AT Feat Stara Thomas - Nipigie

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024
  • Zenji Flava na Bongo Flava wakutana kwenye hili songi. Instrumental from East African classic hit but remixed by new generation music artists from Tanzania, East Africa.

КОМЕНТАРІ • 365

  • @FadhilaMatope
    @FadhilaMatope 7 місяців тому +82

    2024 tujuwane maana had rah 😂😂😂😂 imenikumbusha kidogo

  • @alexanderkatanga7750
    @alexanderkatanga7750 7 місяців тому +22

    Hadi 2024 nipo kuusikiliza huu Wimbo ❤

  • @DiophSelemani-zt4jz
    @DiophSelemani-zt4jz 21 день тому +6

    Tunao icheki had leo 2024 gonga like

  • @yazzbyser7944
    @yazzbyser7944 8 місяців тому +43

    2024 Maisha hayatabiriki, na hakuna uhakika wa kile ambacho kinaweza kutokea kesho. Kwa hiyo, ulienae mpende kweli❤2024

  • @JosephShagembe-dj6qv
    @JosephShagembe-dj6qv Рік тому +23

    2023 watching 🔥🔥 sweet melody 😋 twende na like za kutoshaaa

  • @hakimugarincha
    @hakimugarincha 4 місяці тому +10

    Waliotoka wasafi kuja kuchek ngoma hizi tujuane naomba like 2 tu kutoka south Africa 🌍

  • @ommyguizer6677
    @ommyguizer6677 2 місяці тому +9

    Nakumbuka mbali sana adi 😢 linanitoka R.I.P kipenzi changu Sophia sina tena wa kumpigia 😢

  • @user-om4xc6cc7e
    @user-om4xc6cc7e Місяць тому +7

    Hii nyimbo Leo mpenz kanitumia nikaja chapu UA-cam nyie adi raha 2024 tujuane hapa

  • @edwardtetian215
    @edwardtetian215 2 роки тому +14

    Nakumbuka mara ya Kwanza kusikia huu wimbo ni mwaka 2009 nikiwa darasa la pili and now am university student kweli miaka inaenda but Mziki mzuri Sana huu be blessed AT and stara Thomas kwa Ngoma hii Kali ##nipigie##
    14/01/2022

  • @almasy007mussss
    @almasy007mussss 6 днів тому +2

    Saiv tunaishi ishi tu bila formula..zaman maisha yalikua matamu si tajiri si maskinn kama unavoona kwenye nyimbo..mapenzi kote kote saiv tunaringishiana maisha tu

  • @alanpierrers
    @alanpierrers 21 день тому +1

    Huu wimbo una hisia nyingi sana sio tu kwa wapenzi bali hadi watu wanaokuzunguka familia na majirani...
    So may emotions embedded in this song and it's always been my favorite.

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 4 роки тому +101

    Huu wimbo bwana sijui imekuwaje..unajua nimeshangaa naimba imba mwenyewe..huku natembea tembea..nikajiuliza mbona wimbo mtamu sana..hivi ni wa naaani vile...Aa nikaishia kukumbuka jina moja tu Thomas..baadae nikaja kujua kumbe ni Stara..Yaani nimeshangaa kuona automatically napata hisia ya wimbo wake kichwani...Ameimba vizuri sana..nyimbo za heshima hata ukiwa na watoto unaweza angalia

  • @nyanzaOG
    @nyanzaOG 10 місяців тому +11

    Back then, kila kitu kilikua on point yan beat, melody, utunzi.... then msikilize AT alivyopita then Stara... ending guitar sasa yan sio poa
    .Best mashap

  • @simonndune4457
    @simonndune4457 3 роки тому +78

    long gone are the good days when music used to hit deep down in the bone marrow🤤

  • @mwafote3466
    @mwafote3466 3 роки тому +42

    2021 tuko wapi

  • @saidmembe8329
    @saidmembe8329 Рік тому +10

    Miaka 13 imepita lakini bado wimbo bora. Hakika mziki mzur auitaji matusi wala kiki

  • @marykutururu1
    @marykutururu1 Рік тому +10

    Dah.....miaka mingi imepita...lakini wimbo haujachacha kabisaa...Yani ni kama uliiimbwa jana...Shouts out to you guys🎊🎉💪

  • @janethmgonja409
    @janethmgonja409 4 роки тому +43

    2020 bado naangalia nawapenda sana jaman mmepotea sana

    • @abdulshaban4560
      @abdulshaban4560 3 роки тому

      Leo nimefarijika sana kusikiliza huu mdundo HIV enzi Zita jirudia kwl?

    • @edisonkashaija4067
      @edisonkashaija4067 3 роки тому +1

      Yaan jaman ww kama mimi nasikiliza hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana,, mnaosikiliza mwaka huu wa 2021 gonga like tujuane

  • @mbunah255
    @mbunah255 3 роки тому +10

    2021 niko hapa leo wangap wanajaribu kutafuta mzik mtamu kama mimi😊

  • @massa3604
    @massa3604 3 роки тому +13

    Nakumbuka nyimbo nilikuwa nasikiliza kwenye radio nikiwa darasa la 3 2009 leo nipo chuo kikuu daah , miaka inaenda

  • @steveafrica3533
    @steveafrica3533 5 років тому +19

    Daaaah..! kitambo sana. kipind hcho nipo mbwite uko. nachunga. Ng'ombe. Sahz nipo Dar naponda raha. ahsante mungu kwa yote

  • @1000Brain
    @1000Brain 11 місяців тому +5

    Demu wangu alinizoesha kuniambia nipigie nikupe ubuyu. 😂 Nimeona nisikilize huu wimbo kumkumbuka

  • @liberatusulaya2269
    @liberatusulaya2269 3 роки тому +7

    Old times, wen we were too young, nothing we did to know that days rather than waiting for food and going primary school

  • @umraumi3
    @umraumi3 8 днів тому

    Heshima Zangu kw huu wimbo.Big up @AT na @Starathomas...Another Classic...

  • @yahayakassimu
    @yahayakassimu Рік тому +5

    kwakwel hii nyimbo ni nzur sana sijui sasa hv kwann atoi hit song kama hz

  • @jobwanjala9176
    @jobwanjala9176 3 роки тому +9

    Kitambo sanaaaa...imenikumbusha mbali sana🙌🏾🙌🏾🙌🏾🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @makumboproduction
    @makumboproduction 6 місяців тому +4

    Kuna nyimbo zingine hata ipite miaka 2000 lakini bado itaendelea kuwa nzuri kwa watu

  • @aureliaswai1616
    @aureliaswai1616 4 роки тому +36

    Tunao tazama 2020 tujuane kwa like hapa

    • @claudiusmaximus319
      @claudiusmaximus319 3 роки тому

      kuma la mamako

    • @aureliaswai1616
      @aureliaswai1616 3 роки тому

      @@claudiusmaximus319 msenge mbwa Wew kafie mbele chawa wew koma lako unafilwa bila kuoga

    • @aureliaswai1616
      @aureliaswai1616 3 роки тому

      @@claudiusmaximus319 kuma la mama ako mwenyewe sura mbala kafie mbele huko msenge nini

    • @claudiusmaximus319
      @claudiusmaximus319 3 роки тому

      @@aureliaswai1616 hahaha lmao..

    • @aureliaswai1616
      @aureliaswai1616 3 роки тому

      @@claudiusmaximus319 msenge wew unatafuta kiki kwa watu usio wajua kafie mbele chawa wew

  • @ntawurusigajaphet8813
    @ntawurusigajaphet8813 4 роки тому +7

    Nipigie Mpenzi wangu Npigie, love from +257,🇧🇮🇧🇮

  • @ntahix
    @ntahix 14 років тому +21

    Nyimbo zinazotakiawa ni hizi! siyo kama zile za walala hoy kizazi kipya. By the way mumetumia maneno ninayoongea na mke wangu. Go Stara and AT

  • @angelinasimchimba705
    @angelinasimchimba705 4 роки тому +7

    Daa nakumbuka 2009 nikiwa kdato cha 3 momba secondary, Leo nilishahitim chuo kikuu na kupata kazi@ Nyimbo imenitoa machozi Jaman

  • @danielmathias160
    @danielmathias160 3 роки тому +5

    Noma sana mziiki unaoishi 👏👏👏 AT, Stara

  • @esnartnamukonda7564
    @esnartnamukonda7564 3 роки тому +30

    I just feel so emotionally attached to this song, I don't know why. I can't have enough of it. it's just superb

  • @MussaDhahabu-l5b
    @MussaDhahabu-l5b 2 місяці тому

    yani duuuuuu mpaka najisikia kuIia kwawemboo huuuuuu 😂❤❤❤❤❤❤❤🤙🤙🤙🤙🤳💯💯🧡❤️❤️❤️❤️

  • @jeremiahshayoarchitect10
    @jeremiahshayoarchitect10 2 місяці тому

    2024 listening to this beautiful Jam. 🎉 So much memories.

  • @shabanilikeyekeye82
    @shabanilikeyekeye82 3 роки тому +18

    Tupo 2021.....tuonane

  • @johnstoneolefa913
    @johnstoneolefa913 Рік тому +3

    the emotions in this song!!!!!!!!!!!! i know you are feeling it...listening it from Nairobi, Kenya.

  • @princedominic8776
    @princedominic8776 Рік тому +4

    Ni 2022 lakini nimerudi kutafta huu wimbo wimbo mzuri sana

  • @rosemkwama5675
    @rosemkwama5675 Рік тому +1

    I was at Handeni Tanga i was standard four now am a last year student at udsm i realy miss those day

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 Рік тому +3

    Nikisikiliza hii nyimbo nakumbuka utoto kwangu ila hii nyimbo haishi hadhi kwakwel imetulia sana from Zanzibar

  • @nuelmikes
    @nuelmikes Рік тому +3

    The good old days when people actually took time to produce real music that fit the definition music is food for the soul

  • @emiliangasto9467
    @emiliangasto9467 5 років тому +20

    Still watching 2019

  • @nola9334
    @nola9334 3 роки тому +4

    Still here jaman gonga like here

  • @ercayo9106
    @ercayo9106 3 роки тому +7

    2021 still watching

  • @familyfriendlyfan269
    @familyfriendlyfan269 Рік тому +3

    Those days when music was still music, reminding me of my honeymoon time 💖 13yrs

  • @mangetz2835
    @mangetz2835 2 роки тому +7

    AT is a Real Bongoflavo 🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @mohamedhamisi9766
    @mohamedhamisi9766 Рік тому +4

    utulivu ulikua mkubwa sana kwenye huu wimbo

  • @gent8412
    @gent8412 3 роки тому +8

    I have great memories attached to this song way back in 2012. Old is gold indeed

  • @vedastogenius45
    @vedastogenius45 4 роки тому +18

    2020 twende twende still tuko hapa 13.01 nmemiss wifi yenu

  • @brunofernandez6608
    @brunofernandez6608 2 роки тому +1

    That's time I was in primary school where are u Stara Thomas much love

  • @lulu201010
    @lulu201010 14 років тому +21

    ulituliza kichwa imetulia ukiongeza sauti At ilivyokuwa nzuri ya Stara ni ya kumtoa nyoka pangoni. Nyimbo ni nzuri sana yani kila niingiapo kwenye computer lazima niisikilize.

    • @dilekalayon5925
      @dilekalayon5925 5 років тому +1

      Fauzia Mohamed Daah mwenye hii coment sijui upo wapi maana umekomemt miaka tisa iliyopitaa kipindi hicho sijui hata kama ntawahi kumiliki simu ila saiv nabadlisha tuuuu 2019

    • @joelinko6632
      @joelinko6632 3 роки тому +1

      Duh anaonekana alikua mjanja

    • @ahmedjack4135
      @ahmedjack4135 3 роки тому

      @@dilekalayon5925 kweli

    • @ahmedjack4135
      @ahmedjack4135 3 роки тому

      Kw

    • @ahmedjack4135
      @ahmedjack4135 3 роки тому

      @@sharamata1119 b

  • @giftmalema5032
    @giftmalema5032 Рік тому +2

    Nimeisikia leo kwa daradara.... nimekumbuka utotoni!!!

  • @duliz2002
    @duliz2002 14 років тому +3

    Baaaab kubwa AT big up nice song ,Actually dint forget you Stara nice sweet voice you got there ,Tupeni vitu kama hivyo Nipigie mkewangu Nipigieeeeeeeeeeee

  • @lightnesseramson7654
    @lightnesseramson7654 3 роки тому +6

    Hizi nyimbo zimeenda wapi siku hizi mtu hupati hata wimbo wa kumtumia mtu wako hizi nyimbo kipindi hicho tuliandika Hadi kwenye barua unamtumia mtu wako Ila za Sasa duh!

  • @augustuscaesar2816
    @augustuscaesar2816 8 місяців тому +1

    Daah tumetoka mbali sana😢,,,God bless you all

  • @miriampaulo2600
    @miriampaulo2600 3 роки тому +3

    Huuu wimbo sijawai kuuchoka!Nipigie!💞💞💞💞💞💞

  • @charlestonkimario4322
    @charlestonkimario4322 3 роки тому +10

    best song of the year

  • @georgeodoo9924
    @georgeodoo9924 3 роки тому +8

    Amazing piece! This music will never die. If it dies, then it is not this music.

  • @EmmanuelBrighton-rw3lt
    @EmmanuelBrighton-rw3lt 3 місяці тому

    Dah huu wimbo unanikumbusha mbali sana jmn
    Najomo mwandega alikuwa anaupenda mnoooo miaka hiyo
    Reast easy Najomo 😢

  • @tinyobayser3738
    @tinyobayser3738 3 місяці тому +1

    Huu mziki umekamilika kwa kila kitu kuanzia beat vocals na kila kitu kilizingatiwa 🤝🏾

  • @dylangabliely3871
    @dylangabliely3871 3 роки тому +8

    2021 I watch

  • @yussufprofessor
    @yussufprofessor 3 місяці тому

    Woow imenikumbusha Mbali sana NGOMA Hii❤

  • @michaelpaulo3395
    @michaelpaulo3395 4 роки тому +9

    2020 naagalia nyimbo tamu

  • @taicollegetz
    @taicollegetz 3 роки тому +2

    Dec 2020 still best song, who else is watching

  • @johnmlay4759
    @johnmlay4759 3 роки тому +3

    For really with this life we keep dreaming to have good life while Covid hindering & throwing away our dreams though we keep fighting

  • @johnmosha
    @johnmosha 4 роки тому +11

    2020 still hot whilst in lockdown. Tanzania

  • @arthurnkongolo147
    @arthurnkongolo147 2 роки тому +4

    Nothing but memories!

  • @sarahmwaluko2480
    @sarahmwaluko2480 3 роки тому +4

    Nawakubali kinoma daily nawasikiliza 2020

  • @kennedymmbando
    @kennedymmbando 2 роки тому +3

    Sooooon live in Tabata Bima!

  • @vumiliamwangasa3627
    @vumiliamwangasa3627 4 роки тому +4

    Nakumbali sana jamani daaah kuna kaka angu alikuwa ananiimbia sana rest in peace anosisye

  • @jamesmgimba7403
    @jamesmgimba7403 11 місяців тому +2

    Keep the good music alive

  • @wanguiemily751
    @wanguiemily751 11 місяців тому +2

    Such A great 👍👍 song❤❤🎉

  • @ericedison5437
    @ericedison5437 4 роки тому +3

    Hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana ,, daaaah

  • @raynellyaugustino3237
    @raynellyaugustino3237 6 днів тому

    2024 here we go 💙 💙 💙 button

  • @gladysmushy1498
    @gladysmushy1498 4 роки тому +5

    still watching in 2020😊

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 Рік тому +1

    Still watching this hit song 2023 muziki umeenda, shule, sauti. Nyie mlikua wanamuziki wa ukweli.

  • @sarasaraz-vn1vl
    @sarasaraz-vn1vl 10 місяців тому +2

    Daa hii ngoma hatali

  • @DM-bq7ys
    @DM-bq7ys 3 роки тому +7

    This was a banger back in days 🔥

  • @deodatusmwacha719
    @deodatusmwacha719 5 місяців тому

    Sema mpendi unasemaje Ndio naweka msosi mezani.....

  • @jacklinerenson1708
    @jacklinerenson1708 Рік тому

    Story yenyewe ya nani....❤❤❤❤❤❤❤nipigie...2023 August happy birthday inadvance my love

  • @ireneonono4664
    @ireneonono4664 Місяць тому

    2009 nikiwa kwenye ndoa❤❤❤bado nakumbuka zile siku tulikuwa pamoja tukisikiliza hii nyimbo❤2024 nipo mwenye ila wimbo bado nitamu😊

  • @catherinephilip7294
    @catherinephilip7294 Рік тому +1

    Feeling in loved by listening to this 10 year later here in 2023❤

  • @harrisleonard3490
    @harrisleonard3490 12 років тому +4

    kul tune frm bongo,,,kip up da gd work

  • @cynthiaopany99
    @cynthiaopany99 7 років тому +10

    Still watch this in 2017.love and family

  • @valerianmchau5188
    @valerianmchau5188 3 роки тому +3

    Hatar sana ngoma hii

  • @omaryndali6238
    @omaryndali6238 3 роки тому +3

    still watching this song now 2021 so HOT💚🚀🚀🚀🇹🇿

  • @kasukukasuku3896
    @kasukukasuku3896 7 місяців тому +1

    I remember those days

  • @allykamanga4366
    @allykamanga4366 День тому

    2024 gether here 🔥

  • @romansuzana46
    @romansuzana46 12 років тому +6

    best song of all time sana tu bongo flava

  • @mohamedindalo2663
    @mohamedindalo2663 2 місяці тому +1

    Watoto 2000 tupisheni kdg

  • @athumanmuna9594
    @athumanmuna9594 2 роки тому +2

    I love the song so much, I real hav some thing to remember those days.

  • @sundayulomi9547
    @sundayulomi9547 3 роки тому +3

    Still watching Jan 21,2021

  • @saidsyande3728
    @saidsyande3728 3 роки тому +2

    Music heat to bottom marrow

  • @josiahii378
    @josiahii378 2 роки тому +1

    Damn imenitokea tu kichwani January 22 2022

  • @tinyobayser3738
    @tinyobayser3738 3 місяці тому +1

    2010 now 2024 🙌

  • @shebbynzengula6993
    @shebbynzengula6993 2 місяці тому

    Daah hii nyimbo imenikaa kwa kichwa 😃

  • @rahatmontana2862
    @rahatmontana2862 4 роки тому +6

    Im Represent 2020 too

  • @jmaster4454
    @jmaster4454 11 днів тому

    05/10/2024 nasikiliza hii ngoma IPO vizuri sana mana migoma Yao ya saiz wiki tu ishaisha

  • @SalmaMchome
    @SalmaMchome 7 місяців тому

    Duuuh, this song jaman acha zingine zichuje but some songs like this mmmh so sweet apo unataman kumwambia umbea ur love

  • @binladen7727
    @binladen7727 4 роки тому +10

    2020 bado tunasikilza