Waefeso 1:4-6 Waefeso 1:4-6 (KJV) kama vile alivyotuchagua katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio na hatia mbele zake katika pendo. Kwa kuwa alitangulia kutuchagua, ili tufanywe wanawe kwa njia ya Yesu Kristo, sawasawa na uradhi wa mapenzi yake. Na usifiwe utukufu wa neema yake, ambayo ametuneemesha katika huyo Mpendwa. ua-cam.com/video/2_LlwyK0uTE/v-deo.html
Hakuna ki2 wewe ukae tuu ufanyi kazi af nisitangaze af ety ela ya msaada unaenda kunywea pombe mimi hapo📢📢📢 Asiye fanya kazi na asile nilipewa but kwani sikutafuta nilitafuta ndio maana nikapata #ukitaka cha mvunguni shart uiname🧡🧡🧡😜🔞
Sumaku ana maneno, alafu yupo series, hapepesi .
Hamjawah feli kwenye ujumbe mzuri mizengwe,,,tatizo mnadelay kutoa burududan ,,tunataka bampa to bampa
Huwa mnajumbe nzuri sana Ila kazi zenu zinakuja Kwa kuchelewa sanaa
Sijakusaidia nimekupa,Mungu ndo amekusaidia wewe kunijua mimi😂😂😂😂😂pesa jeuri nyie
Kwahyo mkongo hna njaa😂😂
Utanipumzisha siku moja😄😀
🤣🤣🤣🤣🤣 rudisha sasa pesa kama hutaki matangazo
Kuna leo na Kesho ❤❤
Filimbi zimezidi du!!!
Waefeso 1:4-6
Waefeso 1:4-6 (KJV) kama vile alivyotuchagua katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio na hatia mbele zake katika pendo.
Kwa kuwa alitangulia kutuchagua, ili tufanywe wanawe kwa njia ya Yesu Kristo, sawasawa na uradhi wa mapenzi yake.
Na usifiwe utukufu wa neema yake, ambayo ametuneemesha katika huyo Mpendwa.
ua-cam.com/video/2_LlwyK0uTE/v-deo.html
😂😂😂 laki mbil huna
Muwe mnapost kilaa kisiku bhnaa
Duuuuh
Kwakweli najifunza vingi kupitia nyie mpo sahihi kabisaaaa
Muondoko wa Maringo saba duuuu
Wapo wengi hao huyu sumaku itakuwa yumo katika ukoo wa nyange ndo wenye tabia hiiiii
😁😂
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Hakuna ki2 wewe ukae tuu ufanyi kazi af nisitangaze af ety ela ya msaada unaenda kunywea pombe mimi hapo📢📢📢
Asiye fanya kazi na asile nilipewa but kwani sikutafuta nilitafuta ndio maana nikapata #ukitaka cha mvunguni shart uiname🧡🧡🧡😜🔞
😃😃😃😃😃