MAAJABU DARAJA LA MAGUFULI KIGONGO BUSISI, RASMI KUANZA KUTUMIKA, TANROADS WATOA TAARIFA HII KUBWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 21

  • @DudddyWhyCant
    @DudddyWhyCant 3 місяці тому +2

    Jp Makufuli 😅😅😅

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 3 місяці тому +5

    Je mama hana mchango kweli? Au mnasahau kwa makusudi?

    • @KudraWanguvu-em1xw
      @KudraWanguvu-em1xw 3 місяці тому +1

      anao sana tena sana

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 3 місяці тому +2

      ​@@KudraWanguvu-em1xwanamchango wakukabidhi bandari kwa waarabu siombaya😊😊😊

  • @MashauriissaMohamed
    @MashauriissaMohamed 3 місяці тому +1

    Tutakukumbika Kwa mazuri yako

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 3 місяці тому +4

    Mwendazake kweli ulibadilisha hii nchi kwa muda mfupi sana, sijui nisemeje umetuachia ukiwa nchi haieleweki kabisaa. Pumzika kwa Amani

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 3 місяці тому

    Tumuombe maisha bora akhera na huyu mama mwenyez mungu amsimamie kwa uwezo wake mungu maana bila mungu hatuwezi kitu jamani na kila hali mja njia ni moja tu

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 3 місяці тому

    Tatizo langu ni hayo magugu. Tangu yaanze kuonekana, huna hatua zozote zimechukuliwa na waziri wa mazingira yupo!

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 місяці тому +1

    Tanzania inanyanyuka..
    .

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 3 місяці тому

    Barabara unganishi za Daraja ziwe na urefu kilometa nyingi na upana wa kutosha ilikulipa thamani ya gharama iliyotumika kulijenga siyo mjenge vibarabara kama vya huku uswahilini kuliunganisha Daraja hilo.

  • @Worldunite
    @Worldunite 3 місяці тому

    Mbona mnaleta mfarakano? Hili jambo liko wazi kwamba hayati JPM aliona umuhimu wa kujenga hili daraja na akaanza kulijenga, halikuwa jambo rahisi, na baada ya kifo chake mama ndo analimalizia, sasa, tunachoshindania hapa ni lipi?

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 3 місяці тому

    Huyu msimulizi ni mgeni kutoka nchi jirani? Pili, anapotosha kudai ya kwamba kuvuka kwa ferry kutoka Busisi hadi Kigongo ferry unatumia saa mbili. Hata kwa kupiga kasia huwezi kutumia zaidi ya saa moja!

  • @priscillawilliam3603
    @priscillawilliam3603 2 місяці тому

    Mama mama haya kuna jingine

  • @fauzseif7344
    @fauzseif7344 3 місяці тому

    Sio meta ni metet

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi 3 місяці тому +1

    Mbona nguzo zajuu zinaonekana sio imara mjitafakari

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 місяці тому

      Kutalipuliwa sasa mfuatiliaji ayupo

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 3 місяці тому

      Engineer wewe? Yaani kwa picha tayari umeshaona ubovu wa daraja?🤣

    • @MalamboSelijusi
      @MalamboSelijusi 3 місяці тому

      @@kambamazig02024 tulia mmh jambo dogo Hilo unapo ambiwa jambo lifanyie kazi

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 місяці тому

    Mchango wa mama upo.....