Nani atakae muelewa huyu kafiri wa kishia labda awaelewwshe nyie mashia wenzake au masufi maana shia na sufi ni ndugu moja msoma quruani mwenyewe hana yakini na kuruani kwanza wanaamini imepotishwa na quruani wanayoamini wao ni ya pangoni itakuja mwsho Anaminya midomo kukosoa kitabu ambacho hawwkiamini asilimia mia si ukafiri huwo ww uwaeleze wahab kuruani wakati ye ni mshia tuna umoja na shia sisi makafiri hawa
Haweizi kuijua Quran kama Maswahaba Radhwiya LLAHU a'nhum. Anatengeneza malumbano apate kupoteza muda. Hawa ndo wale wakiona Waislamu wametulia wanalianzisha. Hata muonekano wake ni wa istihizai hayuko "serious".Anajua anachokifanya. Shetani anatumia.
@@ahmadmzoa74Comment yako inaonyesha wewe ni wahabi. Maana inadhihirisha akili yako ilivyofupi.tupe ushahidi kuwa maswahaba walitafsiri kama wanavyotafsiri mawahabi
@@abiabi9353mie sio wahabi wala sina elimu ila kupitia kisa cha miraaj ndio nikapata ilo wazo Allah yuko juu sio mbinguni ila ni juu ila nashkuru kwa haya mafundisho ya huyu sheikh
Kijana aombewe Dua. Ana shida. Anataka kutuonyesha walimwengu uwezo ulivyo juu kuliko Mufasirina waliotangulia.Analazimisha Aya ambazo ni (Muhkamaatun) kuwa (Mutashabihaat).ALLAH A'ZZA WAJALLA Atukinge na riaa na sum a'.
Mtume Swalla llaahu alayhi wasallama Alimuuliza kijakazi mmoja swali hili👇👇 ALLAH yuko wapi?yule kijakazi akajibu Allah yuko mbinguni Mtume Swalla llaahu alayhi wasallama akasema muachieni huru huyu mtumwa hakika yeye ni mu,umini. Hadith ipo sahihi muslam namba 537. Na imam maliki Aliuliza ivi Allah yuko mbinguni Amekaa je ni vipi Amekaa?akasema kukaa kwake hakujilikanwi na namna alivyokaa haijulikani wala huwez kuiletea mfano na kuamin iyo Aya ni lazma na kuuliza kwamba Allah amekaa vipi hiyo ni bidaa hawakuwahi kuuliza maswahaba. Kisha akaamrisha yule mtu atolewe masjid. Sasa kuamin sifa za Allah ni lazma na kutafta namna alivokaa hiyo ni akili yako na haitakiwi utafte kazi yako ni kuamin na kukubal na Aya zipo nyingi tu ambazo Allah anasema Amekaa juu ya arshi sasa wewe kutafta namna amekaa vipi hiyo haifai ni kutafta fitna na zambi
Hakuna aya inayosema km Allah amekaa kitako juu ya arshi, na km ipo nitolee,,,,,,,, km ni aya hiyo hapo imetumia neno... ISTAWAA... Na sio... JAALISA... wala KAAIDA...
@@saidimkwinzu9106... Wajibu wako ni kuuliza na ukishauliza subiri ujibiwe usianze kulalamika,,,, hayo yamo tele kwenye vitabu vya kiwahabi, tatizo lenu hamusomi vitabu vyenu vya kiwahabi na kuna hayo pia kuna zaidi ya hayo ambayo sijakutajia,,,,, sasa niambie nkutajie vitabu ukasome
Huyu kafiri wa kishia ana anaminya midomo kuwakosoa watu ambao wameiamini kuruani kwa asilimia mia huyu mshia ni muongo sana munaifanyia kuruani takiya kuwadanganya wwtu wakati muna xeema amuiamini sasa unakosoa kitabu ambacho hukiamini mnasikitissha sana shiaa
Assalam Alykum Warahmatullah Wabarakatuh Zike zama amabazo alizizungumzia kwamba watakuja Watu wanaotokana na sisi yaan waislam watawalingania watu kuwapeleka motoni ndio huyu kijana maaana anakwenda kinyume kabisa na Quran na mafundisho ya Mtume sala na salam ziwe juu yake
Shekh awo الراسخون في العلم ndio walotupa nafsiri ya maana ya izo Aya kama vile imam Qurtub kwenye tafsir yake imam baihaki kwenye kitab chake الأسماء والصفات imam ibnu kathir kwenye tafsiri yake na wengine wote ambao umma unashuhudia juu ya uimam wao wametafsiri kuwa Allah mwingi WA rehema amelingana juu ya arshi yake tukufu Vipi basi useme hao walotafsiri hivo ni mawahabi wakt hao wametangulia kwa Karne nyingi na haimakiniki kuwa Allah kwenye kujieleza nafsi yake na sifa zake alete ibara ambazo ni mutashabihati haimakiniki bila Shaka Aya anazozungumzia wasfu wake ataleta kwa ibara za wazi kabisa huelewa kila mtu isipokuwa Yule ambae shetani ameichezea nafsi yake .
Hapana sio kweli hayo maneno yako. Imam Qurtub, imam ibnu kathir, imam jalalayn wote hao hawajapita hiyo mipito unayo isemea wewe. Wote hao wame tafsiri hiyo Aya ya الرحمن على العرش استوى maana yake ni kuwa له ما في السموات والأرض ، Na hata Ibnu Abbas kaitafsiri hivyo hiyo Aya Kuwa "Mwenyezi Mungu anatawalia vyote vilivyopo mbinguni na ardhini. Usitolee maelezo jambo kwa jinsi unavyo taka wewe,, wapo wengi pia wanasoma na kutafuta elimu. Hiyo ndio tafsiri ya hiyo Aya imma ukitaka utafsiri neno kwa neno kama wale watoto wa nursery wanao anza utachukua hiyo maana unayo taka wewe, ila ukiingia kwenye تفسير في العلم القرآن hakuna aliye toa tafsiri ya kuwa Mungu yupo juu kwenye Arshi kalingana sawa.
@@suleymanmohd3418 ndugu naona huna kitabu ulichofunguwa na umeamuwa ujibu Tu lakini ungerudi ukasoma yaliyondikwa kwenye tafsir ya imam Qurtub na imam ibnu Kathit uvlxngkuja na porojo hilo na kama unaushahidi WA Maadai yako hayo naomba utuletee navitabu vnapatikana walillah lhamdu
@@KombHaji-dr5pd wew Acha porojo tupu hebu Lete izo tafsir moja Tu ya ibn kathir au imam Qurtub aliposema اسْتَوَى kwa maana ya استول Lete ushahidi wako ukiwa ni mkweli WA Maadai yako
Siyo kweli unatakiwa umche Allah ukisema kitu. Hao masheikh uliowataja hakuna aliye tafsiri hivyo. Mawahabi hawaelewi.tumefundishwa tusitafsiri ayat mutashabihat moja kwa moja tunatakiwa tuziambatanishe na ayat Muhkamat ndo tuelewe maana iliyokusudiwa.sasa Mawahabi twambieni tafsiri yenu mumeambatanisha na aya gani muhkamati. Na je Mawahabi mnavyotafsiri mnavyo taka nyunyi hamuoni tafsiri yenu inapingana na aya nyengine muhkamat?
Maalim Shafii nnakuusia kumcha MOLA Wako MTUKUFU. Usihadaike na sifa wanazokusifia watu wasiojua kitu. Hivi unaelewa hicho unachokifanya. Shetani ni mjuzi sana tambua anakutumia kwa maslahi yake .Unacheza mchezo wa hatari saana.
@@mchagagaspar6649 Aya Ambazo zimebainishwa waziwazi (Muhkamaatun).Huyu jamaa ni mtu wa shubha.Zipo nyenzo ngapi ngapi za kufasiri Quran Tukufu. Ili niamini maalim yupo 100% kwa madai yako?Halafu mwanadamu ambae si Mtume unawezaje kumpa 100%??? Hayo ni mapungufu makubwa. Kaa vikao vya kielimu.
@@abiabi9353 hadith ipi alotaja ambao inaseama kuw allah yuko popote kama umepita madras soma tafsir ya ibn kadhiir au imam qurtubi au tafsir imam twabar ili uwone wao wameifasir vipi hiyo aya
Swali dogo tu hivi Mtume sala na salam ziwe juu yake alipewa sala na mola wake wapi kama sio mbinguni? Mche Allah ndugu zangu atakae mfuata huyo Jahil pasi amepotea
Hizo ndizo adabu za mawahabi wenye kuabudu miungu mitatu ya rububia wote hawana adabu ni wakurupukaji na wenye matusi na wauwaji wacha tuwanyooshe ndugu zenu mayahudi kule palestine alafu turudi kwenu..
@@khamisjuma8813 sio kosa lako sbb wewe ni makengeza cwezi kukucheka sbb kama hujafa hujaumbika pole kwa msiba ilio upata.watu wote wasione msalaba wwe ndio unauna ama ulitandikwa na msalaba nini.?
@@KhamisiOmar-v3h dah! Usufi kweli shida! Yaani hata iyo misalaba pia huioni! Pole sn, na ndo mana mimi nikaachana na usufi kwa uongo wao bila ya dalili na kunyamazia makosa kama haya. Wewe, ukubali tu, eti kwa kuwa sheikh kanena hamna kosa.
@@khamisjuma8813 uliruka asali ukaingia kwa mavi ya mawahabi wauwaji wanao jifanya wameokoka kama wakisto eti unasema ulikuwa mchawi na sasa umeokoka kuwa muwahabi nani atajua kuwa umeacha uchawi watu hujitakasa kwa allah sio kwa wanadamu baki na hio imani yako ya miungu mitatu ambayo haiko kwa qur ani walla mtume hakuifundisha na kusema wakiristo mashoga wachawi wasanii waizi wazinifu ni bora kuliko watu wa maulid.
Istawlahhh shafii basalim assalim innaka bahru
Nakukubali shekh langu
Mashaallah ustadh usichoke kuwaelimisha hivyo nivitu adimu wataelewa tuu ila ibaki taasubi kwao
Nani atakae muelewa huyu kafiri wa kishia labda awaelewwshe nyie mashia wenzake au masufi maana shia na sufi ni ndugu moja msoma quruani mwenyewe hana yakini na kuruani kwanza wanaamini imepotishwa na quruani wanayoamini wao ni ya pangoni itakuja mwsho Anaminya midomo kukosoa kitabu ambacho hawwkiamini asilimia mia si ukafiri huwo ww uwaeleze wahab kuruani wakati ye ni mshia tuna umoja na shia sisi makafiri hawa
santa maalim mm kuruan yoote naiyamin sanaaa yooote
Mashallwha shekhe shukran sanaa
Twakukubali Shiekh letu,much love from Kenya
Masha Allah.
Shukran mwalim barakalllah
Wallahi hatafuti umaarufu wallahi anawaita katika kuifahamu quran kwa usahihi
Haweizi kuijua Quran kama Maswahaba Radhwiya LLAHU a'nhum. Anatengeneza malumbano apate kupoteza muda. Hawa ndo wale wakiona Waislamu wametulia wanalianzisha. Hata muonekano wake ni wa istihizai hayuko "serious".Anajua anachokifanya. Shetani anatumia.
We wahabiii wacha porojo sahabaa Gani kasema Allah yupi juu
@@ahmadmzoa74Comment yako inaonyesha wewe ni wahabi. Maana inadhihirisha akili yako ilivyofupi.tupe ushahidi kuwa maswahaba walitafsiri kama wanavyotafsiri mawahabi
@@osmanmanbile9327 iyo ndo ilikua itikadi ya maswahaba na mtume s.a.w. kasema Allah yupo juu
@@abiabi9353mie sio wahabi wala sina elimu ila kupitia kisa cha miraaj ndio nikapata ilo wazo Allah yuko juu sio mbinguni ila ni juu ila nashkuru kwa haya mafundisho ya huyu sheikh
Mimi ningesema nenomoja kwa huyu jammaa kwa kujipa usomi nikosa
Soma tafsiri za wanachuoni wa kiswahaba hawo walipokea tafsiri kutoka kwa mtume swalallah waalih wasallam
Lete hizo tafsir
Kijana aombewe Dua. Ana shida. Anataka kutuonyesha walimwengu uwezo ulivyo juu kuliko Mufasirina waliotangulia.Analazimisha Aya ambazo ni (Muhkamaatun) kuwa (Mutashabihaat).ALLAH A'ZZA WAJALLA Atukinge na riaa na sum a'.
Subhana llah,mche Allah katika usomeshaji wako hauko sawa
KITABU CHA MASHIA NYEI KINAITWA TAFSIIRI LGHAYAASHII KWENYE KITABU HICHO MUNAWATUKANA MASWAHABA
Mmmm
Mtume Swalla llaahu alayhi wasallama Alimuuliza kijakazi mmoja swali hili👇👇
ALLAH yuko wapi?yule kijakazi akajibu Allah yuko mbinguni
Mtume Swalla llaahu alayhi wasallama akasema muachieni huru huyu mtumwa hakika yeye ni mu,umini. Hadith ipo sahihi muslam namba 537.
Na imam maliki Aliuliza ivi
Allah yuko mbinguni Amekaa je ni vipi Amekaa?akasema kukaa kwake hakujilikanwi na namna alivyokaa haijulikani wala huwez kuiletea mfano na kuamin iyo Aya ni lazma na kuuliza kwamba Allah amekaa vipi hiyo ni bidaa hawakuwahi kuuliza maswahaba.
Kisha akaamrisha yule mtu atolewe masjid.
Sasa kuamin sifa za Allah ni lazma na kutafta namna alivokaa hiyo ni akili yako na haitakiwi utafte kazi yako ni kuamin na kukubal na Aya zipo nyingi tu ambazo Allah anasema Amekaa juu ya arshi sasa wewe kutafta namna amekaa vipi hiyo haifai ni kutafta fitna na zambi
Hakuna aya inayosema km Allah amekaa kitako juu ya arshi, na km ipo nitolee,,,,,,,, km ni aya hiyo hapo imetumia neno... ISTAWAA... Na sio... JAALISA... wala KAAIDA...
@@OmarShela-p2z
استوى
Maana yake ni nin?
@@OmarShela-p2z na aliyekuambia Allah amekaa kitako ni nan?? Wapi kumetajwa kitako hapo ustafte fitna ya kutafsir unavyojua wewe
@@saidimkwinzu9106... Wajibu wako ni kuuliza na ukishauliza subiri ujibiwe usianze kulalamika,,,, hayo yamo tele kwenye vitabu vya kiwahabi, tatizo lenu hamusomi vitabu vyenu vya kiwahabi na kuna hayo pia kuna zaidi ya hayo ambayo sijakutajia,,,,, sasa niambie nkutajie vitabu ukasome
Huyu Jamaa ni ovyo sana na Mpumbavu
Lete hoja
Huyu kafiri wa kishia ana anaminya midomo kuwakosoa watu ambao wameiamini kuruani kwa asilimia mia huyu mshia ni muongo sana munaifanyia kuruani takiya kuwadanganya wwtu wakati muna xeema amuiamini sasa unakosoa kitabu ambacho hukiamini mnasikitissha sana shiaa
Assalam Alykum Warahmatullah Wabarakatuh
Zike zama amabazo alizizungumzia kwamba watakuja Watu wanaotokana na sisi yaan waislam watawalingania watu kuwapeleka motoni ndio huyu kijana maaana anakwenda kinyume kabisa na Quran na mafundisho ya Mtume sala na salam ziwe juu yake
Hi comment ukiisoma tu utajua aliyeandika ni wahabi. Uandishi wakiwahabi unaonyesha walivyo na akili fupi
Mm
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته
لست مؤصلا بالعلم هداك الله
Shia Acha kuptosha watu mupuuzi ndo maan wngine wanakuita mbwa unabwtwa bwata
Hii Ahlu bid'aa Linazungumza Nini hapa
nabii Adam عليه السلام aliumbiwa wapi?
Muogope Allah taalaa, hii ni dini ya Allaah usizungumze tuu na kupotosha ummah, hakika wabeba
Jukumu zito
Wewe ni wahabi tu.nenda na akili zako fupi.kama unajiamini jibu hoja za sheikh
Shekh awo الراسخون في العلم ndio walotupa nafsiri ya maana ya izo Aya kama vile imam Qurtub kwenye tafsir yake imam baihaki kwenye kitab chake الأسماء والصفات imam ibnu kathir kwenye tafsiri yake na wengine wote ambao umma unashuhudia juu ya uimam wao wametafsiri kuwa Allah mwingi WA rehema amelingana juu ya arshi yake tukufu Vipi basi useme hao walotafsiri hivo ni mawahabi wakt hao wametangulia kwa Karne nyingi na haimakiniki kuwa Allah kwenye kujieleza nafsi yake na sifa zake alete ibara ambazo ni mutashabihati haimakiniki bila Shaka Aya anazozungumzia wasfu wake ataleta kwa ibara za wazi kabisa huelewa kila mtu isipokuwa Yule ambae shetani ameichezea nafsi yake .
Hapana sio kweli hayo maneno yako.
Imam Qurtub, imam ibnu kathir, imam jalalayn wote hao hawajapita hiyo mipito unayo isemea wewe.
Wote hao wame tafsiri hiyo Aya ya الرحمن على العرش استوى maana yake ni kuwa له ما في السموات والأرض ،
Na hata Ibnu Abbas kaitafsiri hivyo hiyo Aya
Kuwa "Mwenyezi Mungu anatawalia vyote vilivyopo mbinguni na ardhini.
Usitolee maelezo jambo kwa jinsi unavyo taka wewe,, wapo wengi pia wanasoma na kutafuta elimu.
Hiyo ndio tafsiri ya hiyo Aya imma ukitaka utafsiri neno kwa neno kama wale watoto wa nursery wanao anza utachukua hiyo maana unayo taka wewe, ila ukiingia kwenye تفسير في العلم القرآن hakuna aliye toa tafsiri ya kuwa Mungu yupo juu kwenye Arshi kalingana sawa.
@@suleymanmohd3418 ndugu naona huna kitabu ulichofunguwa na umeamuwa ujibu Tu lakini ungerudi ukasoma yaliyondikwa kwenye tafsir ya imam Qurtub na imam ibnu Kathit uvlxngkuja na porojo hilo na kama unaushahidi WA Maadai yako hayo naomba utuletee navitabu vnapatikana walillah lhamdu
acha uwongo usiwazulie hao maimam staw bimaana istaul neno stw linamana 10 kwa kiswahili
@@KombHaji-dr5pd wew Acha porojo tupu hebu Lete izo tafsir moja Tu ya ibn kathir au imam Qurtub aliposema اسْتَوَى kwa maana ya استول Lete ushahidi wako ukiwa ni mkweli WA Maadai yako
Siyo kweli unatakiwa umche Allah ukisema kitu. Hao masheikh uliowataja hakuna aliye tafsiri hivyo. Mawahabi hawaelewi.tumefundishwa tusitafsiri ayat mutashabihat moja kwa moja tunatakiwa tuziambatanishe na ayat Muhkamat ndo tuelewe maana iliyokusudiwa.sasa Mawahabi twambieni tafsiri yenu mumeambatanisha na aya gani muhkamati. Na je Mawahabi mnavyotafsiri mnavyo taka nyunyi hamuoni tafsiri yenu inapingana na aya nyengine muhkamat?
Rudi tena kwenye tafsiri za mabingwa wa tafsiri duniani ukaangalie wametafsiri vp??
Wewe ni wahabi tu ndo maana unalialia badala yakujibu hoja
Tuletee tafsiri ya ibnu abbaas ambae ni bingwa wa tafsiri duniani, yeye ametafsiri vp ibnu abbaas kwenye aya hiyo
Maalim Shafii nnakuusia kumcha MOLA Wako MTUKUFU. Usihadaike na sifa wanazokusifia watu wasiojua kitu. Hivi unaelewa hicho unachokifanya. Shetani ni mjuzi sana tambua anakutumia kwa maslahi yake .Unacheza mchezo wa hatari saana.
HUYU Ahmadmzoa74 ,wewe ndie unafaa utekeleze vema,Ustadh Shafi yupo sawa 100% ,tatizo vitau vilichomwa nakudumbukizwa Ma Baharini
@@mchagagaspar6649 Unaweza kuniambia Aya za (Istawaa)zipo ngapi ktk Quran Tukufu?
@@mchagagaspar6649 Aya Ambazo zimebainishwa waziwazi (Muhkamaatun).Huyu jamaa ni mtu wa shubha.Zipo nyenzo ngapi ngapi za kufasiri Quran Tukufu. Ili niamini maalim yupo 100% kwa madai yako?Halafu mwanadamu ambae si Mtume unawezaje kumpa 100%??? Hayo ni mapungufu makubwa. Kaa vikao vya kielimu.
Wewe ni wahabi tu huna ishu yoyote
@@abiabi9353 Na wewe ni mshia tatizo hamna.
Huyu anaringania ktk batili kwasababu hizo ayaa hajatutajia qaul yeyote ktk masahaba wala qaul ktk wanachuon wa tafsir
Amakweli mawahabi ni mbumbumbu. Hivyo hapo hamjasikia akitaja hadith ya mtume
@@abiabi9353 hadith ipi alotaja ambao inaseama kuw allah yuko popote kama umepita madras soma tafsir ya ibn kadhiir au imam qurtubi au tafsir imam twabar ili uwone wao wameifasir vipi hiyo aya
Tatizo ww umetumia kiarabu chako hukutumia mwenendo wa wema walio tangulia wametafsiri vp
Amakweli mawahabi ni mbumbumbu. Kwahiyo hapo hamkusikia akisoma hadith ya mtume.na hichokitabu nichamufasirun wa Karne ya 4.je katika salafi saleh?
Hiyo tafsiri imepinda hebu rejea tena vizuri kielimu kwa sababu hayo unayoyazungumza ni dhidi yako.
Swali dogo tu hivi Mtume sala na salam ziwe juu yake alipewa sala na mola wake wapi kama sio mbinguni? Mche Allah ndugu zangu atakae mfuata huyo Jahil pasi amepotea
Wapi mtume kasema alipokwenda mbinguni alimuona Mungu?
Kwani wewe pasta, padri au askofu? Maana ilo tambara ulilovaa shingoni lina misalaba, kisha unatafsiri aya. Subiri tarehe 26 usherehekee Chrismas
Hizo ndizo adabu za mawahabi wenye kuabudu miungu mitatu ya rububia wote hawana adabu ni wakurupukaji na wenye matusi na wauwaji wacha tuwanyooshe ndugu zenu mayahudi kule palestine alafu turudi kwenu..
@@KhamisiOmar-v3h kwani hilo tambara Lake hulioni kama lina misalaba? Au mumehalalisha misalaba?
@@khamisjuma8813 sio kosa lako sbb wewe ni makengeza cwezi kukucheka sbb kama hujafa hujaumbika pole kwa msiba ilio upata.watu wote wasione msalaba wwe ndio unauna ama ulitandikwa na msalaba nini.?
@@KhamisiOmar-v3h dah! Usufi kweli shida! Yaani hata iyo misalaba pia huioni! Pole sn, na ndo mana mimi nikaachana na usufi kwa uongo wao bila ya dalili na kunyamazia makosa kama haya. Wewe, ukubali tu, eti kwa kuwa sheikh kanena hamna kosa.
@@khamisjuma8813 uliruka asali ukaingia kwa mavi ya mawahabi wauwaji wanao jifanya wameokoka kama wakisto eti unasema ulikuwa mchawi na sasa umeokoka kuwa muwahabi nani atajua kuwa umeacha uchawi watu hujitakasa kwa allah sio kwa wanadamu baki na hio imani yako ya miungu mitatu ambayo haiko kwa qur ani walla mtume hakuifundisha na kusema wakiristo mashoga wachawi wasanii waizi wazinifu ni bora kuliko watu wa maulid.