WAZIRI MWIGULU ATEMA CHECHE MBELE ya BOSI MPYA wa TRA - ''WANAOTUSEMA WENGINE HAWALIPI HATA KODI''
Вставка
- Опубліковано 11 лип 2024
- WAZIRI MWIGULU ATEMA CHECHE MBELE ya BOSI MPYA wa TRA - ''WANAOTUSEMA WENGINE HAWALIPI HATA KODI''
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Raisi alisema TRA inawapelekea mahesabu ya miaka 25 iliopita mtindo huo ukome, wakati huu mlikuwa wapi, lakini mwezi wa 6 mwaka huu wengi wamepelekewa madai toka 2005, na huku umelipa tayari, lakini mwisho wa mlipa kodi kutunza risiti miaka 5
Mnakazania kukusanya kodi kutoka kwa wananchi wengi wao maskini lakini hamjali hata kidogo matumizi yake. Wahujumu uchumi na mafisadi wametamalaki kila kona na wanaangaliwa tu. MNA nunua magari ya gharama kubwa mno kwa ajili ya nini wakati huo huo vitoto vyetu vinakaa chini mashuleni, madawa hakuna mahosipitalini, mabarabara mabovu kama nini. It does not make sense at all. Ama kweli sisi in maskini haswa kichwani.. Maskini akipata......
Zikishakusanywa na kwasababu ni hela za wananchi ni vizuri sana pamoja na kazi zote nzuri mnazofanya ila kwenye Afya NHIF mmechemsha. Mliondoa bima ya watoto kua ni mpaka ipitie shuleni!! Na vifurushi hasa za mtu aliejilipia mwenyewe ni changamoto. Hili lazima mtaliona kwenye uchaguzi ujao. Kuna malalamiko ya chinichini kwa kiasi kikubwa
Bado kuna mapato ya haramu, unanua gari dollar 2000 hapa unalipia kwa dollar 3500, unanua kitu dola 5 hapa unalipishwa dola 10,na unakuwa uthibitisho unao umepeleka pesa kulipia benki hapa nchini bado ni changamoto.
Yaani hii ya kununua gari tena used kwa dola 2,000 unalipa kodi kubwa au karibu na hela uliyonunulia inaumiza sana.
Ni mtanzania yupi asiyelipa koda ikiwa kodi zipo kila mahala .vocha luku
🎉Haya, amekuja akiwa nadhifu lakini muda mfupi kwa majungu yenu na jinsi mnavyochukia mtu anayefanya vizuri na mwadilifu, mtamlimbikizia madudu, mtatumia uchawi.... ashindwe.
Tatizo la Watanzania hawapendi kuchukua risiti kwa sababu hata wakichukua hizo risiti mapato hayo hayafiki serikalini watendaji wanazipiga juuu kwa juuu na hata ikitokezea wakikamatwa hawachukuliwi hatua stahiki raia wakaridhika badala yake wanahamishwa eneo jengine wakapige huko.Sasa nani atakuwa na uchungu wa kudai risiti?Uzalendo wa kweli uanze kwenu nyinyi halafu sisi raia huku tuufuate.Wazungu ni wazelendo wao na raia zao.That's all.
Mwigilu mungu anakuona unawatesa watanzania mwizi mkubwa wewe
Umeanza kumwingilia, akuogope unapozipiga pesa zetu,
Hela ya kodi ya jengo uliyo ongeza unarudishaje
Kila ufalme una mwisho. Risiti inadaiwa kwa nguvu kutokana na maslahi anayopata mtu kutokana na mapato hayo,lakini kama kila mwaka hatuoni unafuu wowote wa maisha na wapigaji hawaguswi na sheria mnatoa wajibu huo kwa faida gani?! Wakati utafika Mungu atamleta mtu sahihi mtaangaliwa ulinganifu wa mali zenu na vipato vyenu hata mkiwekeza kwa ndugu, majina bandia ama benki za nje zitanuswa tu!
Wewe siyo muchumi nani ambaye halipi Kodi tozo kwenye simu ukinunua soda mikate chochote mulaji wa mwisho ndie mulipa kodo umesoma wapi
Barabara za Tanzania ni bora kuliko za Rwanda? Za Kenya? Za Botswana? Wadanganye wasiotembea! Huyu jo apenda sifa sana. Kiongozi mzuri ni yule ambaye kila mara anajitathmini na kuona hajafika. Ukiwa na kiongozi anayejisifia tu watarajia nini? Kwa akili yake, Tanzania sasa yaifukuzia Switzerland tu!
Hizo nchi zote ulizo taja ukiziunganisha ndo unapata ukubwa wa Tanzania
@@mosesnyelo1380 kasome kwanza ndugu yangu badala ya kukimbilia kujibu. Zamani kabla ya internet pengine ungekuwa darasani saa hii. Nenda kaangalie eneo la Botswana lina ukubwa upi. Kisha uje Kenya ni square mita kidogo tu tofauti na Tanzania. Lakini ukubwa au udogo wa nchi una umuhimu gani? Kuna nchi kubwa hazifanyi vizuri, Sudan mfano, na kuna nchi ndogoo hazifanyi vizuri, Burundi, Comoro...
Kodi ina kiwango maalum kulingana na uwezo wa mtu na mtu isiwe mzigo! Kila mtu mwenye nguvu na aongee sana na kuwanyooshea wenzie vidole kwasababu ana upendeleo na kulindwa kwa malengo flani lakini wakati utasema, lazima atakuja kulipa gharama pamoja na kundi lake lote,kama sio wao,watoto wao wayashuhudie.
Mwigulu ni mwizi
Gari analotembelea lina gharimu kiasi gani?
Wewe nunua Magali ya viongozi na vingolo vya kutisha wanaichi ipo siku tu shule za kata zitatusaidi
Umeaza kutanguliza maneno ili umlainishe huyo mkurugenzi mpya na yy muanze kupiga madili
Samson watazipiga sanaaaa acha wazipige Mungu atatoa jibu tu
@@margarethpolepole7438 Waziri huyu mbona wanapiga pesa sana ufisadi oyeee 😂😂😂
Tunapenda kulipa na tutalia ia viwango havitendi haki, mfano gari aina ya Costa ushuru wa mwaka tumetoka laki sita na poit umefikia milioni moja na point eti kisa inaanzia seat 25 hadi 29
Waziri aelewe kuwa Pesa yetu imeshuka thamani kwa gharama ya Mtanzania, dollar ilikuwa 1200 leo karibu 2800
Mh umenena vyema ila tatizo umesahau moja ya tatizo ni hizo sheria kuwa siyo rafiki zinatakiwa kupitiwa upya na kufanyiwa marekebisho ili ziwe rafiki kiutekelezaji
Wewe Mwigulu unania mbaya kwa wanainchi unataka tutoe kila tulichonacho ili wanainchi wafe au tukishindwa ati tuhamie burundi kwahiyo unajifanya wewe ndiyo mtanganyika peke yake? Mungu alikuweka wewe huko Singida na ndiyo sababu hata sisi tunasehemu yetu. Kwahiyo hatutahama hata inchi moja. Unajiringanisha na huko nyuma kwani watu hawaongezeki? Pili kwani kampuni hajaongezeka? Acha uduni wako.
Tunakuomba uelewe Mfumo wakodi wa Tanzania hakuna wataalamu
Maneno ni mazuli na hakuna makosa
Kamishina anaweza kua mzuri lakini sasa hao hao mzee ni shida jipu limeotea pabaya haligusiki, labda mpaka lipasuke lenyewe,
Tena kwenye makende kaka ngozi yenyewe ni ngumu sana.... Uku potu hoi😂
MB zangu hasara
Huna lolote wajane wanasumbuliwa sana haki za Waume zao fuatilia
Ni chukizo tu
Uongo mtupu..eti kukusanya kodi halali na kufuata sheria....kama ni hivyo kwa nini Mabalozi wa Marekani, Uingereza, Ujerumani, Canada, Korea ya Kusini.... wamemwandikia Samia wakilalamika mikodi ya kubambikiziwa? Hii ndiyo sababu Samia amemwondoa Kidata, ila hajakuondoa wewe! Sijui umemlisha nini mama wa watu!
😂😂😂😂😂😂
Wewe msikilize, usihukumu.