MAMBO YOTE HADHARANI MAMA DANGOTE AVUNJA UKIMYA HUYU NDIO BABA HALISI WA DIAMOND PLATNUMZ
Вставка
- Опубліковано 14 січ 2021
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
Jaman jaman pesa hiz ni mapito,laana zitawaandama nawaoneeni huruma Sana mzee Abdul wew tulia Vita si yako acha mungu akupiganie 😭😭
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
ua-cam.com/video/sr1oqlNs5Io/v-deo.html
Kabisa mola atampigania haswaa Yani mitihan tu yakawaida duniani mapito
*Tazama Lyrics ya wimbo mpya wa Zuchu sukari kwa kugusa linki hii ya chini*
ua-cam.com/video/LMMcOLVk4rs/v-deo.html
Lakin pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel
Ooooo
Nikwamba ukiangalia mwanzo wa interview ilivyoanza niwazi ilipaniwa A-z watangazaj wameambia kila kitu...
Amin Mungu FUNDI malipo ni hapa hapa.mzee abdull atalipiwa
Amin ..so sad
Kweli watangazaji walikuwa washajua
Hii inajulilana muda mrefu labda ww nimgeni wamitandao
Ni kweli kabisa jamaa kamezeshwa maneno
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
ua-cam.com/video/sr1oqlNs5Io/v-deo.html
*NAKUKUMBUSHA* : _Hii Yote Ni Kwasababu Leo Hii Diamond Ni Tajiri. Angekua Masikini Yote Haya Yasinge Tokea!_
Hata mzee mwenyewe ameanza kujitapa mwanangu baada ya mafanikio ya diamond wakat hajafanikiw alikua hana time nae ko wala lisikuumize hilo
Cul
Fact
Yah n kwl
@@sniperbogo6210 Sana lakini chaajabu huyu Ricardo mwenyewe anashuhudia zina ambao hajakuwepo kuwa huyu Diamond ni kweli kabisa kwamba mdogo wake na hayo yote kwa sababu kapata hela ila hawa watu nijaa tu tumeambiwa ukizini ni dhambi kubwa usikubaliane nalo kama kweli ulizi leo huyu Ricardo mwenyewe anashuhudia zina ambao hajakuwepo
Waaaaa ile patience niko nayo cant allow me to watch till end mnaboo sana kelele mingi and its clear mlipanga God is watching
Mama Asitufanye cc watoto kwann Diamond Aitwe Nasibu Abdul.Pumbavuuu.
Inaonekana Mama Dangote ako na shida na Mzee Abdul ... Machozi mafuriko 😭😭😭
Vita ya kuangamiza kizazi cha yule mzee abdul
Mzee anashida na hela za diamond
C bb wa kumlea Mana alichkua akiwa na mmba ety
Kumanisha alimuendea mumuwe kinyume akiwa mke wake halali, Mama ajiaibisha hadharani
Mzee akinuna hapana linalotendeka amesha ongeya mzee abduli daimodi siyo mwanawe ila mzee abduli hajafurahi mungu atamlipiya mzee abduli
WALLAH kuanzia leo hii mimi kila siku ntakesha msikitini na kansani kuomba mungu kupitia kitendo hiki mungu awalipize ubaya mama Mond na mond mwenyewe waione dunia chungu, mali zao zote ziyeyuke, mikosi izidi na huyo mzee ainuliwe juu juu zaidi umaharufu wao ote opotee Tz na ulmwenguni kote. Amen
Watu wanalitaja tuu jina la mungu Kama anavomuita said, John au juma....Tena wamevalia na mavazi ya ibada kabisa kwenye maswala ya kipuuzi dah! Inasikitisha Sana.....all in all baba Ni baba awe mzazi au mlezi....in short wasafi kwa Ujumla hamjafanya kitu kizuri, hakina heshima, hekima, Wala maadali kwa jamii inayowazunguka ....je mnafundisha nn watoto wa kike au sisi wanaume.....kwa mwendo huu idadi ya single mothers na watoto kukosa malezi itazidi kuwa juu.....haipendezi maswala ya kifamilia kuyazungumza Kama vile unatangaza show ya wasafi festival ivo vitu Ni very sensitive na empact yake Ni kuwa kwa jamii...I fill so bad.😔😔
*Wangapi mnataka tumsapoti mzee kwa kuchangia kwenye biashara zake? hii platform inaweza mpa pesa nzuri akawa na maisha mazuri, let's support mzee Abdul watanzania wenzangu* FOLLOW HİS İNSTAGRAM PAGE AND SUPPORT HİS BUSİNESS
Tufanye ivyo kk tumsaidie yule mzee
Nipo tayari
Na mimi Nipo tayari tumcangiye mzee abdul 🤗Wallahi Iyi familia ya Diamond Mwenyezimungu anawaona
Wapo wengi anaowazidi uwezo wote utawachangia? Au Abdul kawaje sasa
Tupo hapa 👍🏼👍🏼👍🏼
Na Diamond is about time to be a really MAN! Wewe ni kioo cha jamii mpaka huku nchi za nje. Lakini all this bs hazikusaidii!! Help this man! Don't take judgement & punish Mzee Abdul Naseeb, only God can punish him. We all travelling in this world! Mark my word, the tears of Mzee Abdul will go down with you & your mom. PLEASE SAVE YOUR FAMILY BY DOING RIGHT HATA KAMA SIO BABA YAKO.🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Umezugumza ukweli leo upo juu1kesho upo chini ila ivi sasa ana pesa haoni.karibu sana Zanzibar
Mmh mtihani ninmshindwa kuelewa sasa huyo mzee Abdul kamleaje diamond wakati hapo nyuma alikua anasema hajawai kumlea mmh dunia inaenda mwishoni kweli🙌
Nawalaumu wasafi media team na hosts Hawa kwa kuuliza hili swali...
Diamond anafanana na mzee Abdul, hafanani na huyu jamaa .. Cinema tuu
Kabisaa
Alf kwann wasema alikataa mimba alf mara ni baba mlenz .hyo mama dangote hajielew
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
ua-cam.com/video/sr1oqlNs5Io/v-deo.html
Hata sauti yao ni same
Sawa mamaake dai
Konde Boy Jeshi tengeneza paybill namba sote kama Wana Africa mashariki tumchangie Mzee Abdul 🇰🇪
Sana umetoa point nzuri
Mimi nitakua wa kwanza na naapa nitatoa mchango mkubwa sana kwa huyo mzeee
@@omakywazamani6696 ndio
Nipo tayari
Kabisa
Reecado mimi naona umefanya vyema Chibu kuifahamu familia yake kwa undani zaidi coz jamaa alikuwa akitambua yeye ni wa KIGOMA, nimekukubali mkuu hongera sana
Huyo Licado siyo ndugu diamond baba yake ni lazalo Malyeto huyu mama aseme ukweli
Sasa km mzee abdul ni baba mlezi mmeshindwaje kumlipa fadhila ya ulezi?mamae zenu umbwa nyie
Huyo mama diamond na diamond mwenyew wote hawajielew hao washamba wapesa hao
@@saidingelemange3465 wanajiona km tayar wameiona pepo
kujazia nyama😁😁
Kama alikataa mimba !na huku alimpa jina la Babu yake na ubin wake?we mama unajielewa?
Hapo sasa
Heti wasafi kumbe wachafu momo siku zote ulikuwa wap bro? diamond unafanana na baba yako kila kitu hadi ujanja mama anazinguwa
Kwwli kabisa hasimtoto wa hamissa anafanana na babu yake ila hawa wataona aibu sikuyake mh😭😭😭😭😭😭😭mungu amsimamie mzee amdlli na Allaa ampe wepesi jana nimelia sana kwauchungu kama nikiwa mama😭😭😭😭😭😭🙏
Huyo mm ajizalilishe mara ngap, mama hajieshim kitambo sn akumbuki hata aliko toka kuwa ametoka kwenye maisha gan na leo yupo wap, hata ndoa anyo ishi nayo sasa mpaka sasa uli wake hana heshima kutwa kwenye mitandao, ni mtu mzima asiye jiheshim hafai kuigwa hata kido
UKWELI UWUMA.POLENI
Kweli dunia hadaa kila la kher mzee Abdull
Mungu atupe mwisho mwema, hii familia wana laana sio bure😭😭
Mungu atuongoze
Kweli laana tupu
True
Kwani mkiambiwa ukweli hamtaki
Unapo msema mwenzako kua analaana Kuna kuwa na mambo mawili laana atakuwa nayo ulie msonta au wew ulie sonta. Kwahy mwenye laana anaweza kuwa wew au wao mjuz ni mwenyez mungu.
Konde boy tumchangie hyu msee tafadhali ,,kama tuko pamoja gonga like
Unaweza ukawa na hela lakini akili azipo kabisa mama anajizalilisha sana inaonekana kabisa mama alikuwa mtu wa haina gani mungu atuepushe
Wasoma comment kama mm kwa uchungu WA kutaka kuzulumiwa mtu damu yake dah wanawake tuweni na huruma bc 😥😥😥😥😥😥
this is just the begining of diamond platinumz downfall
💕🙏🙏
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
ua-cam.com/video/sr1oqlNs5Io/v-deo.html
*TAFADHALI KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAKUOMBA ANGALIA VIDEO YA WIMBO WANGU MPYA KWA KUGUSA PICHA YANGU HAPO PEMBENI LAKINI PIA NAOMBA SUBSCRIBE KWENYE CHANNEL YANGU ILI NIWEZE KUMONITIZE CHANNEL YANGU*
🎶🎶🎶🎶🎶
*Tazama Lyrics ya wimbo mpya wa Zuchu sukari kwa kugusa linki hii ya chini*
ua-cam.com/video/LMMcOLVk4rs/v-deo.html
Lakin pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel
Huyu mama anajizaririsha sana, nmemshusha vyeo
Hahahaha jaman wababa wanakataa watoto zen wakipata mafanikio wanawafata ivi kama ww mtu kakataa mimb anaibuka kwenyerah kwann wann uyo
Yaani!
Inatia uchungu!
Mama Diamond atalipa hapa,hapa duniani.
@@afrogirlradhiamusic2268 acha ushabiki wa kupumbavu...wewe ni mshenzi nini pia...unaunga mkono ushenzi mwanaharamu mkubwa wewe kuwa na adabu kbs unajua uchungu wa mzazi wewe???kwa pesa gani hasa walizokua nazo mpk wanyenyekewe???uchaw mtupu..
Pumbavu kbs kbs...hv kwa wanavyomchukia yule mzee ingekua sio mwanae si muda tu yangejulikana???khaaaa Aibuuuu...hauna akili kbs
Mama diamond ni mshamba sana.pesa makaratasi asifanye kiburi kisa pesa amejisahau sana. Ila ss tunamuombea mzee abdul mungu amjalie subra na afya aje aone mwisho wao
Mtt anamiliki bilioni kadhaa wkt baba anaishi maisha ya kulaumu kwnn imekua leo,Diamond Mungu anakuona,Chozi la baba Mungu atamlipia.
😥😥😥😥😥mbn mnamfanyia ivo mzeeh abdul mzee mpole hana neno na mtu jamani diamond kumbuka n babako jamani mama nawe acha za ovyo
Huyo mzee abdul na licado momo siyo ndugu wa diamond diamond anababa yake
Hizi hapari nimezipokea kwamasikitiko kama nilivyo pokea hapari za msiba wa malehemu kanumba😥😔🤦
Me too
Mimi pia 😭😭😭
Kweli my yani mtihani
Hapari zinasikitisha eeeh
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
ua-cam.com/video/sr1oqlNs5Io/v-deo.html
mm nakuambia wallah mungu ampe maisha malefu mzee abduli pesa hizi azitupereki popote ila utu ndio kila kituu sijapenda atakidogo nishabiki wa wasafi lakini kwa hichi bola niwe konde boy tuu
Why force someone to talk issue ya family hivyo I didn't like the way other reporter were forcing the guy heshima muhimu
Kwanini aseme kwa Sasa mama anakosea sana
@@elipidiussimon1091 hizi hela ubadilishi akili tu na kuforget pale umetoka
huu ni mchezo wa kuigiza waliouandaa kama Momo alikubali walipomuuliza kuwa baba yao ni mzee Abdul kwa nn walikataa ina maana wanajua kila kitu iweje kwa muda huohuo wamuandae mama diamond kwa jambo hilohilo na mama kajibu bila kusita wala kutafakari wala kushangaa walijipanga kumdhalilisha mzee Abdul
Unaxema babamlez halafu unasema hajamleachochote
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
ua-cam.com/video/sr1oqlNs5Io/v-deo.html
Mimi nasema baba ake Diamond ni Mzee Abudul......acheni upuuzi
Tumekuelewa mama daimond
Huyu mama n mkatili sijapata kuona dooh! anaweza hata kuua, pesa tu ndo zinamfanya anakua hvyo, hilo nalo litapita hii dunia ni ya Mungu bana sio ya diamond platinum
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
ua-cam.com/video/sr1oqlNs5Io/v-deo.html
Shida iko kwa wlio muuliza mama sio diamond wala mama naamini wamesomea kazi hiyo miiko ya kazi nmesoma kidogo journalism wanasema seek the truth and minimize ham nyie mmeshindwa hanamna ya kupunguza ukali wa maneno ?
Good job to that guy,is so humble
It's soooooo sad for really😞😞😞. Mama Dangote muongo😩😩🤯.
Mkweli wew ulie beba mimba ya dai.
THE BOLD AND THE BEAUTIFUL ...........to be continued 😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏🙏
Kuanzia Leo mimi sio shabiki wake diamond, wamenikera saanaa
Nenda zako mwenyewe
Diamond anamakosa gani hapo Hadi unamchukia? Kwendaa zako. Hivi unamjua babako ww
@@salamakitsao5555 😂😂😂😂😂😂
@@salamakitsao5555 hilo nalo neno tukianza kufukua makabur hapa yakumjua baba itakua hapatoshi
@@Bmben1995 tena aende mbio nying mnafki tuu huyu
Just do DNA for all of them..Simples😘
Hongera sn Ricardo Momo (Mohamed) Pa1 na Mama Diamond kwa kusema Ukwl kuhusu Diamond,,,,Ricardo,,,Esma na Queen darling Ukwl kuhusu Undugu wao uko Vp.. hilo jambo jema sn
Ivi mnasoma comment kweri? Watanzania atujalipenda ili swala hata kidogo mnamnyang'anya mzee kisa hana pesa? Malipo ni duniani apa apa
Acha umama wewe alieliwa ni mama diamond we inakuhusu nini au uliliwa nae?
Duh uyu mama mkatili sanaaaa
Hawa watu wanazo laana
Uyu jama sindugu wa diamond hatasura ayikaribiani diamond platnumz ni mutoto wa abuli kabisa awepanga jama yakuharibu Jina lamuze
@@cktamunga2356 Jamaa mbona kweli wanafanana?
Waliogundua sauti ya Momo na Mond zinafanana gonga like mingi sana.
Sauti,na mwonekano vyote vinatengenezwa na kuigizwa
mzee abdul anafanana na Nassibu na isitoshe natumia jina la abdul ambae nibaba yake hakika diamond utafeli maisha hatakama nibaba mlezi kama mnavyodai ungempa heshima yake na ukumbuke dunia tunapita tu hizo hela unazogawa mitaani ungemsaidia baba yako mlezi mungu angekuongezea siku zakuishi sina mengi ila ushauli wa mwana mke siku zote jiongeze nawewe
Hii game mbona ya kawaida, me mwenyewe nipo nalea mimba ya mtu, maisha mchakamchaka
😂😂😂
Inalilaah wainalilaah rajiun diamond kumbuka mwenyez mungu ndie atakae kua hakim sk ya mwisho mwisho wa umaaruf ni kabri chunga nafs yko
💯
Jaman hapo sasa daimomd anajiaribia saana
Kabsa dunia inamwisho apa 2napita
Hakika kwel
Kwa nn cku zooote ajawai kuitwa nasibu salumu,hababaabhahahahh..bongo sinema lila kitu
Yan aikatae Mimba tangu ikiwa ndogo alafu mtoto azaliwe aitwe Nasibu abdul😂, dadeki au nn ndo cjaelewa vzr hapo, au mama Nasibu kaongea kingereza Jmn 🤣🙌🏼, Yan kama nicngezaliwa Tanzania mm aki ya Mungu ningeomba ulaia tu🤣, Bongo kutamu nyinyiii😂😂😂
Their voices resemble a lot
Even me I was ask my self why there voices are resemble? Mwanzo nilijua diamond anatangaza kipindi Cha michezo nikaambiwa sio yeye.
Usiombe ufilusike we daimond wa tanzania watakuangalia kama mavi maana kupat a kidogo tu jeur mpaka kwa mashabiki mmbwa wasaf wote
Hakika mzee Wang Abdul jipe moyo haya nimapito tu achana nao malipo nihapa hapa dunian
Mzee Abdul asisikitike, Amshukuru Mungu maana huko mbele kuna sadaka zitahitajika kutolewa, yeye hatahusika
Sijaona Familia ya watu wajinga duniani kama hawa watu
Sawa kabisaaaa
Nikwer kabisa hii familia nimachizi kabisa
Kabisaaa
Alafu hawakujui kbs
Ni tabia tu ya kimanyema, akipata inakuwa shida, fuatilieni familia nyingine za wanaojiita wamanyema ni shida tupu, wanawakana hata ndugu zao, ni kawaida tu.
PICHA limepangwa vibaya sana
They think were all stupid.
haki wala hamfanyi vizur mm pia nimelelewa na baba wakambo ila nilimpa heshima yake nikamthamin mpaka mwisho wa maisha yake nmpaka leo namkumbuka nakumuombea dua na sikuona mamangu kumdharau hata siku moja allah awarahamu wote wawili mama dagote ufanyavyo sivyo na mungu atakuhukumu kwakumvua nguo mzee alokukarimu ukiwa na mimba leo wamrudishia maovu allah anakuona ujue na je yule pacha wa mwanao nae tusemeje amezalia baba mumoja na dayamond pia basi ulikua kicheche kumbe pole sana mama mkosa haya ww
Mama Naseeb, acha kumnadi mtoto wako kiasi hicho, dunia in duara dada
Mzee wa kudele umezingua mbona ww una potosha watu pesa haiziki m2
Kwahiyo kama alikataa mimba na hakuilea kwanini aliitwa naseeb Abdul? All in all itoshe kusema sandra ni Malaysia
🤣🤣🤣
kabisa 100%
Wangejb xwal hlo kma n kwel!!!
Aliyekataa mimba mzee salum jamani si abduli au me ndio sijaelewa !
Mzee abduli akapewa baada ya mzee slum kukataa
Nice content 👍
Pole mzee Abdul wanawake sio watu
DNA ipo, lakini yote tisa, Diamond inabidi a-apreciate malezi ya baba mlezi
DNA ipo pesa pia zipo... kaka docta c pia ni binadamu atahongwa na mondi achukuliwe,mzee nasibu aachia mola tu
Ama kasema mzee abdul kakana mimba kwamba ule sio mtoto wake na hakumsaidia kitu tangu nursery paka secondary, sasa atakubali malezi ipi?
Bro Hata kama Hujuw kusoma picha Huon Hugo Diamond ni mtoto wa mzee Abdul
Mi tamko langu nitalitoa baada ya DNA, kwa sasa ni nikiongea ni sawa na kusimulia movie ambayo sijawahi kuitazama
*Tazama Lyrics ya wimbo mpya wa Zuchu sukari kwa kugusa linki hii ya chini*
ua-cam.com/video/LMMcOLVk4rs/v-deo.html
Lakin pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel
Diamond platnumz muda wake wa kuwa on top unafika mwisho. Familia yake inamshusha muda sio mwingi.
Mama yake na dada yake wana tatizo
Haki ya Mungu nimemchukia diamond na mama yake Wote mbwa tu
Sahau hilo , dua LA kuku halimfikii mwewe
Mwisho wa ubaya ni aibu wataumbuka kweupeee
Who are to say who can drop and who will elevate? Your not God chill it , wew sio Mungu.
Kwendraaa
Nare bin nare mzee Abdhul..Allah give hukmu
Wasafi washamba sana huu ubaba wa kununua duuh kisa asiwazalilishe tu duuh mungu yupo
kwanzia leo mm sio shabiki wa diamond siwezi tena kushabikia uchafu na udharirishaji
Tangu lini ukawa shabik wa diamond platnumz? Kwani umempenda diamond platnumz juu ya familia ao juu ya kazi yake mijutu mingine bana
Kwendaaaa
Aanazingua
@@vangraphixvan8320 🤣
Tuachie simba wetu ukute leo ndio umeweka bado
Huyu mama simwelewi tyuu
Subhanallah muogopeni mungu uongo ni dhambi ila alaisallahu biahkami -lhakmeen, Allah ndie hakimu kuliko mahakimu wote .
SUBHANALLAH!!!
Jaman Watanzania tusiilaumu Wasafi Media na Watangazaji hawa walio rusha kipindi hiki, wala Diamond mwenyewe kwanamna yoyote maana sizani kama yeye mwenyewe Diamond anazifurahia Skendo hizi isipokuwa anshindwa afanye nn kwa kuwa ni mama yake na ile heshima ya mama tu!! Wakulaumiwa ni Mama Diamond kwa kile anachoendelea kukifanya akijua yuko sawa lakin pia akiamin kuwa labda baba halali wa Diamond hayuko hai na lakin pia akasahau kauli ya Mwenyezi Mungu kwa wanawake wale watakao wanasibisha watoto wao kwa wanaume ambao si baba zao...!! Lakin Mungu ana kusudi lake na hili linaloendelea nikusudi lake ili kile kilichofichika basi kiwe wazi!!!
Watanzania ukweli ni kwamba mzee Abdul ni kweli kabisa siyo baba mzazi wa Diamond na hata huyo mzee Salum Nyange anaye tajwa leo kuwa ndiye baba Diamond, wala siye baba mzazi wa Diamond..!! Ukweli wa baba mzazi halali wa Diamond anaujua huyo mama lakin kaufanya kuwa siri kwa mwanae na watanzani lakini sasa kile kilifichika ni hiki:
"Baba mzazi na halali wa Diamond ni Mmanyema mwenye asili ya Burundi na anaitwa mzee MAKAME MRISHO MAKAME....
Huyu mzee yuko hai na anaishi Masumbwe Mkoani Geita na hizi skendo zote za Diamond kuhusishwa na mzee Abdul anazifahamu na kila kinacho jiri lakin ameamua kukaa kimya kwa kile alichodai kuwa angeweza kufanyiwa ukatili na mama Diamond kutokana na historia yao ya nyuma!!!
Naamini mungu atalipa katika hili, pole sana mzee wetu
Mnayoyafanya hayaendan na nyie, pesa zina mwsho wke but mzazi n mzazi tu
Kwer kabisa acha wajichetue wanajifanya wanaswali
Hakuna hiyo km mzazi sio wake hakuna kitu km hicho
Angekua sio. Tajiri wasingemnganga'nia huyo mama pumbavuuuuu
Mungu mpe moyo wa subra Mzee Abduli kwa mapito anayopitia
Interview bora kabisa 2021
interview ya kisengeeee
Yule mzee Abdul namhurumia sana
Kwahyo kilichofanya abadilishe jina nnn
Hana akili kbs kbs
Anakuwaje baba mlezi alafu alikataa mimba huyumama anahakili kweli jamani
Hahahahaaaa..... Yajayo yanafurahishaaa...
Kube mna asli ya uwenda wzimu polni
@@barynaron3718 dole la kati linakufaa kuondoka nalo kibabe
daah inauma sana pole sana mzee abd
Ricardo is very clever!!! Anajuwa kufanya interview. Hataki kupindishwa
Umalaya huu jmn mnatuchanganya jmn.
Kabixa
Kisha tunamuonea bure diamond kurithi haya kwa mamake
Mama aliandaliwa mbona anaonyesha kabisa anaangalia wasafi
kiki hiiiiiii
Nikweli
Ndio
Umeona ee🤣🤣🤣
Mchezo wa kuigiza
Naipenda Sauti ya Ricardo Momo😍
Mama Domo na mwanao wote wasenge tu mnapenda kiki sana
Yaaan mnajidanganyaa mko Kama watt,kwann aliitwa nassibu abduli
Mwachekesha nyie aki hahaaa yaani mlezi hadi jina akatumia la mlezi aki ndugu zangu hehee
Sure
Mh! 🤔Haya mengine hayanihusu. Mambo ya ngoswe mwachie ngoswe🤗🤗. Mimi nitabaki kuwa shabiki wa Chibu na kuwa shabiki wa mziki mzuri kutoka kwa #WCB tu. #WCBFORINTELLIGENTMAN
Yaani kuna kitu nimeshindwa elewa : mzee Abdoul sio baba mzazi wa diamond ni Baba mlezi,mzee Abdoul hajamsaidia cocote diamond toka mimba,primary hd secondary,mbona km kauli zinagongana: alikuaje mlezi wkt hakumsaidia cocote? Ao alikua Baba mtazamaji...?
Hapo ndoo wanajizalilisha wenyewe. Mama Dangote mnafiki kabisa
Yani mlezi ,nikama shahid tuapo
Amekua naye mpaka 15years
Utakuwa hujui maana ya neno baba mlezi kwa hiyo usituchoshe
@@beatussimon4873 Mimi ndo sielewi ao wewe ndo huelewi mkuu?
Upumbavu wenu unaenda kuharibu vizazi vya watanzania. Pesa azipatikani kwa ushetani huu
Hahahahaha pesa zipi nakati pesa wanazo tayari
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
ua-cam.com/video/sr1oqlNs5Io/v-deo.html
Kama umelia Kama nilivyo lia mimi kupitia ili gonga like
Mama anasema !!asingeikataa mimba , asingemkosa mtoto!!naomba muitafakary vzr hyo kauli ya mama mond!!!iDaa !maisha haya!!!
LAANA Tv
Mama mond kazingua wakati mondi anafanana namuzee mpaka sauti kuongea ujanja
Duh.....
Mwananke sio kiumbe wa kuaminiwa.....
Ukweli mtupu 💯
Ndo ume jua hilo bibilia mbona ime sema ukweli kwamba muushi na wanawake kwa akili nyie ndio mnao jisahau
Hakika
Kweli
Kama mkisoma hii komenti naomba mzingatie hili hasa Brother yangu Diamond, Ujue Mungu kajali umepata ila kwa kupitia Watanzania hawa hawa, Sasa mama alikulea na ametoa mchango mkubwa kwa mafanikio yako ila tu tahadhari anaweza pia toa mchango mwingine kukuangamiza kwa tukio kama hili maana tayari Diam. unaheshima kubwa Tanzania na nje sasa ujue watu wataanza kukudharau kwa vitu kama hivi, halafu jamani watangazaji hembu angalieni vitu vingine vya kuweka hewan ujue hii hali inawezo ikasababisha watu kuuana, kisa tu mnatangaza vitu sio mahara pake jirekebisheni jamani.
Diamond hapa uko na brother wa dhati👍👍🙏🙏
Mzee aende mahakamani kudai haki miliki ya jina lake, limetumiwa kimakosa, kiupotoshaji kwa miaka 30.
Fact
Uko sawa ndugu yng
Kwani Abdul yeye pekeake duniani!?
siku hz sheria iko after money af mzee hali yk ndo hv tn unafkir haki itapatikana kirahc kihivo
@@aminarashid8795 we ubongo wako una matatizo
Mnatumia media kumchafua mtu!!
Mnatumia media kuongea machafu ya familia yenu!!!
Huyu mama anawafundisha nini mabinti zetu kwa zinaa aliokua akisambaza kwa kipindi hicho!!?
TCRA wakumbusheni hawa watu pia na huku kwenye radio kuhusu maudhui,vinginevyo hichi chombo kitaipotosha sana jamii yetu.
Wewe Mama dangote u Malaya na ulimbukeni ndio unakusumbua wewe mjinga mkubwa huna akili hata chembe na yatakutokea puani panya wewe
Mwenyezi Mungu anawaona nyie!
The guy resembles Diamond,even their voices,and the way they talk.....blood is thicker than water
Nice
Huyo mama ana lahana ya mwenyezi mungu miaka yoteeeeeeeeee iyo msiseme ukweli kisa pesa? pesa mbaya zinabadilisha na wazaz
Umekuwa Mungu tangu lini sister?
Is like wote hawa they are pre informed and prepared to tell this scene!
Movie
Watanzania fungeni midomo yenu, mwawatukania nn familia ya Diamond, siku zote siri ya mimba aijuae Mama wala si baba. Kuweni makini hapo Diamond hawezi kuwasaidia watu Baki na wakati baba yake mzazi anateseka... Mze Abdul mlezi tu, na Ndio Maana kashindwa matumizi. Muoneni tu mze mwenyewe anavyo onekana bishoo kwenye Picha. Sasa ukweli chukuweni huo.
Bas diamond misaada anayo toa nibure kabsa sababu dini inasema ukiwanamali jalindugu zako nauishinao kwa wema hatakama ni baba mlezi hakupaswa kumtupa mama diamond pesa inamchanganya huyo amakweli masikini akipata matako ulia mbwataa ameona akisaidiwa atafaid sana kaona bora avunje udugu kabsa ila olewao wavunjao udugu azabukubwa Siku yakiama
Mnazinguwa bwana tunajuwa pesa ndo zinawachanganya mmeoanga wenyewe iyo bana juwa ule mzee mme mzalilisha sana tena sana mmepanga yenu wishasikia wapi alie kataa mimba alafu awe baba mlezi Acheni kuzinguwa bana kiliyo kuwa namwanzo lazima kiwe namwisho #markthedon peace
hiyo ni game imepagwa kabisa,,
Wasizengue watu rikaldo hajafanana na diamond...ni game ya kumuumiza mzee abdull. Ati kisa kapata pesa.
Sasa mzee Aboul ni baba mlezi vipi, na hakumsaidia mondi kitu?
Yan 🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼🙌🏼
@@rogerrogers6991 ni hatari
Bongo noma san Maelezo yao hayatoshelez ata therusi ya kumuaminsha mtu mwwny akil timamu.
Wamuachie mungu kwani diamond nani hapa dunia si kenge tu kama kenge wengine
Kabisa tena shetani
Umetisha sana mkuu
@@hassanmugire1497 wanazingua bab hao jamaa
Akapimwe DNA ndio kata ubishi Mzee Abdul na Nasib
Jamani wa Baba muwe makini mnapo pata watoto isije tokea makubwa baadae
Hakuna DNA inayokataa MTOTO
acha ubishi tafuta picha za mzee nyange
Uko sahii
@@siznic9115 kabisaa