Umbwa hii song ni mamaao nimeikubali ki k.. Ila ulitakiwa uweke verse mbili yaani baada ya chorus ya mwisho unge vunja ya mwisho But all in all ngoma ni kaliiii
Richard Gideon mwana kuwa serious.. nyimbo nzima imejazwa na Dogo Janja... hiyo chorus kali sana... Chindo verse ndo ya kawaida na alikuwa imebaki kidogo azingue... ukisema Janja kazingua hiyo ni chuki mzee.. robo tatu ya wimbo kaijaza yeye
Chindo Mani nikikatwa damu yangu ni yeye napenda sana voko za chindo Man namuamin sana ajawai niangusha one love
Bonge la track Kinoma. Chindo safi sana. Tracki ni shiiida ile laana. Eee banaee Chorus Dogo Janja ka kili freshi.
Chindo albamu yako tunaipata duka gani hapa chuga
🙏🏾💯
Nimekubali ngoma kali..Who say nooo!!. ...A town stand up
Nakubali man umbwaaaàaaa
🙏🏾💯
From Nairobi Arusha stand up
Uumbwa👐👐
Sichokagi sikiliza hili pini!
kolabo ya #umbwa na #paka dadekiii hii ngoma ni amxha mwanzo mwixho
Nakkbal sana chindo man rapa wangu bora miaka yote
🙏🏽💯💥
Chindo ni hip hop wa kweli Tz
💥🙌🏾
since day one nli graduate kwenye skani za mapusha, janjaro nowa kashapotea rap kaikmbia anatznguwa t now
💥🙌🏾
bonge la pin big up janjaro kwa kumtendea haki broo
Nice dogo janja
Umbwaaaaaaaaaaaaaaaaaa mzeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
🙏🏾💯💥
Nakubal xan hio ngoma
P1 wangu wa chuga
🙏🏿💯💥
Big up sana chindo ni bonge ya kollabo niqqa #badman
🙏🏾💯💥
Janja umetisha
Namkubali sana Chindo Man.Mistari yake yakiutu uzima
🙏🏾💯💥
Dogo chorus imetulia ,nakupa max 100,Dogo janja aminia,
🙏🏾💯💥
Ni MzuuuUkA Aiseee kilA kitU KaLi mwanzO mwishO
🙏🏾💯💥
namuona chaliwangu farook umetisha chaliwangu sanaa . BIG UP bro chindooo
🙏🏽💯💥
Oog sana umbwa mzee ,,,og sana janjaro
Ngoma kali kama kawaida ya watengwa...
mtu mzima Chaba pale mwanzo umenikata stimu...
Umbwa n noma
Ongera chindo maana umeonyesha uwezo
janja umetishaaa
Since Day Uno. Dogo umeua
Umbwaaaaaaa
🙌🏿💯
Kaliiii ile laana umbwa
Umbwaaa much respect kwako
Since day 1 mazee chuma changu cha mda wotee 👽💥
Umbwa kwenye ubora wake... kwere na half
🙏🏾💯💥
kitu kikali kinyamaaaaa
umbwaa chindo MAN! chali anq never give up my artist love this track
represents a town sir
🙏🏾💯💥
since day one💣💣💣💥💥💥💯💰
Umbwa hii song ni mamaao nimeikubali ki k.. Ila ulitakiwa uweke verse mbili yaani baada ya chorus ya mwisho unge vunja ya mwisho
But all in all ngoma ni kaliiii
Steav Mc Per I agree aisee
Steav Mc Per matanga bussines kona ninaitaji nikutumie beat nimeandaa kwaajili yako 0716798984 nicheki ewan au Whatssap
🙏🏾💯💥
Noma sana #Chindo_man tisha sana
🙏🏾💯💥
bonge la kazi wazee. safii hii
umbwaaa
Huo wimbo ni firee!.
🙏🏾💯💥
Beat Kali, rap Kali, ngoma kaliiiii!!!!!
🙏🏾💯💥
January ulimfunika mpaka umbra sana janja
hahaaa...!!!! umenda sawa na baba yakoo...
Duh nice sound aiseeh...hiphop 4 life
Sana janja amekubali mkubwa nimkubwa 2
💯💥🙌🏿
safi sana mangi
Congrats Ki
umbwaaaaa
Ngomakali
Ilajanja umezingua
Richard Gideon mwana kuwa serious.. nyimbo nzima imejazwa na Dogo Janja... hiyo chorus kali sana... Chindo verse ndo ya kawaida na alikuwa imebaki kidogo azingue... ukisema Janja kazingua hiyo ni chuki mzee.. robo tatu ya wimbo kaijaza yeye
+fred fabian mbona mm sijamsikia dogo janja katika hii nyimbo nimemsikia saidaa ,,,belle 9 na g Nako
duuuhh we jamaa noma.... ubishi mwingine hauna hata maana.. anyway basi tufanye mzuka
hapana janja katisha sana wewe acha niaje
Since day 1 ni balaa jingine katika tasnia ya hiphop,one among the best rap song 2017
🙏🏾💯💥
Kwishaaaa
💥🙌🏿
Janjaro wa rap ndio namuelewa
🙌🏿💯
My best rapper all the time wish to meet him #chindo man umbwax one day😭
Jombaa unajua sana ase, kwel ng'ombe hazeeki maini @Umbwa
Janja ...hii mistari ako noma
💯🔥
umbwa mzee much respect
🙏🏾💯💥
@@AfricanMusicNowOfficial ✊
Chorus imetisha chindo man
noma sana
Ngoma kali sana.
🙏🏾💯💥
nyoko sana hii ngoma ni kal mwanzo mwisho
🙏🏾💯💥
Jembe chindo man
🙏🏾💯💥
Jamani chorus moto Sana dogo angefuatia baada ya chorus
Imeweza
🙏🏾💯💥
Nimeilewa ngoma
#UMBWA you are too heavy for the kid... but mzuka sana umeshow love. 🙌🙌
Chidooooo fireeeee
🙏🏾💯💥
nice work brother respect kwako
🙏🏾💯💥
Keep it up Inno
Chindo Man salutee Bro hukoseagi
🙏🏾💯💥
Ngoma kali sana broda
DOUBLE NI NYOKO UMBWA MZEE SOKO MOKO A.K.A SHOLA LA MASHAIRI
Mrudishe dogo kwenye HIP HOP chindo
Junior Lyatuu 😂😂
Kali sana mmeua sana
Nil graduete kwenye skan za mapusha nkampromec mama yangu kuwa stamuangusha.og sanaa
🙏🏽💯💥
Bonge la chorus mamake
nice one Mbwa n shedahh
David samwel
niajeeee
🙏🏾💯💥
Man this song ni 🔥🔥🔥🔥
🙏🏾💯💥
Great song keep it up chindo
🙏🏾💯💥
ubwa nyang'au kijenge
🙏🏾💯💥
Chindo man!
Mumetixha kunoma
From Nairobi kenya,Arusha stand up
Bonge moja ya Ngoma promo tuu imekoxa
Nice sana songs dogo janja
🙏🏾💯💥
saluuuuteeeeeeee broo
🙏🏾💯💥
2025 we keep moving in HIP HOP WORLD.
💥🙌🏾
Hip-hop mikono juu
💯💥🙌🏾
Doggy umetisha
nyokaaaaaaaaaaa
🙏🏾💯💥
chugga si ndo kila kitu now days
🙏🏾💯💥
Hii nyimbo inahitaji remix. Akae Fid Q, Young Killer , Godzillah, Zaidii, P the Mc, etc
Wewe umeona mbali ni kweli hujakosea
umefikiria kinyama mkali kabisa
Samson Petro akifanya hivyo litakuwa bonge la ngoma
Wazo zuri ,rip king zizi
Rest Easy Peace King Zizi🗣🎙🎶🎧
Aiseee bonge la track Chindo. Eee banaeee Dogo janja kaimba chorus freshi sana. Bonge la Track. Chindo Albamu yako tunaipatia duka gani hapa Arusha??
Na itatoka muda gani?
Hii Ngoma nilimuelewa Sana na janjaro Yule nayemkubali Mimi huyu muhindi ananichanganya
🙏🏾💯💥😃
Sema braza hili goma lingemremix afu vichwa like torati ya mtaa (fid q,wakazi au tamaduni music ingekuwa 🔥🔥🔥🔥.
Cora's abaki janjaro
fire
🙏🏾💯💥
duuu ni shigiidi callabo ya mbwa na paka
Max 100
Best chorus n rap flow from dogo Janja ever
💯💥🔥
True
Yeah sure san
Hit song
🙏🏽💯💥
God song
ety ni msahau amina (uwoya)hatary
🙏🏾💯💥
2023 still 🔥🔥🔥🔥
konk Mzee bb
🙏🏾💯💥
dogo janja noma
Poa Sana kaka
🙏🏿💯💥
yasin yahaya!
mzee baba beat yangu IPO? tuliigonga na Jesus ,ngoma nang'ata ile beat ni noma dunia nzima yasin!