Bashe Afunguka Mazito Kuhusu Sukari, 'Siwezi Kuwa Waziri Boya', Mpina Asema Anaongea Uongo
Вставка
- Опубліковано 3 чер 2024
- Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe akifanya majumuisho ya hoja zilizotolewa kwenye Wizara ya Fedha leo Juni 04,2024, amefafanua sababu za Wizara kutoa kibali cha kuagiza sukari kwa kiwango cha juu.
Man him self,namkubali Sana bashe he's very bright.
Mpina yupo sawa kabisa
We ni jizi , ipo siku tutawafanya kama kenya
Sio kweli hata kidogo viwanda vya Sukari vinahangaikia vinabali vya kuagiza Sukari tokea October wanakuja kupewa February, Waziri ni mwongo.
Hoja zinajibiwa hivyo Asante mpina,Asante Bashe
4:05
Wewe ni machine wewe siyo mwizi wewe Jerry silaa makonda bite ko bashungwa ndio tuna wategemeya taifa hili
NAKUFAHAMU UNAJUA SANA MIMI SINAGA SHIDA NA WEWE MH: BASHE HUNAGA BAYA WEWE NI WAZIRI SMART PRIME OF AGRICULTURAL. MKULIMA TANGU UWE WAZIRI SASA HIVI ANA RAHA MNO MAVUNO YAMEONGEZEKA HONGERA BASHE. NZEGA OYEEEEE HUNENE BASHE BHANGINE PHOTOCOPY
Mpina wewe ni machine lakini Bashe muache Yuko safi siyo mwizi muache
.mmmmh😮
Waziri yupo vizuri na anavuatilia ilani ya CCM. Nchi jirani politicians wana hoard sukari ili wa manipulate. Waziri Linda haki ya maskini wanakupinga ili wazito walete sugari kwa bei juu kwa manufaa yao. Pambana nao bashe
Mpina yuko sahihi bashe acha sisi wananchi tunaujua ukweli wake na uongo wako Bashe
Spika awaache wabunge wawabane mawaziri kikamilifu hapo ni kama anawaogopesha. Mbona Bashe amempangua mpina vizuri tu
Kwani sukari imeshuka lini...haya majizi...na magonga meza hayafanyi utafiti.
Usiruhusu hilo kurudi tena katika historia y nchi hii,upo Sawa
Sukari ikikosekana wanakusema,simamia msimamo wko upo sahih
Huyu ni mwizi kama wezi wengine
Mpina 😂😂😂😂
JIZI LINATOA MATUMAIN KWA FAIDA BINAFSI
Kwani sukari imeshuka lini...haya majizi...na magonga meza hayafanyi utafiti.