Simba SC 5-0 Mtibwa Sugar | Highlights | NBC Premier League 30/10/2022
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Simba SC imeishushia kichapo kizito cha mabao 5-0 Mtibwa Sugar katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa.
Pape Ousmane Sakho amefunga magoli mawili dakika ya 48 na 90 huku mengine yakitoka kwa Mzamiru Yassin dakika ya 38, Augustine Okrah dakika ya 63 na Moses Phiri dakika ya 73.
Katika mchezo huo pia, wachezaji wawili wa Mtibwa Sugar Pascal Kitenge na Cassian Ponera walitolewa kwa kadi nyekundu kwa mchezo usiokuwa wa kiungwana.
Pira wanaume 💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯hakuna Cha kubebwa Wala nini Simba nguvu Moja❤️❤️❤️❤️
Shukrun my team 🙏
Simba yangu❤️
This is simba 🔥🔥🔥🔥
🇿🇲🇿🇲🇿🇲🙏🙏🙏 ZAMBIA SIMBA NGUVU MOJA
I was waiting for this...
Yanga wanabebwa
Walipania kucheza rafu imewaghalimu hinifundisho kwa timu zinazocheza hovyo Simba nguvu moja 💪💪💪💪💪💪.
Namba moja
Simba ♥️👌📌
Hata mwanamke anawazidi kuchezesha vizuri wanaume pumbavu
Simba moto
Kwaiyo yanga match zote mnazoshinda mnanunua ndio maana kimataifa mnaferi
Hiki kipigo kuna siku tutakitoa kwa timu fulani yenye misifa hapa nchini.
Hahahah nimecheka kwa sauti mtani
Wenye mnasema mech imeuzwa wachen fitina coz me hapo sijaona goli hata Moja la kizembe yote wachezaji wame struggle kuyapata Cha pili hakuna kadi hata Moja yenye siyo stahik wachezaji wamefanya mistake wamepata card so hapo hakuna wakulaumiwa kocha kafanya Kaz yake wachezaji wamefanya Yao😳😳😳 finally let's say viva Simba🦁🦁🦁🦁🦁💪💪💪💪👊👊👊
Mmekwisha 😂😂
Laurens
@@josephatjordan2150 usijali kaka sis watan hla Kwa hyo mech me Sion wakulaumiwa 🤔🤔
Yohan
Kama timu yako haijawai pigwa goli5 na Simba hapo kwa mkapa nyoosha kidole juu
Azam Tv you are the best in town
Jaman mbona mnapenda maneno .kwani kutoa kadi nyekundu shida au inakuhusu Kwan ww ndo ulikuwa Refa wa huu mchezo .kama mkono tumewapiga tayari na kama nyie mnataka mkawapige mguu tuu
hatujawai shindwaaaa naipenda simba jamaaniii🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
🔥🔥 🇲🇼 niko malawi
Niko nastynuvb
Mm ni simba dam ila nmemkubali sana huyu refa dada Tatu Malogo ni bonge la refa kama TFF watamuwezesha ni refa wa kiwango cha Dunia hana huruma ukikosea unapata unachostahili na ndo mpira wa sasa unatakiwa kuchezeshwa kama ulaya vle daah ni refa mzuri ssna haangalii itakuwaje kwako baadae ila anakuwajibisha tu,saf sn Tatu Malogo keep it up nakups asilimia za marefa wa dunia upo zaid ya 80% keep going mum.
Penalt ya smba aliyokataa nilimuona anaakili sana coz ule mpira ulifata mkono wa mchezaji so hata kuikataa ni sawa tu ili wachezaji wasitegemee kupata penalt rahc na kujipatia magoli yasiyo halali tena za bahat mbaya na iwe fundisho kwa marefa wengine,Viva Tatu Malogo.
Huyi ndo mtanga bhana
Yaani hiyo ni zaidi ya Nyekundu na kama mwalimu wao anawafundisha hivyo basi naye apewe red vile vile
Ila huy sakho jmn anamapenz kw wenzie
Kabisa. Yaani kila goli analofunga mwenzie lazima atoe ushirikiano kwa namna anavyoshangilia huyo mfungaji wa goli!
Ni kweli anawapenda wenzie halafu wachezaji wote wanapendana kweli wanaipenda timu yao
Me ni yanga ,ila nampenda moses Phiri kafanana na ex wangu 😋
🤣🤣🤣kha
Itakuwa we ni shoga
😃😃😃😃😃
@@paulsamwel1144Huna adabu we mtoto
We ni shoga nn
Simba saivi mgunda alishausoma mchezo hakuna kutumia nguvu ni mwendo wa akili tupu
Leo hakua namajeruhi
Sisi uku kenya game jo gover ilikula pesa wacha tushabikie tz
Nmefurahi.wanasema. tumebebwa.asante.kwao
hiii ndiyo simba tunayo ijuwa sisi
Simba mnyama mkali🎉❤️❤️🦁
Asante simba
This is Simba brother 🦁💪🏼 #nguvumoja
Kuna timu inataman kusema mtibwa vibonde lakini wakikimbuka na wao walikula🖐️ hawanaa la.kusema
🔥
Mechi nzur kuitazama wachezaji wanajituma Sacko ana upendo wa agape, anayebeza mechi hii wala maamuzi ya refa wakampime IQ,.,☝️☝️☝️☝️🤫
Safi sana mwamuzi una akili sana hakika haki mbele mengine nyuma yasn huyu angechezesha debya kariakoo haki Yanga nao wangelamba nyekundu nyingi sana wanatumwa waburuze wachezaji wetu na kuwakanyaga na sasa imewagarimu mmekutan na mwamuzi mahiri sana
Si unajua sisi wanawake tuna moyo wa huruma lkn kwenye ubaya hatupepesi macho
Huna hata haya iv yanga na simba siku ile nani alifanya faulo nyingi nyie mshukulu dadaake mgunda kawabeba tu tim hamna huyo mwamuzi katoka tanga ulifikili nn kitokee huyo sako kscheza fauro mbaya mbona hajapewa kadi
Mashabik tuwe na uzalendo na uvumilivu, wachezaji kiukwel wanajitoa sana. Hivi pata picha Sako alivyo jigonga kwenye nguzo pale maumivu yake yapoje? Tusiwalaumu sana Kaz wanayo fanya ni ngumu sana
Mpira ni kazi yake
akafanye checkup ile ni hatari yale manguzo bora yawekwe fiber au plastic kwa nje da!!
YAan mpaka nimemwonea huruma sijui mechi ijayo kama atacheza au vipi
Kweli Kaka tatizo wengi mashabiki mandaz mashabiki wa kweli awezi laumu mchezaj
Highlight mbn camera inakuw poor hivi?
HIYO SPIRIT YA SAKHO HAPO SIMBA NI EXTRAORDINARILY
Uto wameteska game utafkil wamefungwa wao😂🤣
Hamsa bin sufuri
Nguvu moja Apo
Ukubwa wa simba unaonekana popote.. Simba n dude kuuubwa
Hilo jamaa linachez raf sanaa
Mzamiruu yupo on fire
Kila timu itakayo kuja vibaya tu bila nidhamu hiki kikombe utakunywa tu na ww ndo utachagua unataka kunywa vingapi
REFA NIMEMKUBALI SANA JAPO MIE YANGA
Msimbazi Raha kweli
Maskin sanko pole sana
Jifunze hukmu za quran kuswalibkwa vitendi gusa maandushu ya bluu
ua-cam.com/channels/iIyK3R72QZNvRlzWezWIKw.html
KWANINI kicha wa Simba queens baada ya ushindi dhidi ya Green buffalo alijifunika bendera ya Uganda badala ya Ile ya Tanzania?
Anawakilisha Uganda au yupo kininafsi zaidi mpaka afanye hivyo?
Mgunda ametisha
Bado Simba inamhitaji kiungo waa asili,no mbili kwa shabalala,na straika mmoja hii nidirisha dogo
Goli 5 unasema bado tu em washauri yanga wenye kufunga goli tenaa kupewa huku tuache kidogo bro
Kono la nyaniiii 🤣🤣
Nimemuona matola kumbe yupo jaman
Wa pili
Kitenge hufai kabisa huo sio uungwana hata kidogo
Saloot kwa Simba. Nawapenda kuliko ugali na soda!! Pamoja wanangu. Sio kwa furaha kama hiyo!! Hakika ni furaha hatari.
Kuna mtu anataman kusema tumemwonea kibonde lakini akikumbuka alishawahi kula Tano hapa anafyata mkia
huyu ndo refa, kwenye maamuzi anafanya maamuzi
Kila nikiangalia hii machi huzunika maana sakho alipata mateso sio ya kawaida
unajuwa sakho nilimpenda sana kwanza alikuwa alikuwa akicheza kwa uchu pili ana kasi tatu anafanya maamuzi kwa haraka. Aisee naombea siku moja arudi simba
Hata ao wanaosema mechi imeuzwa mbona na wenyewe pia tulishawapigaga 5 kwa iyo na wao pia waliuza mechi uto mkae kwa kutulia
Exactly. Ok ntajie mbabe wako aliyekugonga mara nyingi zaidi 🤔
@@innocentmakala6542simba hana mbabe yeye ndo mbabe wa timu zote anatawala nchi nyie vinyesi ni wake zetu tumewaoa ndomana miaka 6 mfululizo simba ndio tunAtoka nje kwenda kutafuta ili mke wetu utopolo aje kula
Goooooooooooooooooooooooooooooooooo
Wanafungwa mtibwa wanasikitika wengine
Duh
Hmna kitu hapo watu pungufu ndo mnajitaapaaa bado sijaona
Utaona kesho
Sema simba inajua mpira uongo zambi
The game (Mtibwa Sugar) was/is below “national premiere level. Very disappointing!
Walisha pigwa 5 wengi sana kama na timu yako ilipigwa 5 acha kumcheka mtibwa😁😁😁😁😁
Hyu no 25 Kweli mcheza rafu
Utopolo mnasikitika. Hahaha
Jamani eti akpa alicheza
Mimi nashangaa azam aliyepewa red car ni nani cassian ama Okrah ahahaha bongo
magoli mazuri na assist. Yanga wapo wapi.
Kanoute yuko wapi kama asipochezeshwa kwa sababu za fitina kuna Simba atapoteza maana Mkude hawezi kukaba hasa zile mechi kubwa
Wewe unajua mkude hawez kukaba na mechi kubwa haziwez sasahiv
Mbona inonga siku ya yanga hakupewa nyekundu
Utajibeba! Kwani refa ndo huyu??
Kampe ww
Eti wanaume kwa kipi Sasa hapo jmn nashangaa saaana jmn
Kwani nynyi hamjawahi kupokea 5 hapo hapo?!
Simba alinyimwa penalti ambayo ni wazi kuliko ile ya utopolo sijui yule refa atapatiwa adhabu gani
Nguvu moja
Inonga achezeshwe namba sita anaweza beki wa Kati onyango named tutaupiga mwingi. By chacha mkama from mkuranga
Kitenge KAIGHARIMU TIMU YAKE KIPUMBAVU KABISA
goli5 za wiki hzoooooooo
Mkude hawezi kukaba tunataka Kanoute arudishwe kiungo mkabaji
Mkude hajui mpira sio kukaba tu aondoke kbx hajui hata kufanya counter attack.
Yule alie chezesha mech ya yanga alikua mzoefu kumbe!!!.
Wrrt
TFF hawa waamuzi wa ovyo wamewatowa wapi
Kwa utooooo
Yaa ndo kpombe huyoooo
Mm
Watu nane
Vp
Hao wamehonga tunawajuwa kwa rushwa simba
mashabiki wa yanga bana akili mda mwingine za kutafta au ndo mlimhonga mwamuzi🤣
Peleka ushahid TAKUKuRU.
Hii ni simba, so tim ya wauza vijora
𝙎𝙞𝙢𝙗𝙖 𝙗𝙖𝙗𝙖 𝙡
Refa amethibitisha kuwa Hana ozoefu wa mechi kubwa km hiz ndo maana hata ulaya kulikuwa na mechi enzi hizo unajuwa kabisa colina ndiye atachezesha. Unajuwa kwann?!🤔🤗
hujui mpira
@@jameskilasa759 kumjuwa colina tu inatosha ..
Kwahiyo huyo Colina ameshastafu hizo mechi kwasasa anachezesha nani? ...UTO mna nongwa sana!
@@omarymahanyu5748 😁😁😁😁😁
@@saidhamza5318 tatizo unaongea sana dah
Marefa wanawake Bado hawaja mudu kuchezesha ligi kuu, wanaharibu mpira
Eerwert
Kipa wa maelekezo uyo
Mechi imeuzwa kisayansi kbs ..aliejibamiza kwenye chuma hajaumia ila aliepigwa na mpira kavunjika meno kashindwa kuendelea Ili aingie golikipa pazia watu wajipigie tu..Kisha wakamalizana na refa wa mchongo..huku ni kujidanganya ndo maana Azam waliwatoa jasho .
Aisee wee jamaa ni kilaza sijawahi ona!utopolo mshazoea kununua mechi ndomana kimataifa hamna mnachofanya mana kule hakuna marefa wa mchongo mliowazoea
@@adaboychibu1659 iyo ni mezani
Unatia kichefuchefuu
Yaani umeongea pumba sana utafikiri umekalia kitu chenye ncha kali!
@@officiallcoolest_khid3223 haujaeleweka🤔
Hilo ni la kawaida sn
Huyu okra kafungaje pale
Ndomaan wanasema tumebebwa
Alichota sujui, nikashangaa ni ndani!!
Ana balaa huyo 😆
KA BOMU MOCHWARI 😂😂
Wale Caf champions league
Achana na Miaka 24+ ya kuingia makundi gongowazi
Hahaha utopolo 😝😝
🤣🤣🤣
WEWE MZOGA UKO KABURINI TULIYA KINYESI
Manyonyo wanatamba saana,tunajua mtibwa kauza match shenzi kabix
Na wewe ulipigwa tano VP ulituuzia sh ngapi wakati tunakupiga tano!?
Kiungo punda