Hawa yanga hawachui mchezaji kwa utaratibu waanza kumpa rushwa acheze chini ya kiwango hayo yamefanyika kwa chama na wenzake serikali inajua inafumbamacho kwakuwa mawaziri wa serikali wapo humo wanachangia jeuri hiyo,
Hakuna TFF kutetea kitu mbn yanga mulimbana fei toto mpka kaongea raisi samia ndio mukamuachia lengo lenu alikua munataka kumpoteza sasa bas chama nae amepotea hii ndio bongo atajua hajui
Ni suala la mda tukucheza Yanga hawa tifuatifua wakishindwa ni fifa wanaamua wachambuzi wetu ni sheeda sio watu wa mpira ila ni washabiki wa timu flani
Swala alikuwa amemaliza mkataba au ni upumbavu wa Simba kwani chama ndugu yenu au anatafuta maisha kama alivyokuja kwenu toka timu nyingine acha ushamba nyinyi wenyewe lawi alafu chama Tena aibu na magoli wenu huyo ni matatizo matupu
Kama Tff washindwa kumpa haki yake leo ndio nitahamini Tff ni simba sakata la morson yanga walivyo zuia hirizileta ya morson simba waliruhusiwa na tff morson alicheza kama kawaida
Hakuna anyetaka Chama arudi simba huo ni ushenga wenu waandishi kwa Chama na timu yake.Kwanza ni mchezaji huru tangu 30 June 2024 sasa hiyo release letter ya nini
Kwani tarehe ya mkataba wa Yanga na Chama unaonyesha umefungwa tarehe ngapi? Mwezi June au July? Mkataba wa chama na simba imeisha tarehe ngapi? June au July?. It s too much simple to give out decision.
Mchezaji yupo huru kuongea na timu yeyote ikiwa imebaki miezi 6 ya contract, hiyo ni sheria ya FIFA, Amna lolote hapo , Contract ikiisha hayo mambo ya release letter ayana uhitaji
Huyo ni mchezaji huru release later ni kwaajiri ya uthibitisho tu kama wamemalizana kiroho safi kama hawataki kutoa tff wanawajibika kumpa haki mchezaji ili aendelee kucheza Tofaut na Feisal alikuwa na mkataba simba hawana uwezo wa kumzuia chama sema nyie wachambuzi wa kibongo ni wa hovyo sana huwezi fananisha sakata la chama na Feisal ni tofaut kabisa
Kama Tff mnasema wafanye haraka kwa chama waanze Feitoto sheria ya kuwa Simba wakitaka kumchukua walipe Azam na Yanga walipwe sgeria gani jama acha nao chama wamlipe bila kuwachezea msimu mzima malipo ni hapa hapa Duniani😂😂😂😂😂
Simba ❤❤❤kumpa chama hiyo arudi kwa nizam kubwa alikua anadharau viongozi na hiyo ndo malipo yake na wampe 2025 hiyo istlechar wala siyo figisu Yanga wao kwa Feitoto kuja Simba wanakinga kifya haya sasa ngomo drooo
Nyie na Mikia fc wote ni mbumbumbu tu,mbona Simba walimtangaza na bado wanadai Lawi ni mchezaji wao hali y kuwa ni mchezaji halali wa Coastal..? alafu kw nn Simba tu? hata KMC walilalamika kwa Awesu Awesu
Swala la chama niushamba TU mchezaji kamaliza mkataba shida labda hawa Simba na tff ndo tatizo katika mpira wetu huu wanaturudisha nyuma Kila siku
Mchezaji Kama alikuwa huru release later ya Nini? Si aende tu. Acheni ushabiki. Kama amemaliza mkataba Thank you ya Nini?
TIMU ZOTE ZIFUATE UTARATIBU WAKUCHUKA WACHEZAJI NA NYIE ONGEENI KIMPIRA USIONGEE KIMAPENZI YA TIMU
sasa iv wachezaji wakubwa watakuja kuchezea timuiyo wataogopa ayo wanajiferisha
Hawa yanga hawachui mchezaji kwa utaratibu waanza kumpa rushwa acheze chini ya kiwango hayo yamefanyika kwa chama na wenzake serikali inajua inafumbamacho kwakuwa mawaziri wa serikali wapo humo wanachangia jeuri hiyo,
Mkiwa wachambuzi wachane ukweli watoe ujinga kwani ni aibu kwa vilabu vyetu mchezaji ni haki yake kimaisha yake
Wapende wasipende watatoa
Simba siowajinga
Moto uwake
Wampe tuu wanini
Chama ata wafira.nyie makoro msim uuuuuu
FEI NA YANGA NI VITU TOFAUTI TOTO ALIKUWA AJAMALIZA MKATABA
Mbona FEI TOTO yanga imetuwekea ukingo na la chama hakuna thank you
Chama kamaliza contract fifa ipo huwezi kuzuia asicheze yanga
Simba yafungiwa
Wachambuzi semeni Ukweli kuhusu Chama
Mnababaisha tu. Muda umeisha wa Mkataba wa Chama
Fei mkataba wake ulikuwa haujaisha ila aliomba kuvunja mkataba, je chama mkataba wake na smba ulikuwa bado haujaisha? Chama ameomba kuvunja mkataba?.
Hao Jamaa (Simba) wanashirikiana na Karia. Karia tuachie mpira wetu. Bado unaupotosha sana mpira wa Tanzania.
Yani umsajiri mchezaji wakati akiwa kwenye mkataba arafu unasema Karia kafanya nini acha uchoko
Wao Fei toto Wamemgomea kuja Simba sasa wacha Dawa iwaangie
Mchezaji akisha maliza mkataba na timu yoyote ana uhuru wa kuondoka au kukubali kusaini mkataba tuache ubabaishaji
Simba wanasuburi kumtambulisha Elie mpanzu ndo chama apewe thank u
Amepotezwa manara atakua chama huyu anapotea kirahis sana tu
Tatizo chama kaleta dharau na nyie mnaongea tu yachama kwa sababu ni WA Tim yenu lakini mbona hamuongei kuhusu lawi
Kwani Simba hajiandai endeleeni kuichafua Simba lakini hamtaweza
Yanga walivyofanya kwa fei ilikuw saw Ila akifanya simba ni sahihi
Huyo chama atakua kama Morrison tu
Mulisema chama mzee kumbe bado munamuitaji sio
Hahahaaàa gazeti la Leo chama yanga waishia kumvisha shuka la kijani😂😂😂hiyo ndio tafasiri ya ubaya ubwera
😊 ni bad😊😊😊
Hakuna TFF kutetea kitu mbn yanga mulimbana fei toto mpka kaongea raisi samia ndio mukamuachia lengo lenu alikua munataka kumpoteza sasa bas chama nae amepotea hii ndio bongo atajua hajui
Kama kunahitajika barua maanayake hapo kinajambo inamaana mkataba ulikuwa haujaisha
Nyie wanayanga si ndo nyie mliokua mnawasema wachezaji wa Simba wazee na Chama mmemsajili katoka timu Gani?
Ni suala la mda tukucheza Yanga hawa tifuatifua wakishindwa ni fifa wanaamua wachambuzi wetu ni sheeda sio watu wa mpira ila ni washabiki wa timu flani
Watangazaji wa kibongo bana,,,mujiulize kwa Feisal mbona yanga warikomaa 😮😮😮na hadi Rais Samia akaingiria kati ,,🎉acheni unazi nyie
Ins. .maana .iyo. Ndio
Chama awataki kwanini mnalazimisha aipende tim yenu achen ushamba
Swala alikuwa amemaliza mkataba au ni upumbavu wa Simba kwani chama ndugu yenu au anatafuta maisha kama alivyokuja kwenu toka timu nyingine acha ushamba nyinyi wenyewe lawi alafu chama Tena aibu na magoli wenu huyo ni matatizo matupu
Makolo wamekuwa machoko.. team ya tajiri namba 2 Africa, my foot
Ww dogo chama anakiburi , piga pini ngao asicheze
Upumbavu wa viongozi wa wa Simba tu.
Kumbe wana haja naye sana.
Ubaya Ubwela, Hawa kinachama wameichezea Sana Tim yetu msim huu Lazima tuoneshane ubabe tu mpaka kieleweke
Simba Kila wkitaka mchezaji yanga wanazuia angalia fei nyie mnataka yanga wafaidike
Aligoma mapemaaa kuichezea Simba kutombana na ushawishi wa Yanga usiofuata utaratibu.Atajampa.
😂😂😂😂😂😂😂kutombana?????
MkATABA UMEISHA TAREHE 30/06/2024, sasa kinachogombaniwa ni nini? YUKO HURU.
Fei mkataba ulikuwa haujaisha, chama mkataba umeisha
Aloo chama n mchezaj hulu
Kama mkataba umeisha na wamemsajiri cmba inalaumiwaje
Wamruhusu Chama aende Yanga,wa.mwachie tu
Kwani mchezaji anatakiwa kuzungumza na Timu nyingine wakati Gani? Kama sio miezi 6 mbona ishu iko wazi tu
Simba waache upuuzi wa kuidhoofisha ligi yetu, hii ni habari ya sungura zisitaki mbichi hizo, TFF walione hilo ni AIBU KWA TAIFA.
We fala unaongeya nini
Nyie mmesahau ya fei yanga walichofanya, nyie acheni unazi wote nyie ni Yanga
Kama Tff washindwa kumpa haki yake leo ndio nitahamini Tff ni simba sakata la morson yanga walivyo zuia hirizileta ya morson simba waliruhusiwa na tff morson alicheza kama kawaida
Hakuna anyetaka Chama arudi simba huo ni ushenga wenu waandishi kwa Chama na timu yake.Kwanza ni mchezaji huru tangu 30 June 2024 sasa hiyo release letter ya nini
Kwani tarehe ya mkataba wa Yanga na Chama unaonyesha umefungwa tarehe ngapi? Mwezi June au July? Mkataba wa chama na simba imeisha tarehe ngapi? June au July?. It s too much simple to give out decision.
Sasa siwalisema mzee??? na matusi wakamtukana....
Ngoja ashike adabu , Chama chama chama ndio nani amekamatiwa pazuriii
Mchezaji yupo huru kuongea na timu yeyote ikiwa imebaki miezi 6 ya contract, hiyo ni sheria ya FIFA, Amna lolote hapo , Contract ikiisha hayo mambo ya release letter ayana uhitaji
Shida chama alimwaga wino wakati yupo kwenye mkataba watu wana akili nyingi kuliko yeye
Mfa maji haishi kutapa tapa
Mara lawi mara Chama na mara hii tutawapiga 10 G MAKOLO wasipoangalia.
Shida akili za viongozi wenu bado ndogo sana walimsajiri Chama akiwa ndani ya mkataba na hapo ndiyo tutawakamatia mpaka mavi yawatoke
Twataka tumpe bench kwanza
Shida niudundukaaaaa😂😂😢
Tunashauri viongozi wetu wampe tu hiyo taraka ili akafunge ndoa nyingine akiwa huru
Atarudije Simba wakati hana mkataba?
Huyo ni mchezaji huru release later ni kwaajiri ya uthibitisho tu kama wamemalizana kiroho safi kama hawataki kutoa tff wanawajibika kumpa haki mchezaji ili aendelee kucheza
Tofaut na Feisal alikuwa na mkataba simba hawana uwezo wa kumzuia chama sema nyie wachambuzi wa kibongo ni wa hovyo sana huwezi fananisha sakata la chama na Feisal ni tofaut kabisa
Mpira wa Tanzania unaendeshwa kishabiki!
Mashaka gani mkubali kuwachwa, mchezaji timu haitaki.
Fei si mlisema asilazimishwe?
Sasa kibao kimegeuka.
Hahahahaaa!
Kama Tff mnasema wafanye haraka kwa chama waanze Feitoto sheria ya kuwa Simba wakitaka kumchukua walipe Azam na Yanga walipwe sgeria gani jama acha nao chama wamlipe bila kuwachezea msimu mzima malipo ni hapa hapa Duniani😂😂😂😂😂
Utateseka sana Fei kuichezea Simba na siwasawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano
NIMESIKIA HIRIZI LETA 🤣
Maumivu walio wasajiri simba bado pengo
Mnaona ni kitu kidogo nyie ni yanga tunawajuwa
ACHENI USHABIKI. KAMA MKATABA UMEISHA REALEASE LATER YANINI SI AONDOKE TU?
Sheria hujui
Simba ❤❤❤kumpa chama hiyo arudi kwa nizam kubwa alikua anadharau viongozi na hiyo ndo malipo yake na wampe 2025 hiyo istlechar wala siyo figisu Yanga wao kwa Feitoto kuja Simba wanakinga kifya haya sasa ngomo drooo
😊😊😊😊
Dunduka bwegeeee
Mashabiki wa Simba hawajui hata wanaongea nini, hivi unafikiri release letter ni utashi wa Simba? Ni sheria
Wataitapika tu watake wasitake😂
Mpeni Pole Injinia wenu
Akili mu kichwa si mnae mchezesheni tu
SIMBA MUMESHA PEWA TARAKA SHIDA NN? MWACHE AENDEEEE
Kanun 😂😂😂 zifatwe
Mpeni tu
NI KUMNYOOSHA HANA ADABU CHAMA.
Kabisa yaani mpaka anyooke
Mutaweweseka sana
We ndio huna adabu, mtu ksmaliza mkataba wake
😅😮😢🎉
Mmmh
Hahahahahaha huyu chama na timu yake mpya walifanya fujo kusajiliwa kabla ya mkataba kuisha
Chama kamaliza mkataba au bado? Kama hajamaliza kwa nini hamkwenda naye Misri?.
Anataka nini
Mbona unajiuliza mwenyewe na kujijibu mwenyewe
Mjinga anatakiwa kuwaombea kuwapeleka ndio sababu😂 na asicheze
Hhhhhhhh hatumpi✊🦁🔥
Acheni ujinga nyie mchezaji akifika miezi SITA analusiwa kuongeza na timu nyingine kengenyie chama huru
Ni kuongea ila cyo kusaini mkataba we kichwa maji
Muwe wakweli chama alisajiliwa yanga bado akiwa na mkataba na simba hiyo ndo shida iliyopo
Ushaidi unao kaka? Ila kisheria mchezaji anarusiwa kuongea na timu nyingine akiwa amebakisha miezi 6 kabra ya mkataba kuisha.
Ushaidi unao kaka? Ila kisheria mchezaji anarusiwa kuongea na timu nyingine akiwa amebakisha miezi 6 kabra ya mkataba kuisha.
KUNA TIMU WANA WIVU SANA NA SIMBA
Lawi hanadabu
Safi jeuri uyo
Ni kwamb huko TFF wallace ni Pacha na simba sc huyo chama atajua hajuw ubaya ubwela qmmk😅😅😂
Nyie na Mikia fc wote ni mbumbumbu tu,mbona Simba walimtangaza na bado wanadai Lawi ni mchezaji wao hali y kuwa ni mchezaji halali wa Coastal..? alafu kw nn Simba tu? hata KMC walilalamika kwa Awesu Awesu
TFF kila siku mnaindama Yanga hamuoni aibu .,Acheni kabisa yanga icheze kandanda
Tff hawaindami Yanga ila Yanga inabanwa kwenye mkataba wa chama ulikuwa lini hapo ndiyo mtajua kuwa timu yenu inaviongozi watoto