TAFSIRI YA NDOTO - UKIMUOTA BABA YAKO - BY SHEIKH KHAMISI SULEYMAN.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 195

  • @madinaomar679
    @madinaomar679 Рік тому +1

    Mim nikombali ya Tanzania sidhani kn nitapata wageni, walavsiumwi. .Baba yangu alishakufa nimemuota anafanyia watu dua lkn haonekani. Na anachuo anasomesha watoto

  • @mariammussa6323
    @mariammussa6323 3 роки тому +5

    Ukiota baba yako mzazi amekufa

    • @bisharamohd7164
      @bisharamohd7164 Рік тому

      Ukimuota baba yako mzazi anakwenda kazini,na hali yakua anaumwa namiguu nakipndi kikubwa hajaenda kazini,naomba fatua ya ndoto hii sheh

  • @user-by4oc9cs6j
    @user-by4oc9cs6j 7 місяців тому +1

    Nimeota nmeokota mtoto mchanga kwenye choo karibu na shimo la choo ni kamubeba ni kamueka kwa nyumba na nkamulalisha mahali pazuri, Naomba Nijue maana yake

  • @mamsmariam6670
    @mamsmariam6670 3 роки тому

    Mungu akujalie mwisho mwema Mimi nimeota she Nina nywele ndefu sana upamde 1nyeuci upande wa 2bluu nini maana yake

  • @violetnanjira5942
    @violetnanjira5942 2 роки тому

    Mimi nimeota banging amefariki,,,ilihali ako mjonjwa Sana,, am praying that nothing will happen to My dad 🙏🙏🙏

  • @maase2023
    @maase2023 5 років тому +1

    aboo maryam sijui ni muislamu ww au dini ipi ambayo unachanganya ndoto na uganga Allahuakbar pole sana

  • @user-by4oc9cs6j
    @user-by4oc9cs6j 7 місяців тому

    Nimeota Nmeona Babangu mzazi aliye fariki kitambo amevaa kanzu kaa za waisilamu, amekaa kwa kiti karibu na mti wa mpera then dadangu mdogo anamchunia mapera akila. Adi Baba akipewa ananionyesha ayo matunda, Naomba Nijue maana yake

  • @maase2023
    @maase2023 5 років тому

    Al akh masjid mtoro endelezeni tu kutoa elimu za hadithi na tafsiri za ndoto mungu awajaalie kheri! Na hawa wasioelewa tuachieni sisi tuwape darasa tu

  • @joharishabani8452
    @joharishabani8452 2 роки тому

    Shehe asalla mwalaiku nimeota mdongo waga anapigwa na baba shehe na oba nitafrie samahani

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 роки тому

    Shukran sheykh

  • @draculababaiyo2866
    @draculababaiyo2866 5 років тому +1

    Ndoto moja ina maana tofauti shekhe usitafsiri kwa jumla

  • @fatmaaly9686
    @fatmaaly9686 5 років тому +1

    Mimi nimemuonata baba yangu tumefanya mapenzi nae na nilipoamka nilimchukia sana km kweli ila tupo mbali nae yeye yupo tz mimi nipo omani ina maana ndani

    • @abeid713
      @abeid713 5 років тому

      Fatma aly duuh

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 3 роки тому +1

    Pia nlioto kuna harusi ila waliokwenda kuoa waliporudi walikua na majonzi eti yule biharusi walirudi nae afekufa sasa mie nikawa nawauli mulipata ajali au kafa kwa nini nikashtuka

  • @matridamahundi2090
    @matridamahundi2090 11 місяців тому

    Habar shekhe kumuota baba analia akidai anahisi mauvivu nikampeleka kutibiwa mara rafikiangu akaja kuniambia babaako amekufa nikaanza kulia ila kuna mama akadai hajafa Mzima nini maana yake shekhe 🙏

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 роки тому

    Assalamu alaykum
    Shukran sheykh jee ukimuota baba kaja kwako lakini anaenda msikitini

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 роки тому

    وعليكم السلام ورحمة الله وبركاته

  • @sabraramadhan4634
    @sabraramadhan4634 2 роки тому

    Jamani Mimi nasumbuliwa na ndoto moja kila nikiota ninatoka kimapenzi na baba angu mzazi mama angu ni wa kambo anajua anatufukuza Mimi na baba kisa baba angu kanipa zawadi za vitenge vizuri sana tunaondoka tunaenda nyumba nyingine hii ina maana gani

  • @ashurasaid5017
    @ashurasaid5017 2 роки тому

    Mimi nimemuota baba ananipa nguo nyingi na zingine ni za shule nyingine za nyumbani

    • @ashurasaid5017
      @ashurasaid5017 2 роки тому

      Maana yakenn maana Mimi ni MTU mzima nini tafsiri

  • @andrewnyongesa8010
    @andrewnyongesa8010 Рік тому

    Salam alaikum sheikh Mimi nliota babangu niende kwake ambako sijawai kufika kule nifurahia yake shukran

  • @yusufgagamuhammad2674
    @yusufgagamuhammad2674 11 місяців тому

    Wakenya acheni kukomenti kizungu wenzetu wa tz hawa waelewi 😂😂😂 from kenya nairobi

  • @ashuramigilimo6469
    @ashuramigilimo6469 Рік тому

    A.a.w shekhe nimemuota Baba yangu nachimba dhahabu akawa ananipa maelekezo chimba maeneo Fulanini kunadhaha nyingi na maeneo Fulani usichimbe kwani hakuna chochote na Mimi sio mchimbaji wa madini tena ni mwanamke nini shekhe

  • @ladymuna4945
    @ladymuna4945 3 роки тому

    Shukuran Jazakallah kheir In sha Allah

  • @Mubarak552
    @Mubarak552 5 років тому +2

    Waislam mnakosea sana kumkosoa mtu bila kujua elimu yake I kiwango gani, Shekh we endelea na Tafsiri na kila anaepinga a nakosea sana kwanini impinge mtu kwani umelazimishwa kufuata, huu ni ukosefu wa adabu

  • @budodianthony8094
    @budodianthony8094 5 місяців тому

    😊😅😅😅😅duu. Mimi. Nime. Muotaa. Baba. Yangu. Tokaa. Nizaliwe. Sikuu. Wahii. Muotaa. Baba. Yangu. Jamani. Nakupenda😅😅🥺baba. Yangu

  • @sisterttrouble4331
    @sisterttrouble4331 4 роки тому

    Asante

  • @dotomzungu7855
    @dotomzungu7855 4 роки тому

    Asanteeee sn

  • @rmmulei8531
    @rmmulei8531 5 років тому

    Lahaulaaaa

  • @StellaShega
    @StellaShega 3 місяці тому

    Nimeota baba ananiombea

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 3 роки тому +1

    Nime_kuelewA_sana_na_nimekuelewA

  • @athumanimudhihiri3893
    @athumanimudhihiri3893 5 років тому +4

    Je ukimuota baba yako alafu ukamuota anakupa kitu kama pesa je maana yake ni nini

  • @hafsaali7976
    @hafsaali7976 3 роки тому

    Shukran shekh wetu

  • @maase2023
    @maase2023 5 років тому

    dah kadango pole sana unabii hawapeani kijomba na kiujamaa unabii unapewa na mwenyewe subhana ila yaaqub alitambua tu kuwa yusuf atakuwa nabii lakini alipokuwa mfungwa jela unabii alikuwa bado hajatunukiwa my friend

  • @mootelahamongus633
    @mootelahamongus633 5 років тому +1

    Mbona hujatoa dalili yoyote. Mtume Amekataza na hajafundisha kutafsiri ndoto. Ndoto zote walizoota manabii na mitume zilikuwa Ni Wahayi. Mche Allah acha shirki. Kama Ni ya kweli usemayo toa dalili.

    • @ss.songitor7894
      @ss.songitor7894 3 роки тому

      Kasome ndugu yngu acha ushamba, ndoto sio kwa manabii tu. Angalia Surat yusuf utakuta mfalme aliota wale ng'ombe saba

  • @jacklinenasongo515
    @jacklinenasongo515 Рік тому

    🙏🙏

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 5 років тому +1

    Waalaikumu ssalam warajmatullahi wabarakatuh
    Shukran

  • @josphatcmeyu3516
    @josphatcmeyu3516 3 роки тому

    Mimi nikita babangu ,lakini aliaga 2019 maana yake nini

  • @linetwesonga7830
    @linetwesonga7830 Рік тому

    Salam aleikum shekhe mimi naomba unisaidiye,nimemwota baba tunaugomvi kisha nikamwagia chai ya moto maana yake ni nini tafadhali

  • @pameladonald4100
    @pameladonald4100 5 місяців тому

    Nikweli hili nimeshuhudia

  • @pesamashaka1479
    @pesamashaka1479 Рік тому

    Sheikh Mimi Niko dar je vp nitampata dua

  • @abdullkadirally7437
    @abdullkadirally7437 2 роки тому

    A alaykum sheikh. Mimi baba yangu anaumwa. Na niliota tumeingia mskitini tumetia Udhu pmj tu kaenda kuswali. Na kitu cha ajabu imamu alieongoza sala alikua ni baba mdogo ni mdogo wake kabisa na baba yangu mzazi. Baada ya swala tukapewa tunda aina ya tende tukala. Sheikh vp hapa

  • @onyaman7336
    @onyaman7336 2 роки тому

    Nime muota baba yangu kaniambia nipunguze sauti ya radio usiku ambapo nilikua nime lala chumbani kwangu halafu hapo hapo akaanza kutawaza kwa ajili ya swala

    • @onyaman7336
      @onyaman7336 2 роки тому

      Na mzee wangu ambaye ni marehu sasa

  • @fatmamamlo7882
    @fatmamamlo7882 3 роки тому

    Mimi nimeota nsmpiga mama keasababu mama alimpiga mama

  • @furahashayo313
    @furahashayo313 2 роки тому

    Mi nimeota nimembeba baba mgongoni huku baba akiwa ananiimbia nyimbo nzuri, niambie maana yake

  • @ndayishimiyeaisha9211
    @ndayishimiyeaisha9211 4 роки тому +1

    Asalam Aleikum shekh naomba unitafsirie plus mi nimuota baba angu kahama kisha kaenda arusini yupo anakula wali pamoja nawadogo zangu

  • @peteralex973
    @peteralex973 2 роки тому

    Asalamualaykum mim nilimuota babangu ananipa maji ya dua eti yanisaidie kwsbb y magonjwa yngu nin manak?

  • @umuhemd4908
    @umuhemd4908 2 роки тому

    Naukiota shamba la tungule limenawir zimewiva nzur nn maanayake

  • @Raya-em8wz
    @Raya-em8wz 4 роки тому

    Mimi nimeota bba yangu lakini ameshafariki samani nimemuona nikiwa madrasa akapita ila ninemsemesha hakusema ila aliendelea kwenda na mm nikamfata hafla wakatokea watu wakanifukuza

  • @khneesajumaa2052
    @khneesajumaa2052 4 роки тому

    Nini maana ya kumhota baba yako na halishafariki lkn amekuja na nguo alizokuwa akivaa za kazini (jeshi)nilipomhona tu nilimkimbilia na kumkumbatia nae alinikumbatia lkn hakunisemesha na kwenda kukaa kiti cha peke yake namimi nikaa peke yangu

  • @pameladonald4100
    @pameladonald4100 5 місяців тому

    Nikweli kabisa yani

  • @saidamwinyi4038
    @saidamwinyi4038 3 роки тому

    Ukiota unasoma shule au madrasa hii inamaana gani

  • @SaidatiAthuman-lm7zb
    @SaidatiAthuman-lm7zb 10 місяців тому

    Mi nimemuota babaangu kanipa funguo ya nyumba

  • @maase2023
    @maase2023 5 років тому

    aboo maryam mungu akuhifadhi na jitahidi kusoma kidogo kwanza plzzzzzzzzz

  • @mwamvuaally6342
    @mwamvuaally6342 3 роки тому

    Je ukimuota mlezi wako mpo wote wa kike inakuwaje shekhe

  • @leydaihal9332
    @leydaihal9332 2 роки тому

    Mm nimeota nikiona utupu wa babangu

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 5 років тому +1

    Waalleykum salaam Warhamathullah wabarakaatuuh,Aamiin.

  • @lydia7859
    @lydia7859 Рік тому

    Nliota baba ananikumbatia

  • @rilogistics392
    @rilogistics392 Рік тому

    Asalam alykum nimeota baba alishafariki lkn nimeota time una mpunga mwingi tunapakia kwenye magunia Nini tafsiri yake Ili hali baba alishatangulia mbele ya haki??

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 4 роки тому

    asante

  • @aminaabdallah9117
    @aminaabdallah9117 3 роки тому

    🤲🤲🤲🤲

  • @suma643
    @suma643 3 роки тому

    Mimi niliota nlipokuwa naingia ndani pindi baba kaja kunitafuta hapo nje ya nyumba pembeni nliona joka kubwa mkiani anarangi nyeusi kwambele anarangi ya dhahabu lakin katikati na kichwani sikumuona maana alikaa sehemu kama kwenye pango nikamtazama baadae nikaingia ndani ndipo nikaonana na baba ambapo tulipoteana miaka mingi sana. maana yake sijaijua hadi leo waweza nisaidia?

  • @petroelifazi7003
    @petroelifazi7003 4 роки тому

    Nimemuota baba yangu kikatwa kichwa nakuwekwa kwenye jineza wakat baba yangu ameshakufa zaman nn tafsili yake

  • @lelaallububa5739
    @lelaallububa5739 5 років тому +1

    Ndio tatizo la wabong sis tuelimishapo watuelimik

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 5 років тому +3

    Aswww Sheikh ukimuota Baba anakugusa kichwani nini maana?

  • @maulidmnukwa3171
    @maulidmnukwa3171 5 років тому +7

    Acha uongo Sheikh ndoto moja inaweza ikawa na tafsiri tofauti kutegemea na hali ya mtu na huo ndio ulikuwa mwendo wa wanazuoni wetu na maswahaba wetu waongofu katika kufasiri ndoto. Na tafsiri ya ndoto inaweza ikawa moja kwa moja ama kinyume chake na ndoto haiegemezwi katika vitabu vya tafsiri za ndoto bali hasa quran na sunnah

    • @swahilireadingandspeaking5271
      @swahilireadingandspeaking5271 5 років тому +3

      Maulid Mnukwa hujamuelewa Vizuri wewe Huyu sheikh

    • @dazuujuma1211
      @dazuujuma1211 5 років тому +3

      Dah usimuite shehe muongo mpenzi hata kama ni hivo hekima ni kitu kizuri sana zingatia ilo usikurupuke kwenye kuaminisha ukweli halkadhalika kutafuta haki 🚶🚶🚶🚶 napita tuu

    • @maulidmnukwa3171
      @maulidmnukwa3171 5 років тому

      @@dazuujuma1211 anadanganya Kwani uongo

    • @aliomar5603
      @aliomar5603 5 років тому

      Maulid Mnukwa ww hata baba ako n mama ako nahisi unawatukana n halafu ww jiona unaelimu yote unayo ww n peponi unaasilimia mia unaenda mtu mwenye adabu n anaemuogopa muungu hawezi kumwambia muongo bila sababu yoyote hivi ulimtafuta ukamuuliza elimu hii kaipata wapi namba za simu hakuweka hapo kw nini unashindwa kumtafuta ukamuuliza halafu unasema muongo mtu n heshima zake mmh hatari pengine mtu km ww hata swala yako huijuwi vizuri

    • @aliomar5603
      @aliomar5603 5 років тому

      Dazuu Juma yani hawa vijana wana kibri sana mtume muhammad alikaa n wanafiki lkn hakuwahi hata siku moja kumwambia ww fulani mnafiki n alikuwa anawajuwa mpaka anakufa ndio maswahaba wanajuwa huyu alikuwa mnafiki kw sababu mtume hashiriki mazishi yake sasa hawa wanaojifanya wamesoma alifu wao wanaumizwa n dini kuliko mtume wao

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 роки тому

    شكرا

  • @sheikhabdikadir6312
    @sheikhabdikadir6312 2 роки тому

    Kubota Na ngombe

  • @halimafimbo4890
    @halimafimbo4890 8 місяців тому

    Asalam aleykum mie nimeota analia

  • @mody-guyngido2792
    @mody-guyngido2792 4 роки тому +4

    Asalam Aleikum je ukimuota Baba aliefariki na akafariki tena nini maana yake?

  • @umuhemd4908
    @umuhemd4908 2 роки тому

    Asalam alaiku shekhe hivi ukiota ndoto ya viaz vitam nn maanayake

  • @fatumamwaveso247
    @fatumamwaveso247 2 роки тому

    Shekh imenigusa hiyo topic had nmelia😭

  • @lamecknyalugoe7946
    @lamecknyalugoe7946 3 роки тому

    Kumuota mama mjamuzito kifo na akichomwa moto

  • @monicatarimo1185
    @monicatarimo1185 5 років тому +1

    Mm nilimuotaa lakini alishafarikii jamanii

    • @maureenmacha6397
      @maureenmacha6397 5 років тому

      Polee my dear... Mimi nilimwota babangu mara3 then akaja kufarikiiii😭😭😭😭😭

  • @maase2023
    @maase2023 5 років тому +2

    jibuni basi niwape elimu msikae kukashif mashekhe au wenye vipaji vya elimu tu

  • @rukiakassim7925
    @rukiakassim7925 4 роки тому

    Asalam alaykum shekh mm nishamuota baba yng ananijia lkn hanambii kitu, nikamwambia mm nitakaa nyumba hii hii, mama yng akaniuliza yko hii nyumba nikamjibu hii nyumba nimepewa tangu nilipoolewa mwanzo baada ya wiki nikamuota tena baba kanijia lkn hanambii kitu lkn km anajambo maana alikuwa hana furaha inamaana gani hii ndoto tafadhali

  • @christophemaitaji2308
    @christophemaitaji2308 Місяць тому

    Ukimuota akuombakitunaunamupaacho inamaanagani?

  • @balkissbalbalkis7872
    @balkissbalbalkis7872 5 років тому +1

    Shekhee mm nilimuota bbng na ashafariki akiniongelesha but hawezi kutamka maneno yuwatetemeka mdomo.jee hiyo ina maanisha nn

  • @maase2023
    @maase2023 5 років тому

    waliopewa unabii wakati wachanga ni wawili nabii yahya na nabii issa wengine wote walitunukiwa wakiwa wakubwa tayari!

  • @chizainazahrrey4397
    @chizainazahrrey4397 5 років тому +1

    Shekhe mmi nilimuota bba yangu amefariki hii inamaansha nni mana ndoto hii hujiludialudia

    • @dazuujuma1211
      @dazuujuma1211 5 років тому

      WEWE KAMA MIMI MPENZI MARA YA MWANZO NILIMUOTA BABA NNA UMRI KAMA MIAKA 13 YAANI KAMA MAZINGIRA YA KWELI HASSA NIKAAMKA NIKALIA HADI KUNYAMAZISHWA IKAPITA MIAKA MARA YA PILI NIKAOTA TENA YAANI ANAKUFA YAANI MFANO WAKE KAMA UHALISIA MPENZ YAPATA MIAKA 4 MPAKA 5 SIJAOTA TENA SIJUI NNINI HICHI

    • @nyumbayatibanadua737
      @nyumbayatibanadua737 5 років тому

      Njoo WhatsApp Kwa Maelezo zaidi +255765893020 au +255713439891

  • @kultykhatibu4858
    @kultykhatibu4858 4 роки тому +1

    Je ukimuota baba yako anataka kukubaka maana yake nini?

  • @shufaaomar1986
    @shufaaomar1986 5 років тому

    A.alykum. mm nmeota baba amenipa karatasi ya dua na kunambia zitafute hizo ila ckujua no nini

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 3 роки тому

    Mii nimemuota baba kanifata, akanambia kaninunulia Gari lkn inataka matengenezo, pia akanipa na pesa 30000,ila hakuwa mchangamfu kivilee

  • @zunaydaabdalla9718
    @zunaydaabdalla9718 5 років тому

    Allahalam 🤐

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 4 роки тому

      Amina mimi nilikuwa nasema nawaza, mafanikio usiku wake nikawa Ota wote baba, mama na sgangazi zangu na bibi yangu mzaa baba naongea naye wakati tunaongea ndo akatokea baba na badaye akatokea mama

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 5 років тому

    Sheikh wapija ramli kiaina mana mambo unayosema akuna kiumbe ajuae ya kesho wala rizki kias gani atapa

    • @laylatabdallah2796
      @laylatabdallah2796 3 роки тому

      Kwaiyo nabii yussuf nae alipiga ramli au? Coz alielezea tukio lililoweza kutokea miaka7 mbele na likatokea kweli

  • @maase2023
    @maase2023 5 років тому +1

    kwani firauni alipoota ndoto hiyo alikuwa amepewa wayhi nae au sio mootela?

  • @khamiskombo2272
    @khamiskombo2272 5 років тому

    Mke jee

  • @mesalimrashid6312
    @mesalimrashid6312 5 років тому +3

    Ndoto chakula cha usingizi jamani.

  • @allykilemileallyallykilemi7308
    @allykilemileallyallykilemi7308 5 років тому +1

    Je ukiota Simba wanakufukza na ukipiga kelele saut inakuwa haitoki je inamaniisha Nini?

  • @puritymolly3512
    @puritymolly3512 Рік тому

    Na ukiota mnagombana na mama aliyekufa maana yake

  • @seciliamwendwa6299
    @seciliamwendwa6299 2 роки тому

    Mimi nimeota baba Yangu mlezi amekufa nawakati yeye anaumwa ndoto inamaanisha nini

  • @khadijabuberwa3362
    @khadijabuberwa3362 4 роки тому

    Mimi mala naota baba anaumwa au napewa nguo nimpereke

  • @binshemainda200
    @binshemainda200 3 роки тому

    Vp ukiota ndoto baba yako amekufa vp inamaana gan?

  • @NuruLaini-gg1xl
    @NuruLaini-gg1xl 5 років тому

    Na jee ukiota babako anakuita kwa ndonto kwa ajili y kukupa maneno y mwisho anakufa alafu afe kweli kwa ndoto maana yake nini?

  • @sashaamir0019
    @sashaamir0019 5 років тому

    Mimi mamang ametangulia mbele ya haki nikamuota tunaonge anafanya kazi zake hii inamaana gani?

  • @hbkeyamjukuu4747
    @hbkeyamjukuu4747 5 років тому +2

    Mim babaang kafarik miaka 6sas lakin haipit wiki namuota hii imekaa vp shekhe?

    • @mohamedsalehe9051
      @mohamedsalehe9051 5 років тому +1

      faudhia mdogo wangu nakuomba umuombee babayako dua kuna kitu kinamsumbua huko aliko jitahid kuombea dua ili astirike mzee wetu allah atamfanyia wepes nnashaallah

    • @nyumbayatibanadua737
      @nyumbayatibanadua737 5 років тому

      Nitafute WhatsApp Kwa Maelezo zaidi, +255765893020 au +255713439891

    • @hbkeyamjukuu4747
      @hbkeyamjukuu4747 5 років тому

      Mohamef Salehe Alhamdllah namuombe kila ninaposujud kakaang na nikimuota nikishutuka hapo hapo nakaa kitako nakumuombea

    • @hbkeyamjukuu4747
      @hbkeyamjukuu4747 5 років тому

      Khamisi Mayunga Inshallah

    • @hbkeyamjukuu4747
      @hbkeyamjukuu4747 5 років тому

      Bin Sleyum Tv asanteee

  • @rosemosoba2350
    @rosemosoba2350 3 роки тому

    Niliota nikimpa babangu pesa

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 3 роки тому

    Sheh nimeota nimevishwa harini na dadaangu maana yake ni nini

  • @maase2023
    @maase2023 5 років тому

    kisha kadango aliekuwa jela kwa lugha nyepesi tu anaitwa mfungwa au ulitaka aitwaje? dah jamani

  • @fadhilabbas5784
    @fadhilabbas5784 5 років тому +1

    Sheikh Una kiwango gani cha elimu wewe?

  • @maase2023
    @maase2023 5 років тому

    hivi aboo unajua japo kusoma suratul fatiha? hebu tusomee basi maana duh

  • @j.bjacobbasubi2187
    @j.bjacobbasubi2187 3 роки тому

    Sasa kama mtu akimuota baba kisha baba anakuambia uka fanye jambo fulani kishaa ukakataa kisha ukanza gombana naye babayako ukamuangusha chini iyo ina maana gani