❤ Antifona ya Ekaristi, hongereni sana, huwa mnanitafakarizha kila nikisikiliza. Hongereni mwanangu Florian na timu nzima iliyoshiriki katika kazi hii. Sifa na Utukufu kwa Mungu na Huruma ya Mungu kwetu sote na kipekee kwa mtumishi wake Mwl Joseph Makoye aliyemuita kutoka katika Dunia hii. Mungu amkumbuke katika utumishi wake alipokuwa hapa Duniani, akampatie nafasi MBINGUNI kwa rehema zake kuu.
❤ Antifona ya Ekaristi, hongereni sana, huwa mnanitafakarizha kila nikisikiliza. Hongereni mwanangu Florian na timu nzima iliyoshiriki katika kazi hii. Sifa na Utukufu kwa Mungu na Huruma ya Mungu kwetu sote na kipekee kwa mtumishi wake Mwl Joseph Makoye aliyemuita kutoka katika Dunia hii. Mungu amkumbuke katika utumishi wake alipokuwa hapa Duniani, akampatie nafasi MBINGUNI kwa rehema zake kuu.
Naipenda sana hii sekwensia
Kazi nzuri kaka hakika Mungu anaziona juhud zako akujalie mahitaj ya moyo wako
Hongera sana, ila maneno hayasikiki
Beautiful song , allow for skiza, ringtone etc
Naomba mashauri
Huu wimbo mtunzi ni nani mkuu
Joseph Makoye
@@newtonthomas1097 asantee sana