WEWE SIO MKRISTU WEWE NI MFALME
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwaajili ya huduma hii;
M-PESA: +255 760 200 300
TIGO PESA: +255 773 150 150
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI AUGUSTINE BILOMO TENGWA
AU KUPITIA BANK ACCOUNT
CRDB: 015 232 628 6200
NMB: 2461 0015 434
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI AUGUSTINE BILOMO TENGWA
UMOJA WA MAOMBI NA TOBA YA KITAIFA
WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA
+255 769 515 808, +255 629 304 931
#HudumayaUamshoNaMatengenezoYaKanisa #Mwl.Tengwa #MaombinaUshauri #0629304931
RUDI_MWANZONI _ MWL. TENGWA
ni kweli iliyo kweli
Amen, wafalme
🎉 haleluya Haleluya haleluya
Duu hapo pazuri sana nabarikiwa sana na mubarikiwe sana
BWANA YESU asifiwe, Mungu awabariki wateule wa Mungu wapakwa mafuta ya ROHO mtakatifu, hakika injili hii ni kwaajili ya waliokusudiwa na Mungu mwenyewe ndio watakao ielewa injili hii
Ni kweli sisi ni wafalme
Hakika sisi ni wafalme wa ufalme wa Mungu wetu.
Sisi ni Wafalme hakika watumishi.🙏
Naamini hivyo kwakuwa alie ndani yngu yeye ni mfalme wawa falme na mamlaka zote Amina.
Bwana Yesu asifiwe wafalme wa Ufalme ulie juu . Kukataa mpaka na maandiko ya Neno , ni matokeo ya mifumo na sumu ya mkuu wa ulimwengu huu. Haya mambo 2 yamekwisha funga na kukamata ufahamu .Ee MUNGU ua milele yote geuza BWANA mioyo ya watu; Uifanye kuwa ya nyama ili ikubali kula chakula chako cha uzima na uzima ukajae ndani yao badala ya mauti. Amen Amen.
Ndiyo sisi ni wafalme
Joan kazdo,,Amina na barikiwa sana,nawafatilia kutoka Saudi,hii ni kweli tutopamoja lnjili ya mungu iendelee milele
@@ااا-ح9م MUNGU AKUTENDEE MEMA MTU WA MUGU
Hivi hawa wanao kataa kuwa wafalme , naomba watuambie, BWANA wa mabwana, Mfalme wa wafalme, hao mabwana na wafalme nikina nani?????