TFF YATOA MAAMUZI SAKATA LA CHAMA NA SIMBA JUU YA RELEASE LATTER YA KUICHEZEA YANGA MSIMU UJAO..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024
  • #BATTLETV

КОМЕНТАРІ • 119

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks Місяць тому +2

    Swala la chama niushamba TU mchezaji kamaliza mkataba shida labda hawa Simba na tff ndo tatizo katika mpira wetu huu wanaturudisha nyuma Kila siku

  • @usiniguse
    @usiniguse Місяць тому +3

    Mchezaji Kama alikuwa huru release later ya Nini? Si aende tu. Acheni ushabiki. Kama amemaliza mkataba Thank you ya Nini?

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Місяць тому +3

    TIMU ZOTE ZIFUATE UTARATIBU WAKUCHUKA WACHEZAJI NA NYIE ONGEENI KIMPIRA USIONGEE KIMAPENZI YA TIMU

  • @JafarOmar-b1u
    @JafarOmar-b1u Місяць тому

    sasa iv wachezaji wakubwa watakuja kuchezea timuiyo wataogopa ayo wanajiferisha

  • @user-yz6ds9hn9l
    @user-yz6ds9hn9l Місяць тому

    Hawa yanga hawachui mchezaji kwa utaratibu waanza kumpa rushwa acheze chini ya kiwango hayo yamefanyika kwa chama na wenzake serikali inajua inafumbamacho kwakuwa mawaziri wa serikali wapo humo wanachangia jeuri hiyo,

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana Місяць тому +2

    Mkiwa wachambuzi wachane ukweli watoe ujinga kwani ni aibu kwa vilabu vyetu mchezaji ni haki yake kimaisha yake

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g Місяць тому +3

    Wapende wasipende watatoa

  • @amanifadhi
    @amanifadhi Місяць тому

    Simba siowajinga

  • @ThobiasBarnaba-fs6pv
    @ThobiasBarnaba-fs6pv Місяць тому

    Moto uwake

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania Місяць тому

    Wampe tuu wanini

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m Місяць тому

    Chama ata wafira.nyie makoro msim uuuuuu

  • @fatumamtakyawa3612
    @fatumamtakyawa3612 Місяць тому

    FEI NA YANGA NI VITU TOFAUTI TOTO ALIKUWA AJAMALIZA MKATABA

  • @jiarosmazengo966
    @jiarosmazengo966 Місяць тому

    Mbona FEI TOTO yanga imetuwekea ukingo na la chama hakuna thank you

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Місяць тому

    Chama kamaliza contract fifa ipo huwezi kuzuia asicheze yanga

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g Місяць тому +1

    Simba yafungiwa

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 Місяць тому

    Wachambuzi semeni Ukweli kuhusu Chama
    Mnababaisha tu. Muda umeisha wa Mkataba wa Chama

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Місяць тому +1

    Fei mkataba wake ulikuwa haujaisha ila aliomba kuvunja mkataba, je chama mkataba wake na smba ulikuwa bado haujaisha? Chama ameomba kuvunja mkataba?.

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Місяць тому

    Hao Jamaa (Simba) wanashirikiana na Karia. Karia tuachie mpira wetu. Bado unaupotosha sana mpira wa Tanzania.

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 Місяць тому

      Yani umsajiri mchezaji wakati akiwa kwenye mkataba arafu unasema Karia kafanya nini acha uchoko

  • @williamkajala8005
    @williamkajala8005 Місяць тому

    Wao Fei toto Wamemgomea kuja Simba sasa wacha Dawa iwaangie

  • @yudamanyumbu4978
    @yudamanyumbu4978 Місяць тому

    Mchezaji akisha maliza mkataba na timu yoyote ana uhuru wa kuondoka au kukubali kusaini mkataba tuache ubabaishaji

  • @ayubujoel
    @ayubujoel Місяць тому

    Simba wanasuburi kumtambulisha Elie mpanzu ndo chama apewe thank u

  • @OmariBwagizo
    @OmariBwagizo Місяць тому

    Amepotezwa manara atakua chama huyu anapotea kirahis sana tu

  • @makamelila
    @makamelila Місяць тому

    Tatizo chama kaleta dharau na nyie mnaongea tu yachama kwa sababu ni WA Tim yenu lakini mbona hamuongei kuhusu lawi

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Місяць тому

    Kwani Simba hajiandai endeleeni kuichafua Simba lakini hamtaweza

  • @user-tt8ew7tf8e
    @user-tt8ew7tf8e Місяць тому

    Yanga walivyofanya kwa fei ilikuw saw Ila akifanya simba ni sahihi

  • @OmariBwagizo
    @OmariBwagizo Місяць тому

    Huyo chama atakua kama Morrison tu

  • @ZaharaniMisso-ke4dy
    @ZaharaniMisso-ke4dy Місяць тому +3

    Mulisema chama mzee kumbe bado munamuitaji sio

  • @BantuntibahezwaToyi
    @BantuntibahezwaToyi Місяць тому

    Hahahaaàa gazeti la Leo chama yanga waishia kumvisha shuka la kijani😂😂😂hiyo ndio tafasiri ya ubaya ubwera

  • @user-ox1eg1ej6u
    @user-ox1eg1ej6u Місяць тому

    😊 ni bad😊😊😊

  • @OmariBwagizo
    @OmariBwagizo Місяць тому

    Hakuna TFF kutetea kitu mbn yanga mulimbana fei toto mpka kaongea raisi samia ndio mukamuachia lengo lenu alikua munataka kumpoteza sasa bas chama nae amepotea hii ndio bongo atajua hajui

  • @makamelila
    @makamelila Місяць тому

    Kama kunahitajika barua maanayake hapo kinajambo inamaana mkataba ulikuwa haujaisha

  • @ElizabethEmmanuel-nj1oi
    @ElizabethEmmanuel-nj1oi Місяць тому

    Nyie wanayanga si ndo nyie mliokua mnawasema wachezaji wa Simba wazee na Chama mmemsajili katoka timu Gani?

  • @hassannickson7654
    @hassannickson7654 Місяць тому

    Ni suala la mda tukucheza Yanga hawa tifuatifua wakishindwa ni fifa wanaamua wachambuzi wetu ni sheeda sio watu wa mpira ila ni washabiki wa timu flani

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli Місяць тому

    Watangazaji wa kibongo bana,,,mujiulize kwa Feisal mbona yanga warikomaa 😮😮😮na hadi Rais Samia akaingiria kati ,,🎉acheni unazi nyie

  • @user-ox1eg1ej6u
    @user-ox1eg1ej6u Місяць тому

    Ins. .maana .iyo. Ndio

  • @salumomar-ph8ht
    @salumomar-ph8ht Місяць тому

    Chama awataki kwanini mnalazimisha aipende tim yenu achen ushamba

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks Місяць тому

    Swala alikuwa amemaliza mkataba au ni upumbavu wa Simba kwani chama ndugu yenu au anatafuta maisha kama alivyokuja kwenu toka timu nyingine acha ushamba nyinyi wenyewe lawi alafu chama Tena aibu na magoli wenu huyo ni matatizo matupu

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Місяць тому

    Makolo wamekuwa machoko.. team ya tajiri namba 2 Africa, my foot

  • @shukranionesphoro7744
    @shukranionesphoro7744 Місяць тому

    Ww dogo chama anakiburi , piga pini ngao asicheze

  • @Prosperkaluta
    @Prosperkaluta Місяць тому

    Upumbavu wa viongozi wa wa Simba tu.
    Kumbe wana haja naye sana.

  • @williamkajala8005
    @williamkajala8005 Місяць тому +2

    Ubaya Ubwela, Hawa kinachama wameichezea Sana Tim yetu msim huu Lazima tuoneshane ubabe tu mpaka kieleweke

  • @user-os9ps3ry6x
    @user-os9ps3ry6x Місяць тому

    Simba Kila wkitaka mchezaji yanga wanazuia angalia fei nyie mnataka yanga wafaidike

  • @frbm1729
    @frbm1729 Місяць тому

    Aligoma mapemaaa kuichezea Simba kutombana na ushawishi wa Yanga usiofuata utaratibu.Atajampa.

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Місяць тому

    MkATABA UMEISHA TAREHE 30/06/2024, sasa kinachogombaniwa ni nini? YUKO HURU.

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 Місяць тому

    Fei mkataba ulikuwa haujaisha, chama mkataba umeisha

  • @ChristopherTogolan
    @ChristopherTogolan Місяць тому

    Aloo chama n mchezaj hulu

  • @martinkabazo8412
    @martinkabazo8412 Місяць тому

    Kama mkataba umeisha na wamemsajiri cmba inalaumiwaje

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Місяць тому

    Wamruhusu Chama aende Yanga,wa.mwachie tu

  • @hassannickson7654
    @hassannickson7654 Місяць тому

    Kwani mchezaji anatakiwa kuzungumza na Timu nyingine wakati Gani? Kama sio miezi 6 mbona ishu iko wazi tu

  • @fanuelnkyalu974
    @fanuelnkyalu974 Місяць тому

    Simba waache upuuzi wa kuidhoofisha ligi yetu, hii ni habari ya sungura zisitaki mbichi hizo, TFF walione hilo ni AIBU KWA TAIFA.

    • @KakeSimba
      @KakeSimba Місяць тому

      We fala unaongeya nini

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 Місяць тому

    Nyie mmesahau ya fei yanga walichofanya, nyie acheni unazi wote nyie ni Yanga

  • @salumomar-ph8ht
    @salumomar-ph8ht Місяць тому

    Kama Tff washindwa kumpa haki yake leo ndio nitahamini Tff ni simba sakata la morson yanga walivyo zuia hirizileta ya morson simba waliruhusiwa na tff morson alicheza kama kawaida

  • @revocatusmalimi4525
    @revocatusmalimi4525 Місяць тому

    Hakuna anyetaka Chama arudi simba huo ni ushenga wenu waandishi kwa Chama na timu yake.Kwanza ni mchezaji huru tangu 30 June 2024 sasa hiyo release letter ya nini

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Місяць тому

    Kwani tarehe ya mkataba wa Yanga na Chama unaonyesha umefungwa tarehe ngapi? Mwezi June au July? Mkataba wa chama na simba imeisha tarehe ngapi? June au July?. It s too much simple to give out decision.

  • @chemstry409
    @chemstry409 Місяць тому

    Sasa siwalisema mzee??? na matusi wakamtukana....

  • @MaguguStore
    @MaguguStore Місяць тому +1

    Ngoja ashike adabu , Chama chama chama ndio nani amekamatiwa pazuriii

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 Місяць тому

    Mchezaji yupo huru kuongea na timu yeyote ikiwa imebaki miezi 6 ya contract, hiyo ni sheria ya FIFA, Amna lolote hapo , Contract ikiisha hayo mambo ya release letter ayana uhitaji

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 Місяць тому

      Shida chama alimwaga wino wakati yupo kwenye mkataba watu wana akili nyingi kuliko yeye

  • @makamesaid9137
    @makamesaid9137 Місяць тому

    Mfa maji haishi kutapa tapa
    Mara lawi mara Chama na mara hii tutawapiga 10 G MAKOLO wasipoangalia.

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 Місяць тому

      Shida akili za viongozi wenu bado ndogo sana walimsajiri Chama akiwa ndani ya mkataba na hapo ndiyo tutawakamatia mpaka mavi yawatoke

  • @FatumakunemkaKunemka
    @FatumakunemkaKunemka Місяць тому

    Twataka tumpe bench kwanza

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n Місяць тому

    Shida niudundukaaaaa😂😂😢

  • @revocatusmalimi4525
    @revocatusmalimi4525 Місяць тому

    Tunashauri viongozi wetu wampe tu hiyo taraka ili akafunge ndoa nyingine akiwa huru

  • @raymondsambaa6687
    @raymondsambaa6687 Місяць тому

    Atarudije Simba wakati hana mkataba?

  • @WiseRigers
    @WiseRigers Місяць тому

    Huyo ni mchezaji huru release later ni kwaajiri ya uthibitisho tu kama wamemalizana kiroho safi kama hawataki kutoa tff wanawajibika kumpa haki mchezaji ili aendelee kucheza
    Tofaut na Feisal alikuwa na mkataba simba hawana uwezo wa kumzuia chama sema nyie wachambuzi wa kibongo ni wa hovyo sana huwezi fananisha sakata la chama na Feisal ni tofaut kabisa

  • @mussammanga7791
    @mussammanga7791 Місяць тому

    Mashaka gani mkubali kuwachwa, mchezaji timu haitaki.
    Fei si mlisema asilazimishwe?
    Sasa kibao kimegeuka.
    Hahahahaaa!

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y Місяць тому

    Kama Tff mnasema wafanye haraka kwa chama waanze Feitoto sheria ya kuwa Simba wakitaka kumchukua walipe Azam na Yanga walipwe sgeria gani jama acha nao chama wamlipe bila kuwachezea msimu mzima malipo ni hapa hapa Duniani😂😂😂😂😂

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Місяць тому

      Utateseka sana Fei kuichezea Simba na siwasawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano

  • @RichardSanga-zr2nj
    @RichardSanga-zr2nj Місяць тому

    NIMESIKIA HIRIZI LETA 🤣

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 Місяць тому

    Maumivu walio wasajiri simba bado pengo

  • @user-os9ps3ry6x
    @user-os9ps3ry6x Місяць тому

    Mnaona ni kitu kidogo nyie ni yanga tunawajuwa

  • @usiniguse
    @usiniguse Місяць тому

    ACHENI USHABIKI. KAMA MKATABA UMEISHA REALEASE LATER YANINI SI AONDOKE TU?

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y Місяць тому +6

    Simba ❤❤❤kumpa chama hiyo arudi kwa nizam kubwa alikua anadharau viongozi na hiyo ndo malipo yake na wampe 2025 hiyo istlechar wala siyo figisu Yanga wao kwa Feitoto kuja Simba wanakinga kifya haya sasa ngomo drooo

    • @asiaruhasha5561
      @asiaruhasha5561 Місяць тому

      😊😊😊😊

    • @user-eg9jq5ny3n
      @user-eg9jq5ny3n Місяць тому +1

      Dunduka bwegeeee

    • @vaxminja9053
      @vaxminja9053 Місяць тому +2

      Mashabiki wa Simba hawajui hata wanaongea nini, hivi unafikiri release letter ni utashi wa Simba? Ni sheria

    • @OS-pf6op
      @OS-pf6op Місяць тому +1

      Wataitapika tu watake wasitake😂

    • @athumanibakari8618
      @athumanibakari8618 Місяць тому

      Mpeni Pole Injinia wenu

  • @CornenciaFaustine-pd2rc
    @CornenciaFaustine-pd2rc Місяць тому

    Akili mu kichwa si mnae mchezesheni tu

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv Місяць тому

    SIMBA MUMESHA PEWA TARAKA SHIDA NN? MWACHE AENDEEEE

  • @abdalla8193
    @abdalla8193 Місяць тому

    Mpeni tu

  • @user-jc4mm7vs9x
    @user-jc4mm7vs9x Місяць тому +7

    NI KUMNYOOSHA HANA ADABU CHAMA.

  • @MkuwaTheDon
    @MkuwaTheDon Місяць тому

    Mmmh

  • @shamissuleyman4894
    @shamissuleyman4894 Місяць тому +1

    Hahahahahaha huyu chama na timu yake mpya walifanya fujo kusajiliwa kabla ya mkataba kuisha

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Місяць тому

    Chama kamaliza mkataba au bado? Kama hajamaliza kwa nini hamkwenda naye Misri?.

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 Місяць тому

    Mjinga anatakiwa kuwaombea kuwapeleka ndio sababu😂 na asicheze

  • @deboy3323
    @deboy3323 Місяць тому +1

    Hhhhhhhh hatumpi✊🦁🔥

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib Місяць тому

    Acheni ujinga nyie mchezaji akifika miezi SITA analusiwa kuongeza na timu nyingine kengenyie chama huru

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 Місяць тому

      Ni kuongea ila cyo kusaini mkataba we kichwa maji

  • @user-or9cl2tc1h
    @user-or9cl2tc1h Місяць тому +5

    Muwe wakweli chama alisajiliwa yanga bado akiwa na mkataba na simba hiyo ndo shida iliyopo

    • @FadhiliSalehe-l2c
      @FadhiliSalehe-l2c Місяць тому

      Ushaidi unao kaka? Ila kisheria mchezaji anarusiwa kuongea na timu nyingine akiwa amebakisha miezi 6 kabra ya mkataba kuisha.

    • @FadhiliSalehe-l2c
      @FadhiliSalehe-l2c Місяць тому

      Ushaidi unao kaka? Ila kisheria mchezaji anarusiwa kuongea na timu nyingine akiwa amebakisha miezi 6 kabra ya mkataba kuisha.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Місяць тому +4

    KUNA TIMU WANA WIVU SANA NA SIMBA

  • @abdalla8193
    @abdalla8193 Місяць тому

    Lawi hanadabu

  • @maimunaathumani9121
    @maimunaathumani9121 Місяць тому

    Safi jeuri uyo

  • @jumaathumani6886
    @jumaathumani6886 Місяць тому

    Ni kwamb huko TFF wallace ni Pacha na simba sc huyo chama atajua hajuw ubaya ubwela qmmk😅😅😂

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Місяць тому

    Nyie na Mikia fc wote ni mbumbumbu tu,mbona Simba walimtangaza na bado wanadai Lawi ni mchezaji wao hali y kuwa ni mchezaji halali wa Coastal..? alafu kw nn Simba tu? hata KMC walilalamika kwa Awesu Awesu

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Місяць тому

    TFF kila siku mnaindama Yanga hamuoni aibu .,Acheni kabisa yanga icheze kandanda

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 Місяць тому

      Tff hawaindami Yanga ila Yanga inabanwa kwenye mkataba wa chama ulikuwa lini hapo ndiyo mtajua kuwa timu yenu inaviongozi watoto