ALIYESILIMU AAMUA KUTOBOA SIRI😀

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Please subscribe to my UA-cam channel. Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.

КОМЕНТАРІ • 97

  • @abiudmakokha4605
    @abiudmakokha4605 Рік тому +15

    Japo mimi ni mkristo ila Nampenda sana Ramadhan naifuatilia sana imani yake❤

  • @SalehHajj-tt4ri
    @SalehHajj-tt4ri Рік тому +18

    Assalam alykum tuko pamoja katika kila jambo la kheri. Ndugu yako katika iman kutokea Zanzibar

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 Рік тому +5

    Sheikh hiyo ndo town yangu sasa😊karibu Sana Kakamega. Allah akuhifadhi.

  • @rashidwalwanda1991
    @rashidwalwanda1991 Рік тому +5

    Pega kwa pega Hadi peponi Allah atufanyie wepesi

  • @mariamfouziawairimu7991
    @mariamfouziawairimu7991 Рік тому +15

    Salaam aleikum warahmatullahi wabarakatuh. Baraka zitokazo kwa Mwenyezi Mungu pamoja na ulinzi wake ziwe juu yako popote uendapo katika shughuli za daawa Ustadh Ramadhan. Kazi njema.

    • @mwanamtotosaid702
      @mwanamtotosaid702 Рік тому

      Allahumma Aamin 🤲

    • @johnwanjala4311
      @johnwanjala4311 Рік тому

      Si kazi njema hata kidogo ni propaganda ya iblees kutafuta watu hafifu ambao hawajui lolote na kuwahataa ili wajifunge bomu waue watu

    • @mohamedhozi8110
      @mohamedhozi8110 Рік тому

      ​@@johnwanjala4311 tupe ushahidi uliemuona katika maisha yako amefundishwa kujifunga bomu ama ni uzushi tu umekuwa kama ibilisi unashawishi watu..mapasta wenu wamekuwa mashoga mbona sisi hatusemi mnafundishana ushoga tumia akili na uwe na ushahidi kwa unacho kiongea usiwe kama mwanamke ushahidi hauna

    • @johnwanjala4311
      @johnwanjala4311 Рік тому

      @@mohamedhozi8110 ushahidi Afghanistan Wa shia mujaheeden's suuni alshabab na majangili wengi juzi Pakistan jamaa mmoja amejifunga bomu akaua masikini waislamu wenzao.

  • @PirfaImanipirfa
    @PirfaImanipirfa Рік тому +4

    Allah amdulillay mwenyezi Mungu akulipe kila la heri

  • @wahidasalum780
    @wahidasalum780 Рік тому +2

    Mashallah mashallah ramadhan Allah akujaze kheir inshallah mana hiyo kazi inataka uwe na subra na imani sanaaa mashallah.from Tanzania 🇹🇿

  • @benin9773
    @benin9773 Рік тому +1

    Allah sh.ramdhaan akuzidishie kila la kheri katika dunia na akhira kwa kazi unaofanya .ni nasaha juu yetu kuwekana sawa Kama alivyosema mtume rehma na amani ziwe juu yake. kusema kwa wasokuwa waislamu amani iwe juu yenu ni kama kusema asalaamu alaykum kwa tafsiri .Waweza kusema habari na kadhalika .
    jazakallahu kheir

  • @amoswekesa1476
    @amoswekesa1476 Рік тому +4

    Napenda imani ya huyo hawker..Ata ufanye nini habanduki kuwa mkristu❤🎉

    • @mangeraalbert7982
      @mangeraalbert7982 Рік тому +5

      Kuna imani bila kujua elimu kupotea, but haqi ni qurani pekee

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Рік тому +5

      ​@@mangeraalbert7982 takbiiiir

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  Рік тому +3

      NI vizuri kuwa na msimamo ila kusoma zaidi ni muhimu sana

    • @joephmaukilo
      @joephmaukilo Рік тому

      @@StraightPathDawah siri gan yakutobolewa apo

  • @vklhkhjji8070
    @vklhkhjji8070 Рік тому +2

    masha'Allah sheikh Allah akulinde na akuzidshie umri mrefu wenye kheri insha'Allah.

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Рік тому +3

    Masha allaah

  • @fahimabeid6953
    @fahimabeid6953 Рік тому +2

    Masha Allah❤

  • @zohramariga6678
    @zohramariga6678 Рік тому +4

    Asalam alakumu mashala mungu akulidikwakilajabo

  • @huseninchasi
    @huseninchasi Рік тому +1

    Mashaalaaaa

  • @zackynebar6365
    @zackynebar6365 Рік тому +3

    Alhamdhulilah

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi8110 Рік тому +1

    Maashaallah baarakallah shukran jazakallau khayran

  • @isseamin2017
    @isseamin2017 Рік тому +4

    Mungu akulinde ustadh Ramadaan

  • @babamkude81
    @babamkude81 Рік тому +2

    Kazi moja

  • @suleymansaid6116
    @suleymansaid6116 Рік тому +3

    Assalaam alaikum warahmatullahi wabarakaat...naomba kujuwa version ya bible yenye yatumika hapo

  • @maymunamakungu6265
    @maymunamakungu6265 Рік тому +2

    Mtoto wa mungu ni yesu?Astaghfirullah

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 Рік тому +1

    ALLAHU AKIBAR ❤

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 Рік тому +1

    Mashallah ❤

  • @cumaryuusuf7836
    @cumaryuusuf7836 Рік тому

    M.shAallah

  • @juliusjamanda7313
    @juliusjamanda7313 Рік тому +3

    Yesu alisema naenda lakini lakin sitawaacha peke yenu ntawatumia ROHO mtakatifu atakaye waogoza maishani mwenu hakusema mtume Mhamad.waislam acheni kuchanganyikiwa .....😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Рік тому +3

      Roho mtakatifu alikuwepo kabla yesu kuondoka duniani, labda useme roho mtakavitu huyo mlieachiwa

    • @juliusjamanda7313
      @juliusjamanda7313 Рік тому +2

      Mm nkudhibitishia Kwa maandiko soma JOHN 14:26 pia wewe tuonyeshe nwapi YESU alisema mwenye anakuja nyuma yake n Mtume mhamad .dhibitisha kauli zako Kwa maandiko .

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Рік тому +1

      @@juliusjamanda7313 kwa akili yako huyo roho mtakatifu hakuwa wakati wa yesu? Alafu ndio uonekane mkeli nataka uniambie nikwa nini alishindwa kusema kua huyo anaekuja ni roho mtakatifu wewe ndio unaesema?,pia ndio unionyeshe utabiri utabiriwa kwa jina nataka unionyeshe niwapi Mussa alimtabiri yesu kwa jina yesu, na hata kukosekana kwa majini kwenye bibilia sishangai maana yesu hakuacha bibilia

    • @juliusjamanda7313
      @juliusjamanda7313 Рік тому +1

      @@fatumamwalimu5765 nmekupea kitabu usome apo utapata jibu ya swali lako

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Рік тому +1

      @@juliusjamanda7313 kwani iwapo huamini mbona bado unatoa maandiko yaliyomo kwenye bibilia wakati yesu hakuandika wala kuacha kitabu kinachoitwa bibilia? Sasa andiko halikutaja roho mtakatifu wala mtaka vitu, je huoni kua bibilia zenu ndio zikamilike inabidi mujiwekee maneno mnayotaka wenyewe? Nimesema, unipe andiko yesu ametajwa kwa jina yesu na nabii yeyote aliepita tena usiniletee waraka

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Рік тому +1

    Nimecheka kama mazuri eti maiti tna wanampa pole

  • @user-vv3rm7tu6g
    @user-vv3rm7tu6g 11 місяців тому

    Yupo kilillahi taala

  • @jumahamad9463
    @jumahamad9463 Рік тому +3

    SHEIKH RAMADHAN WAMEFUNGA HAO KIFUNGO CHA MACKENZI CHA SHAKAHOLA

  • @papayai882
    @papayai882 Рік тому +4

    Shekhe nimesilimu muda mrefu lakini cjapata madeasa nipo tz

    • @zenaahmedi8857
      @zenaahmedi8857 Рік тому +3

      SubhanAllah 🤔hap unapoish hakun waislam

    • @AllyMbaruku-ky5fp
      @AllyMbaruku-ky5fp Рік тому +2

      Nenda kwa msikiti ukiopo karibu yako madras zipo hapo elimu ya kiislamu nibure kk

    • @papayai882
      @papayai882 Рік тому +1

      Ok inawezekana bolapesaaa

    • @ambarnelly6071
      @ambarnelly6071 Рік тому +1

      ​@@papayai882asalama alaikum ndungu tafuta sheh yyte uliye karibu nae kila kitu kitakuwa sawa insha allah kwa uwezo wa Mungu

    • @papayai882
      @papayai882 Рік тому +1

      Sawa lakini ujue ninamkenawatoto wamegoma kuslimu pili wazazi nandugu wamenikataaa Nina mwaka wanne sijauliditena nyumbani

  • @aliisaid854
    @aliisaid854 Рік тому +3

    We Charles makuri bora wende shaka hola kwa Mackenzie,ukauliwe huko maana wewe na ndacha muwapotevu

  • @jamesgasper6764
    @jamesgasper6764 Рік тому

    Asalaamalekhum aleikum Shekh!! Ramadhani bin kaguo ? Napenda kuomba siku moja mje na uku tz coz Kuna vichwa ngumu sana uku.

  • @abdallahonesimebamporubusa1540

    Ngo acha niwe kuuni🤔🤔🤔🤔🤔

  • @user-vv3rm7tu6g
    @user-vv3rm7tu6g 11 місяців тому

    Humsikii kutagaza dawa wa
    La hajiiti shekhe

  • @alyumar4657
    @alyumar4657 Рік тому +4

    Kama nina uwezo sheikh ramadhan dahh ungefurah t na ungejuwa kuwa waislam kutoka pemba tuko pamoja na ww

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw Рік тому +1

    Jamani naomba mnieleze , ukafiri ni nini? Na mshirikina ni nani?

    • @mohamedhozi8110
      @mohamedhozi8110 Рік тому +2

      Nakujibu dadangu kafiri ni yule anae mkufuru mungu..ni sawa na mshirikina pia maana mshirikina nmtu anae mshirikisha mungu..mkristo anamshirikisha mungu akisema mungu ni watatu..ati mungu baba mwana na mungu roo huo ni ushirikina na ni ukafiri pia

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Рік тому +3

      @@mohamedhozi8110 anha sawa asante kaka angu Mwenyezi Mungu akubariki.

    • @Sai.Mo69
      @Sai.Mo69 Рік тому +2

      Mu Kafiri pia ni yule, ambaye asha julishwa haki wa UISLAMU na MUNGU moja tuu, ....LAKINI aka chagua ku endelea kum SHIRIKISHA Mwenyezi Mungu, ambaye ni Allah !

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Рік тому

      @@Sai.Mo69 anha sawa asante

    • @joephmaukilo
      @joephmaukilo Рік тому

      @@Catherine-mh8sw kafili maana yake niyule anaepnga Mola wapekee na Bwana Yesu kristo soma Yuda1msar 4

  • @johnwanjala4311
    @johnwanjala4311 Рік тому

    Dini yangu ni musambwa na hakuna ukweli wowote katika uislamu quran iliandikwa na Muhammed baada kusoma biblia na akapendua dunia juu chini na mambo ambayo yanaendelea kwenye uso wa dunia ni tisho tupu ,maangamizi ya kuogofya msidanganywe ndugu zangu huyu jamaa anahila,jihadhari na mjidenge naye

    • @zuriathkajwangya9250
      @zuriathkajwangya9250 Рік тому +1

      Duh wewe umedata kabisa

    • @halimakhalfanmwareko4649
      @halimakhalfanmwareko4649 Рік тому +1

      Inalilah wainaillah rajiun pole kaka tena pole sana

    • @rizikiali328
      @rizikiali328 Рік тому

      Maana ya ukafiri ni kumkana mungu mmoja wa pekee na hilo limejidhihirisha kwa ndugu wakristo wao ni mungu Baba mungu mwana na mungu rohomtakatifu ambapo hata bibilia haijafunza hivyo nikinukuu kifunguw!nay uzima wa milele ndio huu wakujuee wewe mungu wa pekeee na yesu kristo uliee mtuma

    • @halimahassan3261
      @halimahassan3261 Рік тому

      Somaa mwanzo kabla ya kusema uwongo😅

  • @maandaziimakavuu3790
    @maandaziimakavuu3790 Рік тому

    Shehe umechemka acha kupotosha watu, alisema msaidizi atakuja alimaanisha roho wa kweli hakusema nabii soma hadi mstari wa 13 jibu lipo hapo acha kutafuta vijana ambao hawajui biblia tafuta wanaojua uone kuna pastor mmoja ulikuwa naye kipindi kilichopita yule ndo saizi yako!!!!!!

  • @mwanamtotosaid702
    @mwanamtotosaid702 Рік тому +2

    Masha Allah 🥰

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Рік тому +3

    Mashalla Allah ❤❤❤