TAZAMA MCHEZO HATARI WA KUJIRUSHA BAHARINI, UMEKUWA KIVUTIO ZANZIBAR, SERIKALI YAANGILIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 вер 2024
  • #makachuZanzibar #millardayoUPDATES
    Makachu ni mchezo maarufu kwa Zanzibar hasa eneo la Forodhani vijana wengi hujumuika muda wa jioni na kucheza mchezo huo wa kujirusha Baharini, kwa sasa ni kivutio kikubwa kwa wageni wanaotembelea Zanzibar na tayari Serikali imekuchukua hatua za kuwatazama vijana wanaocheza mchezo huo kwa kuwaboreshea eneo wanalofanyia mchezo huo

КОМЕНТАРІ • 179

  • @abdulaabdula2631
    @abdulaabdula2631 2 роки тому +27

    Hongra kak..... Kutemblea kisiw ch marash my home good good. Gonga like hap kw zanzibar. Km upendo❤️

  • @Alkaburu
    @Alkaburu 2 роки тому +18

    Nakumbuka nikiwa Nina umri wa miaka kumi takribani miaka ishirini na mbili iliyopita nilinusurika kufa hapo Allah aliniokoa. Alhamdu lilahi. Lakini makachu ni raha. Keep it on love you zanzizbar wherever I am.

    • @Mustakeem967
      @Mustakeem967 2 роки тому

      Ok

    • @receptionifabeach1329
      @receptionifabeach1329 2 роки тому +2

      Wengi vijana wa ngamo tumepita hapa hahaha nazani ulikuwa mtoro chuoni na unakuja kujificha forozani kwa makachu hahaha

    • @Alkaburu
      @Alkaburu 2 роки тому

      @@receptionifabeach1329 sure bro That day nilifanya utoro kidogo nikatinga foro

  • @magorimagori9264
    @magorimagori9264 2 роки тому +7

    Huyu mtangazaji ni International level aisee...anajua kuuliza maswali vizuri sana na anajua kutumia sauti yake..nimemfatilia sana tangu anaishi mwanza pale nyegezi he is a good guy...keep it up brother

  • @kijaziwakijayo6833
    @kijaziwakijayo6833 2 роки тому +20

    Huu mchezo mwanzo ulikuwa on fire utaanza kupoteza radha sasa kwa kuwa control na mamluki kujiingiza

  • @davidephrahim4298
    @davidephrahim4298 2 роки тому +2

    Ah! Makachu forodhani! I Miss This!

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 2 роки тому +9

    Serikali ingewajengea vizuri ikaweka steps pale mkiruka badala yakupanda ukuta mpite kwenye steps naona kama mtafika mbali zaidi hata kwenye michezo ya Olympics mutafika kukiwa na mpangilio mzuri

    • @Mustakeem967
      @Mustakeem967 2 роки тому

      Tumependelea ukuta

    • @yunushuden1639
      @yunushuden1639 2 роки тому

      Na ngazi zipo sio kama hamn ila ukuta ndo kat ya kivutio pia

    • @ramsikhamis7083
      @ramsikhamis7083 2 роки тому

      Hivii panakuwa na kina apoo wanapotulia amaa maji ya kifua tuu

    • @ashuranuhu8586
      @ashuranuhu8586 2 роки тому

      @@ramsikhamis7083 parefu apo tena san hasa yani kama hujui kuogelea unakufa apo

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 2 роки тому +3

    Good job, sema uyu mwandishi namfananisha na Dula Ambua kwl yn au n ndugu?

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 2 роки тому +5

    Mambo ya kawaida tu ayo kwa wazanzibar lazima upite apo toka enzi na enzi hakuna hatari yoyote

  • @amoury1481
    @amoury1481 2 роки тому +5

    6:05 That one is So Funny🤣🤣

  • @khadijaali6
    @khadijaali6 2 роки тому +6

    Wekeni walipe mpate rizki hakuna vya bure siku hizi

  • @saidlucas1216
    @saidlucas1216 2 роки тому +3

    Masha-allah

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 2 роки тому +2

    Zanzibar Raha Sanaaaa

  • @taliyagogo1481
    @taliyagogo1481 2 роки тому +14

    مشاء الله عليهم.. أنا ازور زنجبار عشرات المرات . وهالمكان دوم اجلس فيه لأن يعجبني اشوف السباقات.. بس بجد الاخ العماني بويتكلم سواحيلي مضبطها صح كانه منهم وفيهم 😀😂 .. اقول للجروب بس لاتروحوا اماكن اخرى بتنزانيا حلوة وطبيعية مثل مونزا وبوكوبا واروشا وموشي... 👍🌺 ترا خلصتها تنزانيا حواطة واستكشاف

  • @mitanotena5149
    @mitanotena5149 2 роки тому +2

    Niliruka sana hapo sana tulipiga vidola vya wazungu daaah enzi hizo natokea chuini hadi folo daah

  • @ameirdarueshi2593
    @ameirdarueshi2593 5 місяців тому

    Kipindi icho sisis tunaita mizingani nishapija makwachu kwa sana tu kipindi icho nasoma ndani ya shule ya hammamni halfu kuna sehemu nyengine inaitwa ngazi miaaa 100 alo kitambo sana inshallah nikirudi tz kwa kudraa za Allah nataka nifike apo

  • @isackanhandula2345
    @isackanhandula2345 2 роки тому +2

    Hatari

    • @mussadelight4038
      @mussadelight4038 2 роки тому

      Yaan uku zenji ukiongeya maneno ayo bx ushamba

  • @ambarnelly6304
    @ambarnelly6304 2 роки тому +4

    Kwa iyo skuiz kuogelea hapa ni kwa kibali? acheni ayo mambo maisha magumu na starehe ya mnyonge isiyo na dhambi pia mnataka kuifanya ngumu ,ayo mambo ya vibali hatuyataki pelekeni ukoo

  • @saidhassan7779
    @saidhassan7779 2 роки тому +2

    Hichi ndio kisiwa ambacho watu wake wanaimani sana kwa hakika ndio kisiwa kitukufu kwa hapa duniani Mashaallah ,sio Kama Tanzania bara hapa kwa hakika kwa sbbu Wabongo ni shida duh

    • @ankdullahtv1693
      @ankdullahtv1693 2 роки тому +2

      Wanainani ya kuswali tu Ila Wana laana ya zinaaa

    • @johanesbina1302
      @johanesbina1302 2 роки тому

      Jidanganye

    • @sabraabdilnasir8826
      @sabraabdilnasir8826 2 роки тому

      Umeongea ukweli zinaa hapo ndio yao na wala hawaogopi

    • @magrethmbuma3045
      @magrethmbuma3045 2 роки тому

      Hahahahhaa mambo yasiyooneka kwa macho ndio hataarii zaidi kuliko yanayoonekana kwa macho...we fanta uchunguzi tena utakuja na majibu menginee na utafunga kimya kuwanenea watu wabaya kama hayo.

  • @glorydenis5111
    @glorydenis5111 2 роки тому

    Hata sio mzuri

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 2 роки тому

    Mashallah ALLAH barik

  • @salumsaid5519
    @salumsaid5519 2 роки тому +1

    Hiyo sio hatr ni michezo yet wameruka kk zang nimeruka na mm na wataruka wtt wng asil haipotei Zanzibar ndio yet koga mton uliwe na mamba hbr redio

  • @saliminyusuph6122
    @saliminyusuph6122 2 роки тому +2

    Hatari ipo wapi ata Mimi naweza hiyo.

  • @hamidamer8849
    @hamidamer8849 2 роки тому +2

    Waacheni wapige makwachu wote wanajielewa ao wanaakili zao kwiy linalowatokea watajijua wao wenyew sjawah kumuon chizi akaend foro akapiga makwachu

  • @fauzenkassim8424
    @fauzenkassim8424 2 роки тому

    Kwetu kuzuri mashaallah 🥰

  • @amanichaula1
    @amanichaula1 2 роки тому +6

    Wenye mamlaka wautazame huu mchezo usije ukalete mahafa kuchukua taazari mapema

    • @Zainab-sq1tc
      @Zainab-sq1tc 2 роки тому +2

      Kuna mmoja kashapararaiz

    • @linahsemindu4261
      @linahsemindu4261 2 роки тому

      Sio mmoja wawili wamepalalaiz wapo kitandan hd Leo huo mchezo mbaya Sana Basi tu

    • @Zainab-sq1tc
      @Zainab-sq1tc 2 роки тому +1

      @@linahsemindu4261 aisee kumbe wawil bhc mm nlimuona yule mmoja yaam dah cjui pesa wanalipwa nyng maskn dah

    • @linahsemindu4261
      @linahsemindu4261 2 роки тому

      @@Zainab-sq1tc wawili my Tena huyu wa 2 naona ni wajuz juz nae anatakiwa pesa nyingi apelekwe nje ni kijana mdg Sana shombe shombe

    • @jacrinsubi4198
      @jacrinsubi4198 2 роки тому

      @@linahsemindu4261 Kuna mmoja wa hapa mahonda kashafariki miaka Sasa.

  • @khadijaali6
    @khadijaali6 2 роки тому +1

    Na pia kuwekwe mahodari wa hiyo kazi incase mmoja akishindwa asaidiwe😂😂uoga mbaya

  • @abbynimel-kindy5107
    @abbynimel-kindy5107 2 роки тому +2

    Barua ya sheha tena.. Watu tumezaliwa stone town kesha unipangie boya nin wew...

    • @Mustakeem967
      @Mustakeem967 2 роки тому

      Hujalazimishwa mzeee

    • @waforo
      @waforo Рік тому +1

      Hujamuelewa mzee apo amezungumzia kuwa memba sio kuwa mrukaji warukaji wapo wengi ila member sio wte

  • @pepokigoma5395
    @pepokigoma5395 2 роки тому +1

    Tungepataa wabunge kama hawa tungefika mbali sana Mana weng waujum uchumii tuu?

  • @Mustakeem967
    @Mustakeem967 2 роки тому +1

    Mbona sio hatar mzeee

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 2 роки тому +1

    Kama Pana mawe bac nivizur yakatolewa kwaajili ya usalama zaid

  • @respectall4551
    @respectall4551 2 роки тому

    At 2.09 he said this game doesn't appear anywhere in the world except zanzibar 🙄. There kids doing this in Morocco too "paradise valley" Agadir Morocco.

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 2 роки тому +1

    Aje na kitambulisho cha mzanzibar? Kama anacho cha Bára je?

    • @siloomar7699
      @siloomar7699 2 роки тому

      Kwan kuna cha bara au kuna cha tz?

  • @janetdaniely7945
    @janetdaniely7945 2 роки тому

    Zanzibar 🥰🥰

  • @king_agil6297
    @king_agil6297 2 роки тому +1

    Huyu muhindi muongo sijawahi kusikia kuhusu vitambulisho na mm naenda kujirusha na watu na sijawahi kudaiwa kitambulisho wala nn

  • @imransalim6352
    @imransalim6352 2 роки тому +2

    kivutio kikubwa within but not duniani

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 роки тому

    Wanabiapaji vikubwq sn yn wngekuwa nje saaiz wanakula pesa mno. Lkn sio Tzd

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 2 роки тому +1

    Serikali inaingiza pesa kwa nguvu za vijana kama mumejiandikisha munatangaza utalii nyie vijana munalipwa kila mwezi na serikali ama vp mwambieni Raisi awe anawalipa mana naona ata mukipata ajali hawawezi kuwatibu angalau mumengeomba insurance ili muende check up kwa mwezi sio kuruka tuu kuitangaza nchi wkt hampati chochote serikali oneni aibu kwa vijana hii ni ajira yao bwana

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 2 роки тому +1

    MUWEKEWE NGAZI ZA KUPANDIA KUTOKA KWENYE MAJI KURUDI JUU.
    PIA MUWEKEWE KITU PA KUKANYAGA KABLA YA KURUKA HAPO.ISIWE TOFALI.

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 2 роки тому

    Hio sehemu iacheni public kuifanya private ni ujinga mkubwa.

  • @firdausqutty2067
    @firdausqutty2067 2 роки тому +2

    Mchezo mbaya sana huo watu wanalala kitandani miaka kwa ajili ya michezo hiyo.

  • @mwambamkombozi4672
    @mwambamkombozi4672 Рік тому

    Fanyeni kitu ambacho hao vijana they can make something in profit

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 роки тому +1

    Mtihani

  • @priscangimba6194
    @priscangimba6194 2 роки тому +1

    Jmn angalien msije mkavunja uti wa mgongo

    • @mussadelight4038
      @mussadelight4038 2 роки тому

      Huk foro kwetu ni kawaid t n wat kutok nchi tofaut wanakuj kujioneya

  • @mwambamkombozi4672
    @mwambamkombozi4672 Рік тому

    Waruhusuni wageni pia kufanya show kwa kulipia

  • @dullahdimba8423
    @dullahdimba8423 2 роки тому +1

    Duuh

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 2 роки тому

      masha Allah lkn huu mchezo unawatia watu ulemavu wa maosha😅😅

  • @leahsamson9354
    @leahsamson9354 2 роки тому

    MTANGAZAJI ANAFANANA NA DULA SURA HADI KUTANGAZA

  • @islamjarwan1476
    @islamjarwan1476 2 роки тому +1

    Unajua kwanini mulikuwa nikivutio kikubwa na watu waliwapenda na mukaonekana ni wa kipekee ni ile staili ya kuchupa namakanzu yenu ingawaje sio vizuri lakini ndo mulipendeza sasa kama leo mumevaa sare munakuwa wakawaida tu sio ishu ni kama diving wengine tu duniani.

  • @Meshaonetz
    @Meshaonetz 2 роки тому

    New songs Mimi na wewe kutoka kwangu njoo uisikilize nyimbo tam ya mapenzi

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 роки тому

    Sio mchezo mzuri sana baadae watapata madhara makubwa ya mgongo

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba5986 2 роки тому

    Badae mkipata matatizo ndio muanze kuomba msaada wakuoelekwa india

  • @jumakasim8784
    @jumakasim8784 2 роки тому +1

    Aya hao wana luka kawaida sana unaluka unajigeuza ki samaki ukiwa angani sio poa

  • @ahmedismail4192
    @ahmedismail4192 2 роки тому +1

    Njoeni mafia money vipaji vya diving humujui chochote wanzazibari

    • @hannansdeliciousfood4261
      @hannansdeliciousfood4261 2 роки тому +1

      Chuki hizo zisizo sababu chanzo chake roho mbaya na roho mbaya haijengi hubomoa....umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.....znz ni nchi ya utalii na vivutio vingii.....kazi kwako

    • @ahmedismail4192
      @ahmedismail4192 2 роки тому

      @@hannansdeliciousfood4261 njoo mafia uone utalii znz hakuna chochote

    • @hannansdeliciousfood4261
      @hannansdeliciousfood4261 2 роки тому

      @@ahmedismail4192 hahaha ukishaona ww inatoshaa......tangaza utalii nje sio kwa wazanzibar bye

  • @salimally7358
    @salimally7358 2 роки тому

    🤣🤣🙏

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 2 роки тому

    Sio hatari achaneni ushamba nyie.

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 2 роки тому +1

    Huo mchezo muuache Mara moja .

  • @abdulialiy5411
    @abdulialiy5411 2 роки тому +1

    Hindi ata kiswahili hakikijuwi vizur ila ndio linawapangia watu wapi wakoge na wapi wasikoge ndani ya nchi yao

    • @mrs2899
      @mrs2899 2 роки тому +1

      😂😂😂 fala ww yy ni moja kati ya uongozi bichwa lako sikia vizur acha ubaguzi

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 2 роки тому +1

      @@alphadreammedia Anaweza akawa sio mzanzibar lakini akawa mtanzania halisi au bado ni mbaya ?

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 2 роки тому +1

      Unaijua Zanzibar na watu wanaoishi??

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 2 роки тому +1

      Baguzi hiloooo...bado na ushamba wa kizamani eti mhindi..big fool wewe

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 2 роки тому +1

      @@ezekieljacob5795 Inaonesha hajuwi hata zanzibar inawatu waaina gani 🤣🤣

  • @djnajma5627
    @djnajma5627 2 роки тому

    DAWA ZA KUONGEZA AKILI,PAMOJA NA KUMBUKUMBU,*#
    m.ua-cam.com/video/ntptVUbwEts/v-deo.html

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 2 роки тому +23

    Jambo muhimu ni kupewa elimu
    Hao wanao ruka isitoshe wapimwe
    Afya zao na vilevile naomba
    Wapewe mafunzo kwani wanaruka ovyo
    Ovyo watapata vilema kuvunjika shingo
    Na sehemu nyingine naona wengine
    Wanaangukia tumbo ni hatari
    Pia waokoaji wa majini lazima wawepo

    • @ladyt1471
      @ladyt1471 2 роки тому +1

      Kweli kabisa

    • @Mustakeem967
      @Mustakeem967 2 роки тому +1

      Afya wanazo ndomana wanaruka

    • @ashuranuhu8586
      @ashuranuhu8586 2 роки тому +1

      Yani iyo sehem watu wengi wamebakia walemavu kisa uo mchenzo tu

  • @djnajma5627
    @djnajma5627 2 роки тому +2

    DAWA ZA KUONGEZA AKILI,PAMOJA NA KUMBUKUMBU,*#
    m.ua-cam.com/video/ntptVUbwEts/v-deo.html

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 роки тому +3

    Hapa Forodhani ni zaidi ya miaka khamsini vijana ikifika jioni tuu mchezo unaanza.watu wazamani walikuwa wakipanda juu ya ile restaurant na kuruka, vipi ilikuwa raha Zanzibar ikifika jioni hapo Forodhani. .Dr. Hussein vijana kama hawa lazima uwape support kubwa...

  • @amournassorsaid7694
    @amournassorsaid7694 2 роки тому

    Zanzibar ni yetu sote yaani kuogelea tu forodhani uwe na kitambulisho na barua ya sheha au mjumbe hee ni Mtihani basi?

  • @SafiyaJ-yw2vt
    @SafiyaJ-yw2vt 2 роки тому

    Ikitokea ajali mtu anaumia na ku paralais atajuta kuzaliwa ana dive anapgiza kichwa na mawe humo baharini tatizo ndo linaanza hapo

  • @mundhiraly3368
    @mundhiraly3368 2 роки тому +1

    Allah awalinde

  • @ummkolthumkoalthum3271
    @ummkolthumkoalthum3271 2 роки тому

    Jiangalieni msije mkajivunja uti wa mgongo

  • @salummazurui3270
    @salummazurui3270 2 роки тому +1

    Naomba namba ya simu ya kiongozi wao

  • @frankmasamaki9640
    @frankmasamaki9640 2 роки тому +1

    Jamani nawakaribisha kusikiliza wimbo wangu mzuri na mtamu sana

  • @mariyammariyam7209
    @mariyammariyam7209 2 роки тому +7

    Sio mchezo mzuri sana watu waumia sana uti wa mgongomungu atawasitiri

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 2 роки тому

      Htr Yann icho ni Kipqji na nchi. Za wenzetu wanafanya ji ajira iyo sio mchezo WA Bure

  • @mosesmahinya9654
    @mosesmahinya9654 2 роки тому +1

    Members 60

  • @neemakombe67
    @neemakombe67 2 роки тому +2

    Wakivunjika uti wa mgongo wanakuja kutulilia tuwasaidie michango

    • @ramlaomar7923
      @ramlaomar7923 2 роки тому

      😁😂😂

    • @pantherking_tz
      @pantherking_tz 2 роки тому

      Ndo hapo sasa na hawajifunzi tu kupitia hao waliokwishaumia.

    • @neemakombe67
      @neemakombe67 2 роки тому

      @@pantherking_tz yani acha tuu wanaumia vibaya sana na wote waonaumia kwenye makachu ni uti wa mgongo unavunjika so sad kwa kweli

    • @bekabakari7394
      @bekabakari7394 2 роки тому

      Keasababu hawajapewa mafunzo
      Ya kuruka majini wanajirukia ovyo ovyo
      Wakiangukia tumbo,shingo,vifua
      Nihatari sio kufurahia na serikali inaona

    • @ahmedmohd5507
      @ahmedmohd5507 2 роки тому +1

      sku zote hakuna kizuri kikosacho kasor lila kitu kina faida na hasira zake so tuache husda na kuombeana mabala tuombeane mema tusapotiane na kwa maana ajali zipo majin na nchi kavu...!!

  • @DoctorPesandegeMgangaTibAsili
    @DoctorPesandegeMgangaTibAsili 2 роки тому +1

    🌳🌳🌳🌲🌲🌿🌿🌿

  • @mitanotena5149
    @mitanotena5149 2 роки тому

    Daaaah saizi wanajisajiri aaaaaaaah ujinga tu!!zamani ilikuwa free hapo

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 2 роки тому +3

    Manshallah Kaka mzur umeoa kama hujao mke mwema nipo hapa

  • @adamzachariakinyekile6948
    @adamzachariakinyekile6948 2 роки тому +2

    Aje na kitambulisho kama yeye ni mtanzania na sio kama yeye ni mzanzibari,wote ni watanzania

    • @zulaykhajuma41
      @zulaykhajuma41 2 роки тому

      usime wa vyetu vyenu, vyenu vyenu umekufa now. Forodhani Iko Zanzibar na anataka lazima awe mzanzibar. So, aje na kitambulisho Cha Mzanzibar

  • @frankmasamaki9640
    @frankmasamaki9640 2 роки тому +2

    Jamani nawakaribisha kusikiliza wimbo wangu mzuri na mtamu sana

  • @taliyagogo1481
    @taliyagogo1481 2 роки тому +4

    Huyu kijana anaitwa Hussein ni handsome sana..kama kuna handsome Man toka zanzibar wapo... nataka mchumba.☺️☺️☺️ Am from Oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 2 роки тому

      Handsome man tupo kila mahali ni wewe tuu useme wataka mfupi au mrefu

    • @taliyagogo1481
      @taliyagogo1481 2 роки тому

      @@binhussain3445 😂 am serious about what I said 👍

    • @fariduwezo9557
      @fariduwezo9557 2 роки тому

      Nipo handsome nilokosa Matunzo from Zanzibar

    • @taliyagogo1481
      @taliyagogo1481 2 роки тому

      @@fariduwezo9557 I didn't understand??

    • @rithadonatus8110
      @rithadonatus8110 2 роки тому

      😁😁😁

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 роки тому +1

    Nzuri ila bado staili mpya hamuna mana wengine wanajirusha tu hazina mbwembwe.vionjo tafauti na zamani miaka ya 1995

  • @myamwezmyamwez8669
    @myamwezmyamwez8669 2 роки тому +1

    Washakufa wengi hapo na hilo eneo limesha lemaza wengi hivyo hivyo.

    • @AliMohamed-gv7nw
      @AliMohamed-gv7nw 2 роки тому

      Hakuna sehemu wasokufa watu tatizo wengine maji sio Mambo yenu

  • @DoctorPesandegeMgangaTibAsili
    @DoctorPesandegeMgangaTibAsili 2 роки тому

    *MASHALITI YA KUMILIKI PESA ZA MAJINI/MIZIMU.*
    1. Uwe na umri kuanzia miaka 18 n.k
    2. Uwe na moyo kutunza siri pindi utakapo kua umemiliki pesa za Majini/Mizimu.
    3. Uwe ni wa kusaidia ndugu zako pamoja na kutoa misaada katika vituo wanavyo lelewa watoto yatima au wazee
    4. Uwe unavaa nguo nyeupe kila siku ya alhamisi pamoja na kuchinja mnyama kila mwaka Kisha kula pamoja na ndugu zako au jamaa na marafiki. Usinyanyase ndugu eti kwasababu unamiliki pesa hizi.
    5. Pia haichagui jinsia uwe mke au mume wote inawezekana kumiliki pesa za majini

  • @indigirlkacecullar9363
    @indigirlkacecullar9363 2 роки тому +1

    Kwa wale wanaotaka mambo ya Wazima karibu ujionee 🍆🍑💧ua-cam.com/video/obPggjKPDQIh/v-deo.htmlttps://ua-cam.com/video/obPggjKPDQIh/v-deo.htmlttps://ua-cam.com/video/obPggjKPDQI/v-deo.html