Azam TV - Historia ya kusisimua jaji mkuu mpya wa Tanzania

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • Waziri wa Sheria na Katiba Prof. Palamagamba Kabudi, ameelezea historia ya jaji mkuu mpya wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma, ikiwa ni pamoja na kumfundisha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

КОМЕНТАРІ • 25

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 3 роки тому +2

    Prof Juma namkubali sana natamani hiki kichwa kitukwamue hapa tupo. Asante

  • @mariammussa9292
    @mariammussa9292 4 роки тому +3

    Mashaa Allah Allah akuongoze jaji mkuu ibrahim juma

  • @jumaramadhani5861
    @jumaramadhani5861 7 років тому +3

    Allah amfanyie wepesi katika kazi yake

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 5 років тому +2

    Ibrahim anaonekantu kiukweli nimpole sana sana

  • @abdulrazakyussef3177
    @abdulrazakyussef3177 5 років тому +6

    kweli Jaji Mkuu Khamis Juma anaonekana mpole sana, lakini ndani ni chuma tupu, dhabiti sana.

  • @ommarymzee1161
    @ommarymzee1161 7 років тому +3

    ibrahimu piga kaz baba wahukumuu wez maaana nomaa kwel

  • @dhoulkefyljr8637
    @dhoulkefyljr8637 7 років тому +2

    Mungu amlinde na amuwezeshe kuwa na uadilifu

  • @japhetkazeri7135
    @japhetkazeri7135 4 роки тому +3

    Sisi Mara hivi ni vitu vya kawaida tu,toka zamani

  • @dedakisika6669
    @dedakisika6669 2 роки тому

    Nakuelewa Sana kabudi

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 4 роки тому +1

    wahh

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 7 років тому +1

    awe kama wa kenya

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe5640 2 роки тому

    Naona misifa kibao Duhhh

  • @kisulaabas2614
    @kisulaabas2614 5 років тому +1

    Namwona Makonda hapo Msomiiii

  • @saidiseif6172
    @saidiseif6172 7 років тому +2

    hakuna chochote mnatetea ajira zenu tuu.

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar3429 2 роки тому

    asema uongo kwa kujipendekeza na kumsifu mtu kwa uongo

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 7 років тому +4

    kilamtu akieleza SV zake itakuaje,kuna wafanyakazi wanafanya kazi 24hrs,unakuta kituo cha afya,shule wapo wafanyakazi wa2 au wa3,hawa unawafikiriajee?

    • @ibrahimislam1493
      @ibrahimislam1493 4 роки тому

      IBRAHIM SHILINDE usiwe na wivu mtu akipewa uwezo wake.je kama ingikua wewe unge pinga.ficheni udhaifu wenu

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar3429 2 роки тому

    masifa matupu lkn hana la maana

  • @mnzavachris5423
    @mnzavachris5423 6 років тому

    ani niache nyapu ya mke wangu kisaaaa..io ofisi yanipa nn kitamu zaidi ya cha mke wangu, tena cha asbh kina ladha ya pekee sana!
    Na ni matatizo hayo ya usafiri na labd pengine uko nyumbani afukuzwa.
    Ila yote kwa yote kazi njema nafikiri anaifany vyema.
    #GGTZ🇹🇿

  • @bakariyusufu839
    @bakariyusufu839 7 років тому +2

    Naona bashite nae anapiga makofi

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 6 років тому

      bakari yusufu hhahahaha tungemuwahi pale alivyotoka tukamuuliza alikuwa anapigia nini

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 7 років тому +4

    Uwongo mtupu sifa zikizidi