, Incorrect password au vinginevyo?
Maana copy ya cheti ndo huwa inapigwa muhuri lakini cheti original hakipigwi, sasa je nita attach pdf file ya copy ya cheti au pdf file ya scanned original certificate?
Utascan vyeti vyako, utaviprint (ni vyema ukiprint vikiwa coloured) kisha hivyo ndivyo vitakavyopigwa muhuri wa kamishina wa viapo!
Baadaye utascan vyeti vyako na kuvi-upload vikiwa tayari vimeshapigwa mihuri!
Habar
Mim nashindwa kuattach vyeti
Mm nmefanikiwa kufungua account Ila pale kwenye kujaza details nkijaza mwsho kabisa kwenye kuregister inasema error
Sijakuelewa apo mwisho kwenye kuregister unasemea katika kipengele gani?!
Kama unamaanisha kusubmit, angalia kama kuna baadhi ya taarifa ambazo ni za lazima haujajaza,
Au pia kama kuna taarifa za optional umejaza ila hujakamilisha, mfano kama umejaza umehudhuria mafunzo fulani kisha ukawa haujaweka cheti cha hayo mafunzo inaweza ikaleta shida hiyo pia!
Labda kama swali ni tofauti na hayo, Tafadhali tujuze!
Na ninapojisajili nilazima kukamilisha 100%????
Maana mimi sina experience yoyote ya kazi na sijapita JKT na hivivyote vilionekana kama ni Optional
Ila inaonekana bado nina 80%nifanyeje na nikisubmitt sio ujumbe oote
Haina ualazima wa kufika 100%, hizo option details unaweza ukaacha na haina Tatizo katika kukamilisha zoezi la usajili!
Kuhusu kuona ujumbe baada ya kusubmit, hiyo ni changamoto ya kimfumo ila tayar kama umeshakamilisha na ukabofya button ya kusubmit inakuwa tayar!
Sorry mm nikijaribu kucreate account naambiwa problem occurred while saving account
Kama hujakosea email na password, itakuwa ni system tu imesheki kidogo, jaribu baada ya muda, ikikusumbua tena tufahamishe .
NA KUNA HIZI REGISTRATION FORM NAZIONA ONLINE JE ZINATUHUSU KIVYOVYOTE?
Hizo zinatumika ukifika kituoni manually, ila kama unafanyia online ni mbadala wa hizo form! Unless otherwise upate maelekezo kutoka TaESA kuwa unatakiwa kujaza hiyo form, na hiyo itafanyika baada ya wewe kujisajili online na kuhudhuria training (maybe)
Habari, ni lazima uwe na namba ya nida ukitaka kujisajiri TAESA
Ndio, namba ya nida ndio inayoleta personal details zako!
Habari
Mimi shida yangu ipo katika sehemu ya kujaza taarifa za chuo na kozi niliosoma, inaonekana chuo kipo ila kozi haipo so nashindwa kusave nafanyaje apo?
Salama ndugu!
Pole kwa changamoto, kuna baadhi ya course huwa zinawekwa katika field moja inayohusiana nayo! kwa mfano unaweza ukakuta course kadhaa zimewekwa kwenye broad field ya 'social science' au mfano mwingine wa field inayohusiana na course husika
Je, umeangalia katika related fields?;
Kama hutojali pia unaweza ukashare ni course ipi inayotolewa vyuo vipi ili tuweze kuangalia na sisi!
Samahan Kuna course kama development planning and management inatolewa SUA morogoro ..
Habari ,mbona verification ya nida inasumbua najibu inakataa
Pia kuna sehem ya kuweka picha inasumbua kwenye dashboard
Sijaelewa unaongelea mfumo upi ndugu! Maana naona umecomment video tofauti tofuati ila swali ni moja!
Angalia video ya "Namna ya kujisajili kwenye mfumo wa ajira portal " tumeonesha namna ya kuweka size ya picha iwe 150×120 px
Asante @@utumishiportal
Samahani naomba kuuliza vyeti lazima vipigwe muhuri na mwanasheria..?
Ndio muhuri lazima
Nawekaje chet cha taaluma maana kwenye kuchagua inasumbua
Yaani me napata shida hapo kwenye kucreate account,naweka email naambiwa "email is required " kwann na ndo email yangu ninayoitumia hadi sasa?
Pole kwa changamoto, hapo kunaweza kuwa na shida mbili,
01. Cha kwanza ni kukosea email (ambayo sio rahisi kwa kuwa unaijua na unaitumia)
02. Kwenye kuandika email yako inawezekana keyboard yako inaleta suggestion ya email yako ukiwa unaandika na kisha unaiclick... Hapo utapata error ya invalid email kwa kuwa kunakuwa na space inaongezeka baada ya (.com) yaani kunakuwa na abcd@gmail.com(nafasi)
Kwahiyo kama utatumia suggestion hakikisha unafuta hiyo space mwishoni, au iandike email yako yote mwenyewe!
Sorry morning
Mm nimefika hadi apo kuactivate account na kujaza taarifa za mwanzo na account tyr ipo
Sasa nikitaka kuendelea mbele inasema Nida already Exist naomba unisaidie please 🥹
Hi mkuu browser mbon zinagoma kufunguka
Huenda ilikuwa changamoto tu ya kimfumo, jaribu kurudia pia check browser yako unaweza pia ku-clear caches
Oh Okay thanks
Remuneration sio malipo kak? Na Operation za JKT si km OP. SAMIA SULUHU
Asante ubarikiwe nmefanikiwa ku create account bado kufill info ndo napambana nako
Amiin na Hongera, ukikwama mahali popote uliza hapa ndugu!
nimekosa sehem pakuweka index number (avn) number nifanyaje ?
Sijakuelewa ndugu, avn kwenye kipengele kipi?
@@utumishiportal kwenye academic qualification nilisubmit cv then waka reject application nakunitel niweke index no yngu au regisration no yangu i mean avn no au nactevet no
@@hafidhelias5883 hiyo imetokea baada tu ya Kujisajili au ulishawahi kuattend training za TaESA?
@@utumishiportal hapana sijawahi attend
@@hafidhelias5883 kwenye mfumo kuna sehemu ambayo imeandikwa registration number wakati wa kujisajili na pia taarifa za kidato cha nne na cha sita kama zipo! Kote umejaza?
Jaman me mbona sioni sehemu ya kusubmeet
Iuna muda huwa inasumbua ila ukishamaliza application moja kwa moja mfumo wao unakurecognize kwahiyo watakutumia email kukujulisha next step au kama kuna shida mahali!
Recommendations letter apo ,hzo barua zinapatkana wap
Recommendation letter inapatikana kutoka kwa watu wenye authority flani kwako kwa mfano lecture, supervisor wa SEHEM ulikowahi kufanya kazi, mentor wako wa chuoni nakadhalika!
sorry me changamoto yangu ni kuambatanisha vyeti natumia simu inakataa
Angalia, vyeti vinatakiwa kwanza viwe kwenye format ya pdf, na pia viwe na size ndogo isisyozidi 512kbs, kwahiyo kama cheti kina ukubwa zaidi ya 512kbs jaribu kuki-compress kwanza kisha upload!
Kwan huwez kutuma cv moja kwa moja
Sorry course yang sion
Katika kuverfy namba ya nida najibu maswal na bado inakataa sijui shda iko wap
Kuverify namba ya nida wapi?
Ni kwenye mfumo wa taesa kujaza kwenye personal details haikubali ku register@@utumishiportal
Nikiweka namba ya nida nikiverfy inaleta maswali matano then mwishon haifai ku register
Habari
Je? ni lazima vyeti vithibitishwe na mwanasheria au mtu anaweza tu ku scan vyeti vyake kisha akavi attach.
Jaman ku-submit mbn inagoma
Pole kwa changamoto!
Kuna muda huwa mfumo unashindwa kurudisha feedback kuwa tayar umeshasubmit! Ila kama umeshajaza details zote vizuri ukabofya hiyo sehem ya kusubmit inatosha, itakaa sawa mfumo ukiwa settled !
Pia unaweza ukarudia baada ya muda kuconfirm!
@@utumishiportal sawa mkuu
Ndug hapo mwishon napafa shida niki submit cv inaleta hilo Note:
Afu kuna vipengele viwili sasa inagima kusubumiti naomb niwekee namba ako niwez kutatua hii changamoto
Kusubmit naona kwa siku hizi za karibuni imekuwa shida kidogo, ila kuna muda inakubali!
Kuhusu hivyo vipengele, sijaelewa ni vipi vimegoma! Kwa mawasiliano tumia email kwenye website yetu kwenye CONTACT US page! Jaza form kisha tuma, au kwenye about ya channel hii kuna sehem ya EMAIL US!
@@utumishiportal nisaidie mawasiliano yako nikutafute private
Sorry me nashindwa kuingia kwenye account Yangu Kwa sababu nilichelewa kuingia kwenye email kuactivate my account , naomba msaada tafadhali
Diploma hapo unachagua ipi
Kuna kipengele cha diploma moja kwa moja kwenye mfumo, hujakiona?! Au ulikua unaulizia kujua kwanza kabla hujaanza!
Mimi nimeshindwa kusubmit
Oohh, pole sana, kuna muda huo mfumo hauleti option ya kusubmit, jaribu baada ya muda au tumia kifaa kingine!
@@utumishiportal namimi nimeshindwa kusubmit kila nikijaribu je naweza tuma form ya intership bila kusubmit ?
Habari,, mkuu ukisha agree terms hapo inakuletea ujumbe wowote kuona kama tayari umesubmmit CV? Au utajuaje kama CV imeshapokelewa?
Asante sana kaka ubarikiwe kwa moyo wako mzuriii
Sorry na kma ujaenda Jkt inakuaje?
Bika Samahani!
Kama hujaenda JKT hiyo sehemu haujazi kitu wala haina shida, hiyo ni optional!
@@utumishiportal thank you, lakin mbna nkijarbu pale Kwenye program inagoma?