@@Rais__772daughters sio wanaume ni wazazi ambo hawana akili kabisa jamani yaani wanawaza mali tu hawawazi watoto wao wa shenzi kabisa wazasi kama hawa😮😮😮😮
Mmmmhhh matajili hawa yaani wanawanzaa pesa 2 ilaa huwa hawajalii hisia za mwanaee loooh hafu mwishoe ataa wao walikuwa masikin😂😂😂😂😂😂 wamepataa do wanajikutaa hawataki masikin
Mimi nngekuwa Ndio Felix ningewaachia mali zao Arafu nikafata moyo Wangu unataka Nini.boara wali maharage kwenye amani na kuliko wali nyama kwenye shida😢😢😢😢
@Evelynmoreen3655 Ndio kwasababu kila mda Baba ake anamtishia kiwa nitakupokonya mali zangu kama hutomuoa mtt wa waziri .inaonyesha Felix anathamin mali kuliko ata huyo jasmine
Nahuyu Jasmine naye anajizima data mtu. Wenyewe hakuona hata kipindi waripo kuwa south Africa Kikao gani chakulala hukohuko,na clara naye kapasua jipu yanini kumwambia Felix kuhusu mimba harafu na Felix hana msimamo mtu mzima harafu bado anaendeshwa na wazazi sijapenda ifike mahari ajisimamie sio kuendeswa kama gari mbofu.
Mbona unachelewa sana mpenzi
Tuwaishie chamwisho, bado tupo apa dada💝🙆
Ila wanaume jamani daah😢😢
@@Rais__772daughters sio wanaume ni wazazi ambo hawana akili kabisa jamani yaani wanawaza mali tu hawawazi watoto wao wa shenzi kabisa wazasi kama hawa😮😮😮😮
@zenaathumani8144 kwani felix si mtu mzima?hawezi kuamua maamuzi yake?ana pesa zake mbna hawezi amua,
@@Rais__772daughters 🤣🤣🤣
@zenaathumani8144 nimekasirika sana na felix
Felix anakera sana mtu mzima lakini anaendeswa kama mtoto vile bola Jas a move on hapo na mpenzi kabisa
❤❤Wakwanza apa, Asante kipenzi, hii ni🔥 nilkua naingoja kwa ham Sana, wadau kujen pamechangamka ten🤣🤣💃🤝
❤❤❤🎉👏
❤🎉🎉🎉🎉🎉
Upo vzr me leo ndo nasikiliza😅😅😅😅😅
Mh awee unajivuta😂😂@@Babyfaty-m3y
Nzuri❤❤❤
Dada mwendelezo unachelewa jmn
Mmmmhhh matajili hawa yaani wanawanzaa pesa 2 ilaa huwa hawajalii hisia za mwanaee loooh hafu mwishoe ataa wao walikuwa masikin😂😂😂😂😂😂 wamepataa do wanajikutaa hawataki masikin
Maskiin alipata nishida😂😂
@TeklaNdekeja umeonaa eeehh yaani cjui wanajikutaa kina nani et huna faidaa yoyote kwenye family yangu
Yamwisho iko wapi dada hongera kwausimuliyaji
Ubarikiwe kipenzi 🎉🎉🎉❤❤❤
Asante sana kwa mwendelezo wa simulizi hii tamu kweli kweli 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
❤❤🎉🎉💞🙏
❤❤❤
@@AnnaMelikion anna wangu simulizi hii ni tamu kweli jamani daaah 🤣🤣🤣🤣
@zenaathumani8144 😂😂😂 Ndio kipenzi unaweza Ata kuombea mkopo 🏦
@@AnnaMelikion 🤣🤣🤣🤣
Dear muendelezo uschelewaa
Jas walngu
Mapenzi konyo Kwa kweli Jasmin pamoja na kuonywa na mama Felix lakini Bado tu anamng,ang,ania tu Felix dah
Nambo munachelewesha sana
😢😢😢musitucheleweshee bas jamani.mwendelezo
Simulizi ninzuri san Ila inakawia san😢😢😢😢
Dada umechelewa sana kutoka hi
Hamna ndoa hapa
Mimi nngekuwa Ndio Felix ningewaachia mali zao Arafu nikafata moyo Wangu unataka Nini.boara wali maharage kwenye amani na kuliko wali nyama kwenye shida😢😢😢😢
❤❤❤🎉🎉
Hapo inamanisha Felix anadhamini mali na hana upendo wa kweli huo mtu mwenyewe hawezi kujisimamia.
@Evelynmoreen3655 Ndio kwasababu kila mda Baba ake anamtishia kiwa nitakupokonya mali zangu kama hutomuoa mtt wa waziri .inaonyesha Felix anathamin mali kuliko ata huyo jasmine
@@AnnaMelikion kweli kabisa Felix sio mtu muzuli hana upendo kwa jas ni mihemuko tu
@@Evelynmoreen3655halafu hatak mwenzk awe na mahusiano mengne wkt yy anaye mwnmke wke uko
Asante napenda saut yako dd
Unatueka sana mammy kwanini??unatufanya tuwe nunachungulia tu
Hatukudai dada tushamalizana
Asante
🎉🎉🎉🎉
❤❤🎉
Nahuyu Jasmine naye anajizima data mtu. Wenyewe hakuona hata kipindi waripo kuwa south Africa Kikao gani chakulala hukohuko,na clara naye kapasua jipu yanini kumwambia Felix kuhusu mimba harafu na Felix hana msimamo mtu mzima harafu bado anaendeshwa na wazazi sijapenda ifike mahari ajisimamie sio kuendeswa kama gari mbofu.
Bora wangeenda mbal bhac
Lijinga na wivu wa kipumbavu aliokuw nao kumtesa mwenzke tu ama kwel hili ni pnz la moto
Leo kama inge pita ninge andamana
Weachat😅
😂😂😂
❤❤❤😢😢🎉😂4
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Unachelew mno dada tushasahau
😂😂😂clara amemwaga unga
Yamwisho iko wapi dada hongera kwausimuliyaji