Wakwangu nachukulia.t kashakufa hajui mtoto anakula nn wala kaamka vip wala kala nn hajui.hivyo mm najihesabia. mtoto wangu ni yatima.hana baba yuko na mama yake tunaish tumewaacha watu wale bata
Doctor kumbuka io mada naomba please uirudie tena uiongelee kwa mapana zaid yan wanawake wanatunyanyasa kwa watt wetu tunapowahtaji kuwa nao kwa mda mchache,, nakukubal doctor
Wakwangu nachukulia.t kashakufa hajui mtoto anakula nn wala kaamka vip wala kala nn hajui.hivyo mm najihesabia. mtoto wangu ni yatima.hana baba yuko na mama yake tunaish tumewaacha watu wale bata
Tuko wengi ndugu
🤣🤣🤣🤣.... Thumps up. Sisi wanaume tuko
Wenye mabwana zetu majina ya shabani jamani mbona mnatuonea
Nakupenda bure kumbuka 🤣🤣🤣🤣🤣
Vipenzi vyamungu niwachamungu nawale wanao tubia kila wakikosea.
Doctor kumbuka io mada naomba please uirudie tena uiongelee kwa mapana zaid yan wanawake wanatunyanyasa kwa watt wetu tunapowahtaji kuwa nao kwa mda mchache,, nakukubal doctor
Kuna wanaume wengine hata salamu za bure hawaleti itakua robo ya unga
Wanaume wa sasa wapo kwa ajili ya mbegu tuu
Maneno kuntuu🧐🧐
Kumbuka bhana eti hicho kisamvu chako cha kutia kitunguu swaumu!😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Yani hata nikichwa sijitiii usingo mazaaaa loo sijitwishii majukumu loo pooo Ahsante kaka angu
😃😃😃😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hapo kwenye yebo yebo tangia nov yaani huyo ni mimi
Da Sophia ushungi wakupendeza zaid my
Hao wanaume wa ivyo walikufa zamani kumbuka leo hapana kumbuka siungi mkono zay wa ughaibuni
Nakuna wanaume ambao unawaachiq watt lakini ukimtaka mtt mbinde
Umetisha kak
On points
🤣🤣🤣🤣🤣Prof Kumbuka
Asante kumbuka umenigusa sana Leo kunywa soda nitalipa
Uyo dada mwislam gani mgomgo wote wazi mpa sidilia yote ina onekana sub hana Allah
Halafu hajjat huyu jamani,Leo amenishinda,naomba Allah anisamehe Kama nimemsema vibaya Ila uislamu ni kuusiana
Mm. Nimeshangaa ujue mpaka nimemwambia a jistili dijada matangazo daaa mtihani
Mimi mbona sijakataa nae na wala sisaidiwi majukumu.
🤣🤣🤣🤣
Odo wangu inamuhusu hii anawachamba wazazi wenzie mpaka aibu
Hpo umenimaliza.nipo kwa mtihani huo.mtto wngu cfai hta kumuona nkipeleka nguo zarudishwa.
Ww dada mwenye mawani hiyo sijida au nini kama ni sijida mbona unaitangaza nahichokilemba ujistili ila kama siyo basinisamee
Sio sijida tu,amehiji huyu hapa sijui anatufundisha Nini tunaohangaika tupate wasaa wa kwenda kuhiji
Swadakta joogoo
😷🛀
🤣
🤣🤣🤣
Kumbuka doctor yaan mada io km nimekuadithia yanayonikumbuka watt wang nanyimwa kuwa nao japo wiki moja ya likizo wanawake wengne nuksi