Mr. Polepole ni mzalendo wa kweli na mwenye nia ya dhati ya kuleta mabadiliko ya kweli kwa manufaa ya Taifa la Tanzania. Namshukuru kwa kutokuwa na mfungamano na chama chochote cha siasa kwani sote tunapaswa kusimama kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu kwanza.
Wow...Huyu kijana kweli kajitambua. Anajibu maswali kwa ufasaha hata kama halijaulizwa vizuri. Hii ni hazina ya Tanzania, Mungu ambariki na yeye akawa sehemu ya maendeleo ya Tanzania kwa nafasi yoyote atakayohudumu.
Alphid bole bole nyinyi watang'anyika mutuachie wazinjibar tupumue means hatutaki muungano na nchi yoyote ile duniani mimi nilikusikia unasema do or die lazima muun'gano ukuwepo???na mimi nakuambia hata wazinjibar wakifa robo tatu lakini inshaallah Zinkibar lazima iwe Sovoreign State kama ilivyokua hapo b4 ok guys???freedom and war...
Huyu sio mkweli, America wao wanaruhusu wageni watakaokuwa raia wa America kujiunga na jeshi, police, magereza, kufanya kazi na FBI,CIA,Secret Service, wizara mbalimbali, kugombea public offices kama state Governor (Governor wa California Arnold Schwarzenegger), state representative, judges, mayor, senate and many more. Kitu kimoja ambacho hawaruhusu ni kugombea urais tu.
Wow! I am impressed! Watu kama kijana huyu ndio tunawahitaji huko ngazi za juu serikalini. No joke. Thumbs up Humphrey!
Mr. Polepole ni mzalendo wa kweli na mwenye nia ya dhati ya kuleta mabadiliko ya kweli kwa manufaa ya Taifa la Tanzania. Namshukuru kwa kutokuwa na mfungamano na chama chochote cha siasa kwani sote tunapaswa kusimama kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu kwanza.
Wow...Huyu kijana kweli kajitambua. Anajibu maswali kwa ufasaha hata kama halijaulizwa vizuri. Hii ni hazina ya Tanzania, Mungu ambariki na yeye akawa sehemu ya maendeleo ya Tanzania kwa nafasi yoyote atakayohudumu.
Nimerudia zaidi ya mara 50 kutazama
smart, wise and smart damn this dude should be a raisi of tz in 5 years
Nakubaliana sana na Comrede Polepole .... Asante sana kwa elimu hii comrade
positive minded! man is so brilliant
Safi sana ndugu Mwendo kasi
Alphid bole bole nyinyi watang'anyika mutuachie wazinjibar tupumue means hatutaki muungano na nchi yoyote ile duniani mimi nilikusikia unasema do or die lazima muun'gano ukuwepo???na mimi nakuambia hata wazinjibar wakifa robo tatu lakini inshaallah Zinkibar lazima iwe Sovoreign State kama ilivyokua hapo b4 ok guys???freedom and war...
Huyu kijana ana akili hatari, anasema ukweli na hamwogopi mtu, Mungu amtangulie na kumlinda ...
Tunasonga polepole ...
Dah Mr polepole yupo vzr ni Burma na haki akapewa nafasi nyingine sijawahi furahia kipindi kama hiki cha Mr polepole
sapali michael sa
Shukran humprey ujumbe umefika vijana wanaojitambuwa
Huyu sio mkweli, America wao wanaruhusu wageni watakaokuwa raia wa America kujiunga na jeshi, police, magereza, kufanya kazi na FBI,CIA,Secret Service, wizara mbalimbali, kugombea public offices kama state Governor (Governor wa California Arnold Schwarzenegger), state representative, judges, mayor, senate and many more. Kitu kimoja ambacho hawaruhusu ni kugombea urais tu.
Mm huyu ndie rais wng 2015
Anawapita wale wanaokwenda kusinzia kule mjengoni
Huyu polepole shoga wa siri tunajua