Wewe si muelewa,hao wachezaji ulowataja wote walishahama Yanga.Mangungu anamaanisha Simba haijanunua mchezaji kutoka Yanga kwa mauziano.kua muelewa bro acha umbumbumbu
Ndo shida ya GSM kuzamini timu nyingi lameki wametia mkono awesu wametia mkono hao hao nyuma mwiko kijili mashaka nyuma mwiko akili zao zipo nyuma kwao ndo maana manara alisema wenye akili ni wawili
Lkn kama Magoma alikuwa na mkataba na Singida hata Yanga piah walifanya makosa kuzungumza na mchezaji bila kuwasiliana na singida na kama walikuwa na mazungumzo na singida bhasi Singida ndio wamewaingiza simba kwenye matatizo kwahiyo sioni kama kunakosa la mojakwamoja kwa simba
😅MANGUNGU KENGE KAMA KENGE WENGINE MWENYEKITI WA KUFUNGUA NA KUFUNGA VIKAO MPAKA JANUARY UTAANZA ULE ULE WIMBO WA HATUMTAKI MANGUNGU NA TRY AGAIN 😅😅MASIKINI KOLOKWINYO FC
Mnaambiwa uongozi makini lakini matatuzo hayaishi!! Ishu ya kibu d, ishu ya lameck lawi, ishu ya awesu awesu na Sasa ni kagoma lakini Bado mnaaminishwa uongizi makini na mnapiga makofi!! Ebu tumieni akili wana lunyasi
Hongera mangungu imetoa somo tosha kwa hao magongo wazi
Afadhari❤❤❤ simba nguvu moja
Waooo Mangungu umejibu vema kumbe hata wewe umewajuaeee! Sisi ni simba nguvu moja❤❤❤❤
Nachoka mimi 😂😂😂😂 mangungu majibu yake.. Ubaya Ubwela
Hapo mangungu umejibu vyema kabisa hakuna shabiki wa Simba ambae Hana Imani na Timu yake good
Excellent
Hiki ki jamaa kimangungu kijeuli😂😂😂😂
Hiki kizee sio jeuri bali kinajiamini sana.
Nguvu Moja💪🔥🔥♥️♥️♥️
Wewe si muelewa,hao wachezaji ulowataja wote walishahama Yanga.Mangungu anamaanisha Simba haijanunua mchezaji kutoka Yanga kwa mauziano.kua muelewa bro acha umbumbumbu
Morison alihama
Ndo shida ya GSM kuzamini timu nyingi lameki wametia mkono awesu wametia mkono hao hao nyuma mwiko kijili mashaka nyuma mwiko akili zao zipo nyuma kwao ndo maana manara alisema wenye akili ni wawili
Yanga ni timu ya ujanja ujana sana lkn kagoma Bado mali ya mnyama😂😂🎉🎉
Kama hujachambua vitabu shulen huwezi kuelewa viongozi wa na sema nn
Lkn kama Magoma alikuwa na mkataba na Singida hata Yanga piah walifanya makosa kuzungumza na mchezaji bila kuwasiliana na singida na kama walikuwa na mazungumzo na singida bhasi Singida ndio wamewaingiza simba kwenye matatizo kwahiyo sioni kama kunakosa la mojakwamoja kwa simba
Magoma yupi unaemzungumzia yule mwenye pengo au😅😅😅
Abdul elewa alichokiongea mangungu anaongelea mwaka huu bro
Mchezaji huru na kusajiliwa tofauti na kununuliwa kutoka timu anayochezea fala
Kagima wa mangungu
Msimu huu elewa somo
Unajitafunatafuna mangungu hapo mtajibu aisee
Kagoma alisema mwenywe kwamba alisaini yanga badae akasaini simba hapa mangungu anakata sasa mkweli niyupi hapo
Mbona kagoma alisema vizuri tu yanga alisaini mkataba wa awali
@@VictorMgodomi-xj1ey ndoomanaake sasa mangungu anakata kvp
😅MANGUNGU KENGE KAMA KENGE WENGINE MWENYEKITI WA KUFUNGUA NA KUFUNGA VIKAO MPAKA JANUARY UTAANZA ULE ULE WIMBO WA HATUMTAKI MANGUNGU NA TRY AGAIN 😅😅MASIKINI KOLOKWINYO FC
Hakuna hata comment moja.... acha mimi walau nitoe support Kwa hilo
PIA, KUNA TIMU ZINASUBIRIA WASTAAFU WENU KWA AJILI YA WAO KUWASAJILI.
Utopolo ni madanga tu watuachie simba ya ubaya ubwela hatuna dogo
Mnaambiwa uongozi makini lakini matatuzo hayaishi!! Ishu ya kibu d, ishu ya lameck lawi, ishu ya awesu awesu na Sasa ni kagoma lakini Bado mnaaminishwa uongizi makini na mnapiga makofi!! Ebu tumieni akili wana lunyasi
Kagoma Mali ya simba nguvu moja 💪 utopolo wanapenda ujanja ujanja tu
We hujui maswala ya usajiri kabisa, Kalia kiting cha kolo tu!
Yaan. Mtu mzima unaandika ujinga ambao hata wajukuu wako wakiona lazima wacheke
Wachezaji uliowataja walishamaliza mikataba yao kwa maana walikuwa huru
This is 🦁💪
Utopolo wanatamaa kama madanga
Yaani utopolo ni waongo sana,wanapenda sana propaganda za kijingakijinga
Kama waongo mbona kesi ipo kwenye kamati mwaka huu mmetatimba makolo
Makolo mna makasiriko ya nini subirini kamati ifanye maamuzi😂😂😂
Kamati ipi?,ya harusi,mmekwama waking nyie
@@bbanyikwa kamati ipi?,ya harusi?,mmekwama wajinga nyie
Kuwa na akili wewe
Mangungu anadai kuwa Simba haijawahi kumsajili mchezaji akitokea Yanga... Morrison, Kakolanya, Niyonzima, na Saidoo kwa mfano, waliwatoa timu gani?
Alikuwa mchezaji huru ni kama chama alivyoenda Yanga.
Wote walikuwa wachezaji huru kasoro saidooo alitokea geita kaka Wala hakuna mchezaji wa yanga
kama hujui Bora uliza na sio kulaumu..
Kuwa na akili ww chura saido ilisajiliwa na Simba kotoka geita gold na sio nyuma mwiko... Zuzu ww
Wote walikuwa huru na saidoo kasajiliwa kutoka geita au huju
Awana mpya kwisha abali yao ni ubaya ubwela
The most boring interview ever! Ujinga tu..
Utopolo wanatamaa kama madanga