Hambieni WA chef de secteur na wami wote WA zone ya fizi,wahambiye watu wao wazidi kupunguza baazi ya vitu bei,parcelle moja ya baraka hinazidi bei barcelle ya burundi ,pia serekali yetu ya congo ni serekali ya mchongo yaani ya bwizi,
Hamtaki tu kujengewa barabara kivipi barabara inaweza kujengewa kutoka bukavu ifike uvira kalundu na Iwe mwisho na mnyamanze tu bika hata kuandamana kuonyesha na ninyi mnaitaji hiyo barabara mnaitaji ifike huko kwenu hakuna fursa nyengine yakujengewa barabara kama hiyo 😮😮 kwani baraka sio congo na mlisha pewa ville ambayo aina barabara ya lami 😂😂😂😂
Baraka siyo ville, wa ache mzaa. Serikali ifanye miundo mbinu kwanza. Ville gani Aina umeme, akuna Barabara, akuna maji Safi, akuna bandari wala uwanja wa ndege, vitu hivyo na vinginevyo ni jukumu la serikali, Sasa raiya watawekeza kwakuwa wameisha raisishiwa.
NAWAFUATA FROM GERMANY
Kasema ukweli bila kupingwa
Hambieni WA chef de secteur na wami wote WA zone ya fizi,wahambiye watu wao wazidi kupunguza baazi ya vitu bei,parcelle moja ya baraka hinazidi bei barcelle ya burundi ,pia serekali yetu ya congo ni serekali ya mchongo yaani ya bwizi,
Tatizo munachonga sana kiswahili na muache bulozi muko nauwa ba jeune yenu akijenga etage inakua shida
Hamtaki tu kujengewa barabara kivipi barabara inaweza kujengewa kutoka bukavu ifike uvira kalundu na Iwe mwisho na mnyamanze tu bika hata kuandamana kuonyesha na ninyi mnaitaji hiyo barabara mnaitaji ifike huko kwenu hakuna fursa nyengine yakujengewa barabara kama hiyo 😮😮 kwani baraka sio congo na mlisha pewa ville ambayo aina barabara ya lami 😂😂😂😂
Baraka siyo ville, wa ache mzaa. Serikali ifanye miundo mbinu kwanza. Ville gani Aina umeme, akuna Barabara, akuna maji Safi, akuna bandari wala uwanja wa ndege, vitu hivyo na vinginevyo ni jukumu la serikali, Sasa raiya watawekeza kwakuwa wameisha raisishiwa.