MBETO HAJAPOA AAMUA KUWEKA WAZI UCHAFU WA JUSSA ANAOMFANYIA RAIS MWINYI(DOUBLE FACE)
Вставка
- Опубліковано 10 вер 2024
- MBETO HAJAPOA AAMUA KUWEKA WAZI UCHAFU WA JUSSA ANAOMFANYIA RAIS MWINYI(DOUBLE FACE) ZANZIBAR
#tifutv
web.
x.com/tifutvza...
www.tiktok.com...
www.instagram....
Wananchii hawakumchaguwa mwinyi kaiba tuu na mtaondoka 2025 💜💜✌️
Siasa zako nenda kazungumze tanganyika sio zanzibar naona unachafuwa mioyo ya watu
Hakuna ACT alowahi kuchoma nyumba au kitu chochote cha CCM anasema uongo
Mwenzangu usiseme hawachomi Moto kwani zahma ikija inakuja Kwa wote nasio Kwa CCM Tu kila sehemu kuna kitu wa na vita
Wazanzibari hapa wote hawakuungi mkono Mbeto na CCM yako tuachieni Zanzibar yetu
We mshemba kwli kwan wao nan miaka za idi ya , 60 ya uhuru amuna ata maendeleo watu adi leo wanalala njaa
Achia hiyo video tuione CCM waliopigwa
mbeto mwepesi sana kwa jusa
Mh Mbeto mashaallah hukua mtukanaji nakuombea Mungu akulinde kwa hili, Amani ndo msingi wa maisha yetu Zanzibar ndugu zanguni
Mwinyi oyee!!!
Mwinyi hatukanwi ila anaambiwa ukweli. Jibu hoja anazotuhumiwa mwinyi kama unaweza. Weee una jeuri ya kujilinganisha na OMO.. eti akasome tena Ovyoooo
Zanzibar haiwezi kupata maendeleo mpk kiama km haijapata mamlaka kamili
Ni ongo kwer mbeto hili ni jinamizi la zbar yaan ww jussa tunakuelewa sisi piga dozi hivi vibaraka kuelewa kwao ndio kama hivi tu tuhakikishe siku ya uchaguzi wakimbie nchi kwa aibu mbwa Hawa wa kijani
Subhannallah. Mtwana muongo huyu loooh. Tuoneshe huo ushahidi
@@user-ki4sg8yz9j mtwanaaa vooo thamani duni haali
Sasa zanzibar kwanini isiwe nchi tajiri katika hizo kumi Afrika wewe unaongea nini kuna upigaji mwingi kwani sisi zanzibar hatukuwahi kuwa na viwanda kwani hatukuwahi kuua na sambala miwa kwani hatu kuwahi kuwa na treni sisi ndo tulikua na sarafu yetu ccm wa Eileen lek a ww api Sarafu huyu anaongea utopiro
KAMUULIZE BAKHRESA KUHUSU VIWANDA ZANZIBAR ATAKUPA MAJIBU UTATOSHEKA. NAFSI YAKO
Ety Zanzibar haiwezi kulinganishwa na Mauritius dah huyu jamaa namuona chizi kuanzia leo yaani Mauritius imeanza juzi tu na Zanzibar ipo zamani kuliko Mauritius
Cha kujiuliza ni kwanini Mauritius imefika huko na Zanzibar haijafika huko? Hili ndio swali la kujiuliza
Kumbe ni kweli CCM wamekosa mbinu na sera za maendeleo yaani sisi tunaota siku moja kuiona Zanzibar inaipita Mauritius ila wao hata hiyo ndoto hawana kabisa
Jusa tumsepyar kartahu mami bolaweche 😅 The New Tanzanians of mama Samia Suluhu, Hussein Mwinyi 🎉😢😊 Tanzania 🇹🇿
Kweli ccm nivilaza
Wewe mabeto mungu akulaaani kwa uongo wako
Duuu mm nakubaliana na Mh but jee cc kwa nn tumeshindwa
Mie nakuuliza Mbeto. Mtu akiiba huitwa vp? Akiuwa huitwa vp? Sasa matusi yako wapi hapo? Fanyeni muondoke ukooo maisha magumu njaa tupu makodi kibao. Mkiaambiwa mnasema mumetukanwa
Mwenzangu ww kama mm hatujasoma wachie wenyewe
Huna hoja nendaukoo subirini 2025 muuwewatu ilimuendelee kuwadhulumu wazanzibar
Nyinyi mabedui tu ccm nyinyi na bilis mama mmoja baba mmoja mbwa wakubwa hamna maendeleo njaa tup vitambulisho munanyima watu
Mwehuu uyuuu
No comment lkn why serekali wasiwape kula wenyewe atamaliza shida na iyo haki vipande vya kura kwa wenyewe wapige kura
Enhee ndio tujiulize kwanini ZEN ID kwanini CHET CHA KUZALIWA kwanini ID ya kupigia kura
Huyu mnafiki na muongo iyo sura yke anaongea anaonekan tu anaongea upuuz han anachokijua fisad tu han hoj huyu ccm watafute muongeaj pumba tup haelewek
Wacha kusema uongo katika chombo cha habari
Hiyo morishaz ipo chini ya Ufaransa na kuingia pale sio kama unakwenda pemba Tu
Hapo tanzania mko nchi kumi zatajir ndio ile viongozi wanataka mamlaka kamili ili wawe huru kufanya km morishaz
2:41
Nazanzibar isengekua chini yatanganyika ingekua ipo mbali hizo sizo hoja zamsingi wacha pumba zako wew
Ndio hamuwezi kuapata hayo maendeleo kwa vile hamjajitawala wenyewe
nilidhanni utakua na Content Kumbe Stupid is as Stupid
YAANI UKIMUANGALIA TU UTAJUA KUA HILI JITU NI JIVUTA BANGI TENA LIMEKUBUHU🤣🤣 YAANI HATA HAYA HAONI!
Salute brother
Uongo bwana hatari. Msikilizeni huyu anasema baada ya uchaguzi wa mwaja 20 25 wazalendo walifanya hayo wakati huo mwaka haijafika si uongo ni nini mbafiq huyu.
Sasa swali vipi kuhusu wale waliokufa pemba na hapa unguja na ninani aliyemkata masikio mauzinde
Ww mbetp cku ya kujutan malaikatu maut na utam n mola wko itaenda kimjib nn mungu ach unafiki unaongea ujinga ukasome we
Ndio mwizi kaiba ushindi wa ACT. Imekuhusu nini masuala ya Mazurui hayakuhusu wala usitupangie wakusema mkutanoni. Mnyamwezi weee
Mmepanga 2025 mfanye fujo kuisingizia act maana uchaguzi hata bado eti act walifanya fujo jamani hizi ni code anatupa tujitahazari na maneno Yao hawa
Anasemaje nini huyu bunju ccm ina miaka 60 kwenye utawala morittias wana miaka 30 tu na hatuwafikiii
CCM tuachieni Zanzibar yetu wazanzibari asilimia kubwa hatuitak serekali y CCM looo
Yaani hana hata aibu kusema ccm kapigwa na ACT. Labda mwizi wa mazao huyo. Ingekua mnao ushahidi mngeonesha zamani lakini hamna kitu.
njaa tu inamsumbua
Hebu sema kitu kieleweke , jibu hoja umeambiwa serekali inanyima watu vitambulisho ambavyo ni haki haki ya msingi ya kikatiba hivyo unapomnyima mtu haki yake hukumuibia na kama umemuibia wewe uitwe vipi,
Hapo wewe jibu useme si kweli watu hawanyimwi vitambulisho,
Lakini kama huna jibu juu ya hoja hio nyamaza na ukubali kwamba kweli nyinyi ni wezi
Kuhusu kuvunja amani umeambiwa serekali ina vikundi vya mazombi na vinaandaliwa kwa ajili ya kuja kufanya vitendo vya kiharamia wakati wa uchaguzi,
Kama si kweli jibu sio kweli , na wale vijana wanaokusanywa kwenye makambi wanakusanywa kwa lengo gani?
Kama huna jibu ya hoja hio kaa kimya na ukubali kwamba nyinyi ni wavurugaji wa amani namba moja na kwenda kusimama misikitini na kuwafanya watu wajinga hamuwezi kuwadanganya watu wote ,
Lakini muhimu kukiko yote mnatakiwa kufahamu dua zina sharti zake, na sharti moja ya dua ni toba ya kweli, sasa wewe una hakika kwamba unaongoza kwa njia za dhulma leo unakwenda miskitini kuwaomba watu wakuombee dua wakati wewe mwenyewe hujakiri wala kutubu na ndo kwanza unaandaa mbinu za kharamu kubaki madarakani unategemea hizo dua zitakusaidia nini?
Ndogu mbeto sharti ya toba kama ulimuibia mtu basi kwanza mrejeshee ulichomuibia halafu umuombe msamaha aridhike akusamehe baada ya hapo sasa unaridi kwa mungu na kufanya toba,
Hapo nadhani itakua nimekusaidieni kidogo ,
Sasa kaeni mjitazame nyinyi hamna haki za watu mlizozizuwia?
Kama mnazo basi hata mkaombewe dua kwenye miskiti mitukufu makka kazi ni bure.
Uhakika bwamdogo wenu nitapeli
Washanuna tayr ccm
Hanuni MTU apaaaa
Asa nani aliechelewesha hayo maendeleo ya Zanzibar kutoka 64? Ndo mana maendeleo hapa hayaji visiwa vinarasilimali kibao kama ikiwemo karafuu, gesi bahari halafu uje uniambie nchi uchumi wake inategemea utalii asa watalii ni watu wakisema hatuji Zanzibar je? Hapo ndo mnapofeli.
Africa inashida mnoo Nigeria aligundua mafuta kabla ya dubai wala Qatar, angalia Sudan nao mafuta kibao ila wako hoi kila siku vita kuna shida ya uongozi Africa hawa wanasiasa watu khatari mnoo
Huko anakosema Mauritius eti wanalima miwa hata hapa Zanzibar tunalima karafuu na viungo kibao tena vyenye thamani kibwa na karafuu ndo zao la biashara iweje mwenye miwa awe na maendeleo kibao kukushinda wew mwenye karafuu colit namba moja duniani, bwana hapa kwa maendeleo Zanzibar hii kama hatujapata viongozi makini haswa tutaendelea tu kuchonga barabara.
Huyu Mbeto hana hoja za kujibu mtu,inaonekana wazi kuwa uwezo wao wa kuifanya Zanzibar kuwa na maendeleo ya hali ya juu Afrika hawawezi kwa akili zao.nchi imepata uhuru 1968,na Zanzibar ilipata uhuru 1963- na Mapinduzi 1964,kwa nini sisi tusiwe mbali zaidi kimaendeleo kuliko Morishaz,tatizo ni lilelile uwezo wa wanaoongoza na maono juu ya nchi hamuna .viwanda vya nguo vilijengwa havikujijenga wenyewe, mashamba ya miwa ilioteshwa na kuendelezwa ,hii unathibitisha kuwa CCM nyinyi uwezo wenu wa kuongoza nchi ni mdogo.
Wacha uongoo wew nyinnyi ndio matazizo yote
Hivi huyu no kiongozi kweli? Duh huu no msiba
Ana pua kama chura yni anaongea kwakujifariji wkt anajua kwmba znzbr ccm haijawahi kushinda uraisi
Ww mbeto unatafumwa
We rudi kwenu
Muongo
Munatengeneza nn wakati hamuna uhuru
kwendra huna akili ww mwenz tuu😊
Sasa ww ungalikwenda kumuliza Huyo Rais wako jee kweli watu 21 waliuwawa kwa kupata Uraisi ww
Huyu alau ana ata CHETI CHA F4 naona hamna k2 😂
Wewe Babu wewe wacha uongo mtu mzima Fisadi kama hamujulikani wewe unakwenda akhera kesho unasema kama huna hata hoja ya kuteka ni kazi zenu Nyinyi kwa nyinyi munauwa munajulikana wacha Uongo kwani hamujulikani nenda zako Tanganyika ukahubiri huo utumbo wako wewe utabaki ni Chawa tu kama chawa wengine Fisadi huyu tamaa ya madaraka ndio unayokusumbua huna hata la kusema
mobetoo hujajibu hojaa unaongea kwa hasira wanachi hawapewi vitambulish mbona husemi
Hun unalo jua kweny siasa bweg wee acha kuongea ujing ap sas nyiny mwashindw nin kuipelek nch huk kaz wiz 2
hhhhhh hizi commente mwambieni mobeto ajee azisome ajue km znz hawatakiw ccm
Wewe muongo usidanganye watu sisi tuko pemba Hilo hakuna
Huyu choko
Wewe rudi kwenu taganyika
Sasa ww mbeto wazanzibari tumeamka mmetuibia sana nyinyi watanganyika zanziba kituo kikubwa afrika mashariki wacha hiyo mafita na gesi kivutio kwa watalii tuna bahari kubwa na nk usitudanganye kutufanya ss mazombi haya yote hamuaoni mnaona barabara,masoko tu iyacheni zanziba yetu rudini tanganyika
Bc washitakini hao waliofanya hivyo
Nenda tanganyika kahubiri tanganyika hizo ngonyera zako
Na sis ndo tunatak tufike uko ,tunafeli wapi
Wacheni kuandika upuuzi, tusubiri uchaguzi uje 2025
Tutaamdika yalio na msingi m
Hatuto subiri uchaguzi uoo ni ujinga wa kidemocrasia na demofreedom
Mbeto jibu hoja zatu wachakuzungumza usenge wewe 😅
Ttz kuu ni ccm Zanzibar kutokurndelea
Ukweli unauma ,kwani ni mzanzibar Gani asiejua kwamba mumekwapua
Mbeto kumbe hatari sana ... anasema uongo kweupe .. salaaalah
Kwani umeulizwa swali gani mbona nyimbo nyingi ww
Sasa tuambie kama sio kweli je hakuahidi ?
Acha uongo ww
Jusa anaroho ya kwa nini.choyo.na tamaa wala uwezo wa kufanya jambo la maana hawezi.na huyo kabwe mwisho watamsema
Mtwana huna lolt mbwa we wauaji wkubwa