UTATA KUHUSU KAULI ZA OTHAMAN MASOUD MAJUKWAANI / ICHI NDO KINAMPA NGUVU? / NI BALAA TUPU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • WorldNewsMedia ni chanzo namba moja cha habari kinachota taarifa mbalimbali ulimwenguni . Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    #siasazanzibar #raissamia #othamnmasoud

КОМЕНТАРІ • 46

  • @HajiJuma-k3l
    @HajiJuma-k3l 5 годин тому

    Muheshimiwa ukinitajia maalimu Seif,Mimi unanimwagisha machozi mengi yanayokuwa hayana mwisha,Unaniliza kilio kisichoisha milele kwakumkumbuka mema aliyotufanyia sisi Wazanzibar wake. Nakuomba Allah umfufuwe maalim seif leo hii inshaallah. Ameena,Ameena yarabilighalameena.

  • @suleimanalisaid2201
    @suleimanalisaid2201 5 годин тому +2

    Tumekuelewa vzr sisi tunataka kuinusuru zanzibar

  • @RashidAhmed-h7t
    @RashidAhmed-h7t 9 годин тому +3

    Nyerere kazi yake kubwa ilikua ni kueneza fitna tuu duniani.

  • @saidal-hind5338
    @saidal-hind5338 19 годин тому

    Shukran broo tunakupenda sana kwa kutetea zanzibar

  • @IlhamKhalid-mt3jp
    @IlhamKhalid-mt3jp День тому +2

    Ahsant na shukran

  • @ramadhansimba2928
    @ramadhansimba2928 6 годин тому

    Idrissa aliodoka kwa sababu gan
    Jamaa hx haijui😊

  • @MzeesuleimanMaganga
    @MzeesuleimanMaganga 7 годин тому +2

    Ningefurahi kama historia ya Zanzibar pale ilipopata uhuru kutoka kwa uingereza

    • @w4058
      @w4058 Годину тому

      Utaipata Google search Zanzibar History before Revolution

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 3 години тому

    Umesahau hata maaliSeif aliwahi kuwa waziri kiongozi wakati wa utawala wa Idrisa Abdoul Wakili hapo ndipo mambo yalipoanza kuharibika Maalim aliwapebdelea Wapemba mtifuano ukazidi

  • @NassorKhSaid
    @NassorKhSaid 20 годин тому +4

    Mamlaka kamili

  • @salimaloufi6470
    @salimaloufi6470 17 годин тому +1

    Aboud jumbe aliekwa tu bila kushauriwa znzibar

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 17 годин тому

    Good history

  • @abrahmanhmd2557
    @abrahmanhmd2557 7 годин тому +1

    MBONA HEAD NEW IPO TOFAUT NA VEDIO AMA SJAFAHAM

  • @AmeKhamis-b9q
    @AmeKhamis-b9q 20 годин тому +2

    huyo jamaa kaulizwa nin anajibu nin Hana uchambuz

    • @RashidAhmed-h7t
      @RashidAhmed-h7t 9 годин тому

      Mbona kajibu vizuri tuu basi kma huelewi basi mpeleke mamako ajibu vzr.

    • @MzeesuleimanMaganga
      @MzeesuleimanMaganga 7 годин тому

      Uhakika kaulizwa kitugani anijibu nini

    • @RashidAhmed-h7t
      @RashidAhmed-h7t 4 години тому

      Hakuna mzanzibar anaitwa maganga ww mtanganyika hii mada hakuhusu ndewe Wala shikio kwa iyo siwezi kukujibu

  • @salehabdallah4114
    @salehabdallah4114 23 години тому

    Io ni Culculation ya Siasa na nimejufunza kua yote yanayoendelea yanatokana na historia za kisiasa

  • @rahmajaffar794
    @rahmajaffar794 7 годин тому

    Dunia tinapita tu

  • @w4058
    @w4058 Годину тому

    Muwongo mkubwa wewe fisadi hakuwapendelea wapemba nyie mlijazawa chuki kwa makusudi wacha kusema uwongo

  • @freddyfit4132
    @freddyfit4132 17 годин тому

    Sheini didnt win to be honest

  • @SaidAljabrisalim
    @SaidAljabrisalim 18 годин тому

    Mamlaka kamili, acheni mbamba.,
    Kama mulianganisha, toeni mkataba hadbarani.

  • @DulaRashid-r5z
    @DulaRashid-r5z 16 годин тому

    Wewe hapo unaongea utashi sadifa aliongea Nini nakafanya nini

  • @Znz-news
    @Znz-news 18 годин тому

    Kwani aliulizwa vipi naona anatoa historia ya Zanzibar

  • @salimaloufi6470
    @salimaloufi6470 17 годин тому

    wewe unatoa story,jibu suala

  • @KhamisSeif-t3d
    @KhamisSeif-t3d 23 години тому

    Muandishi kwanini usimuulize OMO mwanyewe huoni ukiuliza watu wengine utapata majibu sio au ndivyo munavyotaka Ili mupate la kusema

  • @SbOm-b7k
    @SbOm-b7k 7 годин тому

    Siasa ni mchezo mchafu,, Tunataka muungano mpya sababu walio unganisha hatujui waliyokubaliana ,inabaki Siri ambayo imekufaa,,, kama watenda haki na amani basi mukubali kuvunja na kuunda mpya

    • @w4058
      @w4058 59 хвилин тому +1

      Siasa sio mchezo machafu wana siasa ndio wenye uchafu na kila kuzidisha uchafu wao wenyewe ndani ya nafsi zao

  • @Yussuf-b3b
    @Yussuf-b3b 21 годину тому

    Ccm b ukimsikiliza ni kichefu chefu tu,,WAZANZIBARI wanataka mabadiliko zamani sio sasa tokea marehemu seif haki yao ya kuchaguwa inaporwa ,,huyu jamaa ana mendit gani kuwajibia WAZANZIBARI, ni upuuzi tu

    • @RashidHaroun-c2j
      @RashidHaroun-c2j 20 годин тому

      Wee una mandet gani ya kutuzungumzia wazanzibar

    • @RashidHaroun-c2j
      @RashidHaroun-c2j 20 годин тому +2

      Sefu alikuwa mroho wa madaraka tu maana alikuwa ccm na aliitaka nchi hakupewa ndo maana akatimkia kwingine ili apate madaraka

    • @w4058
      @w4058 19 годин тому

      Ushike Adabu yako wewe nuksi mmoja

    • @w4058
      @w4058 19 годин тому

      ​@@RashidHaroun-c2jAlaysa llahu biahkamulihakimin hakimin Allah atamlipia Maalim Seif unasema uwongo kwa chuki zako loo Hasbunallah Waniimal 😢

    • @w4058
      @w4058 19 годин тому

      ​@@RashidHaroun-c2jNa huyo alokuunga mkono nyote mtakwenda kujibu kwa MMungu kwa uzushi waongo msokuwa na adabu wakosefu wakubwa washenzi msojijuwa