Wachambuzi wa nchi hii wengi ni mamuruki hawajielewi,,yani tulileta kina ngoma,babar,jobe fred etc wakasema tumejaza wazee,saizi tumeleta under 24 wanasema bado wadogo hawatafanya chochote yan wachambuz wa bongo wengi wao ni kama malaya tu hawaelew wanachokizungumza
Hakuna wachambuzi hao wote vilaza hivi kweli game ile ya muungano wakina mashaka hawawezi cheza hata hawajiulizi kuwa Simba inamashindano madogo kama muungano ambayo kalabaka,mashaka wanacheza
UKIONA MCHEZAJI KAMA DEBORA ANATOKA TIMU NDOGO LAKINI ANACHAGULIWA TIMU YA TAIFA UJUWE KAWATIA ADABU SANA WAFUNGAJI WA TIMU KUBWA SIO BURE HAPO SIMBA WAMEPATIYA TENA SANA ❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
FEISAL ANA TANGAZWA NA NYINYI WACHAMBUZI SIO KIONGOZI WA SIMBA . NYINYI NI MBUMBU WA UCHAMBUZI.... LEO MNASEMA VIJANA, KESHO MTASEMA WAZEE,, SAUTI ZENU TUNAZO....
Simba nguvu moja one team one dream forever
Wachambuzi wa nchi hii wengi ni mamuruki hawajielewi,,yani tulileta kina ngoma,babar,jobe fred etc wakasema tumejaza wazee,saizi tumeleta under 24 wanasema bado wadogo hawatafanya chochote yan wachambuz wa bongo wengi wao ni kama malaya tu hawaelew wanachokizungumza
Hakuna wachambuzi hao wote vilaza hivi kweli game ile ya muungano wakina mashaka hawawezi cheza hata hawajiulizi kuwa Simba inamashindano madogo kama muungano ambayo kalabaka,mashaka wanacheza
Wandishi Yale mukiyosema kuhusu umri Simba wamezingatia🎉
Huyo mchambuzi mpumbavu sana
Waandishi hamna jema Kwa simba
Hiyo feitoto aletwe Simba kwa gharama yoyote. Wanachama tuppo tayari kuchangia pesa.
Kaka awa wachezaji wazulitu
UKIONA MCHEZAJI KAMA DEBORA ANATOKA TIMU NDOGO LAKINI ANACHAGULIWA TIMU YA TAIFA UJUWE KAWATIA ADABU SANA WAFUNGAJI WA TIMU KUBWA SIO BURE HAPO SIMBA WAMEPATIYA TENA SANA ❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
OYEEEEEEEEE!💃💃💃
Acha dharau wewe njoo wewe usajili bac maana mjuaji sana wenqine wajinqa
😂😂 huyo mtangazaji ni muruki Comparable ni unafiki tu, mbona hatuzungumzii yanga walio chukua mvp wa Tanzania kutoka Simba Chama
Shida unafiki yanga wachambuzi wengi inawapoteza baleke au Dube wamefanyanini kimataifa kama siyo unafiki bazi ya wachambuzi
Wachambuzi wanaichukia Simba mzee na siku zote Dunian watu wanachukia kitu kilicho bora
Kocha wa Argentina aliyebeba world cup alikua ndio mashindano yake ya mwanzo na alibeba world cup
Simba wamejitahidi kuboresha kukosi hongera kwa mo jamani
tupeni mauwa ya ao wa leo muna amisha oja munaanza kucho meka kwa fei
Wachambuzi hacheni kununuliwa, Baleke alipokuwa simba mlisema mzee, leo kaenda Yanga mnasema usajili wa kimkakati.
Chama pia walisema Kaishiwa kashazeeka nw Yupo Yanga wanasema ana ujuzi na kimataifa anafaa 😂
KWANI TSHABALALA,KAPOMBE,NGOMA,MZAMIRU NAO NI 25 KURUDI, CHINI
FEISAL ANA TANGAZWA NA NYINYI WACHAMBUZI SIO KIONGOZI WA SIMBA . NYINYI NI MBUMBU WA UCHAMBUZI.... LEO MNASEMA VIJANA, KESHO MTASEMA WAZEE,, SAUTI ZENU TUNAZO....
Wachambuzi mnatumwa na yanga ili muichafue simba
Au usajili wa Chama na Bareke ndo wa kimkakati?
Swala sio kuchukua ubingwa nyie wachambuzi uchwara mliojawa na chuki dhidi ya Simba.
Hawa ni kama Popo tu
Mara toeni wazee,xxhivi wadogo nyie tuwaeleweje?
Mrs debora waoooooh !!!
Kwani JOBE nae vipi?
Jobe atakiwa akacheze Mpira wa makaratasi (sodo)