SHK.YUSUF ABDI MAULIDI NA UZAO WA MTUME S.A.W TUSIPINGE KILA JAMBO HUU NI UTUKUFU NA BAHATI KWETU
Вставка
- Опубліковано 18 вер 2024
- #riyadhTvZnz #zanzibar
Follow Us On:
INSTAGRAM: / riyadhtvznz
FACEBOOK: / riyadhtvonlineznz
TIKTOK: / riyadhtvonlineznz
UA-cam: www.youtube.co...
Shukran Shekhe Usie kiburi Allah Akuhifadhi
Masha allah kwa mawaezaa yakoo
Hawaathiriki hao Shekh..eti kweli tusimkumbuke na kuadhimisha acheni khiyana hizo ni raha .kama pana shida semeni tu msichanganyike na wanawake msipike chakula kikamwagwa semen hayo lkn cyo tusisome maulid.tanalipa umuhimu kwangu kila Alhamis nasoma maulid na wanangu hongera shekh
Shekhe mche Allah I na maana mtume alisahau kutufundisha hii unayo dai ni neema
Mashindano ya qur Ani.Watu wakashindana Kwa Zawadi vp mtume kafundisha hvyo..Hili jambo mnalipinga Ili vizazi vijavyo vsimjue mtume
Sheikh sema ukweli wacha kujipendekeza!!!
Sherehe za Maulidi ni mila ya wanasara. Mtume SAW ni kiigizo chetu sasa maulidi mlito wapi yeye hakufanya. Habari ya Mtume SAW inatakiwa
kuongelewa kila mara ili watu wamjuwe na kumfuata
Hata mashindano ya qur an ya kutunzana Zawadi cyo destur ya mtume..Hvyo tufanye kher tuwezayo.we unamsifu Baba au mama yko Kwa kumsifu mtume iwe shida.Rehma za Allah ni Pana.
Maswahaba na watu wema waliotangulia kwa ujumla wao hawakuijua hii neema au hawakuziona hizo aya zinazohimiza watu kumfanyia Mtume sherehe ya Mauridi (birthday)
Kwani hayo mashindani ya qur an yanayishindanishwa watu wakapewa Zawadi mtumi alitufundisha pia
Zote zinakuwa ni Ibada hata birthday kama nia yako ni shukran Kwa Allah kama huwez Fanya Ibada yko na wao waachie Ibada zao tuje kutana Kwa mungu na ikhlaswi zetu
Shida yetu tunaopenda kukosoana mkamilifu ni Allah kwani dini ipo kwenye maulid tu majumban kwenu kwan kuzur kitabia..Ukiishi kwa kuangalia watu kasoro tu zawadi ujue kasoro kubwa wewe
Rehma za Allah ni pana,punguzeni kuangusha jitihada za dini..unasoma maulid soma hutaki kumsifu mtume basi kasifuni wake na waume zetu cye tunamsifia ili kizazi chetu kijue alikuwepo Muhammad bin Abdillah na alikuwa na sifa hzo..tena kila cku twamsifu kila mwaka tunaadhimisha tu ulimwengu umtambue..nyie shindanisheni qur an cye twamsifu tutalipwa sote kwa nia zetuu
Shekhe Rasoul tukifata nyayo zake inatosha kua tumemkumbuka na kumfwata. Tatizo mnatafuta njia ya kuhalalisha sherehe za kuzaliwa kwa mtume. Hata Allah Sub'hanahuataala anasema ikiwa sisi twampenda Allah basi tumfate tume. Sasa tusikusanyane kumtaja mtume wakati hatumfati huu ni Ujaahil
Hizo ni khiyana kama khiyana nyengine jichambue usifuate tu mkumbo
Hiya tukae mpaka mfungo sita ndio tumkumbuke mtume dndio tutakua.twampenda Kisha ww umekuja juzi mbona hachujakusikia abawa jitokeze wazi ukohuru
Tunamkumbuka Kila Cku tunaadhimisha tu,je tukae mwaka HADI mwaka ndyo tusome qur an Kwa mashindano
Kila siku Na kila Alkhamici
ILA MAADHIMISHO YA muhamad abdul wahabi hayo ni sawa tu kwenu,
Balangulu NYIE
Umemezeshwa uongo na wewe ukabeba kumbu kumbu yake itakuwa tarehe ngapi mwezi gani kama mkweli umewasikia waongo mfano wako nawe wasema kama kasuku
Umeleweshwa bid,aa ww umeyaskia wp maadhimisho yaa Abdul wahaab
Maazimisho ya muhmad bn alwahb yanafaa lkn maazimisho ya mtume hayfai jamn hivyo sivichekesh nyinyi mawahabi