Waefeso 1:4-6 Waefeso 1:4-6 (KJV) kama vile alivyotuchagua katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio na hatia mbele zake katika pendo. Kwa kuwa alitangulia kutuchagua, ili tufanywe wanawe kwa njia ya Yesu Kristo, sawasawa na uradhi wa mapenzi yake. Na usifiwe utukufu wa neema yake, ambayo ametuneemesha katika huyo Mpendwa. ua-cam.com/video/2_LlwyK0uTE/v-deo.html
Hakuna ki2 wewe ukae tuu ufanyi kazi af nisitangaze af ety ela ya msaada unaenda kunywea pombe mimi hapo📢📢📢 Asiye fanya kazi na asile nilipewa but kwani sikutafuta nilitafuta ndio maana nikapata #ukitaka cha mvunguni shart uiname🧡🧡🧡😜🔞
Sumaku ana maneno, alafu yupo series, hapepesi .
Hamjawah feli kwenye ujumbe mzuri mizengwe,,,tatizo mnadelay kutoa burududan ,,tunataka bampa to bampa
Sijakusaidia nimekupa,Mungu ndo amekusaidia wewe kunijua mimi😂😂😂😂😂pesa jeuri nyie
Huwa mnajumbe nzuri sana Ila kazi zenu zinakuja Kwa kuchelewa sanaa
Kwahyo mkongo hna njaa😂😂
Kuna leo na Kesho ❤❤
Utanipumzisha siku moja😄😀
😂😂😂 laki mbil huna
🤣🤣🤣🤣🤣 rudisha sasa pesa kama hutaki matangazo
Filimbi zimezidi du!!!
Muwe mnapost kilaa kisiku bhnaa
Waefeso 1:4-6
Waefeso 1:4-6 (KJV) kama vile alivyotuchagua katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio na hatia mbele zake katika pendo.
Kwa kuwa alitangulia kutuchagua, ili tufanywe wanawe kwa njia ya Yesu Kristo, sawasawa na uradhi wa mapenzi yake.
Na usifiwe utukufu wa neema yake, ambayo ametuneemesha katika huyo Mpendwa.
ua-cam.com/video/2_LlwyK0uTE/v-deo.html
Muondoko wa Maringo saba duuuu
Kwakweli najifunza vingi kupitia nyie mpo sahihi kabisaaaa
Duuuuh
Wapo wengi hao huyu sumaku itakuwa yumo katika ukoo wa nyange ndo wenye tabia hiiiii
😁😂
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Hakuna ki2 wewe ukae tuu ufanyi kazi af nisitangaze af ety ela ya msaada unaenda kunywea pombe mimi hapo📢📢📢
Asiye fanya kazi na asile nilipewa but kwani sikutafuta nilitafuta ndio maana nikapata #ukitaka cha mvunguni shart uiname🧡🧡🧡😜🔞
😃😃😃😃😃