Usiogope Mzee hao chawa wa mama siyo watu kinana wasila wako kimya uzuli ccm mungu amewakata siyo tunduma walio gama ni maraika wanaotoa ishara Kwa ccm
Wazir mkuu ajihuzuru wazir wa fedha ajihuzuru wazir wa mipango ajihuzuru wazir viwanda na biashara ajihuzuru mgomo wa mwaka Jana wametutanganya wakamdanganya na rais ndio maana mgomo umerudia tena wakae pemben waje wengne wachapakaz
Usiogope Mzee hao chawa wa mama siyo watu kinana wasila wako kimya uzuli ccm mungu amewakata siyo tunduma walio gama ni maraika wanaotoa ishara Kwa ccm
Hongera sana mwenyekiti wewe nimzalendo syo kama wenyekiti wengine walalushwa kama mikoa mingine wamewatelekeza wananchi
Wazir mkuu ajihuzuru wazir wa fedha ajihuzuru wazir wa mipango ajihuzuru wazir viwanda na biashara ajihuzuru mgomo wa mwaka Jana wametutanganya wakamdanganya na rais ndio maana mgomo umerudia tena wakae pemben waje wengne wachapakaz
Tanzania weee
Shida sana kodi kodi kodi nyingi halafu mwisho wa mwaka kodi ya mapato come on this is unfair
Tanzania ni shetani wa nchi hi
Niserikali ya kijambazi,kinyonyaji haifai kabisa
Kenya hawatakagi mchezo
Awana. Huruma kabisa Tanzania hii ni ya. Majambazi tusichsguwe kabisa majizi haya hivi awajuwi kuwa watu wamechoka
Madini yetu misitu yetu mbuga za wanyama bandari zetu mikopo kila siku kwani hiyo pesa inapelekea wapi mpk mnatunyonya damu sis wananchi
Mwamba nakupatavizuri
Mwigulu nae kaokotwa jalalani.
NGUVU MOJA!
Tuliwaambia mutuunge mkono kwenye maandamano mukazengua sasa mumeyaona hiii ccm ni zaidi ya shetani
Mwigulu na huyu m Zanzibar ndio tatizo.... Waxiri wa Mambo ya ndani
Watanzania mwinguru hafai wasipo mtoa basi ccm tuitowe siyo mkipewa kanga mnasahau matatizo yamiaka 10
Huyu mbona kama baba level
Serikalimalizeni haraka hili
Mkagusi mkuu alisema pesa zimeibiwa jeep hao waizi walishakamatwa as na kuudisha hizo pesaa