MANGUNGU: "WANATOA TAARIFA ZA KAGOMA HATUZIJUI/SIMBA HATUNA HOFU/MSIMU WETU HUU".

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 77

  • @shaabanramadhan
    @shaabanramadhan 9 днів тому +1

    Hongera mangungu imetoa somo tosha kwa hao magongo wazi

  • @user-zs3wr4bc3t
    @user-zs3wr4bc3t 9 днів тому +4

    Afadhari❤❤❤ simba nguvu moja

  • @janethjustin2041
    @janethjustin2041 9 днів тому

    Waooo Mangungu umejibu vema kumbe hata wewe umewajuaeee! Sisi ni simba nguvu moja❤❤❤❤

  • @sultanielhaddady2161
    @sultanielhaddady2161 9 днів тому +4

    Nachoka mimi 😂😂😂😂 mangungu majibu yake.. Ubaya Ubwela

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh 9 днів тому +2

    Hapo mangungu umejibu vyema kabisa hakuna shabiki wa Simba ambae Hana Imani na Timu yake good

  • @EMMANUELYSTANLEY
    @EMMANUELYSTANLEY 9 днів тому +4

    Hiki ki jamaa kimangungu kijeuli😂😂😂😂

  • @HusnatShabani
    @HusnatShabani 9 днів тому

    Nguvu Moja💪🔥🔥♥️♥️♥️

  • @shaabanramadhan
    @shaabanramadhan 9 днів тому +1

    Wewe si muelewa,hao wachezaji ulowataja wote walishahama Yanga.Mangungu anamaanisha Simba haijanunua mchezaji kutoka Yanga kwa mauziano.kua muelewa bro acha umbumbumbu

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 7 днів тому

    Ndo shida ya GSM kuzamini timu nyingi lameki wametia mkono awesu wametia mkono hao hao nyuma mwiko kijili mashaka nyuma mwiko akili zao zipo nyuma kwao ndo maana manara alisema wenye akili ni wawili

  • @MkudeSimba-y8c
    @MkudeSimba-y8c 8 днів тому

    Yanga ni timu ya ujanja ujana sana lkn kagoma Bado mali ya mnyama😂😂🎉🎉

  • @EmanuelChilumba
    @EmanuelChilumba 3 дні тому

    Kama hujachambua vitabu shulen huwezi kuelewa viongozi wa na sema nn

  • @danielkajiru6017
    @danielkajiru6017 9 днів тому +1

    Lkn kama Magoma alikuwa na mkataba na Singida hata Yanga piah walifanya makosa kuzungumza na mchezaji bila kuwasiliana na singida na kama walikuwa na mazungumzo na singida bhasi Singida ndio wamewaingiza simba kwenye matatizo kwahiyo sioni kama kunakosa la mojakwamoja kwa simba

    • @Mkubwa_jr
      @Mkubwa_jr 9 днів тому +2

      Magoma yupi unaemzungumzia yule mwenye pengo au😅😅😅

  • @baruanibakari7410
    @baruanibakari7410 8 днів тому

    Abdul elewa alichokiongea mangungu anaongelea mwaka huu bro

  • @DeogratiusMponda
    @DeogratiusMponda 9 днів тому

    Mchezaji huru na kusajiliwa tofauti na kununuliwa kutoka timu anayochezea fala

  • @wimranpatrick
    @wimranpatrick 9 днів тому +1

    Kagima wa mangungu

  • @Mo_kiddMsangi
    @Mo_kiddMsangi 9 днів тому

    Msimu huu elewa somo

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 9 днів тому

    Unajitafunatafuna mangungu hapo mtajibu aisee

  • @MariaMnthax
    @MariaMnthax 9 днів тому +1

    Kagoma alisema mwenywe kwamba alisaini yanga badae akasaini simba hapa mangungu anakata sasa mkweli niyupi hapo

    • @VictorMgodomi-xj1ey
      @VictorMgodomi-xj1ey 9 днів тому

      Mbona kagoma alisema vizuri tu yanga alisaini mkataba wa awali

    • @MariaMnthax
      @MariaMnthax 8 днів тому

      @@VictorMgodomi-xj1ey ndoomanaake sasa mangungu anakata kvp

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 7 днів тому

    😅MANGUNGU KENGE KAMA KENGE WENGINE MWENYEKITI WA KUFUNGUA NA KUFUNGA VIKAO MPAKA JANUARY UTAANZA ULE ULE WIMBO WA HATUMTAKI MANGUNGU NA TRY AGAIN 😅😅MASIKINI KOLOKWINYO FC

  • @petro8010
    @petro8010 9 днів тому

    Hakuna hata comment moja.... acha mimi walau nitoe support Kwa hilo

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 9 днів тому

    PIA, KUNA TIMU ZINASUBIRIA WASTAAFU WENU KWA AJILI YA WAO KUWASAJILI.

  • @DenisMusa-g5z
    @DenisMusa-g5z 9 днів тому

    Utopolo ni madanga tu watuachie simba ya ubaya ubwela hatuna dogo

  • @babaabuu
    @babaabuu 8 днів тому

    Mnaambiwa uongozi makini lakini matatuzo hayaishi!! Ishu ya kibu d, ishu ya lameck lawi, ishu ya awesu awesu na Sasa ni kagoma lakini Bado mnaaminishwa uongizi makini na mnapiga makofi!! Ebu tumieni akili wana lunyasi

    • @LauMagwaja
      @LauMagwaja 8 днів тому

      Kagoma Mali ya simba nguvu moja 💪 utopolo wanapenda ujanja ujanja tu

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 9 днів тому

    We hujui maswala ya usajiri kabisa, Kalia kiting cha kolo tu!

    • @georgesteven5185
      @georgesteven5185 9 днів тому

      Yaan. Mtu mzima unaandika ujinga ambao hata wajukuu wako wakiona lazima wacheke

  • @EdwardMlowe-e8i
    @EdwardMlowe-e8i 9 днів тому

    Wachezaji uliowataja walishamaliza mikataba yao kwa maana walikuwa huru

  • @iddiramadhan
    @iddiramadhan 9 днів тому

    This is 🦁💪

  • @ThedyDarema
    @ThedyDarema 9 днів тому

    Utopolo wanatamaa kama madanga

  • @YusufuMwamlengaMwamlenga
    @YusufuMwamlengaMwamlenga 9 днів тому +2

    Yaani utopolo ni waongo sana,wanapenda sana propaganda za kijingakijinga

    • @godfreysimoni4270
      @godfreysimoni4270 9 днів тому

      Kama waongo mbona kesi ipo kwenye kamati mwaka huu mmetatimba makolo

    • @bbanyikwa
      @bbanyikwa 7 днів тому

      Makolo mna makasiriko ya nini subirini kamati ifanye maamuzi😂😂😂

    • @YusufuMwamlengaMwamlenga
      @YusufuMwamlengaMwamlenga 6 днів тому

      Kamati ipi?,ya harusi,mmekwama waking nyie

    • @YusufuMwamlengaMwamlenga
      @YusufuMwamlengaMwamlenga 6 днів тому

      @@bbanyikwa kamati ipi?,ya harusi?,mmekwama wajinga nyie

  • @user-ec3iz6pg2i
    @user-ec3iz6pg2i 8 днів тому

    Kuwa na akili wewe

  • @abdulhamidnjovu6031
    @abdulhamidnjovu6031 9 днів тому +6

    Mangungu anadai kuwa Simba haijawahi kumsajili mchezaji akitokea Yanga... Morrison, Kakolanya, Niyonzima, na Saidoo kwa mfano, waliwatoa timu gani?

    • @MgazaMhina
      @MgazaMhina 9 днів тому +1

      Alikuwa mchezaji huru ni kama chama alivyoenda Yanga.

    • @pascofp145
      @pascofp145 9 днів тому +5

      Wote walikuwa wachezaji huru kasoro saidooo alitokea geita kaka Wala hakuna mchezaji wa yanga

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 9 днів тому +2

      kama hujui Bora uliza na sio kulaumu..

    • @SenoNorbertKiemena
      @SenoNorbertKiemena 9 днів тому +1

      Kuwa na akili ww chura saido ilisajiliwa na Simba kotoka geita gold na sio nyuma mwiko... Zuzu ww

    • @user-co1hx4wh3r
      @user-co1hx4wh3r 9 днів тому

      Wote walikuwa huru na saidoo kasajiliwa kutoka geita au huju

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig 9 днів тому

    Awana mpya kwisha abali yao ni ubaya ubwela

  • @vincentakulumuka4961
    @vincentakulumuka4961 8 днів тому

    The most boring interview ever! Ujinga tu..

  • @ThedyDarema
    @ThedyDarema 9 днів тому

    Utopolo wanatamaa kama madanga