Hapo nilitegemea ubunifu wa kinyama, ningekuwa mi director au story writer, ningetafuta watu wanaofanania na watu uliowadiss niwapigisha magoti hapo naanza kuwachana, idea ya pili ungekuwa wewe ni police wao ni wajelajela, wamevaa nguo za jera wewe ndio police unawachana, Idea ya tatu ungekuwa umefanya press conference na wao (kikosi kazi) wapo kwenye geto moja hv la kimaskini knoma wanakuangalia, mara waombane buku wanunuw dagaa watoe ugali(ilmrad tu kuwaua) then wanakuwa wanaelewa unachoimba haf mwishon wanajadli wakikubali unayoyasema Baada ya watu wengi kuLIKE naongeza Idea ya mwisho wewe ni HAKIMU, wao ni watuhumiwa wewe ndio unatoa hukumu mpo mahakamani mwisho wa siku wanaenda jela. Thank you
Motra ngoma Kal sana ,lakn vdeo mbaya sana Yan sana.mana nilikuwa nasubl nione ubunifu Kama ulioufanya kwenye uwandish,SIKUNYINGNE UKTAKA KUFANYA VDEO NTAFUTE NKUSAIDIE KUANDIKA
Motra daaa mziki mzuri video haiko real na unachoimba ulikuwa unaharaka gani kutoa video research ni muhimu kabla ya video chalii uyo baunsa kujivimbisha ivyo ndio nn sasa
Iyi ngoma Video imetolewa haraka BEAT KALI SANA ILA VIDEO NAONA IMEHARAKISHWA MANA NINAPO IANGALIA NAONA AIKUTENDEWA HAKI KABISA #TUSUBIRIVIDEONYINGINE
Nmekuja hapa na makasiriko bada yakuckia umewadis kikos kazi ila baada y kufika nmekuwa shabk yako kabisa,,,,We jamaa umeandika sana ...🙌 Ur so gifted en talented 💥
I got you motra, always unaandika mdogo wangu , na mwelewa sana bro Joe Makini lakini ajawai kupiteza muda kumjibu mtu katika truck na huyo mweupe hupo anajiita king O........ro ajui hata muzik
Chali ya chuga hiyo!! Akili mingi mingi!! Levo zenu sio mimi labda Lunya
Hapo nilitegemea ubunifu wa kinyama, ningekuwa mi director au story writer, ningetafuta watu wanaofanania na watu uliowadiss niwapigisha magoti hapo naanza kuwachana, idea ya pili ungekuwa wewe ni police wao ni wajelajela, wamevaa nguo za jera wewe ndio police unawachana, Idea ya tatu ungekuwa umefanya press conference na wao (kikosi kazi) wapo kwenye geto moja hv la kimaskini knoma wanakuangalia, mara waombane buku wanunuw dagaa watoe ugali(ilmrad tu kuwaua) then wanakuwa wanaelewa unachoimba haf mwishon wanajadli wakikubali unayoyasema
Baada ya watu wengi kuLIKE naongeza Idea ya mwisho wewe ni HAKIMU, wao ni watuhumiwa wewe ndio unatoa hukumu mpo mahakamani mwisho wa siku wanaenda jela. Thank you
@Motra The Future aisee idea zilikuepo za maana zaid
Sema nini ngoma kali
Video hajaitendea haki kiukweli. Ngoma kali sanaaa, video imeinyonya
wewe bonge la director mwanangu
Af unakuta uko mtaan unasikilizia ajira akat tayar we n director mzee idea kal na nahis una more zaid ....fanya
King Copper.....ri....bichwa lako limejaaaaa mau!!!tun...duu!!! Nimekubaliii kinoma hizo Ideas 3😀🤔💪💪💪💪💪💪💪💪
Motra ngoma Kal sana ,lakn vdeo mbaya sana Yan sana.mana nilikuwa nasubl nione ubunifu Kama ulioufanya kwenye uwandish,SIKUNYINGNE UKTAKA KUFANYA VDEO NTAFUTE NKUSAIDIE KUANDIKA
Tokea kwenye the future is now volume 6 asee nilikua moja ya ninaefatilia kazi zako salute sana
Saloot 💪🏿💪🏿💪🏿
Hamna kitu hapa
Umepigwa Na director
Ujawahi kukoseaga mkuuu
umetisha mzazi
Video mbaya Ila goma ni homa ya main👏👏
Hamna kituuuu kazi chukiiiii2 usenge mtupuuuu
Unyama mwingi #tellaaxistz
Nzito sanaa bobu
Ngoma ni ya motoooooo 💥💥🔥🔥🔥 sijui watakuja vipi. Punch kila line💥💥💥💯🔥🔥
Hapa uliua sana broooo
Ubugi mwanangu kuwadisi wanangu kikosi kazi
Shades at night😤😤😤
Mshamba mmoja kutoka NGARAMTON YA Chini
Ngoma nyepesi sana aje tumwandikie
Wewe mshamba tu kikoi kama nnzi nyimbo yenyewe views ziro
Umizaaaa baba sema azam wanatakiwa walipie tangazo
Kijana wangu hii ya moto
Nipeni likes hapa kwa motra kama rapa bora tz
Nyimbo nzuri sana
🔥🔥🔥🔥 burning
Mziki mnene bro more life
Ngoma kali
Atali sana hii
Ngoma kali sana
Video mbaya!ubunifu ziro,fokoooofu
Chalii yangu ni mmoja matembo mia moja
Usiwajibu tena jombaa wameanza kuwa mastar 🤣😂😂 imeishaaaaa iyoooooo
Sawa chaliii naelewaga kabla hawajaeleweshwa chaliii ccm kijenge
Baba angu
Baba ako
Baba yetu
Baba lao
Motra daaa mziki mzuri video haiko real na unachoimba ulikuwa unaharaka gani kutoa video research ni muhimu kabla ya video chalii uyo baunsa kujivimbisha ivyo ndio nn sasa
Uhandishi mzur, Ngoja tuwasubir kikosi kazi tuone na wao uhandishi wao, Game imekuwa na challenge asaiv.🇿🇦🇿🇦
Kikosi kazi hawawezi wakamjibu mtoto kama huyo
@@hanifuamiri3163 Mashabiki tunataka Game ichangamke
@@mosamossile9113 cwashamjibu na Mex Cortez pamoja na diss track kabisa #Backtothefuture🔥🔥
@@kazyn9554 Game imechangamka mzee
@@mosamossile9113 Mex cortez killed murdered this guy's career...
Love from kenya
mwana upo vizuri
Heshim ma Broda hautofika mbali aseee
From Mo town wame toka weupe kwenye hii kitu afu yule mshamba wa kizungu Mx cotz Mwambia Asimame kama yeye ache kutembelea upepo
Najivunia kuona kaka anafanya vema bendera Ya arushaaaa inapepea
Umenyoosha mjuba
Iyi ngoma Video imetolewa haraka
BEAT KALI SANA ILA VIDEO NAONA IMEHARAKISHWA
MANA NINAPO IANGALIA NAONA AIKUTENDEWA HAKI KABISA
#TUSUBIRIVIDEONYINGINE
Ngoma Kali sana unyama mwingi michano imepangiliwa mwanzo kati na mwisho 🙌🙌🙌
Motra umezingua sana unawadiss waliokuinspire???!!!
This one should be in my playlist umewachana washikaji zangu ila ni fire 🔥🔥🔥🔥 team SNS
Uwezo🎙️🇲🇱
Ubunifu🇲🇱
Umakin🎙️🇲🇱
Diss track 🎙️🇲🇱
From A town
ujumbe mzito mana game ime poa na wanao fany poa wana bezwa aseeee
1st view 1st coment💯✊Nakubal mjubawisee🔥🔥🔥🙌
Nyimbo kali san ila video mbay
Huyu kuma ingekuwa mbele tyar washa mkill
Baba akooo🔉🔊
We ni mshamba, nawanao wanaokudanganya yani kumdiss Nikki mbishi umezingua
King Motra🔥🔥🔥🔥🔥
Ss we una level gn😄😄😄
Arushaaaaa wauwe mkula hivyohivyo
To come.kikosikaz hakina Kaz yakufanya 😊
Mziki umeenda shule G...much respect toka 254
Nakubari sana motra
Mashonipi wa bongo hawawezi afford kwa P Funk 😂😂😂hii punch kali sana MOTRA THE FUTURE (BABA AKO)
😅😅😅
Kumchokoza SIMBA MZEEEEE!!!!!! %usiache KUTABASAMU%
Nmekuja hapa na makasiriko bada yakuckia umewadis kikos kazi ila baada y kufika nmekuwa shabk yako kabisa,,,,We jamaa umeandika sana ...🙌 Ur so gifted en talented 💥
Sema namba ako nilipoteza kaka
Vidaaaaa moko nyokoooooo saaaaana🔥🔥🔥🔥🔥🤝🤝🤝🤝🙏🏿✊✊✊✊✊✊✊✊
I got you motra, always unaandika mdogo wangu , na mwelewa sana bro Joe Makini lakini ajawai kupiteza muda kumjibu mtu katika truck na huyo mweupe hupo anajiita king O........ro ajui hata muzik
Ngoma kali realy sense, umewachana makolo wanaolazimisha watu wafuatr fikra zao kifupi hayo maisha hayapo now days wafanye vtu vyao wamechelewaa
Ukiwa huna Kaz jua Kaz unayo kikos Kaz huwez fata nyao" songa unaweza ukapiga myayooh lakn kiziwi anaekutazama akais tu unapiga kelele' future kifuture bonge ngoma mwana unaweza taja majina fire
Chalii unaandikaga sana,endelea tuh kuliza moto
C fanyi ngoma na jux alafu niimbie maisha yangu
Motraaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🙌🏿
Motra the future nakubali mwamba 💪🤜🤛🔥🔥🔥🔥
Oyeah
Baddest 💪💪💪💪💪
Kijenge juu.mwanama wakilisha babaaaako
Huyawezi
BROOOOOOOOO....THIS IS KINDA HIP HOP WE WANT IN THIS COOOOOUNTRY JAPO SIO BOY...😆🙌🙌🙌
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 la mazaao
Kuvaa enyewe hajui
Keep the fire burning🔥🔥🔥🔥🔥
Kuimba hajui anachojuwa n kuxema WEUPEE PEEE
Raspect King Montra The Future.
You always doin great...👊👊👊
Motra umetuangusha hapa
💥💥💥🤞🔫🔥🔥💯💯💯💯 #Babaakoo
Huku Kenya ndio unaskika sai🇰🇪🇰🇪
Warudishe mashambuliz sasa kikos kizima mwaka wangap huuu hawana hata mtu mwenye ata IST alaf kikos kaz kaz gan ya nyoko #chuga stand up
0:53 where is the long version?
Shkamoo baba
Huu moto hauzmiki
Sema mex cortez amediss kwa high level distrack 1and back to the future daaa ila hata wewe umetisha
Wafundishe so nyigu wazeeee
Ngoma hatupigi na shooo hatuwapi! %usiache KUTABASAMU%
Nimependa uhai wa weusi na wanangu TAMADUNI
Salute ma men Motra najivunia kwako chizi wangu
big up
Moto sana wozaaa
Ulikuwa kimya sana.. Hit em up
Mabodigadi wenyewe wana vitambi😂😂😂😂😂
Sa hii ndio current rap syle we all tzHip hop funs want to hear na sio ule utopolo wa WEUPE...#FutureMotra we believe in u since and then.....
Atar saan
Ngoma kariiiiiiiii👊
duuh mzee wangu flow za atar sana
Baba hiii ngoma nimeielew yaan hat nkiow ntaipiga big up
Unyamani