SIMBA WA YUDA by E. F. JISSU, KMFA - KWANGULELO (AUDIO & VIDEO - RAJO PRODUCTIONS)
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Kwaya ya Mt. Fransisco wa Asizi kwangulelo - Arusha katika kuendelea kukuinjilisha kwa njia ya nyimbo, imekuletea zawadi ya wimbo huu wa Pasaka, unao kwenda kwa jina la SIMBA WA YUDA, karibuni tushiriki kueneza Injili kote ulimwenguni kwa Kusikiliza, KU share, KU like na KU Subscribe kwenye channel yetu
Asante
Katibu: +255 686 563 285
A/Mipango: +255 764 558 899
Your the best😘😘😘 nawapenda sana na napenda nyimbo zenu
Hakika kazi ni safi niwapongeze mwanakwaya mwenzenu karbu kwaya ya mtakatifu Boniface nasisi tunaachia
Mungu abariki KAZI Yenu.
Amina...ubarikiwe pia
🥳🥳🥳🥳Alooo kazi nzuri sana Hongereni wanafransisko
Hii ni ya uweli.. big up
Mungu akawabariki nyote wanakwaya wa fransisc kwa ngulelo mnafanya vema sana adi uku zanzibar tunawasikia na wanawafurahia sansana ...❤❤❤❤blesse to you all
Mr Seraphine, i love the confidence
ukweli usemwe sauti sote zinasikika vema, Saluti kwenu
Simba wa Yuda Amefufuka kwelikweli, Ameshinda mauti. Tuimbe Aleluya. Hongereni sana wana kwaya ya Mt. Fransisko wa Asizi Kwangulelo, Jimbo Kuu Katoliki Arusha, kwa zawadi Azizi ya Pasaka. Mungu aendelee kuwabariki na kuwatunza vema katika utume wenu.😍😍😍💯💯💯
Everything is jus on point 👌 Hii kazi nzuri jamani ❤❤❤
Ni pasaka yenye baraka ❤️
Sawa sololist wetu
Aleluya simba wa Yuda kafufuka ushindi wetu.
Wimbo mzuri sana........mbarikiwe kwaya yangu pendwa Mt Francisco Kwangulelo🙏
Kazi nzuri hongereni marafiki zangu
Hongereni sana wanakwaya wenzangu kwa kazi nzuri
Hongereni Ndugu meimba vizuri mzidi kuinuliwa.
Asante sana ndugu...ubarikiwe
Hongerani sana Mungu atukuzwe kwa njia ya nyimbo zenu nzuri.
Safi kabisa nimeupenda wimbo huu.
Amina......
Hongera sana shemeji yangu 🥰🥰keep it up🙏🙏
Kazii nzurii sana wapendwa
Nyimbo zenu huwa zimepikwa zikapikika.Heko kwa mtunzi na timu yote kwa ujumla.Baraka.
Hongera kaka sera kwa kwaya yenu ya ufufuko
Amefufuka hakika. Hongera uimbaji mzuri
Kazi nzuri kweli simba wa yuda amefufuka
Simba wa Yuda ni mzima kweli
Kweli Simba wa yuda Amefufuka👏👏👏
Nimewa miss jamani😅😅😅😅😅
Hongereni nawaona vijana wangu
Kazi nzuri sana🙏🏿
Hongeren san
Kazi nzuri sana
Ni nyimbo nzur haichoshi kusikiliza bass na soprano ni moto wa kuotea mbali 🤗
🙏🙏🙏
Mungu awabariki kwa unyororo wa sauti zenu
Tumshangilie Yesu
Kinanda kitamu sana
Kazi nzuri,,, Mr.JJ Fisoo nakubari sana
So very nice song. I myself very like the choir songs from Tanzania. May the Catholic mission in Tanzania can be the best in the future.
Simba wa Yuda amefufuka tumshangilie. Hongereni wimbo mzuri mavazi ya heshima mbarikiwe na Yesu mfufuka
Elizabeth umetisha sanaa
Hongereni Sanaaaa
🎉🎉🎉❤
Bravo 👏
Wow congratulations ❤
Nyimbo Nzuri 💯💯
👏👏👏👏👏👏🙏🙏🙏
Nawatakia wiki jema
Bravissima Tz
JJ nakupata vizuri
Hakika ni kazi nzurii
Amina.. Tunashukuru sana ndugu🙏
Anaimba siba wa Yuda Amepupuka