MSEMAJI WA TABORA "WALE WANAUME WANAOLIA KWENYE VYOMBO VYA HABARI NITAWATOA MACHOZI YA DAMU/YANGA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 79

  • @hamidoungoma4301
    @hamidoungoma4301 19 днів тому +3

    Dadaangu kweli wewe ni mtu wa mpira,yaani bora ungekuwa pale yanga ungefanya kazi nzuri kuliko yule anaejua kuongelea Simba zaidi kuliko timu yake..hongera sana

  • @LusunguKiswanga
    @LusunguKiswanga 18 днів тому +2

    Sema mama umewanyoshaaaa😅😅😅😅

  • @ramadhaniathumanimwimi
    @ramadhaniathumanimwimi 6 днів тому

    alosikia al ahli ya ibenge gonga like

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 6 днів тому

    Bi. Christina kweli Yanga amefika nusu fainaĺi ya Wachawi na Wagawa bahasha.🎉

  • @HassanMputa-ws3xr
    @HassanMputa-ws3xr 19 днів тому +4

    Ajabu ni kwamba hiyo mechi moja unaiongelea mwaka mzima,Mkichukua ubingwa itakuwaje?Punguza kelele ligi ina mizunguko miwili,Subiri kiyama chako.

    • @elidadi1351
      @elidadi1351 19 днів тому +3

      Hawa ni kuwaandalia package maalum kama ya Ihefu tuwashone midomo kabisa

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 6 днів тому +1

      Na nyinyi mechi moja mliweka mabango nchi nzima.

  • @chuggaman139
    @chuggaman139 7 днів тому

    Wewe sio mtu wa mpira unaikumbuka kagera lakini😂😂😂

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 19 днів тому +3

    Huyu dada analizimisha utani na Ally Kamwe na Ahmed Ally sijui haoni wasemaje wa timu zingine wapo kimya

  • @adamzablon8939
    @adamzablon8939 6 днів тому

    Ongezea na hili....Yanga ikiwa ya motoooo!!

  • @EvaNdayishimiye-n5o
    @EvaNdayishimiye-n5o 19 днів тому +2

    Uyu dada anataka umaarufu kupitia yanga na simba

  • @magrethjacob1191
    @magrethjacob1191 19 днів тому +1

    😂😂Alikamwe akiona hii atamaindi😅😅

  • @XtevenMuxxa
    @XtevenMuxxa 19 днів тому +2

    Acha uwongo Kagera alixhamfunga yanga 3.0

  • @rajabumrope8732
    @rajabumrope8732 6 днів тому

    ''sIJAONA SIMBA IKISHINDA ZAIDI YA GOLI MOJA''HALAFU YEYE ALIKULA TATU.

  • @athumanipigo9295
    @athumanipigo9295 2 дні тому

    😅😂 we mweuc bn acha kuongop

  • @DoryGeorge
    @DoryGeorge 19 днів тому +2

    Simba mtulipie kisas ikiwezekan muwashone nying

    • @aliferuzi1537
      @aliferuzi1537 19 днів тому

      Omba RADHI wewe Nani akulipie kisasi SISI tunauwa nyuki kwa nguvu zetu mlitufunha Tatu kwa msaada WA wazee wa simba.

  • @benetytibaijuka5
    @benetytibaijuka5 6 днів тому

    Dada ka- mdomo katakuponza ushauri tu nakupa weka akiba ya maneno utakuja kunishukuru

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 День тому

    KRISTINA UMEFUNGWA NA SIMBA UMESEMA SIMBA IMETEGEA NYIE HAKUWA NA LIGI SA HV UNASEMA MPO TAYARI MUDA WOWOTE SASA HV UNA LALAMIKA

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 19 днів тому +1

    Round inayofuata utaenda kufanya vibaya sana.

  • @AyubuErnest-v3t
    @AyubuErnest-v3t 19 днів тому +1

    We muongo Kagera waliwafunga yanga gol 3 ,0

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 День тому

    NA LEO UMEFUNGWA SEMA TENA

  • @AhmedMedy-u7x
    @AhmedMedy-u7x 18 днів тому

    Umarufu unautafuta kwa sana kupitia yanga na simba kila kati unaitaja yanga na simba

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela 18 днів тому

    YUKO vizuri

  • @rosemaryluhwago
    @rosemaryluhwago 18 днів тому

    Sema Nini huyu dada aishukuru YANGA maana alikuwa hata hajulikani YANGA imempa umaarufu

  • @prudentsalim08
    @prudentsalim08 18 днів тому +1

    Saw kwan vina mda bc

  • @RemmyNzoyihera-p7t
    @RemmyNzoyihera-p7t 7 днів тому

    Hamuwezi kutobowa tena tabora tena

  • @TausiRamadhani
    @TausiRamadhani 19 днів тому

    Nicheke Mie naona leo kasuka vitunguu cjui vya Christmas hivi havjafumuliwa😅

  • @rosemaryluhwago
    @rosemaryluhwago 18 днів тому

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hiyo bajeti yao ya usajiri imenichekesha mpaka nimecheka kwa nguvu maana hata mchezaji mmoja wa YANGA hiyo hela haipo

  • @msamijoel6916
    @msamijoel6916 19 днів тому +1

    Mdaka Calculator 😂😂😂

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 День тому

    Wewe mdomo utakuponza sana

  • @comfortkitiwi2879
    @comfortkitiwi2879 19 днів тому

    We mama weee. Ni kipofu aliona mwezi. Sahau kuifunga YANGA

  • @Veronica-z6b4t
    @Veronica-z6b4t 8 днів тому

    Anatangaza asali au mpira

  • @Josephtibu-l9e
    @Josephtibu-l9e 17 днів тому

    SIMBA SPORT CLUB 😂WAKALI WA KARIAKOO

  • @EdinaLaulent
    @EdinaLaulent 19 днів тому

    Kataira kagera hajawahi kuifunga yanga

  • @abubakarihassan3180
    @abubakarihassan3180 7 днів тому

    Kamdomo katakuponza we dem

  • @DamarisOsward
    @DamarisOsward 18 днів тому

    Huna lolote bora unyamaze, mpaka unaboa, simba yenyewe inawatoa nishai

  • @magrethjacob1191
    @magrethjacob1191 19 днів тому +2

    cc hatuna utani na ww na ucje jisifu utakuja kuifunga SIMBA SPORTS CLUB Labda UTOPOLO ndo mtaifunga ila cyo SIMBA, kama ulifungwa mwanzoni bac tegemea Round ya pili hvyohvyo
    kama ulivyojicfu kuifunga UTO round ya kwanza bac tegemea roundi ya pili SIMBA ITAKUFUNGA Kama mwanzoni

  • @AhmedMedy-u7x
    @AhmedMedy-u7x 18 днів тому

    Sasa milioni 500 si chezaji mmoja tu tena kama nkane mana mchezaji wa maaana huwezi kumpata mchezaji kwa milioni 500

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 19 днів тому +1

    Kwani ukiwa msemaji huwezi kuongea uhalisia wa mpira?hivi kweli mtu adake calculator.

  • @RayMyonga
    @RayMyonga 12 днів тому

    Umeanza uchawi

  • @abubakarihassan3180
    @abubakarihassan3180 7 днів тому

    Huyu shemeji yetu lazima aolewe tar 2 februal na Ahmed Ally

    • @adamzablon8939
      @adamzablon8939 6 днів тому

      Ndoa atafungisha Nani
      Maana ni muislamu na Mkristo
      Au Mchungaji wa Simba?
      Sasa Ahmed atakubali maana yeye muislamu

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 19 днів тому

    Wanaume wamekukataa bado unajipendekeza. Kwani hujaolewa bado???

  • @SilveriSulley
    @SilveriSulley 19 днів тому

    Unamwambiya ally kamwe hawezi kazi alafu unasema utani ongelea mpira acha kazi ya mtu

  • @MkapadlwengeLwengemkapa
    @MkapadlwengeLwengemkapa 18 днів тому

    Kagera

  • @vincentakulumuka4961
    @vincentakulumuka4961 17 днів тому

    huyu mama anatafuta umaarufu ambao hana

  • @Juma-r2w
    @Juma-r2w 19 днів тому

    Uwe na kumbukumbu lkn e so kwa yanga lkn mi cjaoa dada ujue😂

  • @Veni584
    @Veni584 19 днів тому

    Dada weka akiba ya maneno

  • @fakihassan9021
    @fakihassan9021 19 днів тому

    Dada weka maneno yahakiba

  • @DamarisOsward
    @DamarisOsward 18 днів тому

    Dada kamdomo katakuponza, subiri turudiane utatoka na aibu.

  • @joshuahamis2738
    @joshuahamis2738 8 днів тому

    wewe dada acha mdomo Simba watakuaibisha na utakua mpole siku hiyo

  • @abdullahwaziri5499
    @abdullahwaziri5499 19 днів тому

    Kafungwa Brazil 7 sembuse yanga?

  • @xaverisunday699
    @xaverisunday699 19 днів тому

    Mdomo utakuponza lound ijayo

  • @Oddyfête
    @Oddyfête 19 днів тому

    Hakun interview atafanya asiache kuitaja yanga,, Sasa utaitaja Sana msimu huu,
    Hawez fanya kitu bila kujrnganisha na Simba au Yanga bado sana ajifunze,,

  • @matiasjuma9890
    @matiasjuma9890 6 днів тому

    Kagera sugar-3 yanga-0

  • @elidadi1351
    @elidadi1351 19 днів тому

    Weweee Yanga tumekufunga mara ngapi kamdomo wewe tunakuanndalia package maalum kama ya Ihefu tuwashone midomo kabisa mpaka mshuke Daraja au Muuzwe kabisa

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 19 днів тому

    SIKU HAZIGANDI MREMBO WA TABORA WATU WANA HASIRA NA SHOBO LAKO LZM UVULIWE WIGI MAANA SIO PEKE YAKO WALIOWAHI KUWA NA MDOMO UTATULIA TU

  • @Bashock6792
    @Bashock6792 18 днів тому

    3:37 eeeeeeh weeye dada murongo kumbuka KAGERA SUGAR NAO WATAONGEAAJE?????JIULIZE SEMA KIPINDI HICHO MTANDAO ILIKUWA HAMNA SEMA KINGINE

  • @PoulinSimon
    @PoulinSimon 19 днів тому

    Mnyaru mbn kama unajinadi tena

  • @RachelDominic-q9x
    @RachelDominic-q9x 19 днів тому

    Ebu acha kuitaja yanga na ujinga wako tena ukome kama ulivyo koma kunyonya mbwa ww

  • @AhmedMedy-u7x
    @AhmedMedy-u7x 18 днів тому

    Acha uwongoo wewe yanga ashafungwa sana magoli 3 uwanja wa taifa na timu za bongo

  • @zuberimohamed43
    @zuberimohamed43 18 днів тому

    Huyu ataiponza tabora huyu

  • @eddyrich.3312
    @eddyrich.3312 19 днів тому

    Wewe msemaji wewe wa Tabora hako kamdomo hako katakuponza utakafunga bila kupenda chunga sana hako kamdomo kako.

  • @DoreenMlay-e8g
    @DoreenMlay-e8g 19 днів тому

    wee beng'eneka 2 mdomo uo

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt 19 днів тому

    Si kweli mikorogo iko kwa ajili yako

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 19 днів тому

    Wee koma usimtaje pin pin wetu nyau wewe uyu anaonekana ana minyege ya karibu😂😂😂

  • @kiwakhalid4981
    @kiwakhalid4981 19 днів тому

    Weee dada chunga hako kamdomo

  • @ElinihakiMsuya
    @ElinihakiMsuya 19 днів тому

    Acha mdomo wewe huna lolole utapigwa sana mpaka uta tuliza mshono naona umepasuka mshono

  • @gaudenciamlay1916
    @gaudenciamlay1916 19 днів тому

    Acha kuwashwa wewe Diara anakuhusu ninii je pin pin camara naye anakuhusu nini wewe elezea kuhusu kipa wenu acha ujinga wewe usifananishe kifo na usingizii

  • @ElinihakiMsuya
    @ElinihakiMsuya 19 днів тому

    Hata wewe anakudaka sana

  • @msamijoel6916
    @msamijoel6916 19 днів тому

    😅😅😅😅😅😅😅

  • @msamijoel6916
    @msamijoel6916 19 днів тому +1

    Mdaka Calculator 😂😂😂

  • @prudentsalim08
    @prudentsalim08 18 днів тому

    Saw kwan vina mda bc

  • @msamijoel6916
    @msamijoel6916 19 днів тому

    😅😅😅😅😅😅😅

  • @msamijoel6916
    @msamijoel6916 19 днів тому +2

    Mdaka Calculator 😂😂😂

  • @prudentsalim08
    @prudentsalim08 18 днів тому

    Saw kwan vina mda bc

  • @msamijoel6916
    @msamijoel6916 19 днів тому +1

    Mdaka Calculator 😂😂😂

  • @msamijoel6916
    @msamijoel6916 19 днів тому +1

    Mdaka Calculator 😂😂😂