MWONGOZO WA JUICE//A GUIDE TO A SUCCESSFUL JUICE BUSSINESS
Вставка
- Опубліковано 16 лют 2021
- mwongozo wa biashara ya juice,ni rahisi sana lufuata biashara hii kama ukiwa tayari na kuzingatia vigezo.
kwa video zingine za biashara bonyeza link hizi
BISKUTI ZA BIASHARA
• Video
BIASHARA 13 KWA AJILI YA MAMA WA NYUMBANI
• BIASHARA 13 KWA AJILI ...
BIASHARA 5 ZA KUKUINGIZIA 10,000/= KILA SIKU
• BIASHARA 5 ZA KUKUINGI...
Mwenye maoni zaidi/angalizo/ushauri zaidi tafadhali dodosha kwenye comment tujifunze pamoja.
Pia usisahau kusubscribe,like,comment na kushare na ndugu jamaa na marafiki
Jamn uku nlipo juice nusu lita ndo 500 napenda sana hii biashar lkn changamoto yang napatia wap (disposable glasses) maan huku nlipo hakuna
Maan inabd ninunue chupa za maj za nusu lita nizfanyie usaf alafu niweke juice kwa wateja wng nlikua nahtaj class hiz ambazo mtu akitumia bac lakn huku nilipo hakun jamn na wateja wangu weng n wapitaj tuu sasa mteja Akija anahtaj umuekee kweny chupa weng hawanyw hapa hapa sasa napata changamoto nikiwa cna chupa duuh... Yan hela naikosa hvhv nkiangalia nsaidien mawazo nifanyaj
Pole sana dear,upo wapi?hata mjini kwenu hamna?
Basi niambie kama unataka kununuliwa na kutumiwa ulipo..nitakusaidia.usijali.
Nitafute instagram kekiplus.youtubechannel
@@kekiplus1andonly ok
Samahani dear kama nikichanya na palachichi au napassion inakubalika
Asante dada kwa ushauri ni kweli kabisa tunanunua vilivyoiva sana sana na juice huwa inaonyesha kabisa kuwa limeoza. Bariakia
Mwongozo mzuri kabisa huu, nakukubali dada
Asante sana kwa video, nimejifunza mengi sana sanaaaa
Ahsante kwa somo dear
Asante Sana Kwa somo,nimependa sana
Mungu asaidie ninampango wa kuanza kutengeneza na kuuza juice. Nitakutafuta mama kwa somo zaidi
jibu moja nimepa la bei. Je maji hayatajitenga na tunda.
Asante Sana dada barikiwa 🙏
Nataman sana dada angu tatizo mtaji tu,mtaji sio matunda tu hata friji na brenda pia mtaji
Asante kwa ushauri mzuri
shukran ukhty kwa ushauri wako
Mashallah 😍😍😍
Kwa wale wanaouza sh 500.....kuna glass za 250mls, zinaitwa glass bomba, lita 1 zinatoka glass 8
Ipo wap nabei gn
Navipataje na wap
Hesabu gani hizo ni glass nne
Asante sanaa dada
Asante mamy vitu vyako vinaeleweka kwakweli
Asante sana ❤️💯
MashaaAllah mpenzi mm pia napenda sana kuonja juice kabla kuserve ama juisi ya aina yoyote.. Haya niletee glass yangu😋😋sijawahi fanya biashara ya juice ila nikimakinika nitafanya love
Yes,kuonja ndo kila kitu.
Hata glass usibebe,we njoo tu😂😂😂😂😂
Kweli ukimakinika its possible kama time unayo
@@kekiplus1andonly eeeeh mpenzi nikujipanga💪
Such an informative guide- this new series is Everything sis. Keep up the good work dear alafu naangalia tu hio maende mate yananindondoka, yameiva poa sana
Hahaha...unapenda maembe eeh?
Thanls dear,for always supporting..
Did you check ur dm?
@@kekiplus1andonly maembe na mimi tuko inseparable.. I'll check my dm today been sooo busy this week
Axante dear
Santee sana nimejifunza vingi
Asante sn
Thanks a lot
Shukran
blessed
Napenda mafunzo yako
❤
Nazipataje izo crass
Umesema kweli dear mazingatio uliyosema ni sahihi kabisaa asante my.hivi nikitaka kukutana nawe uko na nafasi hiyo?
Inawezekana dear,ni mipango tu
Asante dada kwa mafundisho naomba uniambie nitumie nini?ili juice yangu iwe na radha nzuri.please
Juice nzuri nimependa
Asante dada naomba namba ako
Samahani dada unaweza kunionyesha radha unazoweza kutumia kweny juice ili iwe tamu zaidi
Asante my 🥰
🤗
Hongera San mdada
vifaa gani naweza kuandaa vya kuuzia juice ambayo tayar ime andaliwa madam msaada please ?
Namba yako ya simu tafadhari
Sio lazma kuweka tangawizi ? Na limao?
Hiyo glass y juice unauza kwa sh ngap kila glass
Nampango wa kuuza juisi na kilacku nafatilia mafunzo yako napenda sana coz yanaeleweka sana mafunz yako
MashaAllah 😘 nakuombea uanze rasmi,usfkirie sana,Anza tu,
Ccta kunamtu alnambia kwamb biashara ya juic sio yakutegemea sana coz wakati wa masika wateja upungua naomb ushauli ccta
Kama natumia barafu inakuwaje??
Dada me naomb nmba yakoo nikutafute nashida
dada Glass nauzaje napenda sana kufanya biashara ya juice. Naomba namba yako ya simu.
Me nataka kufungua biashala yamatunda nashukulu kwa mafunzo
Naomba pia namba yako ili uzid kunifunza
Shukran
❤
Shukran
Karibu dear
Ongera sana