Nzur inapendeza lakin Mama Mai Unaanza kuniuzi Sasa mbona unaharibu ngozi yako Ivo acha bhana mwanzon uliendza sana na rangi yako Yani unachukiza kiukweli Wala hupendezi
Ujinga tu Yani mtu akishaanza kuwa maalufu Kidogo basi anatafuta weupe Ivi awajifunz Kwa Monalisa Yan Yule dada nampenda mm hanaga makuu anajikubali sana
comedy nzuri ila pangeni sauti zenu, wengine tunatumia earphones. Unapoizidishia sauti ili umsikie mtu kaongea niini unakuta baadae inakuumiza maskio... Kwamfano, hapo mwanzo Habiba alipojitokea si ilipiga kelelele tofauti na la maongezi yao. Mjitahidi jamani ki-upande huo
Hii comedy ni nzuri sana. Inaficha siri za nyumbani. Safi sana. Mwanamke mwema anapaswa kuwa hivi
Nzur inapendeza lakin Mama Mai Unaanza kuniuzi Sasa mbona unaharibu ngozi yako Ivo acha bhana mwanzon uliendza sana na rangi yako Yani unachukiza kiukweli Wala hupendezi
Alafu nashangaa anqtqfutq nn ss wakati yy ni mweupe
Ujinga tu Yani mtu akishaanza kuwa maalufu Kidogo basi anatafuta weupe Ivi awajifunz Kwa Monalisa Yan Yule dada nampenda mm hanaga makuu anajikubali sana
Kwel umetisha mwanamke mwema hustiri ayibu ya ndani kwakwe ❤❤❤
🤣🤣🤣🤣🤣 wanawake wanapitia mengi
Acheni kuwa mnasema msivo vijuwa wapi uliskiya wamesema usutwa sunna Subhanallah iyi kauli sionzuri dadazangu
🤣🤣🤣🤣hii kali sana na huyu mwanamke ni mnzuri ju anaeka siri ya mume wke
Mama zumo n mwanamke mwemaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Yupo kama mm
😂😂🤸♂️
Jaman ka vile hujafumania kweli bonge la tabasamu...vzr sana kufcha siri ya mumeo....😘😘😘
Mama maya punguz kujipaka hayomafuta
Mama yooh.umeona hilo atakuwa mbaya saiv
Mke mzuri anaficha aibu ya nyumba yako🤣🤣🤣🤣🤣
Penda sana mama mai wa mie🥰
Jamani anae mkubar habiba kama mm tujuane
mbna uso wa ma zumo umekuwa mbovu
Tusiww went tamaa Kam ank zumo😄😃
Duh lkn mama uo mkorogo achana nao
😂😂 umenikausha mbavu wallahi 😂😂
Eti shetwani lajimu🤣🤣🤣🤣❤❤love ❤️ frome burundi 🇧🇮♥
Mma Mai WWE nakupenda bure🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera jaman nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣
Habiba mbavu zangu jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ma mai mbona uso umeharibika
Big up habiba yaani umetisha sana
Acha niwe wakwanza mimihaaaaaaa
Mashallah hii comedy nimeipenda bure .wambea amewakomesha lakini wanazidi kualikana kuja kumpa pole....na kweli tabia yakuchepuka chepuka mtaani nikujitia aibu mume mwenyewe na mke nimkumdhalilisha mtaani hasa uswahili watamsema mpaka apate presha ama akunde kwa mawazo.
Mama mai wakausha Mbavu zangu😂😂😂😂😂😂😂kwekwekwekwe
Nimecheka sana karibuuuuu aah safi sana mama mai uko vizur
Nimempenda sana huyo mke kwakweli. Ila duniani kuna wambea jamani daaaaah
Mama Mai dada yangu acha kujichubua unajiharibu ngozi yako
Kaz nzur jamn napend san na mai tumemmic
Daaah yamemfikia Hidaya kazi ipo
🤣🤣🤣🤣🤣
Buzza noma kishenzi😆😄🤣🤣🤣
😂😂😂😂 tuliopo kwenye ndoa tunaelewa haya
🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka hapo mwisho mama mai🤣🤣
Mama mai jaman 😂😂😂😂😂👏
Mbavu zangu jamani mlitafutana mkapatana ongereni aky
kwa hii kuna itaji moyo duuuu🤣🤣🤣😳😳😳 🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️
🤣🤣🤣🤣🤣 Majirani nao wambea kweli kweli
Mai zumo jmn .Ninawapenda sana.Mungu awalinde 🙏💕💖
hahahahah noma sana
comedy nzuri ila pangeni sauti zenu, wengine tunatumia earphones. Unapoizidishia sauti ili umsikie mtu kaongea niini unakuta baadae inakuumiza maskio... Kwamfano, hapo mwanzo Habiba alipojitokea si ilipiga kelelele tofauti na la maongezi yao. Mjitahidi jamani ki-upande huo
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣majirani wambea hao jmn
Safi kabisa habiba
Dah habiba mbona uso umekuaje punguza mkorogo haki umeharibika na hiyo mikono imekuwa kama ndiz za kuchoma
Nkajua nimeona peke yangu
Habiba ww wajua kustiriana Na mumeo ila usimzoeshe sana muda Atazidi😜lkn nzuri 👌🏼
ingekuw mwanmke mwingine angeanza kuelezea ilivyo kuwa..,kun somo hapo kwa wanawake na wanaupe pia jmn
Ndivyo inavyotakiwa wanawake kuwa na sir kwawaume zetu
wastrin ili wakazane
Nilecheka sana asante mama mai🤣🤣🤣😘😘😘🙏❤️
Hidaya Sasa inasemekana umemfumania mmeo kule uchochoron🤣🤣
Good idea
Mmmh jaman ww habiba uwo uso 😪😪looooh mwambia mumeo awe ana kumwangia Usoni maana sio kwa mafenisi ayo 🤧🤧🤧
Kweli wamekosea jikaze tu!
😀😀😀😀😀karibuuuuuuuuuuuuu
Hoyaaaa! Mtatuvunja mbavu!
Kikombe chaujasiri upewe 💯😂
😁 Kajikaze so kwa hali hii
Niaatari san mama zumo🤣🤣🤣🤣
Uso una nn habiba waharibika
🔥🔥🔥
Zumo hujavaa uhalisia inaonyesha kama unacheka nadhani ingetakiwa uonyeshe huzuni kama mtu anayejutia alichofanya.
Sichok kutizama hii😂😂😂😂😂😂
Yes mwanamke mwema 😭
😂😂😂😂Mwambie huyo mwanamke aje kwangu
1😀😀😀😀😀😀😀😀😀
😂😂😂😂
Nimekukubali mke wa zumo
Hwhahaha dah kiboko
Sheitwani Rajiim 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Daah kua mwanamke w boma nikazii kweli🤣🤣🤣🤣
Dawa ya wambea 🤣
Mama Mai unachekesha sana
🤣🤣🤣Eti mekosea
Wanawake km Hawa hawapo siku hizi akufumanie harafu ukuteteeeeee km hivi mama Mai
Zumo unacheka hauko seriouse
Very funny yaani bi habiba umenchekesha
😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Mambo pambe 😂😂😂
Mmmh michunusi toomuch
Ukorofi huo sasa
Mimba changa
@@gressjoseph5615 mmmh 😂😂😂😂😂😂😂😂
Mimorog mibya jmni wanawke
Ma Mai si kwa ubaya dada tnakupenda ila cream imebuma hio itakuharibu acha mpnz dada
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hongera Kwa Kuficha Aibu Za Mumeo.
ficha kila siku atafanya hayo hayo
@@heyumi2340 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ajuwa Akifanya Yuafichwa Aibu.
@@mwanahalimamwachili9679 😂😂😂mie sifichi haki ya mungu
@@heyumi2340 🤣🤣🤣🤣 Humpendi Mumeo Dada.
@@mwanahalimamwachili9679 hawapendeki mwaya mwanaume hata umsafishe kwa ulim huhuuu atakuona wa kitambo 2
😂😂
Ankooo kachoka kuhongwa daaah
Hhhhhhhh hhh mtihani
😂😂😂😂Nihuzuni kwa kweli
Nimejikuta vimachozi vinanilengalenga. Wao wamefanya kama Comedy lakini kuna mafunzo fulani makubwa tu hapo.
Ali kiba
Hidayaaa😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
👏👏🤝
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌🥷🏼😎 moo juuu
😂😂😂😂
🤣🤣mbona shetanirajiimu
Haha shaitwani rajimu
Mama Mai rudisha rangi yako ya awali plzz
Karibuuuuuuuuu😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 Hii kali
Mke mwelevu😁
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Bass
Dah nmecheka
😂😂😂💐
Mkeo mzuri