Wimbo mtam sana mpaka natokwa machozi ya furaha😂, unanikumbusha mbali sana . Asanteni mababa zetu wa kesho mungu azidi kuwainua hadi viwango vya juu saaana ❤🎉🎉🎉🎉
Hongeren sana mafrt Mungu awabariki katika utume wenu wa uimbaji Mungu awasaidie katika maisha yenu matakatifu mliyoyachagua,, let's search together the kingdom of God together by praising God 🧎🙏❤️❤️
Wimbo mtam sana mpaka natokwa machozi ya furaha😂, unanikumbusha mbali sana . Asanteni mababa zetu wa kesho mungu azidi kuwainua hadi viwango vya juu saaana ❤🎉🎉🎉🎉
Asant sana
Hongeren sana mafrt Mungu awabariki katika utume wenu wa uimbaji Mungu awasaidie katika maisha yenu matakatifu mliyoyachagua,, let's search together the kingdom of God together by praising God 🧎🙏❤️❤️
🎉🎉 hongereni sana mafrateri kwa wimbo mzuri unanitafakarisha nawapenda sana
Mungu awalinde na kuwajalia utume mwema siku zote ❤😊
Wimbo mzuri sana.
Hongereni sana.
🎉🎉🎉 Safisana Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu
Hongera sana brothers,
Keep it up
Kazi nzuri wapendwa katika Bwana🎉❤🎉
❤❤❤❤Amina mbarikiwe sana . MUNGU awabariki na kuwafikisha kwenye hitaji lenu la kumtumikia.
Mbarikiwe sana waimbaji mkiongozwa na mtunzi,hakika roho njema ndiyo uzima.wimbo ni mzuri.
Mmbarikiwe sana hamjawahi kutuangusha, praise and glorify the Lord
Ngalyenga , mwampembe.. mtunzi.. big up sana kwenu wakuuu
Kazi nzuri sana, hongera sana Frt. Pashal
Asante sana baba Sungura
Naam, sheria ya bwana ni kamillifu huiburudisha naafsi, then,ushuhuda wa bwana ni amini humtia "mjinga; hekima. Thanks my Good 🎉🎉🎉🎉
Kongole kwa Galaxy production team. Waimbaji mmeua sana mkiongizwa na Bro. kasonha na Ngalyenga.
Mungu awaongoze ktk utume wenu ...mbarikiwe kwa kuinjilisha🙏🙏🙏🙏🙏💖💖💖💖💖💗💗
Mungu awabariki na azipokee Nia zenu
Hongereni Sanaa brothers 👏👏
Waaah 🎉❤ hongereni sana kwa kazi hii njema
Mwenyezi Mungu na awabariki 😊
Hongereni sana 🎉❤
Zaburi 19 : 7-14 Sheria ya bwana ni kamilifu huiburudisha nafsi....hongereni kwa uimbaji bora
Waoooo hongereni Wimbo mzuri sana
Amina
Nzuri sana. Hongereni
asanteni sana
Kazi njema
Baraka nyingi
Safi sana watumishi
Safi
Hongereni sana Mungu aendelee kukuza kipaji chenu
🎉
❤❤🎉🎉
Mnaupiga mwingi
❤❤🎉