MZEE MAKOSA BAADA DIAMOND AITWA NA MZEE WA UPAKO/HELA NILIZOPEWA NAENDA KUPANDA MITI/MASHINE
Вставка
- Опубліковано 9 лют 2025
- MZEE MAKOSA BAADA DIAMOND AKUTANISHWA NA MZEE WA UPAKO/HELA NILIZOPEWA NAENDA KUPANDA MITI/IRINGA
#mzeemakosa #mzeewaupako #mzeemakosadiamond #carrymastorytv
Hongerea mzee💪💯👏
Kuwaelewa wazee inaitaji busara sana..
This Is Passion 💗
IQ ya mzee yahitaji D mbili
Manaa dunia ya mungu ni sehemu salama ilaa binadamu
Nimefurahi MAONO ya MZEE makosa. Hongera pia MZEE wa upako una busara...
Mungu Akubariki sana Mzee Wetu
Anaongea point
Sana
Nakukubari sana fadha mzee wa upako
Mzee wa upako alikua anaombea watu wanapona lakini huyu mzee anampa suplements akatumie..kwanini asimuombee..akili kumkichwa😀😀
Kwani Mzee Makosa amekuambia anaumwa??Au amekuambia anahitaji Maombi??
@@williamlusinde4612😂😂😂😂 tatizo kila mtu anamaoni yake.kwani before hiyo 10M alikuwa anaishi vp?.ukitoa kwa jamii unaongezewa zaidi.
Usiendekupada miti mzee ahanayo bora hilo wazo alilokupa mzee lusekelo!
Akitoka hapo mwambie namuita afike kwangu mala moja,
Kwako wapi
Nimekushutukia unataka fetha za mzee makosa harudi tena tuliambiwa tuishi na nyinyi kwa akili
Kwamba!!!
Umbandue mzee wetu
hahah umuibie au vp
Mzee makosa anaendelea kufanya makosa 😂
😅😅😅😅
😂😂😂
Mzee anamaono ya mbali sana yawezekana ana miaka 2
Kabisa dah yan milion kumi
Yeye cha kufanyia hana duh
Mwambie mzee wa upako apige maombi sana anakunywa sana pombe kali,,aache pombe hapo alivo mzima hivo ndio makosa mwenyewe sasa,,we ukikutana naye kashakunywa unamsahau
Kwawenye D2 nakuendelea watajuwa mzee anamaana gan 🫶🏻
Huyo ni mtu mwenye busara saana, na pia anaufahamu sana Muziki na kiukweli tangu akiwa kijana ana wito. Niliwahi kukaa naye Iringa nikaongea naye Mengi.
Mwaka bado mbichi huu 😂
Basi ampe na baba yake mzee Abduli atapata baraka
HUYU MZEE NI MKWELI SANA SANA
Huyu Mzee kweli anamsimamo na anajua nini anafanya embu angalia anavoongea Mzee wa upako na jinsi Mzee alivo busy na kausiingizi kakitajiri
Huyu mzee mpumbavu sana
Ukiwa na akili ndogo huwez elewa ,yeye kapima kulingana na umri alionao nk
Hakuzidi ww
Yeye na Miti na Miti na Yeye
😂😂
Niko Kenya naitaji no yake Mzee makosa na naulisa mke wake juko wapi
Mzee ana ekima na busara
Pia miti ya mbao ni muhimu mzee😂😂
Atavuna baada ya miaka 20 akiwa marehemu 😂
Dohh kumbe inachukua muda mrefu hivyo 😢😂@@ahz6907
Mzee makosa swala la kununua
Mashine ni lipo saw sema nunua
Mashine ya kisasa na je? Nikuulize
Kwan auna watoto wa kukusimamia
Wakasaga iyo mashine yako
😂😂😂hahahha where have you been before diamond bro😂 ukimaliza sadaka muhimu
Katafute pesa acha ufala
Mzee alishafanya yote akamaliza
Yuko sahihi kurudisha fadhila kwa kupanda miti ya matunda
Uyuu Mzee kachoka alitakiwa kabla yakupewa izo pesa apatee mshauri wa maswala ya pesaa uwezi ukasaidiwa alafu zile pesa unasema utaki kuzizalisha unamvunja ata moyo Alie kusaidia
Mnawapenda Sana wanafiki ,siku zote Kwanza kuwa mkweli ili anaeanza kumshauri apate pa kuanzia ,mngesikia anasema anaenda kufanya biashara huwez jua angeenda kufanya biashara gani pengine hela ingepotea vile vile
Mzee makosa anaakili nyingi wewe unazani hajui kitakacho kuja kutokea kunamijitu saivi kwenye familia yake homuhumo kapatahizo hela wanamtolea macho kulingana na umri wake anaona bora apande miti ya matunda nakilimo biashara hatoweza kufaidika nayo kulingana na umri napia hatoweza kusimamia vyema itamlazim kuweka ndugu ndo tunarudi kulekule
Ana akili sana huyuuu
Ndo mana mchanga akipewa ml4 anakuwa tajiri
Ili lizeee lipigwe fimbo
Tunamshukuru eddo bashiri na rredio ebony fm, bila yeye kumuibua mzee makosa asingetambulika huko
@Marymrisho kwani uongo wewe bila Edo bashiri msingemtambua mzee makosa
@Marymrisho afu kama mtu humjui usiwe unakurupuka kuandika usivovijua
@Marymrisho acha shobo na usiyoyajua
@Marymrisho yako lakini ipi ka unalia chefuuuuuuu,
@Marymrisho acha shobo kkushobokea visivyokuhusu upo mwafurani
Huyu makosa ni mkweli sija pata kuona
Huyu mzee alikuwa tajiri sana alimiliki hospital, hotel, nk sijui kilimkuta nini jaman
Fatilia kwa kwa Dar 24 mbn kaeleza kila kitu
Hiyo ndio ibaada yenye maana diamond kweli Mungu akubaliki sana
Mzee kasinzia
penda sanaa
Mtamuoji mzee mpaka atasahau ata aliongea nn ,kwani akishajieleza mara Moja si basi mbona kuja habari nyigi nchini jaman wandishi wa kitanzani bwana jambo Moja basi waandishi wote wa TANZANIA wanataka kuifanya hbaari
Anaacha kumpa msaada Baba yake Mzee Abdul anaenda kumpa mtu baki!
Staajabu ya Duniani !!
Msahada auchagui mtu,Inategemea uyo unaemsahidia nayeye Yukoje,
Tusipangiane maisha..wewe ukamsaidie babako
Ukinunua mashine TRA wako na wewe kwenye miti zitaishia kwenye kibalitu
Mzee atakuwa mtambo ndomana kafirisika
Hata psychologist aongee naye before aanze any business.....
Kweli kabisa! Mimi mwenyewe sijaelewa kwakweli. Mbona anaweza atafanya chochote Kwa hiyo pesa.
Kapande matunda usisikilize watu wasiojua
Milion kumi dhu
Diamond platnumz hongera sana ni wachache matajiri
Miti ya nini Mzee unaniangusha tumia iyo Hera na familia yako
Akisharudi huku iringa sijui hata kama hiyo hela atafanyia Cha maana,maana akakunywa pombe sana
Makosa bana hana habari kasinzia anamuwaza Georgina demu wake aliekuaga na shape akamuacha alivofulia ili afike iringa amtafute maana Makosa na totoz ni balaa😂😂😂😂
Ras makosa
Kapiga sana videmu vya kinyalu
Kama iq yako ndogo huwezi kumuelewa huyu mzee
Hongerea mzee💪💯👏