UTU ya ALIKIBA Yamkosha RAIS SAMIA, Ashindwa KUJIZUIA Ampigia MAKOFI Akipafomu KWENYE Mkutano WAKE..
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- UTU ya ALIKIBA Yamkosha RAIS SAMIA, Ashindwa KUJIZUIA Ampigia MAKOFI Akipafomu KWENYE Mkutano WAKE..
STAA wa Bongo fleva, Alikiba, amefanya shoo katika mkutano wa hadhara wa Rais Samia uliofanyika Mkoani Iringa, tazama alivyokiwasha mbele ya Rais hadi akampigia makofi..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW UWE WA KWANZA KUONA:👉🏾 bit.ly/3MraYdQ
Bro king nakushauli tu usiwe unabadilisha Ivo nywele kwakweli haupendezangi hiyo langi nyeupe Bora na nyekundu boos
We ndo unampoteza kabsa
Kaka mwache kiba bana
Ali Kiba sauti mashallah huna mpinzani 😘😘😘😘
Jitu flanii ivi✊❤️ Bravo Sana bro
More bravo😍
Mambo ya kiba
Mash allah sauti yake nzuri na tulivu sana pongezi
Alikiba we mkali,nakukubali kutoka DRC democratic republic of Congo
Bro kwel mama yetu ameupiga mwingi sana nimeipenda sana hiyo song
Poa
Wew ni king bro 🙏
Alikiba ww
Ni kueli mama kaupiga mwingi anastaiki pongezi ila kwakuwa King katangulia inatosha
fundi.❤🙏
Sauti yakiba huainanikosha😂😂
Alikiba mashalla! Unayo sauti kaka
Wazii mkongwe ww ndio yebaba
Ali kiba Yuko vizuri
Kingi kiba
Bora we we sio.harmony shoo za limama alilonalo
Usiingilie maisha ya watu acha.
Kumbe kampeni zineanza
The system sucks .....
Mama samia vivi 👍❤️❤️❤️❤️ bset prensdnt
❤️❤️💯💯🙏
❤
Good
Hakuna Cha utu na utuli ,watu wanatesek huku, king kiba unamdanganya mama bhn😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😌
Fala sana junior hahaaaa
@@jerryfaraja1094 🤣🤣🤣
Noma sana
Unataka mama akuletee chakula fanya kazi kijana
😂😂😂😂😂🤪
Alikiba umeimba tu Ili upewe pesa but ulicho mwimbia mama yko ni kinyume chake haswaaa!!!
hiki chama kwa kweli nahene labda Tz kusonga mbele kazi sanaa
Mmenikosha king kina❤️❤️❤️
Team kiba bwana achana kushinda n mashemedada dangote
Nampenda King kiba
Utu na utulivu
Big up to u
Kiba anahekima sana nyimbozake zimetulia
Rais wetu piga kazi mama
Mungu akupe guvu
Nice
King kama king Salut kwakee
Alikiba Yuko vizuri ❤
Sinaga shaka na kipaji chako King kiba
Tunakusubiri tena kwenye fiesta fiestani king weka maneno ♥️♥️♥️♥️salut mkuu
Tunapanda mama yetu❤❤
Pongezi kaka ali kiba
Alli voice Iko sawa
That's nice alikiba bravo
Mashallah❤❤❤
Ccm oyeeee❤❤
Rip magufuli umeondok na Tanzania yako Mungu akulaze mahali pema peponi hakika kizur hakidumu
Tanzania iko palepale!,ameondoka na Tanzania?!,Kama meondoka nayo Wewe unaishia Wapi?!,Acheni kujipendekeza,Rais Samia yupo,msitulee historia hapa!
lini iyo
Kumbe huu nimkutano wa ccm
Kashasahau alivyomlilia magu
Ali kiba sauti mashallaa mumwa♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Mfam
Mapapa muke feneya
Uko vzr broo
Mashallah
KingKiba 4ever
😘😘😘😘❤❤❤❤
Hizi show bila mond zinakua zimepoa Sana kama miduara ya kizanzibar
🤣🤣🤣
Bwana konde
Qwany yy n nny.
😂😂🤣🤣😅😅😅😅😂😂🤣🤣💜💜💜💜💜💜👋✋💯broo umenivunja mbavuu kwelii nanikwel mond ndo mwenye hamshahamsha