Daaah! Father nimekuelewa sanaaa lkn wazo moja tu kwanini msiwe na weka seminar ya DJ's pamoja na Mapromota kuhusu kucheza mziki wa Bongo kwa kiasi kikubwa na pia hawa Mapromota hawawezi kuandaa show pasi na Government permit kwaiyo kwanini tusiwe na sheria maalumu na kanuni ya kuupa mziki wetu heshima na kukua zaidi .Serikali pamoja na Wadau ndio wanaweza kutushibisha radha ya mziki wa Bongo
Mm ndio nilikupaaa kitambaa chakukufuta jashooo unakumbuka Sana’a ajaliii na babu kinkokoo akiwa natoka kwenye shooo yakooo wahuni 3 na madem wao walifali palepale
Respect the OG🇰🇪All the way. Fid Q is great but it is end of his Era.
Fid Q is the King in Africa he has a powerful msg not for average
Daaah! Father nimekuelewa sanaaa lkn wazo moja tu kwanini msiwe na weka seminar ya DJ's pamoja na Mapromota kuhusu kucheza mziki wa Bongo kwa kiasi kikubwa na pia hawa Mapromota hawawezi kuandaa show pasi na Government permit kwaiyo kwanini tusiwe na sheria maalumu na kanuni ya kuupa mziki wetu heshima na kukua zaidi .Serikali pamoja na Wadau ndio wanaweza kutushibisha radha ya mziki wa Bongo
Mi naamini awakutani na vitu vizuri wanavyoovipenda may be best zenye mood au maproducer wanao amasisha game
Fid q for life cruza kwaruza toka Kenya
that's true bro i like that 💯 fid q your the only one
wasanii wa bongo hamuwapendi wananchi kabisa, halafu mnataka tusikilize local music na kudai uzalendo. na nyie badilikeni kidogo
jay melody ngoma zake zote ni moja tu. same menu inachosha
PIGA makofi everytime he says "UMENIELEWA VUZURI"
sogy no one like u presenter mwenye skills za maswali yenye akili sio wasafi nusu kipindi chote wanamtaja diamond tu wanaboa
Mm ndio nilikupaaa kitambaa chakukufuta jashooo unakumbuka Sana’a ajaliii na babu kinkokoo akiwa natoka kwenye shooo yakooo wahuni 3 na madem wao walifali palepale
Mmh fid q simu king’ora😂
Sogg dogg sasa hivi yupo station gan
Mjini fm 🔥🔥🔥🔥
Fid q for life
Mpigapicha mshamba sana uyo kupitapita mbele ya camera Mwana mwanakijiji
Maprokoter wabongo wanazinguwa Bahu tale salamu wote makuma
Sogg dog ni kilaka wa bongo fleva na Tasnia ya hbar na bongo fleva
Lakini mbona Watanzania huwa hawapendi wakenya kabisaa?
Ni chuki au wivu?
Mapromota wengi wanao andaa show kama izo wengi sio wabongo ndio maana wasanii wetu wanakua wasindikizaji🙃
FID Q 🔥🔥🔥🔥
Fid Q mwanza Mwanza
Ivi uyo aliempatia Babu tale udoctor wa heshima kwanini asimpe uprofesa huyu king FID Q?
Kabisa unaongea kweli
Kwasababu msikilizaji wa rap yeyote yahitaji atleast unyake kitu flani. Nyimbo asilimia 80 ikiwa kiswahili atanyaka nn.
MAKES SENSE WHY THIS GUY UWA DOES NOT DO MAHOJIANO MARA KWA MARA.....MZEE WA BUSARA SANA ..WHEN YOU TAKE TIME TO LISTEN
Fid akili kubwa Sana we jamaa
Haina sauti live Why ?
Na yy si ana rap na rap wenyewe ni wamarekani na zaidi weusi
Fidq professor wa chuo kikuu cha ghetto
Fd q ndio habari ya mjini jamani kama nikujivunia wasani wa hpp
Huyu ni Fid Q, moja kati ya watu makini sana.