Athari za bunduki haramu nchini Kenya.
Вставка
- Опубліковано 28 тра 2024
- Wakati gharama ya maisha Kenya inapanda, ndivyo uhalifu wa kutumia nguvu unavyoongezeka.
Mwanahabari Elijah Kanyi anachunguza athari mbaya kwa binadamu za silaha haramu katika makazi duni nchini Kenya.
#bbcswahili #kenya #bbcafrikaeye
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
BBC shukurani sana kwa kutupatia hizi taarifa 🇹🇿🤝🙏
Noma saana
✊🙏
Life is difcult
acheni kuisimanga south Africa au America Haya Mambo SASA yapo nakwetu 🇹🇿🇹🇿😔