Mungu awabariki sana Upendo TV na Mch.Abednego Leparako kwa kutuletea kipindi hiki, Mimi na nyumba yangu tumebarikiwa sana pamoja na ndugu wengine waliotoa maoni yao baada ya kufuatilia kuanzia mwanzo. Sifa na utukufu apewe Mungu Baba, Mwana na Roho mtakatifu. Philipo Mrutu, S.L.P 16, Morogoro- Tanzania.
Ukisikia kuwa Bwana huwainua wanyonge kutoka mavumbini huwaketisha pamoja na wakuu ndo hapo sasa
Ameeeen MTUMISHI. Kweli ukimtafuta Mungu utmpata tuu. MUNGU HANA UPENDELEO. BE BLESSING Man of God!
Mungu awabariki sana Upendo TV na Mch.Abednego Leparako kwa kutuletea kipindi hiki, Mimi na nyumba yangu tumebarikiwa sana pamoja na ndugu wengine waliotoa maoni yao baada ya kufuatilia kuanzia mwanzo. Sifa na utukufu apewe Mungu Baba, Mwana na Roho mtakatifu. Philipo Mrutu, S.L.P 16, Morogoro- Tanzania.
Balikiwa mtumishi na MUNGU akutie nguvu