FDT- Module 3 Upandaji wa Miti - Kiswahili

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 16

  • @vicentgoodluck2352
    @vicentgoodluck2352 5 років тому +1

    Asante sana kwa somo zuri

  • @kephacymmila2082
    @kephacymmila2082 6 років тому +2

    Asanteni somo zuri.

  • @rogersswai3684
    @rogersswai3684 6 років тому

    Umeeleweka vizuri tu

  • @mossesanney3578
    @mossesanney3578 4 роки тому

    Hamja sema njia yakuaandaa miche

    • @pelezi84
      @pelezi84  4 роки тому

      Karibu sana Moses,
      Hii module 3 ni kwa ajili ya upandaji miti tu,
      Ukitaka kujifunza uanzishaji bustani search module 2.

  • @gracefigur8642
    @gracefigur8642 6 років тому +1

    Asanteni sana

  • @avax5717
    @avax5717 6 років тому

    Somo zuri sana

  • @fulgencelendo8040
    @fulgencelendo8040 8 років тому +2

    safi sana,somo zuri

  • @veniusstanslaus7521
    @veniusstanslaus7521 3 роки тому

    Je Kama seheme huwa panatuwama maji kwa kipindi cha miez 3 hadi 4 kwenye bonde panafaa kupandwa mipaini au haitaki maji mengi nisadie kunijibu

  • @shabanirajabu4296
    @shabanirajabu4296 5 років тому

    Ni bora kupanda miche kabla ya mvua kuanza kunyesha au baada ya mvua kunyesha..?

    • @pelezi84
      @pelezi84  5 років тому

      Wakati mzuri ni pale tu mvua zinapoanza kunyesha.

  • @rogersswai3684
    @rogersswai3684 6 років тому

    Safi...Module ya tano wapi?

  • @shabanirajabu4296
    @shabanirajabu4296 5 років тому

    Na miezi ipi ni vizuri kuanza kupanda miche ya miti......?

    • @pelezi84
      @pelezi84  5 років тому

      karibu sana, Kwa kawaida miche ya miti inaanza kupandwa pala mvua za masika zinapoanza kunyesha yaani kuanzia miezi ya Disemba hadi Machi.
      Karibu pia kwenye forum ya Mitiboashara ili upate mengi, mitibiashara.or.tz/

    • @veniusstanslaus7521
      @veniusstanslaus7521 3 роки тому

      @@pelezi84
      Je kwenye tinga tinga panafaa kwa kilimo cha miti hii au

  • @veniusstanslaus7521
    @veniusstanslaus7521 3 роки тому

    Je Kama seheme huwa panatuwama maji kwa kipindi cha miez 3 hadi 4 kwenye bonde panafaa kupandwa mipaini au haitaki maji mengi nisadie kunijibu